🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • 🔴#BREAKING: GODBLESS LEMA AFANYA MAAMUZI MAGUMU KUHUSU LISSU na MBOWE - AMUUNGA MKONO LISSU...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  22 дня назад

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @salimsadik1087
    @salimsadik1087 22 дня назад +2

    Asante, Kamanda!

  • @JohnMtalikuyanja
    @JohnMtalikuyanja 22 дня назад +2

    Kwakweli kaka lema upo vizuli kumbe baadhi ya viongozi wanawatumia wanachama kama mtaji tuombe mungu tuvushwe salama inaumiza mno

  • @innocentmagafu2192
    @innocentmagafu2192 22 дня назад +2

    Jamaa mkweli Sana

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 22 дня назад +2

    Kweli kiongozi unasema ukweli

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 22 дня назад +2

    Lema uko sawa Umesema ukweli mtupu. Mbowe apumunzike.

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 22 дня назад +2

    Mboe amwachie lisu jamani. Aina aja ya mijadala wala kuojiana

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +2

    Kumbe nimeelewa CHADEMA leo tumambiwa ni ya nani 😂

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 22 дня назад +1

    Ni kweli kabisa Mh Lema. Nchi ina tatizo kubwa mno la kimaadili. Wizi, Rushwa, Kusema Uongo na Uovu Umehalalishwa kuwa ni jambp la kawaida na haki. Hii ni hatari mno kwa jamii yoyote ile.

  • @zuwenimyamba7958
    @zuwenimyamba7958 21 день назад +1

    Lema msema ukweli kabisa jamani

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +2

    Lowasa mlimchukua kwa sababu alikuwa na fedha 😂

  • @FausterPeter-l4x
    @FausterPeter-l4x 21 день назад

    Safi sana

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 22 дня назад +1

    Kabisa

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Chama mnakiendesha kwa majungu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +2

    Hutagombea Ubunge kwa sababu unajua hutashinda usitudanganye Arusha hutoboi

  • @kellynsemiti1665
    @kellynsemiti1665 21 день назад +1

    Hii inchi inaujinga mwingi sana yani we mtu wa media ambae ulitoa mda wako kwenda kweny iyo press afu unakata maneno ndo unatuwekea sisi ili iweje mbn unafiki umewazidi namna hiii ...badilikeni maan watakaokuj kuangaika ni watoto wenu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Nimeelewa kumbe watu wa maandamano huwa mnawapa posho ili waandamane leo nimeelewa Nakushukuru Remma umetuelimisha

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Mdee uko wapi

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Lakini watu wa mtandaoni hawapigi kura tumia akili🤪

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Kumbe Cham ni cha ndugu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Umetoboa siri zenu je kama mkichukua nchi si mtasimama mtandaoni kutoa siri za nchi

    • @naamashirima6061
      @naamashirima6061 21 день назад

      Una akili nyingine au ndio hizi hizi huwa?

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 20 дней назад +1

      Kusema ukweli au kufafanua jambo kwa faida ua uma haipaswi Siri. Chama ni cha Una siyo cha Siri Siri. Jengeni utamaduni wa kuwa wawazi kwa wananchi.
      Huu ndio mfano wa kuigwa kwa vyama vingine

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Kumbe umekiri kabisa mliwaweka watoto wa watu mbele wakauawa leo umetueleza wazi nyie mna fura hi na familia zenu watoto wa wenzenu wamekufa DAMU YAO INAWATAFUNa

  • @khalfannahayimbekwa1440
    @khalfannahayimbekwa1440 22 дня назад +1

    Lema siku zote mm nipo agenest na wewe ,lini umekuwa transparent background yako unikumbika wewe yaani ulipokuwa mitaani umetubu kwa kusema ukweli uliowLiza,

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 21 день назад +1

    LEMA UNANYEA MDOMONI😂😮😂?...

  • @AnnaWiliamu
    @AnnaWiliamu 22 дня назад +1

    😮hahaaaaaaa

  • @elibarikidaniel8919
    @elibarikidaniel8919 21 день назад

    Mntoa saut sehem za muhim si msipost kabs hizi clip kama mnatoa sehem ambaz hamtak watu wasikie kwa nn mtusikilizishe sehem mnazotak tusikie pekee🚮