TANZANIA YAPAA USALAMA WA ANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi nne bora barani afrika katika usalama wa anga, hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO) ambapo imezitaja nchi zingine kuwa ni Nigeria, Kenya, Cote D'ivoire
    Kwa mujibu wa ICAO, usalama wa anga wa tanzania umeongezeka kutoka 37.8% mwaka 2013 hadi 86.7% mwaka 2023.

Комментарии •