LIMBU LUCHAGULA HARUSI YA GWISU 2021

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Directed by John

Комментарии • 69

  • @laurianjulius6211
    @laurianjulius6211 2 года назад +3

    Piga kazi safi kwa kuwakumbusha kwa hilo

  • @henrymichael3966
    @henrymichael3966 2 года назад +2

    Mimi NYAMWEZI lakini napenda sana nyimbo za kisukuma. Wimbo huu umetulia sana hata ujumbe wake ni zaidi ya nyimbo za kina diamond na wenzake. Waimbaji wengi wa kisukuma wanauwezo mkubwa wa kutunga nyimbo.
    Hongera sana Limbu

  • @ezramaganda842
    @ezramaganda842 3 года назад +4

    Nampenda Sana huyu jamaa anaimba vizuri sana

  • @bahatisayi2485
    @bahatisayi2485 2 года назад +1

    Hiyo ndiyo mbina ya kisukuma Sasa safi sana

  • @sumaiyajm3445
    @sumaiyajm3445 Год назад

    Unanikonga moyo wangu toka nimekupata staki kuskiliza nyimbo zngne mungu akubarik saana nimezpenda saana

  • @loycenyalali4870
    @loycenyalali4870 Год назад +1

    Sasa umesafisha moyo wangu. Kumbe unajibu comments za wafuasi wako. Uko safi ukicheza kuliko kuimba bila kutuonyesha mnavyotumia sauti na miguu yenu. Nimewapenda sana wasukuma wenzangu. Kabila kubwa hilo.

  • @kabilalupigi799
    @kabilalupigi799 2 года назад +3

    Saf sana mnyama nafurahi sana kukupata live kazi nzur .

  • @richardvmazanzala5896
    @richardvmazanzala5896 2 года назад +1

    Uko vizuri brother

  • @mbashastudio-nyimboasili7157
    @mbashastudio-nyimboasili7157 3 года назад +2

    Saana Director, pale mwisho!

  • @salmanjoseph817
    @salmanjoseph817 2 года назад +4

    Nimependezwa na nyimbo zako nzuri

  • @omarymaweda4692
    @omarymaweda4692 2 года назад +1

    Nikupataje mm nimsukuma nzega ulemba Chiza no ngosha

  • @josekipara5165
    @josekipara5165 2 года назад +2

    Shughuli kubwa zinamalizwagwa na ng'ombe

  • @sumaiyajm3445
    @sumaiyajm3445 Год назад

    N❤❤❤❤nikiwa Nairobi ubheja saana

  • @latasimon9303
    @latasimon9303 2 года назад +3

    Shughur kubwa zinamalizwa na ng'ombe sio kutegemea kuchangisha watu jamaa wasiposhiba waanze lawama 🏌️

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 2 года назад +1

    Hahahaaa, nimeipenda sana ya kutopenda kuchangiwa

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 года назад +2

    Mwamba kaimba vizur sana

  • @kulwamajingwagado8940
    @kulwamajingwagado8940 2 года назад +1

    Ulingosha limbu wewe unasisitiza watu kufikia malengo

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige Год назад

    Mpe hongera zake huyu msanii chipukizi anafanya kaxi nzuri Mimi ni teacher kaligo dotto njige ni mwalimu wa literature in English kutoka Arusha secondary school

  • @mihangwalulengo3009
    @mihangwalulengo3009 3 года назад +3

    bhalekele .mihangwa heka manyon namqendasana

  • @ndulujilala9643
    @ndulujilala9643 2 года назад +2

    Nzuri fr Canada , nakuona home

    • @MbashaRobert
      @MbashaRobert  2 года назад

      Asante sana, Endelea kuwa nasi katika channel yetu na uendelee pia kupata vitu Asili kutoka Huku nyumbani, unaweza kutoa maoni yako pia

    • @limymasele21
      @limymasele21 2 года назад

      @@MbashaRobert ni ngapi nikitaka kum walika huyu msanii?

    • @user-px4ju8ul6j
      @user-px4ju8ul6j Год назад

      Sawa boss nipe namba yako

  • @abelmalamala5507
    @abelmalamala5507 2 года назад +1

    Hahahhaha natogwa hangee kuchangiwa

  • @venancecosmas1949
    @venancecosmas1949 3 года назад +2

    Noma sana wa kwel

  • @DIRECTOR_MSAFIRIJ
    @DIRECTOR_MSAFIRIJ 3 года назад +2

    just goog my frends

  • @hawaluchaga7662
    @hawaluchaga7662 Год назад

    Safi Sana dumisha Mila unajua sana

  • @tryphonenghwaya9724
    @tryphonenghwaya9724 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana! Mbasha Studio na wengine mnajitahidi sana. Lakini endeleeni kuboresha kwa kutochakachukua sauti za waimbaji studio. Waacheni sauti halisi zisikike ili tupate ladha halisi na wasanii watufautiene kwa sauti zao halisi. Pia jitahidi sana kufupisha nyimbo zisizidi dakika 5.

    • @MbashaRobert
      @MbashaRobert  2 года назад

      asante sana kwa maoni yako, tunajitahidi kushauriana na wao wasanii wetu kuhusu sauti maana wengi wanataka effects wachache sana wanaokubali kuacha sauti halisi, na urefu wa nyimbo pia liko kwao wao wasanii wanataka hivyo. Pia hili nalo tunaendelea kushauriana nao

    • @mohammedabdallah2876
      @mohammedabdallah2876 Год назад

      Wewe ukitaka nyimbo fupi sikikiza nyimbo za diamond na konde boy (bongo flavor) ambazo wanapiga makelele nyimbo zisizo na ujumbe na pia sauti halisi msikilize mlisho mpoto na twenty percent

    • @mariandamu7379
      @mariandamu7379 4 месяца назад

      Comment nyingine mpk 😂😂😂😂

  • @paulohaule3115
    @paulohaule3115 2 года назад +1

    Atar xana uyu jamaa

  • @limymasele21
    @limymasele21 2 года назад +1

    Senzaye namba ja Simu lulu

  • @jonaslembel564
    @jonaslembel564 2 года назад +1

    Iko vzr Sana!!?

  • @jamesmpolindaki7680
    @jamesmpolindaki7680 2 года назад +1

    Safiss naipeda

  • @mayungamachim9452
    @mayungamachim9452 3 года назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @user-px4ju8ul6j
    @user-px4ju8ul6j Год назад +1

    Nimo gugamalagwa nyatale

  • @mosesFilipo
    @mosesFilipo День назад

    Moses filipo❤❤❤❤

  • @peternzegenojitindiurls
    @peternzegenojitindiurls 3 года назад +2

    Safi sana

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 2 года назад +1

    Hongela

  • @manenoluponya9148
    @manenoluponya9148 3 года назад +1

    Safi sana Mnyama, nakukubali sana

  • @jacksonsalum2448
    @jacksonsalum2448 2 года назад +1

    Kari Sana

  • @AshaMohamed-dd8kl
    @AshaMohamed-dd8kl Год назад

    Uko vizur Sana 🔥🔥🔥🔥

  • @charzykiyabo3263
    @charzykiyabo3263 2 года назад +1

    Iko poa sana

  • @marcokuzenza8275
    @marcokuzenza8275 Год назад

    Safi sana , unafanya kazi nzuri sana

  • @ihanomadili
    @ihanomadili 5 месяцев назад +1

    Jomba, mashairi yako ina mafundisho makubwa sana.

  • @BahatiJoseph-b5y
    @BahatiJoseph-b5y 8 месяцев назад

  • @alisiasimion227
    @alisiasimion227 9 месяцев назад

    Kisima

  • @daudijohn8416
    @daudijohn8416 Год назад

    Shabiki Yako namba Moja kutoka meatu SIMIYU obeja sana 🙏

  • @hamispaul3214
    @hamispaul3214 8 месяцев назад

    Nimependa chez yenu homngela mko vizul

  • @ngoshatechnology
    @ngoshatechnology Год назад

    Jamaa anajua

  • @JohnMathias-l9z
    @JohnMathias-l9z Год назад

    Kisima
    Kisima

  • @furahasahani6760
    @furahasahani6760 2 года назад

    Kaka unajua kuimba

  • @catherinemdaki
    @catherinemdaki 11 месяцев назад

    Jamaa haukurupuki unajipinda kutunga hizi nyimbo😂😂😂

  • @mbagamachia7101
    @mbagamachia7101 3 года назад +1

    Safi

    • @salmanjoseph817
      @salmanjoseph817 2 года назад

      Hakika kazi nzuri sana mwamba mungu akujalie maisha marefu asili haipotei

    • @NyandaE.Mhindi
      @NyandaE.Mhindi Год назад

      Napenda sana nyimbo zako kaka. Hakika kweli kichwa chako kinamafaili

  • @FrancicMadilisha-vs9qs
    @FrancicMadilisha-vs9qs Год назад

    Limbu

  • @ManiniKingwa
    @ManiniKingwa 3 месяца назад

    J

  • @wakujathedon59
    @wakujathedon59 2 года назад +1

    jamaa yuko ok sana

  • @mwaglailindilo9191
    @mwaglailindilo9191 2 года назад

    0

  • @DutuMaduhu
    @DutuMaduhu 2 месяца назад