Mimi NYAMWEZI lakini napenda sana nyimbo za kisukuma. Wimbo huu umetulia sana hata ujumbe wake ni zaidi ya nyimbo za kina diamond na wenzake. Waimbaji wengi wa kisukuma wanauwezo mkubwa wa kutunga nyimbo. Hongera sana Limbu
Sasa umesafisha moyo wangu. Kumbe unajibu comments za wafuasi wako. Uko safi ukicheza kuliko kuimba bila kutuonyesha mnavyotumia sauti na miguu yenu. Nimewapenda sana wasukuma wenzangu. Kabila kubwa hilo.
Mpe hongera zake huyu msanii chipukizi anafanya kaxi nzuri Mimi ni teacher kaligo dotto njige ni mwalimu wa literature in English kutoka Arusha secondary school
Kazi nzuri sana! Mbasha Studio na wengine mnajitahidi sana. Lakini endeleeni kuboresha kwa kutochakachukua sauti za waimbaji studio. Waacheni sauti halisi zisikike ili tupate ladha halisi na wasanii watufautiene kwa sauti zao halisi. Pia jitahidi sana kufupisha nyimbo zisizidi dakika 5.
asante sana kwa maoni yako, tunajitahidi kushauriana na wao wasanii wetu kuhusu sauti maana wengi wanataka effects wachache sana wanaokubali kuacha sauti halisi, na urefu wa nyimbo pia liko kwao wao wasanii wanataka hivyo. Pia hili nalo tunaendelea kushauriana nao
Wewe ukitaka nyimbo fupi sikikiza nyimbo za diamond na konde boy (bongo flavor) ambazo wanapiga makelele nyimbo zisizo na ujumbe na pia sauti halisi msikilize mlisho mpoto na twenty percent
Piga kazi safi kwa kuwakumbusha kwa hilo
Mimi NYAMWEZI lakini napenda sana nyimbo za kisukuma. Wimbo huu umetulia sana hata ujumbe wake ni zaidi ya nyimbo za kina diamond na wenzake. Waimbaji wengi wa kisukuma wanauwezo mkubwa wa kutunga nyimbo.
Hongera sana Limbu
Nampenda Sana huyu jamaa anaimba vizuri sana
z
Hiyo ndiyo mbina ya kisukuma Sasa safi sana
Unanikonga moyo wangu toka nimekupata staki kuskiliza nyimbo zngne mungu akubarik saana nimezpenda saana
Sasa umesafisha moyo wangu. Kumbe unajibu comments za wafuasi wako. Uko safi ukicheza kuliko kuimba bila kutuonyesha mnavyotumia sauti na miguu yenu. Nimewapenda sana wasukuma wenzangu. Kabila kubwa hilo.
Saf sana mnyama nafurahi sana kukupata live kazi nzur .
Uko vizuri brother
Saana Director, pale mwisho!
Nimependezwa na nyimbo zako nzuri
Nikupataje mm nimsukuma nzega ulemba Chiza no ngosha
Shughuli kubwa zinamalizwagwa na ng'ombe
N❤❤❤❤nikiwa Nairobi ubheja saana
Shughur kubwa zinamalizwa na ng'ombe sio kutegemea kuchangisha watu jamaa wasiposhiba waanze lawama 🏌️
Hahahaaa, nimeipenda sana ya kutopenda kuchangiwa
Mwamba kaimba vizur sana
Ulingosha limbu wewe unasisitiza watu kufikia malengo
Mpe hongera zake huyu msanii chipukizi anafanya kaxi nzuri Mimi ni teacher kaligo dotto njige ni mwalimu wa literature in English kutoka Arusha secondary school
bhalekele .mihangwa heka manyon namqendasana
Naomba namba ya mnyama
Nzuri fr Canada , nakuona home
Asante sana, Endelea kuwa nasi katika channel yetu na uendelee pia kupata vitu Asili kutoka Huku nyumbani, unaweza kutoa maoni yako pia
@@MbashaRobert ni ngapi nikitaka kum walika huyu msanii?
Sawa boss nipe namba yako
Hahahhaha natogwa hangee kuchangiwa
Noma sana wa kwel
just goog my frends
Safi Sana dumisha Mila unajua sana
Kazi nzuri sana! Mbasha Studio na wengine mnajitahidi sana. Lakini endeleeni kuboresha kwa kutochakachukua sauti za waimbaji studio. Waacheni sauti halisi zisikike ili tupate ladha halisi na wasanii watufautiene kwa sauti zao halisi. Pia jitahidi sana kufupisha nyimbo zisizidi dakika 5.
asante sana kwa maoni yako, tunajitahidi kushauriana na wao wasanii wetu kuhusu sauti maana wengi wanataka effects wachache sana wanaokubali kuacha sauti halisi, na urefu wa nyimbo pia liko kwao wao wasanii wanataka hivyo. Pia hili nalo tunaendelea kushauriana nao
Wewe ukitaka nyimbo fupi sikikiza nyimbo za diamond na konde boy (bongo flavor) ambazo wanapiga makelele nyimbo zisizo na ujumbe na pia sauti halisi msikilize mlisho mpoto na twenty percent
Comment nyingine mpk 😂😂😂😂
Atar xana uyu jamaa
Senzaye namba ja Simu lulu
Iko vzr Sana!!?
Safiss naipeda
Kazi nzuri sana
Nimo gugamalagwa nyatale
Moses filipo❤❤❤❤
Safi sana
Hongela
Safi sana Mnyama, nakukubali sana
Limbu upo vizuri sana
Kari Sana
Uko vizur Sana 🔥🔥🔥🔥
Iko poa sana
Safi sana , unafanya kazi nzuri sana
Jomba, mashairi yako ina mafundisho makubwa sana.
❤
Kisima
Shabiki Yako namba Moja kutoka meatu SIMIYU obeja sana 🙏
Nimependa chez yenu homngela mko vizul
Jamaa anajua
Kisima
Kisima
Kisima
Kisima
Kaka unajua kuimba
Jamaa haukurupuki unajipinda kutunga hizi nyimbo😂😂😂
Safi
Hakika kazi nzuri sana mwamba mungu akujalie maisha marefu asili haipotei
Napenda sana nyimbo zako kaka. Hakika kweli kichwa chako kinamafaili
Limbu
J
jamaa yuko ok sana
0
👍👍
❤