ABEE SHEM... 2 S 3 : SIMULIZI MAPENZI USALITI, UPELELEZI ,MAPIGANO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 58

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i 27 дней назад +9

    Wewee mwendelezo tayar kujen kujeni wadau utam kolea❤❤

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 27 дней назад +5

    Naaam twende nalooo💃💃💃💃💃director Oen nyuma ya maic🎙

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 27 дней назад +7

    Wakwanzaaaaaaaaa❤❤❤🎉

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 27 дней назад +4

    Waaaah Ila Benjamin ni rafiki mzuri Sana
    Maskin Mohamed unapitia mateso Ila Yusra Mungu anakuona 😢😢

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i 27 дней назад +5

    Aiseee!! Huyu yusrat ananini ana ahimedy

  • @user-ft7ve3jf3k
    @user-ft7ve3jf3k 27 дней назад +5

    Yusrat Yusrat Yusrat mungu anakuona

    • @user-mh5ve4ly9g
      @user-mh5ve4ly9g 27 дней назад +1

      Natamani aje ateseke uyu shetani wa kike

  • @wanjirubens
    @wanjirubens 27 дней назад +5

    Mwisho patamu hapo

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z 27 дней назад +2

    Yusrat siku yako yajaa..thanks director

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 дней назад +2

    Oen Asant wadau Abe Shemeji heani Ehemd polesana babangu wanaume mujifunze kuishi nawanake akina Yuslat😭😭😭😭

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 27 дней назад +6

    🏃‍♀️‍➡️mim huyooooooooo hd Smix director ameshakiwasha kitu kinasonga ngoja nikajue hili fumaniz😉😉😁

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 27 дней назад +7

    Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 27 дней назад +1

      Yaani huyu yustrat mwanamke mkatili na shenzi kabisa daaah

  • @SesiliaMwaipula-lj1yn
    @SesiliaMwaipula-lj1yn 27 дней назад +4

    Ila yustrath😢

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m 24 дня назад

    Ina uma sana omba iwe simuliz lakin yakikukuta maskin ahmed mungu akupe subra moyo una waka moto

  • @raayMahmid
    @raayMahmid 27 дней назад +4

    ❤❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 27 дней назад +6

    Huyuu bilionea angekufaa tuu wakati uleujambazi walisa kumbe utajiri wake niwadamu 😢😢😢😢yani yusrat Mungu atakuhukumu Ahamed. amekukosea nn wakati wewe ndomwenyemakosa😢😢hata hao watoto wangeuliwaaa tuuu ili afungwee..

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion 27 дней назад +2

      Yani hii simulizi inaniumiza San hasa kuhusu Ahamed anavofanyiwa kwakwel

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 27 дней назад +1

    Huyu Ahamedi anataka kufungwa ndipo ❤❤❤

  • @bintimrope
    @bintimrope 27 дней назад +4

    Kwanini kamanda mrope nime😭😭sana

  • @msimhassan
    @msimhassan 27 дней назад +2

    🔥♥️

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 27 дней назад +4

    Nmeipenda iyo wenye nchi wameingia😂😂😂😂

  • @kuruthumshaban460
    @kuruthumshaban460 27 дней назад +2

    Mwisho Wa yusrat unakuwa mbaya Sana Hamed usije kusamehe hata iwe mwisho Wa roho yake kutoka

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas 27 дней назад +3

    Here we goooooo🔥👌🥰

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n 27 дней назад

      Huyu George anatakiwa awe makin sana na yusrat asihadaiwe na ngono anayopewa laa sivyo atajuta ataingia kweny matatizo yan yusrat anakera sana ki ukweli mi nilikwambia huyu pepo la ngono alonalo sijui linatoka mwambao upi. Kitendo alichofanya kwa ahmed si kizur kwa sabb talaka ilishatoka bas kila mmoja angebak na maisha yake

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas 27 дней назад

      @@user-lq6kr2gl7n m nimeliaa😔😔😭

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 27 дней назад +2

    Yusrat utakufa vibaya sana weeeh malaya yani nimesikia uchungu sanaa 😢😢

  • @ramadhanimchuruza7754
    @ramadhanimchuruza7754 27 дней назад +2

    😄😄😄😄

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters 27 дней назад +4

    Namlaumu mamake na Ahmed na Ahmed mwenyewe,naumia mwenzenu wanasemaga aduu wa mwanamke ni mwanamke hivi mm ni adui wa Yusrt juu natamani apigwe tuķio😂😂😂😂😂

    • @maseleenaesleen8149
      @maseleenaesleen8149 27 дней назад

      😂😂😂😂 Lazima atapigwa tukio acha Tusubiri mwisho wake😢

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k 26 дней назад

    Ahmed nimelia sana hapa ukipona hapo nasubiri kisasi kizito ni nifute machozi😭😭😭😭😭

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 27 дней назад +3

    Mwacheni yusra amekuja kugundua yeye alikuwa wanapenda pesa Na ni Malaya Ila tu mwanzo aliteswa Na dini Ila baada ya kuonja dudu za nje kaona Ahmed kama boya tu

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 27 дней назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 George na Yusrati wameyatimba maana wanainchi wameingia mujengoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khayraatkheirame5928
    @khayraatkheirame5928 11 дней назад

    Mwisho wa huyu yusrat sijuw utakuwaje lakini naomba iwe wa mateso sana

  • @hassanbinkondo6234
    @hassanbinkondo6234 27 дней назад +2

    D.oen eee kwan baba yake ahmed kafa au

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion 27 дней назад

      Ndio Mimi Nashangaa 😢😢

  • @user-tq5di6mv9c
    @user-tq5di6mv9c 20 дней назад

    Yusra nikalaya mbwa weeh

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 27 дней назад +4

    Sasa kama hutaki kuhukumu binadamu kwanini umfanyie Ahamed hivyoo nasiyy pekeyake wengi mumewauwa huko msituni

  • @SesiliaMwaipula-lj1yn
    @SesiliaMwaipula-lj1yn 27 дней назад +4

    Another chatu ndan ya mjengo wa George charles😂

  • @ScolaNalle
    @ScolaNalle 27 дней назад +1

    Yusrat ni shetani huyu mwanamke utalipia hakika pole Ahmed😢

  • @user-mh5ve4ly9g
    @user-mh5ve4ly9g 27 дней назад +1

    Huyu yusrah natamani ateseke maisha yake yote muandishi yusrah asipoteseka mmi siisikilizi tena

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k 26 дней назад

    We ubwa shetani mwanaharamu mkubwa wewe ulaaniwebwa wewe ndo nini kumuimiza moyo na mwili Ahmed wewe Goerge nawe unatumia utajiri wako vibaya Ahmed kakangu usipende tena kabisa huyo mbwa atakuharibu kisaikolojia😢😢😢😢😢 maana sikwa mambo haya😭😭😭😭😭

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx 27 дней назад +3

    Huyu dada anajikuta maisha kayapatia but malipo nihapahapa machozi yamtu haendi pore😢😢

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 27 дней назад

      Maisha ameyapatia hajui kama Mungu hulipamtu kwazamu yani wamenichafua nahuyoo jamaa bora angekufa nakutupwaa baharini

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 27 дней назад

      Mi naona Ahmed ametowa hiyo mikosi yote kwa Yusrati kwa kulala na George mala moja mwishowe kamupelekea mikosi Ahmed 😂😂😂😂

    • @AAa-it7nx
      @AAa-it7nx 27 дней назад

      @@nurafedrick378 naona walicho kiadzisha Mungu atamaliza

  • @AsmaAsma-mc9pt
    @AsmaAsma-mc9pt 27 дней назад +1

    Msimuliaj please sehemu za huyu yusrat kuenjoy uwe unazivuka maana mimi mnanitia hasira

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 24 дня назад

    Yusrat utajua ujui 😢

  • @MamahetuChikuti-mp5lj
    @MamahetuChikuti-mp5lj 27 дней назад +1

    Uyu yusrat na bilionea wake wote wajajuta vibaya,watakuja mtafuta Ahamed na kumpigia magoti mashetani hao

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g 26 дней назад

    Kwa hii Hal Ahmed atakuja kuwa killer Yusrat anasuka Bomu ambalo atakuja kujutia Maana Ahmed kalea mimba cyo yake na mwsho watt na pia kamtia hasara mwenzie pesa nyng kapoteza inauma 😢😢😢

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 26 дней назад

    Ila huyu Yusraty ni shetani tena wa miguu minne

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 дней назад +1

    Oen Asant wadau Abe Shemeji heani Ehemd polesana babangu wanaume mujifunze kuishi nawanake akina Yuslat😭😭😭😭

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g 26 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 27 дней назад +1

    Oen Asant wadau Abe Shemeji heani Ehemd polesana babangu wanaume mujifunze kuishi nawanake akina Yuslat😭😭😭😭

  • @NancyKwimba
    @NancyKwimba 26 дней назад

    ❤❤❤❤❤