Thank you so much guys, nmesoma comment nyingi sana wengi mnatuombea sana, Inshallah Mungu atatuongoza Na Dua zenu zipo nasi najua, Tunawapenda Sana Team KibzBeka❤️
Ila kaka kusema unaficha mabaya yake unamstiri ukimstri tulia ivo ivo ukisema unamstiri watu wanaezazua story zao kumpagazia mtoto wa watu....ni ushauri tuuh
maskin namuonea huruma huyu Dada😢 kwa muonekano tu ni mtihani kumbe tena umetoka gulf jaman daah nyie wakaka tuhurumieni jaman weng mnaigiza kutupenda mapenz motomoto watu wakiwa kwenye utaftaji lkn ukirud mkitumia fesa zkaisha bas mapenz yanaontoka 😢😢😢 baadhi sio wote
Wanaume sukuizi wanaloga usijekusubut kumtajia jina halisi na la mamaako basi umekwisha hapo huyo dada hajui ila atakuja kuzinduka tayali pesa zimekwisha hapo hata mumshauli vipi hajali kwasababu ya dawa ngoja dawa zije kuisha yani huyu dada ndugu zake wasipo mchangamkia atakuja kulia kilio kibaya sana
@riziki,,kuhathirika na lugha sio mbaya sababu anaeacha mila atakuwa mtumwa .. Kuongea kiswahi na kuchanganya kizungu kingi pia ni ulimbukeni wakati mahojiano ni ya kiswahili alafu mtu anaanza kizungu mara anaanza kukwama kwama maneno ya yes,no,this,me,you
Mashallay Mashallay mm nawaombe kila lakherii ishalla 🎉🎉🎉😮😮 muishi kwa wema iila beka tuliaa kaka na uyu mtot kbz juu watu uku wanasubiri umuache2 wamchekee so usisikilize yawatu😂😂
Mashaallah ❤ Mashaallah ❤nanyie mnao kimbilia kwa comment section polepoleni msikanyagane na hapo mbele kuna mkebe wangu wa mabuyu so msiuangushe mnipromot tukiendelea kubambika😊😊😊😊I love KIBZ MOHA❤ my schoolment🎉🎉🎉all the best in your relationship journey ❤🙏🙏
Hapo hakuna cha MAPENZI hapo ila kutiana MISUMARI ya MOTO Tu - hapo alafu tena huyo MJINGA snakuzarau sana Eti - kitapiga Tu-chenyewe ama kitani - TEXT . Huyo sio RIGHT MAN kwako wewe Dada huyo ni MWEHU sana ,,,
Thank you so much guys, nmesoma comment nyingi sana wengi mnatuombea sana, Inshallah Mungu atatuongoza Na Dua zenu zipo nasi najua, Tunawapenda Sana Team KibzBeka❤️
Kijanaaaaaaa asaivi unakula cha gulf😂😂 Nakukubali damu yangu
Ila kaka kusema unaficha mabaya yake unamstiri ukimstri tulia ivo ivo ukisema unamstiri watu wanaezazua story zao kumpagazia mtoto wa watu....ni ushauri tuuh
Maa Shaa Allah nawapenda nyote❤lakn Beka haya yasiwe mapenzi ya fulus.Nendeni kwa kadhi muka halalishe...In Shaa Allah kheir
Beka kaka jitahidi umuoe kibz awe mke wako wa halali na mungu atazidi kuwabariki inshaallah
Me to fanyeni muoane mtabarikiwa zaidi zinaa inapunguza rizki
Beka en kibz congratulations guys
maskin namuonea huruma huyu Dada😢 kwa muonekano tu ni mtihani kumbe tena umetoka gulf jaman daah nyie wakaka tuhurumieni jaman weng mnaigiza kutupenda mapenz motomoto watu wakiwa kwenye utaftaji lkn ukirud mkitumia fesa zkaisha bas mapenz yanaontoka 😢😢😢 baadhi sio wote
Muonee huruma sana juu huyo mwanamume nimrongo sana na sijuwi huyo mume Ako na kazi gani but olewa ujionee
Wanaume sukuizi wanaloga usijekusubut kumtajia jina halisi na la mamaako basi umekwisha hapo huyo dada hajui ila atakuja kuzinduka tayali pesa zimekwisha hapo hata mumshauli vipi hajali kwasababu ya dawa ngoja dawa zije kuisha yani huyu dada ndugu zake wasipo mchangamkia atakuja kulia kilio kibaya sana
Ok@@mwanaidiali6166
Yan mm imeniuma sana nmewafatilia san ila huy kaka muongo juz kashikwa na police😢😢😢😢
Yashanikuta haya nanikaolewa kabisa after pesa kwisha nikaachwa😭😭😭😭😭
Niko hapa kwa kibzs enjoy ur love mamy❤❤❤❤
😂😂😂😂😂i almost broke my legs running here 😂😂😂
Nakupenda Bure...Beka ruga❤...
MashaAllah hdi raha,,,,, Allah awepushe na shari za walimwengu amiin yarabbi amiin yarabbi amiin yarabbi
Masha Allah mungu awape subra tele na awaepushe na asad mana maneno ya walimwengu ni mengi
Naomba nimuudhi kibz...kibz anampa beka pesa😂😂😂😂lol (jocking)
Beka na kibz lafudhi ya kidgo imewaatiri mngeongea tu kidgo
@riziki,,kuhathirika na lugha sio mbaya sababu anaeacha mila atakuwa mtumwa ..
Kuongea kiswahi na kuchanganya kizungu kingi pia ni ulimbukeni wakati mahojiano ni ya kiswahili alafu mtu anaanza kizungu mara anaanza kukwama kwama maneno ya yes,no,this,me,you
😂😂😂
Mashallay Mashallay mm nawaombe kila lakherii ishalla 🎉🎉🎉😮😮 muishi kwa wema iila beka tuliaa kaka na uyu mtot kbz juu watu uku wanasubiri umuache2 wamchekee so usisikilize yawatu😂😂
Huyu jamaa nilikuwa namkubali lakini kama mshamba ila nimeamini wakenya watu wa drama,hii nchi yetu ya Tanzania ipewe mauwa yake❤Tz
Hongera mpenzi mungu awajalie mahasidi wasipate lakusema zangu dua🤲🤲
The way anamuangalia uyo Dem wake akiongea means alot❤❤❤❤
Hii couple imeweza Beka, mshike uyo mtoto ❤❤❤❤
Best couple in town
Mashaallah nawaombea mapenzi yenu ya dumu mpaka muowane kifo kiwatenganishe
So amaizing❤❤❤
Mashallah ❤
Mashaallah ❤
MashaAllah 🥰 nawapongeza
nice interview boss wngu
😊
Mashahalla mungu awajaliy inshahallah twasubiri hiyo ndoa sas❤❤❤
Mashallah ❤️ nawatakia kila la kheri InshaAllah
Beka tuletee wifi kingwede plz❤❤😂😂😂😂
Allah awajaalie ndoa soon in sha Allah.....ili Allah azidi kubariki mahusiano yenu...mob love kwenu ndugu zangu....❤
Aamin
Nawapend San beka n kibz ❤❤❤❤❤
Beka polepole na kiswahili broo hahhahaa
Ni makosa kuitana mke na mume wakat bdo mpo nje ya Sheria iliyo ruhsiwa na Allah.
Wallahi Mimi naona kuwa wameoana kumbe Bado?😮😢😢
Hta mm nikafikiri wameoana kumbe bado
Niawara wake lakin sibibiyake..na niharamu kuitana mke namume kama amjafunga ndoa haram haram haram
Mashaallah Allah awaongoze kwenye kheri inshaallah ❤❤🎉🎉
Best interview and again its great for you both to enjoy your relationship before getting into something as holy as a marriage
😂😂😂😂😂
🥰❤️
Wali waliwa na wale waliwao😮😮😮😮😮😮😮
Mashaallah 🥰 😊
🥰
Beka atuonyesha shavu moja tuone dimple hahahahahaah😅
Maasha'Allah Tabarak'Allah ♥️ Allah awatangulie muhalalishe Insha'Allah
😂😂😂😂mashaallah beka eti naam kubz wangu bc usimtende kibz penzi lidumu inshaallah
Anayetaka kuangalia mwezi huku kwetu pia unatoka.😅
Napenda couple yenu kibzbeka muwe na mwisho mwema❤
Mashallah mungu awalinde tenà sana wako kweli wanaogea maisha ya beka na kbz ila mungu mbele ❤❤
❤
First to comment thanks Habibty❤
Thanks for watching habibty ❤️
Hao n Mario n Paula wakenya ilove the 🎉🎉couple muoane
Kitapiga chanifata iyo kauli siipendi kuitwa na mpenzy wangu 😁😁
Hongera saana ❤❤❤❤❤mungu awape mafanikio mema inshallah Allah 🙏🙏
Natafuta kibz Moha wangu jamani 😂😂😂
😅😅😅
kumekuchaaa.... kumekuchaa😂😂😂
Mash Allah ❤❤❤good job mommah
Mashaallah mwenyezi Mungu awasmamie
Mm nawa love 💘 tu❤
😂😂Congratulations guys adi raha❤
Mashallah aky🎉🎉🎉❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Mashallha vizuri ❤❤❤❤❤
Beka nikisikia umemuacha huyu dada nitakutafuta uniambie n wap amekosea nawaombea uhusiano wenye uvumilivu na baraka kutoka kwa mungu inshallah
So amazing 🎉❤
Tx
Nice
Mbna beka yuwa address kibz ati "kitapigaa" "kitatext" 😂😂😂😂 respect your darling basii eyy
Shosti ushafika😅😅😅
Nakupenda bure chidada❤
Interview iko poa unajikuta wa smile😊
Good luck gays
Itakuaje kama kweli huyo JAMAA anakupenda kweli hapo kwa MAHOJIANO anakuzarau namna hiyo na ULIMWENGU mzima unasikiza na kuona - Why ?
Nagodza jey rasta mino
Beka mbone hajui kiswahili
Hongereni kwa msimamo wenu hope n funzo kwa wengne nawapenda🥰🥰
🥰❤️
Mungu awajalie maisha mazur inshallah
Amin
Yote tisa muhimu muhalaliyeshe ndugu, twasubiri Nikkah InshaAllah
InshaAllah kila kitu polepole
Namuomba mapenzi poa❤❤
Masha Allah Allah awajalie mfikie malengo yenu ❤❤muwashinde mahasidi na hasad zisiwapate inshaallah 🥰🥰
Amin on their behalf
Fafa nitkutft dear nikija Kenya 🇰🇪 unifnyie yangu n ex wangu coz tulirudiana❤❤❤❤
😂😂😂😂wewe nae😊
Kitantumia message ama kitapiga😂😂jamani Beka wewe
Mashaallah nawapnda msisikize ya watu
Itapendeza zaidi iwapo mutaoana haraka iwezekanavyo
Mashallah Tabaraka Allah inteview nzuri sana 🥰
Thabk yuh
FATHUSH FAFA HII IMEENDA UBARIKIWE ....MASHAALLAH ALLAHU BARIK
🥰❤️
Hapo kwaharusi jamaa yuwahepa eti alebataar miezitatu kwanzo😅😅😅 muonjaji hanunui
Kila la kher wapendi ❤
Kiswahili waaaaah
True love congratulations Kibz and Beka
Na mm nataka interview na beiby wangu
We beka mambo ya drama kwisha sasa nendeni mukahalalishe insha Allah iwe ya kherii❤
Sijui mbona naona tu red flags but nawatakia kila la kheri wapenzi.
Interview ni nzuri but umebase only Kwa mapenzi Yao n not general about kibz na family tukajua Zaid 😢
Ukipenda u star kwa nguvu utavumilia mengi😂enyewe wengine wetu red is our favorites colours and not 🚩 flag
Na uyu mtoto alipatikana lini ikiwa mlipatana mwaka juzi online 😊😊😊 umbea sikazi kazi n kusutwa🙈🙈🙈🙈🤐
Likua alioleka huyo bitwa akaacha mumewe akafata beka
@@sockyaisha 😄😄😄🤣
@@sockyaisha
🤔weh alipewa talaka? Na hapa sioni ndoa naona doa
@@sockyaisha😂😂😂😂😂😂
Mashallah
Maashallah 🥰🥰
Harusi na mapema❤
😂😂😂😂😂😂mmmmh sawa
Mashaallah ❤ Mashaallah ❤nanyie mnao kimbilia kwa comment section polepoleni msikanyagane na hapo mbele kuna mkebe wangu wa mabuyu so msiuangushe mnipromot tukiendelea kubambika😊😊😊😊I love KIBZ MOHA❤ my schoolment🎉🎉🎉all the best in your relationship journey ❤🙏🙏
Tumesikia mpenzi na umejua kunifurahisha 😂😂😂😂😂😂
❤
🥰❤️
Wanaume jamani owakaka
mashaAllh mungu awataguliye❤❤
Beka fanya harusi
Beka kwenye mapenzi hakuna kulipizana
Richa ujinga, waanza uwe ko kurusa
🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwanimaliza jmn waaaah beka ww
Jamn snausemi mm niher nyingi 2 nabarka kwenyu Isha Allah lkin da naona ka beka yupo mahaban had macho hayaonekn
New subscriber nipitieni pia
Hapo hakuna cha MAPENZI hapo ila kutiana MISUMARI ya MOTO Tu - hapo alafu tena huyo MJINGA snakuzarau sana Eti - kitapiga Tu-chenyewe ama kitani - TEXT . Huyo sio RIGHT MAN kwako wewe Dada huyo ni MWEHU sana ,,,
Umesema kweli kbsa dada hpa hkuna mapenz... Coz hcho kischana chnywe kimekosa haya .....chataka u star walazma pia nae....
Na yule mtoto wa Kibz so si wa Beka,nauliza tu