Nimejifunza kitu Leo mungu akubaliki nilikuwa naogopa kuswali kwakutojua Dua ya ufunguzi waswala najua napoteza muda ngojanikazane kuijua zaidi alahamdu
Shehe unaongea vizuri mashallah ila wazo langu mimi watu wengi hawapendi kujifunza hivyo watu wakisikia hivyo watasali kama walivyokusikia dk 2 wamemaliza ,ila ni busara zaidi tuswali kama alivyokuwa anasali kiongozi wa uuma muhammadi s.a.w
Nikweli maneno yako, ao wanaoambiwa watakopy na kupest, vyema wenye elimu, wangefundisha alivyofanya kiongozi wa umma ikiwa ni pamoja na sinnah mengine watu waende madarsa
Mambo ya lazima katika sala! 1.Takbira tul ikram 2.Sura tul fatkha(ALLHAMDUH) 3.Atahyatu ya mwisho katka sala yenye rakaa zaidi ya mbili (dhuhr,asri,magharb na isha) 4.Salamu ya Mwisho! (badaa ya atayhatuh! )
Nimekupenda mashallah Allah akupe umri mrefu.ila naomba tu unisaidie ninajua sura alfatiha na Qulallah swamaad ila kitu kinacho nishida zile rakaa kuinama nafanyaje
Mininachoomba mngetoa complete Salah Yani swala ya Kwanza mpaka ya mwisho tungeona mnavyoswali ingekuwa rahisi sana mgetusaidia kuna wengine vichwa vigumu kama Mimi
Daudi Juma sharti uelewe mana ya faradhi na sunna shekhe ameeleza mambo yanayo vunja swala ambazo ni nguzo hizi nilazima naucpo Fanya hauna swala na mengine haya vunji ambazo ni sunna
A,a ndugu tusidanganyane tukaharibiana ibada, kwanza sunnah ziko ainangapi? isitoshe nyinyi wapenzi wakubwa wa mtume s.a.w, jee maana ya (Atiu LAHH wa atiu rasul) ni nini? mtume aliposema (swalu kama raitumuni uswali) alimaanisha nini? jee waipinga amri ya ALLAH na ya mtume s.a.w? tahiyatu ya kwanza ukisahau haikuvunji swala wala sikosa kusahau wala hutoirudia ila utaleta sijda ya kusahau mwisho, sasa wewe wafundisha watu wakita wafanye na wakitaka awache, swalu kama raitumuni uswali, atiu LLAH wa atiu rasul.
Faisal Mohamed Ndugu Hugo Bwana Mkubwa Yupowazi. Kimazungumzo Labda ninamna kumuelewa Alichozungumza Nivitu vilivyo vya Lazima ndani yaswala lau utaviacha kwamakusudi au bakhti Mbaya Swala huna. Nakuna vingine kwamaana nisunna hata ukivisahau havita haribu Swala. Hana uyaache lakini nilazima. Hata kwenye kuuchukua Udhwu Kuna wajibu Na Sunna nanilazima tujue hii sunna nahuu niwajibu. WALLAH AALAM.
Dah kuna vitu najiuliza katika haya mawaidha ya swallah kila leo mapya tufanye nini sasa vingiozi ndio hao. Jamani mwenyeezi mungu nisaidie swallah yangu uipokee kwa kweli. 🤲🤲🤲🤲
Mashaallah nimejifunza jambo leo
Nimejifunza kitu Leo mungu akubaliki nilikuwa naogopa kuswali kwakutojua Dua ya ufunguzi waswala najua napoteza muda ngojanikazane kuijua zaidi alahamdu
Shukrani sheikh wangu ALLAH akuongoze uzidi kutuelimisha inshaallah
Duh.kunaviburi wengine ndohawato xema kabsaa hasa mabingwa was swala
mashaalah wengi tulikua tunaogopa kuswali hatujui hizo dua kipekeee umenisaidia sana
Allah Akujaze kila lakheri Insha-Allah
Nimeku miss nipo Kenya inshaallah kheri narudi imam wangu
Mashallah
Na'aam sheikh,,,, jazaakallahu likhayr
Man'sha Allah tabarka Allah 👏
Namuona shekhe wng Abdallah hua nampenda sana
Unampenda mjinga??
Nimekuelewa sana Shekhe Wng
Alhamdulillah
Mashallah mashallah Allah atufanyie wepesi
Sala yng ilikuwa was was sana umenisaidia sana
MashaAllah MashaAllah MashaAllah shukran
masha allah elimu nzuri sana
Masha Allah
امينه العيسى inshaallah
Shukran shekhe
Mashaalah
Mashaallah wajina Allah akuzidishie
Shehe unaongea vizuri mashallah ila wazo langu mimi watu wengi hawapendi kujifunza hivyo watu wakisikia hivyo watasali kama walivyokusikia dk 2 wamemaliza ,ila ni busara zaidi tuswali kama alivyokuwa anasali kiongozi wa uuma muhammadi s.a.w
Nikweli maneno yako, ao wanaoambiwa watakopy na kupest, vyema wenye elimu, wangefundisha alivyofanya kiongozi wa umma ikiwa ni pamoja na sinnah mengine watu waende madarsa
mashaallah sheikh Athuman
Swaluuu kamaa ra-aytumuunii uswallii
Ishaallah Allah atufanyie wepesi
MAA SHAA ALLAH
Ww ni fundi na unasaidia wengi allh akuongezee elim zaid ya hapo
ninakupata vizuri kabisa shekhe tunashukuru kwaerimu yako mungu akupewepesi
Assalam alyekum Mashaallahu sheikh wangu othaman ibn Khamici Allah ukulipe Pia na sisi amin amina Amina ya Allah
Mungu akuongezee
Shukran shekhe kwa kutuelimisha na allh atakulipa Inshallh
Asante maalim baaralallah
Mashaalaaa
Shukran ustadh
Shekhe Wangu nakupenda kwa ajili ya allah
1. TAKBRITUL IHRAMI - ALLAHU AKBAR
2. KIRAATU AL FATIHA
3. ATASHAHUDU AKHIRU
4. ATASLIMATUL AL UULA
Alhamdulillahi
BAARAKA LLAHU LAKA FII AHLIKA WA MAALIKA ❣️
Allahmullah nimejifunza
Mambo ya lazima katika sala!
1.Takbira tul ikram
2.Sura tul fatkha(ALLHAMDUH)
3.Atahyatu ya mwisho katka sala yenye rakaa zaidi ya mbili (dhuhr,asri,magharb na isha)
4.Salamu ya Mwisho! (badaa ya atayhatuh! )
Vipi kuhusu tahiyyatu ya mwisho
Shukuran
Mashaallah
Naam
Nimekupenda mashallah Allah akupe umri mrefu.ila naomba tu unisaidie ninajua sura alfatiha na Qulallah swamaad ila kitu kinacho nishida zile rakaa kuinama nafanyaje
Mashaallah nimejifunza kitu kutoka kwako sheikh shukhurn 👂👂
Allah akbar
Subhanalha mashalha
AlhahuAkbaru
Mashaallah,Mashaallah
السلام عليكم ورحمة الله يا أخوت
Nimejifunza na jamb bor sana
Masha Allah sheikh anafundisha vizuri Allah akupe kher na baraka zake umri murefu ya rabby
Maashaallah Uko vzur
Mashallah
Namuelewa sana shekhe huyuuu
Ma sha Allah
Faisal Mohammed wewe sheehe itakua hujamulewa alichotofautisha ni nguzo na sunna. Na sheehe hajasema tuache. From kigamboni dar.
Mininachoomba mngetoa complete Salah Yani swala ya Kwanza mpaka ya mwisho tungeona mnavyoswali ingekuwa rahisi sana mgetusaidia kuna wengine vichwa vigumu kama Mimi
5
Mashallah shukuran😂😂
Kwann mmepunguza sauti ya huyu shekhe hatusikii kama mwanzo
Daudi Juma sharti uelewe mana ya faradhi na sunna shekhe ameeleza mambo yanayo vunja swala ambazo ni nguzo hizi nilazima naucpo Fanya hauna swala na mengine haya vunji ambazo ni sunna
Seif Alii umemuelewa shekh kama nilivyo muelewa mm
Lingine lazima kutia nia kwenye swala
Watu wazima😂😂
A,a ndugu tusidanganyane tukaharibiana ibada, kwanza sunnah ziko ainangapi? isitoshe nyinyi wapenzi wakubwa wa mtume s.a.w, jee maana ya (Atiu LAHH wa atiu rasul) ni nini? mtume aliposema (swalu kama raitumuni uswali) alimaanisha nini? jee waipinga amri ya ALLAH na ya mtume s.a.w? tahiyatu ya kwanza ukisahau haikuvunji swala wala sikosa kusahau wala hutoirudia ila utaleta sijda ya kusahau mwisho, sasa wewe wafundisha watu wakita wafanye na wakitaka awache, swalu kama raitumuni uswali, atiu LLAH wa atiu rasul.
Faisal Mohamed Sikiliza Vizuri Haujaelewa Uliza wewe Unafutwu Mas'ala. Tusiwe Kama Nzi Kufuata Uchafu. Tuwe Nyuki Kutoa Asali. Tusome sana tusipende kukosoa Sana.
@@ramangadu6451 A,a kaka kama sijaelewa ungenielewesha, bizo sunnah alizozitaja amesema silazima kuzitenda kwenye swala, sunnah zatofautiana, musiwe mashabiki tu, la sawa mushabikie makosa mushabikie fungueni macho sio kwenda kiupofu upofu.
Faisal Mohamed Ndugu Hugo Bwana Mkubwa Yupowazi. Kimazungumzo Labda ninamna kumuelewa Alichozungumza Nivitu vilivyo vya Lazima ndani yaswala lau utaviacha kwamakusudi au bakhti Mbaya Swala huna. Nakuna vingine kwamaana nisunna hata ukivisahau havita haribu Swala. Hana uyaache lakini nilazima. Hata kwenye kuuchukua Udhwu Kuna wajibu Na Sunna nanilazima tujue hii sunna nahuu niwajibu. WALLAH AALAM.
@@ramangadu6451 A,a ndugu, sunnah zatafautiana sio sunnah zote ni hiyari kutekeleza, Isitoshe mtume s.a.w alisema (mwenye kuwacha sunnah zangu sio miongoni mwetu), kwa kusahau sio kosa kwa kusudi ni kosa.
@@ramangadu6451 tena mwashangaza sunnah muziwache uzushi muuvae, mafundisho ya mtume s.a.w mumpendae muwache mafundisho ya wazushi mufuwate, ALLAH katoa amri imekuwa amri hio ilichelewa silazima.
ndugu sasaaa sunnah mbona waidogoshaa
Namuelewa sana ustadhi huyu.
Kweri kabisaaa
Aujaelewa
huyu sheikh ni mjinga ktk wajinga wakubwa hafai kusikilizwa
inshallah ingekua vzr km Ungemuombea dua Allah amsamehe, Alaf utupatie yaliyo mazuri TUJUE alipo kosea.
Dah kuna vitu najiuliza katika haya mawaidha ya swallah kila leo mapya tufanye nini sasa vingiozi ndio hao. Jamani mwenyeezi mungu nisaidie swallah yangu uipokee kwa kweli. 🤲🤲🤲🤲
Kwan nimjinga
Alhamdu lillahi , nimekuelewa sana Allah bless you and your family
Manshaallah
Shukran shekhe Allah akupe mamakazimema peponi