🔴
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2025
- 🔴#BREAKING: GODBLESS LEMA AFANYA MAAMUZI MAGUMU KUHUSU LISSU na MBOWE - AMUUNGA MKONO LISSU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Asante, Kamanda!
Kwakweli kaka lema upo vizuli kumbe baadhi ya viongozi wanawatumia wanachama kama mtaji tuombe mungu tuvushwe salama inaumiza mno
Jamaa mkweli Sana
Kweli kiongozi unasema ukweli
Lema uko sawa Umesema ukweli mtupu. Mbowe apumunzike.
Mboe amwachie lisu jamani. Aina aja ya mijadala wala kuojiana
Kumbe nimeelewa CHADEMA leo tumambiwa ni ya nani 😂
Ni kweli kabisa Mh Lema. Nchi ina tatizo kubwa mno la kimaadili. Wizi, Rushwa, Kusema Uongo na Uovu Umehalalishwa kuwa ni jambp la kawaida na haki. Hii ni hatari mno kwa jamii yoyote ile.
Lema msema ukweli kabisa jamani
Lowasa mlimchukua kwa sababu alikuwa na fedha 😂
Safi sana
Kabisa
Chama mnakiendesha kwa majungu
Hutagombea Ubunge kwa sababu unajua hutashinda usitudanganye Arusha hutoboi
Hii inchi inaujinga mwingi sana yani we mtu wa media ambae ulitoa mda wako kwenda kweny iyo press afu unakata maneno ndo unatuwekea sisi ili iweje mbn unafiki umewazidi namna hiii ...badilikeni maan watakaokuj kuangaika ni watoto wenu
Nimeelewa kumbe watu wa maandamano huwa mnawapa posho ili waandamane leo nimeelewa Nakushukuru Remma umetuelimisha
Kajifunze kwanza kusoma na kuandika
Mdee uko wapi
Lakini watu wa mtandaoni hawapigi kura tumia akili🤪
Ndo wanaoandaa wapiga kura lakn
Kumbe Cham ni cha ndugu
Umetoboa siri zenu je kama mkichukua nchi si mtasimama mtandaoni kutoa siri za nchi
Una akili nyingine au ndio hizi hizi huwa?
Kusema ukweli au kufafanua jambo kwa faida ua uma haipaswi Siri. Chama ni cha Una siyo cha Siri Siri. Jengeni utamaduni wa kuwa wawazi kwa wananchi.
Huu ndio mfano wa kuigwa kwa vyama vingine
Kumbe umekiri kabisa mliwaweka watoto wa watu mbele wakauawa leo umetueleza wazi nyie mna fura hi na familia zenu watoto wa wenzenu wamekufa DAMU YAO INAWATAFUNa
Lema siku zote mm nipo agenest na wewe ,lini umekuwa transparent background yako unikumbika wewe yaani ulipokuwa mitaani umetubu kwa kusema ukweli uliowLiza,
LEMA UNANYEA MDOMONI😂😮😂?...
😮hahaaaaaaa
Mntoa saut sehem za muhim si msipost kabs hizi clip kama mnatoa sehem ambaz hamtak watu wasikie kwa nn mtusikilizishe sehem mnazotak tusikie pekee🚮