MAJONZI yatanda wakati wa KUAGA MWILI wa ZUCH ZUCHERO/HAMISA,BABA LEVO,MWIJAKU waungana...
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp - Развлечения
Poleni
Pumzika kwa Amani mpendwa tulikupenda sana ila MUNGU kakupenda zaidi
Tanesco hadikilioni umeme pwaa
Baba levo analia hapo ndipo akumbuke kudhalilisha watu sio vizuri maisha ni kitendawili tu hakuna ajuaye ya kesho ishini na watu kwa imani na muwe wakarimu
RIP ZUCH ulale salama kaka mwendo umemaliza
Kweli kabisa kiburi na maringo hakina nafasi kwenye kifo kinakuja ghafla tu
Tukio zito sana hili