GWAJIMA ANAKUJA KUWEKA MISINGI YA MAENDELEO, KAJAZA UWANJA NI BUDGET TUNAANGALIE NENO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 48

  • @johnnisilenisile1990
    @johnnisilenisile1990 3 месяца назад +4

    Jaman hawa ni watumishi wa mungu acheni kashifa ndio mnakuja kujuta badae badala ya kuchukua tahadhali

  • @eatlawe
    @eatlawe 3 месяца назад +2

    Sisi tunasubiri kuona kama usemayo yanatoka kwa Mungu sawa na Biblia isemavyo juu ya unabii wa kweli na uwongo!

  • @kalistamlomba
    @kalistamlomba 3 месяца назад +2

    Amina tupambane kuomba

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 2 месяца назад

    Gwajima ukiingia tuende pamoja

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 3 месяца назад +1

    Tunaimani na GWAJIMA kabla ya unabii na unabii huu umekuja kukamilisha imani zetu

  • @TonnyMamkwe
    @TonnyMamkwe 3 месяца назад

    Unasema ukweli mtumishi wa Mungu,
    Mimi niliona alivyo ingia tu kwenye siasa

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 3 месяца назад +1

    Huyu c Gwajima yule wa COVID-19!
    Ilikuwaje majuzi akubali kupinga Ukweli wa sakata la sukari aliotoa Mpina?????
    Hapo tunashaka naye.

  • @yusuphmbilinyi3913
    @yusuphmbilinyi3913 3 месяца назад

    Ni kweli kabisa Gwajima ndio rais ajaye na mimi nilionyeshwa zaidi ya mara tatu

  • @naimamussa-i2y
    @naimamussa-i2y 3 месяца назад

    Inaonekana mmepewa hongo😮

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 3 месяца назад +1

    Mbona amkumpinga kipindi cha CORONA au mmesaau watanzania amka mjitambue kuna watu wametumwa kuvusha nchi yetu ni GWAJIMA

  • @hopeeli9641
    @hopeeli9641 3 месяца назад +1

    Kiti kiwake tu, kimkatae mama

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Месяц назад

    MUNGU wetu atatupa Rais amtakaye yeye mwenyewe.Neno la Mungu ni mwanga wa njia zetu.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 2 месяца назад

    Ndugu jifunze kwa mjumbe wa agano duniani, huna la ukweli. Hujui hata kanisa agalia You tube ujenzi wa kanisa halisi.

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 3 месяца назад +2

    Nisuala la muda tu!!

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 месяца назад

    Yesu hakuja kutangua tolati injili inategemea tolati ukitaka umjue yesu vizuri uanze nae mwanzo ukisoma hesabu mpaka baalamu alimuona Yesu ukisoma Agano jipya tu huwezi kuelewa injili saizi mafreemason yamejaa makanisani inatakiwa vita ndani ya kanisa

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 месяца назад +1

    huyu jamaa ana maneno mengiiiiii.....hubiri kwa watu mambo yanayomhusu Kristo....acha mihemko kaka jazba sanaaaaaa

    • @ManaseMasawe
      @ManaseMasawe 3 месяца назад

      Mwache jakobo ahubiri anachojua jee inakuuma nini wewe akihubiri ukwelii???

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 месяца назад

      Alafu kama aujapenda iwe ivo nyamaza acha kuweka weka ma comment yako kujazajaza acha na wengine wa comment au unataka uonekane wewe tu

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 месяца назад

      Kama auna mchango wowote we kua kimya acha kubeza watu uyo ni mtumishi wa MUNGU na uo ni unabii kaoneshwa kwenye ulimwengu wa roho kama we unaotaga unalishwa chakula jua na wewe unakulaga nyama za watu nawe toa yako kama auna nyamaza

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 месяца назад

      Kweli mtumishi barikiwa sana

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 3 месяца назад

    Huyu na Nabii Elijah hakika wakipuuza jumbe zao watajuta

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 3 месяца назад

    MUNGU wetu ana watu amewatuma kuiokoa Tanzania ndo GWAJIMA mbona mnajisaaulisha kwa corona ni amkumbuki alikua analala madhabauni anashinda akimlilia BWANA atuponye na janga ilo

  • @rev.asanterabi7440
    @rev.asanterabi7440 3 месяца назад +1

    Tambua kuwa masuala ya kisiasa na kiutawala ni tofauti kabisa na masuala ya kiroho. Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria. Hakuna cha dini wala ulokole. Isitoshe kwa sasa nchi inaongozwa na CCM na CCM kamwe haiwezi kupitisha mtu ambaye hana mizizi kwao na kuwa na uzoefu ktk uwaziri. Mimi nasema hivi, kama unabii wako ni wa kweli basi moto utawaka sana maana mambo itabidi yabadilike ghafla.

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 3 месяца назад +1

      Hakuna lisilowezekana kwa Mungu

    • @HAAM670
      @HAAM670 3 месяца назад +1

      Mmmh Mtumishi umeandikaje hii, aisee.

    • @LispafulgenceSimon-rs1zg
      @LispafulgenceSimon-rs1zg 2 месяца назад

      Siasa na utumishi vipo sambamba daud alikuwa mfarume na vilevile akikuwa na biii

    • @HAAM670
      @HAAM670 2 месяца назад

      @@rev.asanterabi7440 Kwani wewe umeacha ulokole mchungaji?

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 месяца назад +3

    mhhh gwajima gwajima ......usituchagulie tutachagua wenyewe....acha utoto

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo8207 3 месяца назад +1

    Sijui huwa unasomaga comment au unapuyanga tuu?

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 месяца назад

      Sasa comment si za mashetani kama wewe unachangia nini ludi kuzimu uko ukatumike

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 месяца назад

      Shetani mkubwa huyu

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 3 месяца назад

    Hubirini amani msihubiri maovu na mikosi juu ya taifa lenu hakuna ambaye yuko juu ya mungu nyinyi mnapanga yenu mungu alishapanga yake sio sisi wanadamu .Wewe hapo unajua kesho utakuwa hai?

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 месяца назад

    maneno yako hayooooooo

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад

    Wewe nimtumishi waMungu nikweliRohowaMungu amekuelekeza kuwa huyo anakaramayaMungu kuuongoza uma wa watanzania? hapo ninamashaka namaono hayo.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Hekima na busara zinatubeba, lakini kwa Gwajima ni uongo na hapana kabisa maana kwanza alitajwa hata Makonda wakati ule kuwa ni muuza ...

  • @odiliaamnaay4429
    @odiliaamnaay4429 3 месяца назад

    Jamani huyu si kichaa. Mjumbe hauawi. Ukiwa na roho wa Mungu ungeelewa alama za nyakati. Lakini kwa kuwa mnaenenda kwa akili zenu hamyajuu mambo ya rohoni ndo maana mnampuuza mtumishi wa Mungu

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 3 месяца назад +1

    Ondoeni uchafu wenu huo

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 месяца назад

      We ni shetani umejificha kwenye sura ya ubinadamu

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 3 месяца назад

    Nonsense!

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 месяца назад

      shetani wewe na utaishia maisha ya kubabaisha kama utaendelea kupuuza unabii wa watumishi wa MUNGU

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni 3 месяца назад

    MUNGU wetu ana watu amewatuma kuiokoa Tanzania ndo GWAJIMA mbona mnajisaaulisha kwa corona ni amkumbuki alikua analala madhabauni anashinda akimlilia BWANA atuponye na janga ilo