KIPOZEO AJIBU WALE WANAO INGILIA WAKE ZAWO KINYUME NA MAUMBILE / BAADA YA SHUTMA KWA MASHEIKH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Kipozeo afafanua zaidi kwa niaba ya masheikh kusemekana kuwa nawo miongoni mwawo wako wale eeehhhh wapenda bata.....sheik asema ni HARAM NA NI LAAAANA

Комментарии • 70

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 3 года назад +5

    SubhanaAllaah yaani mtihani sanaa kuona sheikh anahojiwa na mwana dada mwenye hana sitara hata
    Allaah azidi kuwaongoza

    • @hasinauuwimana8405
      @hasinauuwimana8405 2 года назад +1

      Naweza kusema, kulingana na maswali naona ni sawa, sbb hizi media huwa zinafatwa na wenye mambo hayo yakuingiliwa kinyume na maumbile, kinyume ujumbe umefika na sioni kosa la Sheikh

  • @abubakarbakari7042
    @abubakarbakari7042 3 года назад +5

    Subhanallah sheikh huyo dada angejistiri mwanzo mbona dini yetu tumeitupa kiasi hiko jameni wapi twaelekea sisi

  • @mbinonyoso7501
    @mbinonyoso7501 2 года назад +1

    Shek mama anava mavazi yakushawishi angeva ushungi 100%

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 2 года назад +1

    Sheitwaan rajeem

  • @abuahlaam
    @abuahlaam 3 года назад +1

    Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji

  • @farhatnassor7412
    @farhatnassor7412 3 года назад

    SHEIKH ,NIKUSHAURI SANA JITAIDI ILI MTANGAZAJI WA KIKE AWEZE KUFANYA MAHOJIANO NA WW AWE KAJISTIRI, NAJUA UNAFAHAM KUA NYWELE WAZI KWA MWANAMKE WA KIISLAM NI UCHI, NA WW NI KIYOO CHETU SHEIKH WETU.

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 2 года назад

    Isitoshe wamekaa karibu sana utasema bwana na bb 😜

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад +1

    Mtangazaji jistiri.
    Sheikh wetu mpe mawaidha binti huyu.

  • @faridimohammed4823
    @faridimohammed4823 3 года назад +3

    Huyo dada mwenye hana adabu, stara nimuhim sana

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 7 месяцев назад

    Miss Bantu ndio mpango mzima

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +2

    Mtangazaji ilikuwa unamtia mtihani sheikh!!

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 3 года назад

    Dada hebu jihifadhi kidogo we dada japo kwa heshima ya dini.

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 4 года назад +4

    Kwanza shekh mfunde uyo aliyeuliza

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 3 года назад +2

    Subhana Llah Sheikh wangu Kipozeo kidogo ungelimpa huyo mtangazaji muhadhara mdogo ingekuwa vizuri sababu kakaa uchi huyo au tugeuze msemo tuseme yuko kazini anaruhusiwa kukaa hivyo?

  • @yusufkabude4564
    @yusufkabude4564 3 года назад +1

    Hizo picha shehe tayari niuchi na huyo bibi ungeanza nae kumpa ushauri wakujihifathi ingekua bora sana lakini hio sio sawa

  • @zuberikawela4088
    @zuberikawela4088 2 года назад

    Kuweni waadilifu mashekhe

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 года назад

    Usilolijua sawa na usiku wa giza Kipozeo mmmmmmh shekhe wa mjini.

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 3 года назад

      Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji

  • @aliabdiabdi4067
    @aliabdiabdi4067 3 года назад +1

    Subhanallah huo ni uislamu kweli,

  • @Bottedchannel
    @Bottedchannel 4 года назад +3

    Subhanallah huyu utandawazi wa mwanamke wakiislam kumuhoji sheikh bila kujistiri dunia inatupeleka pabaya tunajisahau saana. 🙁🙁

    • @netzclan9336
      @netzclan9336 4 года назад

      Yani ndo mumeona tu na kujifunza heee apana bona mtandio siku izi ni fashion tu ppfff mumuace avae anavyo taka my boss baby girl nakupenda bure well done 😎

    • @carpediem8259
      @carpediem8259 4 года назад

      Ni ayibu Hadi kwa iyi Sakata TV munamushushiya heshima sheikh wetu kwa kumtumia mtangazaji Asie jielewa

  • @MrflashMobile
    @MrflashMobile 2 года назад +1

    Kosa anaongea na mtu Yuko kichwa wazi

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +2

    Shehe anaekuhoji yupo uchi

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 2 года назад

    Yan mimi hapa umenitoa akili yan hapa navyo kutamani doh

  • @nassiralihassan1160
    @nassiralihassan1160 3 года назад

    Hili ni swaalaa tuu nimeliulizaa kumuiyngiliya mwanamke Nyumaa ni Haaraam naakumnuusa 2 yaakee Anaposhutaa machunzi nikimnuusaa 2 yaakee huwaa inaafaa auu haifai kumnuusaa mwanamke yoyote tuupuu yaakee yaa nyumaa ni Haaraam kumuiyngiliya ni mbayaa kbsaa naa kumnuusaa 2 ni Haaraam auu haalaali ni swaalaa hili Naaliulizaa tuuu hili swaalaa

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 3 года назад +2

    Mwanamke anakabilian na shekh hata stara han

    • @salehpandu2250
      @salehpandu2250 3 года назад

      Ndugu yangu shekh mwenyewe inaonekana mashaka.

  • @athumanbakari3598
    @athumanbakari3598 3 года назад

    Dada huna stara kisha anakwenda kumuhoji shekh au dada kwa vile shekh kipozeo anapenda wanawake wa mizigo na yy anamzigo

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 3 года назад

      Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 2 года назад +1

    Dada kope hizo Zina tutingisha

  • @attainer-jr7494
    @attainer-jr7494 2 года назад

    Mtangazaji umejitahidi, umependeza

  • @asheilla
    @asheilla 4 года назад +5

    Mtoto wa kiislam unamhoji sheikh bila kujistiri 🤦🏿‍♀️

    • @userAysha
      @userAysha 4 года назад

      Ni mtihani kweli manyewele hiyo ni kutojipenda wanawake wa kiafrika tumejaaliwa nywele nzuri lakini kuna wanaovaa mawigi akivuwa tu ananuka kichwa

    • @userAysha
      @userAysha 4 года назад

      Mikorogo sasa

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +1

    shekhe mupe mawaidha huyo dada juu ya mwanamke kuwa na stara ya kuhojiana ww ni shekhe watu wanapenda kukusikiliza kwa mawaidha

  • @apmtzenergydesk5740
    @apmtzenergydesk5740 2 года назад

    sheikh unakaaje na dada ambaye hajajistri hivyo ... laana za Allah zitawashukia jamani

  • @zuberikawela4088
    @zuberikawela4088 2 года назад

    Nahao wazungu nao ni mashia

  • @zena_glamshow9808
    @zena_glamshow9808 3 года назад +1

    Mashekh.muwe na mahali muhimu kwa kuhojiwa sasa unahojiwa na mtu kichwa wazi kifua kipo wazi

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 3 года назад

      Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji

  • @sharifasuleiman6603
    @sharifasuleiman6603 3 года назад +1

    Assalam alaykum, Shehe unajipotezea heshima kwanini ukubali kuhojiwa na mwanamke ambae hajajistir, kwanini usikatae kuhojiwa na hujamwambia akajistiri. Haipendezi

    • @topsakatatv6441
      @topsakatatv6441  3 года назад

      HISHIMA YA WATU NDO YALAZIMA AO ALLAH AKIKUPA HISHMANDO MUHIM KUJIOMYESHA INAITWA RIA MAMA YANGU ila mwakaribishwa kwa Maoni yenu twayapenda ila kuayibishana sio uwungwana kama Mtu anakoseya kuna usulubu mzuri sio kashfaa MWEYE HANA ILI ANA LILE

    • @deathrow8004
      @deathrow8004 2 года назад

      Ikiwa huo usulubu mzuri waujua vipi umeshindwa kumfikishia mpk unaandaa kipindi na kukirusha hewani wamuona..
      Ittaq llah! Wewe mja

  • @abdulhamid9593
    @abdulhamid9593 2 года назад

    huyu sheh ajiunge2 n mkojani kweny comedy

  • @netzclan9336
    @netzclan9336 4 года назад

    Penda wewe bure bosslady msikie wanaco ongeya apana nini kafanya or kava well done

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 3 года назад

    huyo anae kuliza ni mwislaamu mwanzo mpaka akuulize maswali ya kislaamu na kama huyo dada ni mwislam mboni hafungi kichwa kama mwislamu wee mwanamke plz acha unafiq usiite mashekh wetu na wewe uko uchi ni haramu

  • @koudrashabani1335
    @koudrashabani1335 3 года назад +1

    nivizuri Ajistiri

  • @zuberikawela4088
    @zuberikawela4088 2 года назад

    Shk kipozeo hata masunni wanaruhusu kuingiliana kinyume soma muwatwaa ya imam Maliki .sasa msiwape shutma wengine wakati vitabu vyenu imo hio halafu ushia haukubali Hilo .tafautisha Kati ya Shia na ushia .kama ushia unaruhus nikitu kingine kama ni mashia basi ni ushetani lakini sio ushia

  • @abuahlaam
    @abuahlaam 3 года назад

    Hicho kitendo unachozungumzia ni haram je huko kukaa ma mwamamke ako uchi tena bila stara kwa ukaribu huo afu mwazungumza ya kukosa adab
    Kipozeo huna adab kma hayo mahojiano yako tu

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 3 года назад

    Musiangalie huyotu huo ujumbe unawafikia wengi
    Kunawatu wengine hawasikilizi Tv zenye maadili ya Kiisilamu
    Ni kweli huyo dada kafanya makosa ila SHEKH kwa kujibu Swali zito kama la Hilo ni jambo kubwa na limewafikia WATU wengi

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 3 года назад

      Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 3 года назад

    Hyo mtangazaji mwenyewe anaoji vitu ambavyo yye mwenyewe anaonyesha ndo michezo yke kakosa haibu hata kujistil hawez

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 3 года назад +1

    Huyu Dada hana usilamu ana ukristo

  • @asiahussenn576
    @asiahussenn576 3 года назад +1

    Jamani huyu Dada hajajistiri hana aibu

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 4 года назад +1

    Na wewe uliyo uliza utubiye si salama pekee kwanza hivo ulivo vaa tayari na weweumo

    • @userAysha
      @userAysha 4 года назад +1

      Siku hizi naona wanawake wengine wa kiislam wanavaa hijab kama fashion

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 3 года назад

      Uyo kipozeo atakubalije kuhojiwa na wanawake wasio uhishimu uislam.

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 3 года назад

      @@userAysha ovyo kwa sheikh kuhojiwa namashangingi

    • @userAysha
      @userAysha 3 года назад +1

      @@jumayahya2661 siku hizi baadi ya ma sheikh njaaa sana wako tayari kufanya lolote ingelikuwa zaman kipozeo asingekubali mahojiano

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 года назад

    QORAN 2:223
    Inasema waingilieni wake zenu mpendavyo

    • @tumahamza8972
      @tumahamza8972 3 года назад

      Hujajua maana yake. Qur'an inajijibu hakuna swali wala jambo linakosa jibu katika qur'an kama akili yako iko sawa. Ianze mwanzo na uimalizie. Imesema wake zenu ni kama makonde. Kama unajua kiswahili makonde ni mashamba. Maana ya mashamba ni mahali unapoweza kupanda kitu kikaota. Je ukimuingilia kwa nyuma ukamwaga utaotesha. Inahitaji mwenye akili yenye uelewa kuijua tafsiri ya qur'an ndugu yangu. Umma wa Luttu usingeangamizwa. Uliza uelimishwe kaka.

    • @tumahamza8972
      @tumahamza8972 3 года назад

      Mtakavyo inamaana pana sana ndugu yangu. Sio hiyo uliyoimaanisha wewe qur'an na hadithi ndivyo vinaenda sambasamba kuitafsiri qur'an fuata wenye elimu wakushibishe ndugu.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад +1

      QUR-AN 2:223 inasema...Wake zenu ni km konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpemdanyo......inaendelea.
      Benjamin Lijongwa, unajua nn maana ya konde au unajua nn kinachopatikana kwenye konde??? Tupu yambele ndio konde mana Allah akitaka hutoa kizazi/watto mafanikio. Na ndio aliokuamrisha uingie utakavyo Lkn tupu ya nyuma haina sifa ya kuitwa konde maana haitoi tija wtto.

    • @deathrow8004
      @deathrow8004 2 года назад

      ❌❌❌ hiyo ni tafsiri yako bwana mdgo

  • @faridnassor6823
    @faridnassor6823 3 года назад +2

    Yani wewe shehe unakubali kufanya na mtu kipind wakat yupo ivoo

    • @userAysha
      @userAysha 3 года назад +1

      Siku hizi ana njaa chochot anafanya

    • @abuahlaam
      @abuahlaam 3 года назад

      Wataumbuka mmoja mmoja na Allah atadhihirisha uhakika wao ili muwajue ni akina nani wao. Ikiwa hawa ndo MASHEKHE jamii yategemea basi jamii hio haina walim ina waigizaji...kipozeo kaoza huyu msanii tu kama.hao wmzake wanaomhoji