VIJANA WA HAMASA KASULU WAMEUPIGA MWINGI KAMA YANGA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kiongozi wa Mbio za mwenge 2024 Ndugu Godfrey Eliakimu Mzava.
    Amewapongeza vijana wa Hamasa wilaya ya kasulu kwa kazi kubwa ya hamasa walio ifanya wilayani Kasulu
    "Hao vijana mnao waona hao wameupiga mwingi kama yanga"
    Amesema maneno hayo kwenye makabidhiano ya mwenge wa Uhuru Tarehe 20/09/2024 Mwenge ukiwa Umemaliza mbio zake wilaya ya kasulu na kuelekea Wilaya ya Kibondo.
    #kaziiendelee #automobile #ccm #tanzania #africa #ccmzanzibar

Комментарии •