Mambo Ambayo Siolazima Kwenye Swala - Sheikh. Othman Khamisi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 88

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 4 года назад +3

    Mashaallah nimejifunza jambo leo

  • @salmalaga3132
    @salmalaga3132 2 года назад

    Nimejifunza kitu Leo mungu akubaliki nilikuwa naogopa kuswali kwakutojua Dua ya ufunguzi waswala najua napoteza muda ngojanikazane kuijua zaidi alahamdu

  • @salumothman7548
    @salumothman7548 4 года назад +9

    Shukrani sheikh wangu ALLAH akuongoze uzidi kutuelimisha inshaallah

  • @mohamedjuma3748
    @mohamedjuma3748 4 года назад +4

    Duh.kunaviburi wengine ndohawato xema kabsaa hasa mabingwa was swala

  • @halimayusuph8951
    @halimayusuph8951 4 года назад +2

    mashaalah wengi tulikua tunaogopa kuswali hatujui hizo dua kipekeee umenisaidia sana

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Год назад

    Allah Akujaze kila lakheri Insha-Allah

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 4 года назад +3

    Nimeku miss nipo Kenya inshaallah kheri narudi imam wangu

  • @omaryusuf7813
    @omaryusuf7813 4 года назад +3

    Mashallah

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 4 года назад +3

    Na'aam sheikh,,,, jazaakallahu likhayr

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +3

    Man'sha Allah tabarka Allah 👏

  • @saidsoud5967
    @saidsoud5967 4 года назад +3

    Namuona shekhe wng Abdallah hua nampenda sana

  • @magrethpaul975
    @magrethpaul975 4 года назад +3

    Nimekuelewa sana Shekhe Wng

  • @sheikhabdulwaliyusuleiman3408
    @sheikhabdulwaliyusuleiman3408 2 года назад

    Alhamdulillah

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад +1

    Mashallah mashallah Allah atufanyie wepesi

  • @rafiqrazia2445
    @rafiqrazia2445 4 года назад +1

    Sala yng ilikuwa was was sana umenisaidia sana

  • @sarakuchanda9605
    @sarakuchanda9605 4 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah shukran

    • @allymdiu591
      @allymdiu591 4 года назад

      masha allah elimu nzuri sana

  • @user-ro8ul2we9c
    @user-ro8ul2we9c 4 года назад +2

    Masha Allah

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y 4 года назад +1

    Shukran shekhe

  • @zayanabakari7948
    @zayanabakari7948 4 года назад +2

    Mashaalah

  • @athumanmvulla4947
    @athumanmvulla4947 4 года назад +2

    Mashaallah wajina Allah akuzidishie

  • @musayahya702
    @musayahya702 4 года назад +2

    Shehe unaongea vizuri mashallah ila wazo langu mimi watu wengi hawapendi kujifunza hivyo watu wakisikia hivyo watasali kama walivyokusikia dk 2 wamemaliza ,ila ni busara zaidi tuswali kama alivyokuwa anasali kiongozi wa uuma muhammadi s.a.w

    • @abdul-rahmanfakijuma1879
      @abdul-rahmanfakijuma1879 4 года назад +1

      Nikweli maneno yako, ao wanaoambiwa watakopy na kupest, vyema wenye elimu, wangefundisha alivyofanya kiongozi wa umma ikiwa ni pamoja na sinnah mengine watu waende madarsa

  • @asiaidi3700
    @asiaidi3700 4 года назад +2

    mashaallah sheikh Athuman

  • @binismail8527
    @binismail8527 4 года назад +2

    Swaluuu kamaa ra-aytumuunii uswallii

  • @noshadysaid2493
    @noshadysaid2493 4 года назад +1

    Ishaallah Allah atufanyie wepesi

  • @amnajugbar739
    @amnajugbar739 4 года назад +1

    MAA SHAA ALLAH

  • @salehsuley3593
    @salehsuley3593 4 года назад +2

    Ww ni fundi na unasaidia wengi allh akuongezee elim zaid ya hapo

  • @sarumdogotwaasaru1550
    @sarumdogotwaasaru1550 4 года назад

    ninakupata vizuri kabisa shekhe tunashukuru kwaerimu yako mungu akupewepesi

  • @mbarakaali2983
    @mbarakaali2983 4 года назад

    Assalam alyekum Mashaallahu sheikh wangu othaman ibn Khamici Allah ukulipe Pia na sisi amin amina Amina ya Allah

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 года назад +1

    Mungu akuongezee

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 года назад

    Shukran shekhe kwa kutuelimisha na allh atakulipa Inshallh

  • @takdirmohd5634
    @takdirmohd5634 4 года назад

    Asante maalim baaralallah

  • @kabeziadamu5609
    @kabeziadamu5609 4 года назад +1

    Mashaalaaa

  • @mauabeka4958
    @mauabeka4958 4 года назад

    Shukran ustadh

  • @tiffahmakwega7957
    @tiffahmakwega7957 4 года назад

    Shekhe Wangu nakupenda kwa ajili ya allah

  • @Moblacful
    @Moblacful 2 года назад

    1. TAKBRITUL IHRAMI - ALLAHU AKBAR
    2. KIRAATU AL FATIHA
    3. ATASHAHUDU AKHIRU
    4. ATASLIMATUL AL UULA

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад

    BAARAKA LLAHU LAKA FII AHLIKA WA MAALIKA ❣️

  • @sharifaabdallah2010
    @sharifaabdallah2010 4 года назад +1

    Allahmullah nimejifunza

  • @muhidinsaid438
    @muhidinsaid438 4 года назад

    Mambo ya lazima katika sala!
    1.Takbira tul ikram
    2.Sura tul fatkha(ALLHAMDUH)
    3.Atahyatu ya mwisho katka sala yenye rakaa zaidi ya mbili (dhuhr,asri,magharb na isha)
    4.Salamu ya Mwisho! (badaa ya atayhatuh! )

  • @najialumumba535
    @najialumumba535 4 года назад +1

    Shukuran

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @habibuamiri7593
    @habibuamiri7593 4 года назад

    Naam

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад

    Nimekupenda mashallah Allah akupe umri mrefu.ila naomba tu unisaidie ninajua sura alfatiha na Qulallah swamaad ila kitu kinacho nishida zile rakaa kuinama nafanyaje

  • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182
    @mwabwagizojaytummumwabwagi7182 4 года назад +1

    Mashaallah nimejifunza kitu kutoka kwako sheikh shukhurn 👂👂

  • @blackberryberryblack9093
    @blackberryberryblack9093 4 года назад +1

    Allah akbar

  • @jamlaashiri372
    @jamlaashiri372 4 года назад

    Mashaallah,Mashaallah

    • @mbarakaali2983
      @mbarakaali2983 4 года назад

      السلام عليكم ورحمة الله يا أخوت

  • @masasionlinetv1825
    @masasionlinetv1825 4 года назад +1

    Nimejifunza na jamb bor sana

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 4 года назад +1

    Masha Allah sheikh anafundisha vizuri Allah akupe kher na baraka zake umri murefu ya rabby

  • @yuusufsharipha5458
    @yuusufsharipha5458 4 года назад

    Namuelewa sana shekhe huyuuu

  • @rahimakhalid9668
    @rahimakhalid9668 4 года назад +1

    Ma sha Allah

  • @seifali4783
    @seifali4783 4 года назад +1

    Faisal Mohammed wewe sheehe itakua hujamulewa alichotofautisha ni nguzo na sunna. Na sheehe hajasema tuache. From kigamboni dar.

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад

    Mininachoomba mngetoa complete Salah Yani swala ya Kwanza mpaka ya mwisho tungeona mnavyoswali ingekuwa rahisi sana mgetusaidia kuna wengine vichwa vigumu kama Mimi

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Год назад

    5

  • @saidwaziri4679
    @saidwaziri4679 Год назад

    Mashallah shukuran😂😂

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 4 года назад +1

    Kwann mmepunguza sauti ya huyu shekhe hatusikii kama mwanzo

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 года назад

    Daudi Juma sharti uelewe mana ya faradhi na sunna shekhe ameeleza mambo yanayo vunja swala ambazo ni nguzo hizi nilazima naucpo Fanya hauna swala na mengine haya vunji ambazo ni sunna

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 года назад

    Seif Alii umemuelewa shekh kama nilivyo muelewa mm

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад

    Lingine lazima kutia nia kwenye swala

  • @makabilladee7693
    @makabilladee7693 Год назад

    Watu wazima😂😂

  • @faisalmohamed1763
    @faisalmohamed1763 4 года назад +3

    A,a ndugu tusidanganyane tukaharibiana ibada, kwanza sunnah ziko ainangapi? isitoshe nyinyi wapenzi wakubwa wa mtume s.a.w, jee maana ya (Atiu LAHH wa atiu rasul) ni nini? mtume aliposema (swalu kama raitumuni uswali) alimaanisha nini? jee waipinga amri ya ALLAH na ya mtume s.a.w? tahiyatu ya kwanza ukisahau haikuvunji swala wala sikosa kusahau wala hutoirudia ila utaleta sijda ya kusahau mwisho, sasa wewe wafundisha watu wakita wafanye na wakitaka awache, swalu kama raitumuni uswali, atiu LLAH wa atiu rasul.

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 4 года назад

      Faisal Mohamed Sikiliza Vizuri Haujaelewa Uliza wewe Unafutwu Mas'ala. Tusiwe Kama Nzi Kufuata Uchafu. Tuwe Nyuki Kutoa Asali. Tusome sana tusipende kukosoa Sana.

    • @faisalmohamed1763
      @faisalmohamed1763 4 года назад

      @@ramangadu6451 A,a kaka kama sijaelewa ungenielewesha, bizo sunnah alizozitaja amesema silazima kuzitenda kwenye swala, sunnah zatofautiana, musiwe mashabiki tu, la sawa mushabikie makosa mushabikie fungueni macho sio kwenda kiupofu upofu.

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 4 года назад

      Faisal Mohamed Ndugu Hugo Bwana Mkubwa Yupowazi. Kimazungumzo Labda ninamna kumuelewa Alichozungumza Nivitu vilivyo vya Lazima ndani yaswala lau utaviacha kwamakusudi au bakhti Mbaya Swala huna. Nakuna vingine kwamaana nisunna hata ukivisahau havita haribu Swala. Hana uyaache lakini nilazima. Hata kwenye kuuchukua Udhwu Kuna wajibu Na Sunna nanilazima tujue hii sunna nahuu niwajibu. WALLAH AALAM.

    • @faisalmohamed1763
      @faisalmohamed1763 4 года назад

      @@ramangadu6451 A,a ndugu, sunnah zatafautiana sio sunnah zote ni hiyari kutekeleza, Isitoshe mtume s.a.w alisema (mwenye kuwacha sunnah zangu sio miongoni mwetu), kwa kusahau sio kosa kwa kusudi ni kosa.

    • @faisalmohamed1763
      @faisalmohamed1763 4 года назад

      @@ramangadu6451 tena mwashangaza sunnah muziwache uzushi muuvae, mafundisho ya mtume s.a.w mumpendae muwache mafundisho ya wazushi mufuwate, ALLAH katoa amri imekuwa amri hio ilichelewa silazima.

  • @daudijuma5914
    @daudijuma5914 4 года назад +1

    ndugu sasaaa sunnah mbona waidogoshaa

  • @iddathuman5613
    @iddathuman5613 4 года назад +2

    huyu sheikh ni mjinga ktk wajinga wakubwa hafai kusikilizwa

    • @ibraringi8072
      @ibraringi8072 4 года назад +1

      inshallah ingekua vzr km Ungemuombea dua Allah amsamehe, Alaf utupatie yaliyo mazuri TUJUE alipo kosea.

    • @wemakalamu3538
      @wemakalamu3538 4 года назад

      Dah kuna vitu najiuliza katika haya mawaidha ya swallah kila leo mapya tufanye nini sasa vingiozi ndio hao. Jamani mwenyeezi mungu nisaidie swallah yangu uipokee kwa kweli. 🤲🤲🤲🤲

    • @mbarakaali2983
      @mbarakaali2983 4 года назад

      Kwan nimjinga

  • @jamil1547
    @jamil1547 4 года назад +2

    Alhamdu lillahi , nimekuelewa sana Allah bless you and your family

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 4 года назад

    Manshaallah

    • @ahaji9157
      @ahaji9157 3 года назад

      Shukran shekhe Allah akupe mamakazimema peponi