🚨LIVE Hajimanara akitema cheche,awalipua Simba na kikosi chao,mwananchi day yamoto

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Комментарии • 17

  • @kakasayohana637
    @kakasayohana637 Месяц назад

    Msemaji alie bora kutokea na mhamasishaji bora tz kwa sasa hakuna zaidi ya Ahmed ally

  • @driss4957
    @driss4957 Месяц назад +2

    ETI ACHOLILE ACHOLA!!!!....BUGGA UJUE KARIA KOLO YULE UNAMCHOMA,ATAKURUDISHA LUPANGO..HAKUNA KAMA BUGATTI KWA MANENO.

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Месяц назад

    Tango pori,,harichelewi kukasirika😂😂😂

  • @Charlzlomo
    @Charlzlomo Месяц назад

    Mbona simba tunamwogopa sana manara? Wote wasemaji kazi kwa simba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    MANARA NI MGOMVI NA C MUDA UTAGOMBANA NA ALLY KAMWE. KM NI UONGO BASI SUBIRINI MUONE. MANARA NI MGOVI SANA

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso Месяц назад

    Msirmpenda kaja, full London hasikii wala hamungu'nyi

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 Месяц назад

    makolo kazi mnayo

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Месяц назад

    Manara amerudi 😂😂😂😂

  • @MuminMuminamduni-hx4pk
    @MuminMuminamduni-hx4pk Месяц назад

    Manara bhna kaludi noma

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n Месяц назад

    Una jipya wewe kwishaaa

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Месяц назад

    Hayaaa bhana tumekusikia. Sijui kitu Gani kipya utakuja nacho! Yetu masikio, yetu macho

  • @mwinyikomboramadhani8470
    @mwinyikomboramadhani8470 Месяц назад +1

    Hana jipya manara huyo
    Maneno hayajengi, kama umeingia kama msemaji msimu huu basi umeingia na gundu, ungetaman umwachie ally kamwe aendelee

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    ALLI KAMWE NDY NI BORA SANA YANGA KWANI VIONGOZI HAMUONI?

    • @FadhilMsuku
      @FadhilMsuku Месяц назад

      Hana ushawishi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      Kila mtu na aina yake ..... Ni kama Pacome na aziz ki kila mtu ana sifa zake 😂😂😂

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Месяц назад

      Ni kweli kila mmoja ana vitu vyake 6:53 vya pekee.