Sport is about entertainment Big up my club. I so appreciate the way our leaders take their responsibility for our team I can't wait for the league to start 💚💚💛💛💚💚 Daima mbele -Nyuma mwiko
Kuna mchezaji ukimwangalia tuu unajua kabisa huyu ni hatarii bado ni kijana anaonekana nguvu anayo Mungu amuongezee nguvu zaidi kuipambania Tim yetu furaha ziendelee
Big Up kwa kitengo cha Digital chini ya wataalam vijana wadogo kabisa wa YANGA. Tthe way mnavyotambulisha wachezaji wetu ni Buruuuuudaaasni. Kumbe makolo nao jana walikesha?
@@mishikombowato1457 unafikir anateseka huyu ,,,,si umeona ana burudika na vitu vya yanga Moyo wake usingetulia ndo maana yupo bize kwel kwel kutufuatilia ila anajidai Bora kisinda ili hali anatambua ukwel ulivyo kuwa Kuna balaa litawakuta Tena 😁😁😁
Alhamndulilah upendo uliokuwepo ndani ya timu yetu nizaidi ya upendo nakuomba Allah tuzidishie na uwezo Inshaallah
Ameen
Amina
amen
Ukiangalia unajikuta untabasamu, alafu hujui unatabasamu nini, hii Yanga hii 😂😂 keep it on president
Kabisa mm mwenyewe nimejikuta na tabasamu hata ninacho tabasamia sielewi
Kabisaaa an
Rahaaa
Sport is about entertainment
Big up my club. I so appreciate the way our leaders take their responsibility for our team
I can't wait for the league to start 💚💚💛💛💚💚
Daima mbele -Nyuma mwiko
Mlomuona mwanasheria wa FIFA akiwa Makin kufatilia burdan gongeni 👍
🤓🤓😂😂🤓🤓🤓🤓🤓
Kuna mchezaji ukimwangalia tuu unajua kabisa huyu ni hatarii bado ni kijana anaonekana nguvu anayo Mungu amuongezee nguvu zaidi kuipambania Tim yetu furaha ziendelee
My team my everything 💚💚💚🤗🤗🤗🤗
Ali kamwe uache uandish yanga uwe dance wetu hahah 😂😂😂😂 I love you Yanga ❤
Skuduuuuui All the best brother..Wananchi we're happy for you.
Welcome YOUNG AFRICANS.
Mungu akupe afya kaka ufanye vizuri
Alihamundulilah Mashaalah mungu awajalie afya njema viongozi wetu. Hakika no upendo mkubwa
Alikamwe oyeeeh I like ur vibe my team
Al kucheza ajui na unaaibu ukicheza nakuona unajirudishq nyuma mzee❤
sema mwamba analeta vibe sana
Hiii team imeshindikana 😂😂💛💚💛💚🙌🙌 mungu atujaarie msimu ujao ukawe wenye fura kwetu tukabebe wakombe tena
Alikamwe anavyopuyanga sasa 😂 😂😂
Karibu kwenye upendo na kazi🎉
Yanga digital team🎉🎉🎉
Bravo!!!!vibe kama lote
Uyo Ali kamwe anarusha mikono2 😁😁
Such kind LOVE🔰🔰💚
Wakwanza wanainchiii
Yanga raha jamani!!!
Bujumbura tunasemaje???Yanga namba one.Nimejalibu kuzunguuka Bujumbura kuona jezi ya dunduka nikama kutafuta maziwa ya chura.kkkkkkkkkkkkkkkkkk
Ila wewe jamaaa😂😂😂😂
Skudu jamaa kama celebrity fulan hv ,, Yanga Kubwa sana
Ali kamwe kuchez hujui
Alikwamwe unachekesha jamaaa. Kipaji chako ni kuhamasisha tuuuuuyu
Waoo yanga rahaaaa daima mbele 💚💛💚💛💚💛💚💪
Wapili mwanaaaaanchiiiiii
Kijana saana huyu jmn,karibu utupe rahaaaaaa
Amekuwa mwenyeji mapema sana aiseee, all the best kwenye majukumu yake, akawachezeshe amapiano Uwanjani, umaarufu atuachie sisi mashabiki😂
Asanteee
Yanga niacheni kidogo nazidi tu kunenepa kwa ajili ya Yanga 💛💚💛💚🙏🙏
Mpiga picha na kitambi mweeee
Hersi naona anatabasamu tu
Oyooooooooooo yanga tamu
Big Up kwa kitengo cha Digital chini ya wataalam vijana wadogo kabisa wa YANGA. Tthe way mnavyotambulisha wachezaji wetu ni Buruuuuudaaasni. Kumbe makolo nao jana walikesha?
All the best all be blessed all I love you all shalom shalom shalom
Hii imeenda
🔥🔥🔥🔥🔥
Oya eee mwenzenu mm shabiki wa yanga ukijipitisha tunapiga bao Ahsante💛💛💚💚
Kamwe na alwatani kucheza awajui ila tunainjoy 😂😂😂😂
Photographer fanya mazoezi Nundu hyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
daima mbele
Hii yanga ni ya moto Sanaa saaan zaidi ya mcimu uliyopita
daah...kweli mmejua kuua wajomba maana sio kwa raha hizi
Yanga hadi laha💚💛
Inapendeza sana
Huyu namba 6 kweli ni amabiano boy yaani Kama msanii tu😂😂😂🎉🎉🎉
Hii imeenda😂😂
Ila uyo skudu sasa mwepes kushika jambo ajitahid nampil iwe ivo ivo
Na enjoy tuuu🎉❤
Yanga rahaaaaa
Ali acha uongo
Jamna yangAaaaaa
Skudu ana miaka mingapi mbn kadogo saana na naona katawakimbiza hattaree😂😂😂😂
Unaambiwa kana 33 😂😂😂
Skudu na Azizi vipenzi vya eng Hersi rais wa club si mnaona jamaa anavyofrah
Jamn skudu kachangamka blaaa anaubonda kisawswa😂😂😂
Kwan skudu kaja lin bongo nakujua kucheza jmn
Nice 1
Atari sanaa
Yanga tamuuuuuu😂😂😂
🔥🔥
Khaa! Kwl Skudu alikuwa na siku ndefu sanaaa 😂😂😂
Misukule ina kazi
Jamani alikamwe unatuuwa uku mhhhh
Namba 6 imetikisa zaidi kuliko usiku wa Aziz kii
Kabisaaaa an
Alikamw Ebooh😂😂
Reginald kabisaaaa
Yanga Raha jamn jmn
Ally kamwe abaki tu kwenye kitengo chake,,uku hapana kwakweli
Naomba Taarifa zifike na upande wa pili huko mlimani Kilimanjaro ya kwamba Kuna watu watapigwa chenga mpk waombe poo😂 Niko pale.hii imeenda
camera kitumbo kama bastola fany mazoez inshaAllah
Raha km zote jmn
Good things
ile ngao yenye mapembe kaikataee
Siku ya wananchi tunaomba Jux hawepo
💛💚💛💚
😅😅😅😅anaelewaaa au anacheza TU maskini ila anajua😅😅😅😅😅
Nimelipia kadi yangu kupitia mpesa lakini hamjahuisha kadi yangu
Ally kamwe huyu scudu ndugu yako?? Mnamrandano fulani 😄😄😄😄
😂😂😂😂😂 our team yangaaaaa
Mnamchezesha asahau mpira 😅
🎉🔰🔰🔰👊🏾
Skudu master 🔥🔥
😂😂😂😂alikamwe
Ali kamwe hapana 😃😃😃😃
💚💛💚💛💚💛
❤❤❤❤❤❤❤
Asee watu mna siri nyiee😅😅😅😅😅 yaani nyie wote mlishindwa ata kutupenyezea
Hii imeenda 😅😅
Yani kuna mtu bado yupo kwenye club ya thimbwa kweli majambu hebu njoni huku kwenye tasisi kubwa km yanga ufurahie maisha uwongeze siku za kuwishi
Huyu cameraman wetu wa timu itabidi awe anafanya mazoezi na timu apunguze mwili na tumbo
Daaah😂😂😂😂😂
Skudu angeamua kudanganya umri angedanganya na watu wasingejua..huyu kimwonekano unaweza amini kwamba kapombe kazidiwa naye umri kwel😁😁😁
Chechezeni mi naitaji nione uwanjani
Ama piano
Alikamwe😂😂😂😂😂😂
Huyu yupo viziri saana ajua ball huy
Hahaha huyo skudu kama dancer vile akili za haraka ana master style hapo hapo
Utopol bhana bora ata angebaki kisinda
Unateseka ukiwa wapi
Unatufatilia vzr dada angu ndani ya Moyo wako unasema hawa jamaa msimu huu Wanabeba Tena sisi tunasema hivi hii IMEENDA
@@mishikombowato1457 unafikir anateseka huyu ,,,,si umeona ana burudika na vitu vya yanga Moyo wake usingetulia ndo maana yupo bize kwel kwel kutufuatilia ila anajidai Bora kisinda ili hali anatambua ukwel ulivyo kuwa Kuna balaa litawakuta Tena 😁😁😁
Kipindi mmekitendea haki, shughuli ya wanaume ni wanaume tu
Jaman wadau makabi lilepo Ni kweliii ama hiii Ni kufuru,,,
Yaan unatamani kuendelea kuangalia nakusikiliza