Inaniuma sana nikifikiria huwaganinalia ...inaniuma sana kila nachofanya kinakosekana.....inaniuma sanaaa demu wangu amepima amekutwa anangoma....nilikua naPenda sana ngoma zako mazee..
J ni Prof. Huyu mwamba ni sir! Trust me. Akili ya kukwepa hilo swali sio ya kitoto! Hataki kabisa hayo mambo ila pia hataki kabisa tumsome 😄😄😄! Salyuuuu to sir Juma nature 🤜👊👊👊
Juma nimekukubali sana. Wajifunz kwa kusikiliza Nyimbo zako, Hakuna nyimbo isiyokuwa na Mafunzo kila nyimbo inaeleweka. Wasanii wanatukana Mfano hao jamaa kila utasikia Matusi tu
Nature angetaka fadhira sasa hivi ni MILIONEA na ndiyo maana yupo safi saana na hataki KIKI wala misifa big up bro yule ni masikini wa roho Tahiti wa DOMO
Usikiuke haki za Mungu bro,kwann tunaona Sasa mapungufu ya Mond bila kujua aliko mtoa? Alianza kutoka 0------- something. Binadam tosheka yetu ni mauti.
i used to listern to him enzi hizooo. wee nature haukuwepo kwenye mziki kwani ulikuwa huli? mbona unaishi tu vzr kwanini usijiandae tu na safari ya kurudi kwa mola wako badala ya kuanza kumkasirisha Mola na mda unakwenda? mimi naihusia nafsi yangu na pia nakuhusia wewe sasahivi tutubie turudi. wee unajua kusoma Quran but nyimbo zako zinazuia na zinawakeep watu busy kumemorise badala ya kuwa busy kumemorise quran. mi nakukumbusha tu kwasababu mi mwenyewe muonyaji kishanitembelea tayari ambae ni Mvi. white hair my brother for us Muslims is a reminder . Turn to Allah My Brother, Nyimbo waachie wasio kuwa Waislam. I love you for the sake of Allah.
Fanyeni kazi maneno hayajengi waswahili tupo kimajungu sana you muda mnamuhoji juma nature acheni majungu huyo humonice na diamond nyie ndiyo mnayakuza
Juma sisi wengine nishemeji zako kutoka shinyanga matanda namaanisha ukweni kwako shem kama unakunywa sana pombe tunakuomba upunguze ikiwezekana acha kabisa kamaunashindwa kuacha pombe uje nikupe dawa yakuacha pombe nihilotu kaaukijua tunakupenda sana
Ivi nyie waandishi mnasoma vyuo gani,una muhoji mtu yupo ivi unategemea upewe majibu gani,nature amejibu kwa hekima tu ila mtangazaji auna maadili hata kidogo
Juma pombe ni shetani la maendeleo ipotezee .Jenga musiki wako mbona upo vizuri kimziki .Huyu anahitaji msaada pombe inammaliza mikono kama inatetemeka .
Yaan nyie watangzaji munakera Sasa kw kauli yko hyo au swali lko ilo n la uchochz .sio msaada ule wa diamond ni biashara mbona mupo ivyo nyinyi watangazj na maswali yenu
Inaniuma sana nikifikiria huwaganinalia ...inaniuma sana kila nachofanya kinakosekana.....inaniuma sanaaa demu wangu amepima amekutwa anangoma....nilikua naPenda sana ngoma zako mazee..
Siku nilipokutana naye alikuja kwetu usiku…
hiii ngoma inanikumbusha kipind nko std 6-7
ilikuwa ngoma ikipigwa bas kwelii sherehe yako imenoga!!!!
J ni Prof. Huyu mwamba ni sir! Trust me. Akili ya kukwepa hilo swali sio ya kitoto! Hataki kabisa hayo mambo ila pia hataki kabisa tumsome 😄😄😄! Salyuuuu to sir Juma nature 🤜👊👊👊
Juma nimekukubali sana. Wajifunz kwa kusikiliza Nyimbo zako, Hakuna nyimbo isiyokuwa na Mafunzo kila nyimbo inaeleweka. Wasanii wanatukana Mfano hao jamaa kila utasikia Matusi tu
Wazi Juma umebwaga mistari ya nguvu big up may God bless from kenya ukunda bado tunakukumbuka tu sana.
Juma Nature umekula nini jamani mbona hivyo 🤔🤔🤔🏃🏃🏃 ila Mungu aendelee kukulinda .
umeongea kitu Nature Respect you Legend.🙏
Salamu zimefika baba tuna subiria mzigo support mwanzo kati na mwisho aina kupingwa baba
Simbaaaaa Baba laooooooo mtasema sanaaa ata mkiuganaa matusi kututukana mond Baba laooooo
Mkuma wako
Nature angetaka fadhira sasa hivi ni MILIONEA na ndiyo maana yupo safi saana na hataki KIKI wala misifa big up bro yule ni masikini wa roho Tahiti wa DOMO
Usikiuke haki za Mungu bro,kwann tunaona Sasa mapungufu ya Mond bila kujua aliko mtoa? Alianza kutoka 0------- something. Binadam tosheka yetu ni mauti.
Achana nauyo mukunywa bangi na sauti yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@patrickmukundichalamila3038 sasa kwani huyo mond hajalipwa fadhila zake kwa Pesa mil 6 ?
Nashangaa kulipwa pesa kalipwa labda anataka alipwe umaut
i used to listern to him enzi hizooo. wee nature haukuwepo kwenye mziki kwani ulikuwa huli? mbona unaishi tu vzr kwanini usijiandae tu na safari ya kurudi kwa mola wako badala ya kuanza kumkasirisha Mola na mda unakwenda? mimi naihusia nafsi yangu na pia nakuhusia wewe sasahivi tutubie turudi. wee unajua kusoma Quran but nyimbo zako zinazuia na zinawakeep watu busy kumemorise badala ya kuwa busy kumemorise quran. mi nakukumbusha tu kwasababu mi mwenyewe muonyaji kishanitembelea tayari ambae ni Mvi. white hair my brother for us Muslims is a reminder . Turn to Allah My Brother, Nyimbo waachie wasio kuwa Waislam.
I love you for the sake of Allah.
nature umefanya featuring hujatumia pesa kukuza wasanii....Mr Mabange Juma Nature
Ndio mana ajafanikiwa
Number one fun of Nature. Forever in my heart Nature.
Sir Nature!! Hatari sana jamaa!!
Kama humjui nature utaona Kama kalewa lkn jamaa ndio alivyo kama hujawahi kukutana nae live sikubishii
Kweli
Natural kama natural nakukubali sana mzee baba
Jamaa ana neno .....
Watu wabaya wapole sana, huyo nature akishika mic anaua, moto sana
Mapenzi mob from Kenya 🇰🇪.
WA bongo bwanaa 😁😁😁😁😁😁😁😆😁😁😁😁😁😁😁 awasikilizi maneno ivi wapo kwenye sauti ya juma
Nikiwa iraq nmpongeza sana juma nature anaongea pointi zamaana sana nampongeza
Huogopi na machafuko ya iraq
Sir nature mkongwe nakukubali
Fanyeni kazi maneno hayajengi waswahili tupo kimajungu sana you muda mnamuhoji juma nature acheni majungu huyo humonice na diamond nyie ndiyo mnayakuza
Daaaaaahhhh aiseee Huyo ndo Juma bhana 😂😂😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Saluti Juma upo sawa hautaki unafki
Juma sisi wengine nishemeji zako kutoka shinyanga matanda namaanisha ukweni kwako shem kama unakunywa sana pombe tunakuomba upunguze ikiwezekana acha kabisa kamaunashindwa kuacha pombe uje nikupe dawa yakuacha pombe nihilotu kaaukijua tunakupenda sana
🤣🤣🤣🤣
ndo anavyoongea jamani😂
@@ashunmohd9182 hapana kalewa kidogo
One of the best Juma nature TMK
Legend mwenyewe.
True nature wasanii waibe ngoma ya mafunzo nakujenga inchi
Juma safi sana hutaki unafika na waja
What happened to Juma Nature our legend. He doesn't look okay
I think he's dope already. And where's that place? a ghetto ?
Mwandish wa habar rudi shule bado Sana unamaswal ya kiduanz
We bangi zimekuharibu kaka acha zitakuua
Mbona juma anaonyesha km ni mtu wa maji saanaaa jamani msaidieni asiangamie
I like this guy,, tunakusubiri kwa hamu saana
ushasema Jay nature
Da we kweli mkongwe umeongea point sana tunakusubiri kwenye game
Ila unaakili sn Juma Nature pambana urudi tn kwa gem🙄🙄🙄
Nature Ni Teja ama vipi
akili ni mali.. kila mtu anazake.. wewe umeongea kwa akili sana.. hongera sana.
Mbengo TV 📺 ni alama ya kengele si kengere hemu tofautisha R na L
Nature dem days...noma sana
Penda sana kaka yake 🔥♥️
Hiv MBNA mkakazia fadhila za diamond kwa harmo he Bob junior kwa huyo mjinga
Wana chuki tu hao hawana lolote .....! Kwanza huyo mond si kashalipwa Fadhila na Harmonize kwa Mil 6 sasa cjui wanataka Fadhila gn mbuzi hizo
Hapo sawa kabisa 💯
Wàandsh wachochez sana na wagombànishi
sema baba,wambile wasikile
Yani kulewa si kulewa mgonjwa si mgonjwa 😂😂😂🙌
😂 😂 😂 😂
Very wise...big up my G mad respect...
Legend Kama legend
Bg up sar nature juma
Mkweri wa wakweri
Unaweza kusema tu ushawai kwenda kwa waganga sababu daktari wa hospital ni mganga pia
Ivi nyie waandishi mnasoma vyuo gani,una muhoji mtu yupo ivi unategemea upewe majibu gani,nature amejibu kwa hekima tu ila mtangazaji auna maadili hata kidogo
Chukua soda nakuj kulip
nature una rangi nzuri hila uhmmm
Kunakusaidia na nakupewa contract ili u sign juwa utofauti awa watu wa media inabidi warudi shuleni. Mondi namba one!
Soon as possibare.. tunasubiri
Huyu mlevi tu aliyepoteza dira
Nature asema ajua kusoma kulaani sio quran
Uyo ndo nature bhana mda wote tungi
Ha ha ha
😂😂😂😂
Juma punguza bangi, sauti inasepa
Daaaaah sauti kama anashusha mzigo mgumu toilet🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣kings Sana wewe
Hahahahahahahahaha,
Duuuh,
Juma Nature Ni Original,
Nyimbo isiwe na matusi,
Wasanii chukueni maneno ya maana haya,
Dickson,,,,
Acha uchokozi!!!!!
Juma pombe ni shetani la maendeleo ipotezee .Jenga musiki wako mbona upo vizuri kimziki .Huyu anahitaji msaada pombe inammaliza mikono kama inatetemeka .
Mjinii Jotoo bila kiki ya Diamond mamboo hayaendiii
Yupo njweeee 🤣kalanduka mbaya
Kijasho kitakushuka telemka!!!
Hyo mibangiii""
Steve B, nature.. venture …
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ wakudumu
Mfalme JUMA NATURE
Nature mbona Kama kapiga gongo kashalewa
sauti kama greda ya mbao
Respect brother, God bless 🙏
👊👊👊👊
Legend
Hiyo sauti vipi?
Huyu mwanaume aheshimike
Sauti ya injini ya katapira.!!..📌📌🤣
😅😅
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 nimechek kabl ya coment yako nilipoiyo coment yako nimeanguka kwa kucheka 😂😂😂😜
Kalewa juma nature
I can't wait to see you back in the game.
🔥🔥🔥
Nature
Akili nyingi Sana Nature
Big up sana nature
Hanisi daimond huwezani na vichaa
Kaka sauti iyoo nimecheka mpka nime paliwa
Mzur uyu kaka 😘 😋sema kalewa 🤣🤣🤣🤣16 kasema 18😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂we nae mbona Unamchosha Juma ?
🤣🤣
@@missmwayway4704 🤣🤣🤣🤣😅
Live mda huu diamond kumjibu hormonize
ruclips.net/video/fpJagbrsHwM/видео.html
ruclips.net/video/fpJagbrsHwM/видео.html
😂😂😂😂🤣🤣🤣
Mwanaume unadis sauti ya Mwanaume mwenzio,huo Uanaume wa wapi kama siyo dalili za ushoga.
Ukitaka kujua uhalisia wa hyo saut kaskilze mtoto idd kazua balaa na inaniuma sana ndo utajua maana halis ya nature
Juma natule walanini ww
love juma
Sikuelewa vp jamaa kahepa swali naona kaongea tu kameza chura ... 😏
Yani we jamaa nakukbali sana my brother
Nature uko bwiiii hapo mana hukai kwenye laini
Jani limekolea
Sauti Mbili Mbili🤣🤣🤣..Kashapewa hela huyo na Konde boy🤣🤣🤣🙌🙌
Mbona sauti kama ya bwakila? 🤣
😂😂😂 bwakila..."Naam kaka"
Bwakila amlipe Sir Nature, kaiba sauti HAHAHAH
🤣🤣🤣
😆😆
😂😂😂
Yaan nyie watangzaji munakera Sasa kw kauli yko hyo au swali lko ilo n la uchochz .sio msaada ule wa diamond ni biashara mbona mupo ivyo nyinyi watangazj na maswali yenu
Deme
Mshkaji mbona anaongea sauti namna gani vp
Sauti kama exoz ya subaru wrx 🤣🤣
Kiroboto the legendary
Mgambo tunaruka nakukanyagana
Utake usitake mondi juuu
Matako yako ndiyo juu
Noma
Nature...Nature..
Nibangi au? Sauti kuntu
Hii ndio sauti yake