Magoli | Simba SC 2-0 Mtibwa Sugar | NBC Premier League 03/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2024
- Freddy Koublan na Saleh Karabaka wamefunga magoli mawili yakiipa Simba ushindi wa 2-0 dhidi ya mtibwa Sugar kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Hii ni #NBCPremierLeague mchezo wa kiporo na ya ni magoli. - Спорт
Simba itarudi tu kwenye ubora wake Kama unaamin gonga like hapo
Ata mkirudi ktk uo ubora wenu,, tuna makombe 20
Mtapoteana ninyi heee
Mimi naamin mdau ruclips.net/video/LmVMmQnpQ_k/видео.htmlsi=7kg9pVc1Xwvf6qi0
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo simba nguvu moja❤❤❤
Tutafika tu sisi soite tuko pamoja ,arsante Kwa leo
Mungu ipiganie simba
ttzo kuna wachezaji wanachezeshwa kwa kuangaliw majin lkn kuna wachezaji wazur hawapew nafas kam huyo karabak n.k
Inshaallah Allah ataijalia timu yetu kua imara
Karabaka wa moto Sanaa ❤
❤❤❤❤❤❤
Hongera mnyama
Simba Ni Yetu Kila Nyakati Tutakua Nayo
Azam Tv Sinema Zetu. Tunaomba Tamthilia za Kiswahili zioneshwe kwa mda wa lisali 1 na sio dakika 30...
Bora Hawa vijana kuliko Ile mizee gud xan mgunda nmekukubal bora tufungwe na wachezaj wanaojituma
Simba nguvu moja
Benchika alitaka kutuaminisha kwamba hakuna wachezaji zaidi ya kina Kanoute je huyu Edwin Barua na karabaka wametoka wapi au wamesajiliwa juzi, yule sio Kocha
Sio alitaka, hii mechi pekee haitoshi ku conclude kuwa simba ina wachezaji ,kikos hiki kineshacheza na mtani na timu za nje?
Huyu Fred tusimuache
Huyu karaba mtu tangu sku ya kwanz namuona
❤️❤️
Wapeni nafasi vijana
Nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan kama uwanja wa Azam Complex Chamanz mashabik wa simba wameshindwa ata kufika robo humu hamna timu
Tatizo la simba furaha haidumu mechi mechi ijayo wantobolewa huzuni pale pale😂
Mbona alhed Ally kama vile yupo msibani😂
Vijana wapewe nafasi
Wamuachie timu mgunda..
Mgunda ni bonge la kocha shida uongozi
Ndugu yangu Ahmed hadi umekonda nuru haipo kabisa usoni
HUYU FREDY NA KARABAKA MSIMU UJAO ANAWASUMBUA SANA MAGONGO WAZI
Wakati munacheza na wafuu
Onana ongekosa hapo😅😅😅
Wamepiga mochwari!!!
Wapeni madogo nafasiii jmn....
ruclips.net/video/LmVMmQnpQ_k/видео.htmlsi=7kg9pVc1Xwvf6qi0. Dah saidoo amekata tamaa mazima. Ila Fred Michael ni mali. Au mnasemaje wadau
ukuta wa simba ni mbovu ila wa mtibwa umezidi😂😂
Dah!! Leo kipofu kaona mwezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ungetaka uoneww uto?ngoja itafahamika tu ubingwa wamchongo
Vipofu ni uto😂
Benchika karabaka umrmuona huwez kuwa coach mkubwa mwenye CV kubwa kutoamini vijana angalia gamond anavo mpa nafasi Khalfan Na Ni moto
Kwaiyo mmeshinda si ndio makolo😂
Ndio utopwinyo
😂😂😂 hadi mje kurudi kwenye ubora wenu Yanga tulishanyanyua Sana makwapa
Labda makwapa ykoo mbwaa wee tulia
Makwapa yapi wakati mpaka sasa hamna ata shoot on target ya kikombe mpaka sasa Simba mpaka sasa Ngao ya jamii na Kombe la Muungano sisi ndo Mabingwa wa Tanzania Bara na Visiwani kama hujuhi
Hili goli la Fred atakipofu anafunga jaman au vipi
𝕜𝕒𝕗𝕦𝕟𝕘𝕖 𝕟𝕒 𝕨𝕨
❤❤❤❤❤❤