Sisi wengine tunakesha RUclips Kwaku subiri serie yetu last card muwe Na towa ata mbili mbili Kwa Siku. Sheila apewe mauwa yake jamani Kwa sababu ana igiza vizuri sana thanks Sheila ❤❤❤❤
Heee yaani leo muna juwakuni furahish Mrs sheishei well done ayiiiiyaa nahitaji mwendelezo hata sahiii ila uwezo hanina asanteni watu wangu Mungu awa zidishiye
Kp nakuoneya urumasana kupambana akiyako kisai nimekuta nimekuchukia kuwagombanisha zebuu na kp unaakilinyingi kwenye last card fram Australia gali bado natafuta ela kwasababu yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😮😮😮😮😮❤❤😢😢😢😢😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ninalia kp nakupenda mimi nimuzungu nimeanza kupitia tanzania❤❤❤❤❤❤
I have immense admiration for you, Sheila, because of the incredible way you portray your characters. Your talent is unparalleled, and your performances resonate deeply with me. You stand out as an extraordinary artist, and whenever one of your movies is on, I always make sure not to miss it. Your presence on screen is captivating, and I’m constantly in awe of the magic you bring to every role you play.❤❤❤🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤ pongezi sana kwenu nyote chukueni 🎉🎉🎉🎉yenu Napenda kucheza hiii karata Sheila na Kp napenda sana Mbinu zenu nzuri sana natamani Kisai ashindwe hiii video
Sheila is actually more intelligent than any other,,she has even to given some position in courts mostly in Kenyag,,we are aware of lies and corruption ,,love you miss shiela good job,, from. Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,, watching
Thank you but you have to congrats all team because if she can walk alone no body can see we have to respect all the team and apriciate them all thank you we love u❤
Kp unaweza bhn.. Binafsi me siwez kulalamika et unachelewesha kaz coz ni waz kuwa unatumia akili nying so unahitaj muda mwing pia😁 thus why unatutulea vitu conkiiii💪🏻❤❤❤
Yani uyu sheila anavyonikosha anafaa kabisa kupewa kazi serekalini anajua sana uhusika❤❤
Kishapewa mwayaaa😀😀😀😀
Congratulate sheila 😂😂😂 Nakupenda msichana hauna mbambamba kwenye kazi zako....kma umemkubali sheila gonga like tukisonga jamanii...
Hii Kali sana 😂 kisai kazi anayo
Saum nikiwa saudi,,pongezi Kwa wote, yani hoo movie Muli ipanga ikabakika kweli,Sheila ongera Sana,nimepeda Leo ulifo weka SIM Kwa box kisai amebaki mdomo wazi ,Kwa kweli nawapeda nyote
Mimi hua nibaili kutumia MB RUclips ila kwa hii movie imeniteka sana pongezi kwao👏👏👏
Nampenda San sheila na mzee Likoma na kp hongeren sana
❤❤❤❤Sheila good girl
I adore you, Sheila, for the way you act. You are truly exceptional, and wherever there are your movies, I never fail to watch them.
Duu sheila noma Haha kinasasauti pap chezea mpelelezi wakujiamini
Sisi wengine tunakesha RUclips Kwaku subiri serie yetu last card muwe Na towa ata mbili mbili Kwa Siku. Sheila apewe mauwa yake jamani Kwa sababu ana igiza vizuri sana thanks Sheila ❤❤❤❤
Asante mwaya
Mres shei shei uko vzur kweny kazi yako nakupenda bule
Best Team ever to see,
Kp's lovers gonga like hapa
Mrs sheishei na mr kp mpewe hongera kwa kazi nzuiri sana pig up team last card 🤜🤜🤜❤
Nawajibia tunakushukuru
Shey shey haki wewe na akili mnaedana sana sijui nikushake unigawe kidogo
Jibu atasema nn WOW I like this game Sheila much love to you na kp na zebuu good work make me happy ❤❤❤
Furahia mwaya uongeze cku za kuishi
Heee yaani leo muna juwakuni furahish Mrs sheishei well done ayiiiiyaa nahitaji mwendelezo hata sahiii ila uwezo hanina asanteni watu wangu Mungu awa zidishiye
Ms shei kiukweli uko vizuri ktk kazi yako
Much love from 🇰🇪❤❤ great job kp and your group congratulations
Much love Sheila,you fit every character dear talent pays
Waooo sijachelewa sn jmn ❤❤❤❤ naipenda sana tm KP Mungu azidy kuwapigania
Kp nakuoneya urumasana kupambana akiyako kisai nimekuta nimekuchukia kuwagombanisha zebuu na kp unaakilinyingi kwenye last card fram Australia gali bado natafuta ela kwasababu yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😮😮😮😮😮❤❤😢😢😢😢😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ninalia kp nakupenda mimi nimuzungu nimeanza kupitia tanzania❤❤❤❤❤❤
Tunakupenda pia
Haki mss shei shei haa umenipa raha sana kwenye hiyi mouvi yani umewuva uwusika kama nikweli vile haki unastaili kazi serikalini nakupenda wewe
Na kp na zebu haaa mweye namweye ninoma sana duu
Nimependwa hiii ya Leo sheilaa Binti likoma hongera sna Kwa kujua kucheza hii move aki 🎉🎉🎉❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹
Anajua mpaka anajua tena
Mrs shayshay we n mnoma sana aky mungu akuzidishie mpendwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Miss Shei shei nimekupenda bure yaani umecheza vizuri ❤❤
I have immense admiration for you, Sheila, because of the incredible way you portray your characters. Your talent is unparalleled, and your performances resonate deeply with me. You stand out as an extraordinary artist, and whenever one of your movies is on, I always make sure not to miss it. Your presence on screen is captivating, and I’m constantly in awe of the magic you bring to every role you play.❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Sheila hii kazi unayoifanya ni nzur sana pongezi na pia nakupenda bure pamoja na kikosi chote❤❤❤❤
Daaaa we msenge kp aisee we nooma yani kulipo ishia apo 😅😅😅 daaaaa nimepapenda mno kaka salute kwako ❤🎉🎉🎉🎉
Shei shei umeweza kwenye mtego wako Nina Imani Mzee dipoz hatomwamini tena kisai nawapenda sana kazi nzuri Becky mpole from Kenya ❤❤❤
Aaaah Sheishei weweeee unataniuwa naraha kbs. kiukweli kipaji kinatoka kwa Mungu .dada unajua sana
Kazi nzuri saaana KP mungu ami zidishiye wewe na team yako ❤❤❤❤❤tuna suburi ep 22 ijuma inne kikizani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯💯💯💯
Jamani mm. Ananifulaisha sheila najiisi ni wa thamani na wembamba wangu kwasababu uyu dada ni mwepesi sana jamani
@@NeemaFransic-zr3tb yeah kazi nzuri saaana Sheila apo kime umana kisai na dibozi lazima pa chimbike 😁😂😁😁😁
Wow nimecheka zaidi suraji kabebamimba mchonga😂😂😂😂 na baba ndio kumpeleka mwanawe hospitali kujifungua
Nampenda sana sheishei anacheza vizuri
Oya KP we mwamba man nipo pande za njombe nakufatilia Sana mwambie Shei Shei nakubali .
Nataman mwendelezo njue nn kiliendelea baada yakuona picha
Anajiita miss sheishei nimeipenda sana hio
Miss shey shey my boo asante kwa kumsave mchumba angu nakupendeni wote aisee kisai litakukuta jambo nmechelewa nilikua zangu kijijini💛💚💚💚💚
Team mis sheishei tumpe mis sheishei maua kwa ubora wake 🎉🎉🎉🎉 Much love from kenya ❤❤❤❤
Tumeni ela bhana maua ya nn😁😁
Top 10 aya team furus naomba tusalimiane team kupambana team WiFi za Bure big up KP
Salute for the queen Sheila,u are the king ND queen of missions, congrats ❤❤❤
Sheishei uko vzur dada ang
WA kwanza from Kenya,,, wakenya show some love ❤❤❤❤❤
Sheila bonge la mpelelezi upo powa sana uku unashirikiana na master plan kp
Wa kwanza, kivumbi leo, nataka kujua kaa Kisai atawin Zebuu, likes Kaa tuko pamoja kwa hili🎉❤0
Nimeipenda iyo, da sheila twende kazi , msichelewe sana
Your Kenyan number 1 fan is here with you........I love your work
Kasaï utajuta nakwambi ,mist chèche amkuchezea wandani❤❤❤❤❤
Good job guys am watching from Saudi Arabia.
❤❤❤❤ pongezi sana kwenu nyote chukueni 🎉🎉🎉🎉yenu Napenda kucheza hiii karata
Sheila na Kp napenda sana Mbinu zenu nzuri sana natamani Kisai ashindwe hiii video
Watching from Kenya congratulations team kp na Sheila ❤
Safi sana sheishei nakupenda bure
Great job .waigizaji wote wanacheza role zao vyema inapendeza sana
Very tarented
Nakupenda sana sheila ww ni mwepesi sana unatu wakirisha vizuri wenye mili myembaba
Sheila is actually more intelligent than any other,,she has even to given some position in courts mostly in Kenyag,,we are aware of lies and corruption ,,love you miss shiela good job,, from. Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,, watching
Thank you but you have to congrats all team because if she can walk alone no body can see we have to respect all the team and apriciate them all thank you we love u❤
O my god😂😂
😀😀Shey kiboko yao kimemlamba kisai
Wakwanza jamani naomba like hata 10
John Deere
Shei shei hadi kamluzi
Kweli haukukosea kupewa huo uhusikaa😀👏
Sheila nimenza kukupenda sasa 🥰
Love Sheila kazi nzurii
Chezea ms sheila ww utakamatwa kisai ❤❤❤🎉
Unapendeza sana mdada ukiwa katika kaz zko.....penda sana miss sheyshey
Waaaah kazi mzuri mrs sheishei en kp,,,🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Safi Sana Sheila akili kubwa Mr kisai kisayakanyaga
Much love from Israel ❤
Soo interesting
Sheillaa ni mjanja sna nawapenda team nzima uwa mnanipa raha sna mimi shabiki weni
Waooooooo sheilla leo umenifurahishaga umetumia akili😂😂❤❤❤❤❤❤
Kp naja bongo kumwangalia miss sheishei mashallah ako juu
Hahahahaha jamani Suraji na likoma mmenichekeshass😂😂😂😂 Suraji una Mimba 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Muache anko hana baya
Sheishei much love from kenya upon vizuri sana kwenye kazi zako hongera sana
Kp wee noma zachayo from marekan😢😢
Kp unaweza bhn.. Binafsi me siwez kulalamika et unachelewesha kaz coz ni waz kuwa unatumia akili nying so unahitaj muda mwing pia😁 thus why unatutulea vitu conkiiii💪🏻❤❤❤
💙💙💙
Best comment of the year ❤
@@Dibozi_manuva thanks dadaake🥰💪🏻
Ms shy shy,braiton, Norah na likoma ni 🎇🎆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Cheilla umecheza kama pele pokeya 🌷🌷
Kisai kimemramba 🤣🤣🤣🤣 shey shey weeh umu nimekupenda bule
Kwahiii Sheila ume wua haki yamungu ume kava nafasiyako vizuli sana. Kwabwembwe kama zote hongela
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 good job 👍
Kbsaa sheila nakupenda tu bure kwa kaz zako
Together we can 🤝💪 This is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
Madam shei shei upo vizuri natamani kukuona
Wow hongera sana miss Sheila na kp 😂😂😂😂❤❤mpewe kazi kwa serikali sasa
One love sheilla kazi nzuri sans watching you Lusaka Zambia
Wakwanza leo jamaniiiiiiiii😊😊😊 msiwe wachoyo naombeni like zenu basi
Safi sana Sheila kazi nzuri
Great job miss shei shei 💖 I like your idea and deaks❤❤❤
Wife snatcher huyu hapa sasa Mr. Kisai😂😂
Team Kp &Zebuu mkiwa gulf gongeni likes zenu apooo❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Congratulations Sheila gud work siz APO umeweza kabisaa siz much love you
Salute miss shey shey
Shey shey nimempenda sana❤
Congratulations guys Kp&Zebuu Nawapenda sana wote❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Chei chei nakupenda sana, from Mozambique
Can't wait next episode guys 😍
Miss shei shei we n noumaaa kweli utamlamba kisai
Oyaaaa wanafamilia kp mpoo❤❤❤❤
Tumefariki😁😁😁
@@AshreyMartine-gz5vu ww mtu mrefuu
Haaaa Ms Shai wewe umefanya makubwa kabisa
Jaman suraj🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nan km Sheila,hakunaa
Much love from Burundi
Shey shey na kukubali sana unaweza
Much love from kenya❤❤❤❤
Yan hii ya leo imejua kunifurahisha😅😅😅😅😅😅 duh yan shei shei nakupa saluti we love you hauna mamba ktk kz zko tena ❤❤❤
Miss cheichei mwenye mpango songa mbele nawakubali san kisai kinakuramba 😂😂😂eti unamtaka zebu pôle niwa kp❤
Aky nawakubli jmn congratulations kwa mrs sheishei
Miss sheishei kiukwer nafas yako hua unaitendea haki chukua maua yako🎉🎉 ila kwenye wamangushi nilikuchukia kwer🤣
Asante aliteka hisia zako thats why tunajifunza kutokana na makosa asante kwa kumfatilia mteja wangu atakaemtukana mwanasheria wake niko hapa😁😁😁
Sheila upo gud iseeeee unajua kuigiza 🎉🎉🎉maua yako miss sheishei nakupenda na team yote Kwa ujumla
Much ❤ from BURUNDI 🇧🇮
Very interesting,,,much love Mrs Sheishei❤❤
Brother munatumia akili Sana izii ndy move zinazo takiwa kwakweri story Yani ujuii kinacho tokea mbeleee safii snaaaaa❤❤❤❤