SubhannAllah!! Vyovyote ilivyo kufurahiya kifo, maradhi, au mitihani yoyote ya kilimwengu, inapomkuta mja, si sw, kwani, vyoote hivyo vinamkuta mja yoyote!!!! Inasikitisha mno mno,, waja tunavyojisahau, na kujihisi ww ndie mbora na ni msahihi wa kila ulitendano, Allah ndiye ajuaye, na yy ndio atamuhukumu mja wake, Allah amlaze pema peponi, Muhamad Idd, amemaliza ya kwake, kafa, kaoshwa, kajafiniwa, na kasaliwa na waislamu wengi tu, na kalazwa qabrin, Ww je! wajijua kifo chako kitakavyokufika??? Endeleeni kufurahia.
Hakika tumepata pigo zito sana kwa kuondokewa na sheikh wetu muhammad Abu Idd,hakika nilimsikiliza yule wahabi alivyokuwa akishangilia kifo cha sheikh nimesikitika sana hakika mawahabi hawana mafunzo ya uislamu wao wana dini yao inayokwenda kinyume na mafundisho ya mtume wetu muhammad s,a,w kama alivyosema sheikh hapo,waislamu tuchukue tahadhari dhidi ya genge hili,allah swt amrahamu sheikh wetu insha allah,
@@massoudkhamis-k3h wewe ndio huna akili ambae huijui dini yako uislamu ni sunnah na sunnah ndio uislam tuambie abuu idd ni sunnah gani alikua ana lingania
@@massoudkhamis-k3h zaid ya kuiponda sunnah na watu wake allah amsamehe madhambi yake lakini pia tunamshukuru allah kwa kifo chake hayo ndio maneno walikua wakisema wema waliotangulia kwa watu mfano wake
Allah amghufiri shekh Muhammad ayub lkn shekh tumekatazwa kuitana majina mabaya SASA shekh na wewe umewaita wenzako mayahudi wahabbi mpumbavu Hana akili SASA hapo kidogo hakuko Sawa
Bado mpaka sheikh mmoja wa kisalafy apande mimbari adhihirishe ile furaha tulioipata hasa ndio wataelewa kama vp sheikh muniir as-saad alivyo dhihirisha furaha yao kwa kufa jizushi la kule yemeni
Ni kweli Abu IDD alikuwa mzushi na kupinga sunnah, dhibitisho wa maneno yangu mtume asema tufuge ndevu na tunyoe masharubu ilhali Abu IDD amenyoa ndevu na kufuga masharubu, opposite ya mtume kwa hivyo alikuwa anapinga sunnah, pia angalia kanzu ya Abu IDD ilikuwa inavuka kwato hadi kugusa chini na mtume kasema kanzu isipite ankal
@hamisisalimu6908 tumia akili yako, uislamu ni 1+1+1+1 na huwezi Pinga moja ufanye ingine, hatuna ruhusa ya kupinga sunnah ya mtume hata moja na ukipinga ama kukejeli basi unaweza kukufuru, chunga sana ndugu. Pia usidogoshe sunnah ya ndevu na kanzu, naona kama unadogosha sunnah ya mtume s.a.w
@katalayshemndolwa3146 story ya kuniita wahabi haikusaidii chochote, let's talk ile kitu muhimu ambayo ni huyo shehe wenu aliishi kupinga sunnah ya mtume s.a.w na nimetoa mfano, wewe leta sunnah gani alihuisha huyo shehe wako kama huna funga mdomo, matusi hayakusaidii chochote
,serikali ingeifuta taasisi ya ansar ni ya zulma na utapeli a niwshujumu uchumi wa nchi huyo kiongozi waokashika msahafu mwezo wa ramadhani kuapauongo kuwa yatima na mama yao mjane hawana haki mara alitoa wakfu atatoa wakfu mtu ana mke na watoto watano awaache masikini wakutupwa wangeacha zulma kwanza wakarudisha haki za mayatima walizowazulumu lakini allah anawashuhudia yeye na barazla zulma a
Hawa wanao jiita salaf hili nikundi katika makundi yaki yahudi , walikua wakiishi saudia na wakaenda baadhi yaao Yemen, wakijifanya ni waislamu , wakaunda kundi wakaliita kwa jina la salafi, kundi hili kazi yaao kubwa nikutusi waislamu wenzao na kukufurisha mashekhe na wanavioni , huku wakijifanya wao ndio wafwasi wa kubwa wa bwana mtume pia wakijifanya waao wana fwata salaf yani weema walio pita ili waislamu wadaganyike kwa hilo jina , huku ikiwa nembo yao kubwa alama yao kubwa nikukufurisha na kutusi wanavioni wote walio kinyume na wao,
Nyinyi makhurafi siyo wakweli kwenye dini. Nyinyi mnashirikiana na mashia kwenye maulidi wakati shia mnajua kabisa wanawatukana maswahaba wa mtume swalallahu alayhi wasallaam na wanafurahia kufa kwao na wale waliouawa wanawaadhimisha wale waliowaua. Makhurafi ni watu waongo tena wajinga wakupuuzwa.
Eti tusikhalifu msimamo wa babu zetu😂😂😂"juu yenu ni Sunnah zangu na za khulafau rashidin" imeenda wapi? Babu zetu wengi walikuwa wazushi na watu wa bid'a so tufuate vp
Umebaki kusema Hadi baba Ako na mama Ako alikua mzushi, na mda c mrefu masalafi watasema had mama zao walikua wazushi sikusudii kutukana kama nyny mlivo watukanifu
Acha Kukariri Matukio Kwani Salafi Hawana Viongozi nani ktk Masheikh wa kisalafi aliesema hivyo ????? hao ni vichaa wa fb Acheni kukuza Matukio Waislam wote tunasema inna lilah wa inna ilaihi rajuun mengine ni. kutafuta umaarufu
Hayo maneno tumetumiwa na SALAFY mwenzetu NDANI ya magurupu ya kisalafy na viongozi wa kisalafy wameona wamefurahia. Wewe usijifanye hujui. Serikali inaweza kumfichua ukaadhirika bure kujisemea bila kujua.
Tusisahau aya inayosema waumini wanaume wasiwadharau wanaume wenzao na wanawake wasiwadharau wanawake wenzao huwenda wanaodharauliwa wakawa bora hivyo umakini unahitajika
Allah kuhifafhi shekhe wet ume ongea point sana hao maslafi hawafai
SubhannAllah!! Vyovyote ilivyo kufurahiya kifo, maradhi, au mitihani yoyote ya kilimwengu, inapomkuta mja, si sw, kwani, vyoote hivyo vinamkuta mja yoyote!!!! Inasikitisha mno mno,, waja tunavyojisahau, na kujihisi ww ndie mbora na ni msahihi wa kila ulitendano, Allah ndiye ajuaye, na yy ndio atamuhukumu mja wake, Allah amlaze pema peponi, Muhamad Idd, amemaliza ya kwake, kafa, kaoshwa, kajafiniwa, na kasaliwa na waislamu wengi tu, na kalazwa qabrin, Ww je! wajijua kifo chako kitakavyokufika??? Endeleeni kufurahia.
Wallaih tumepata pingo mungu amrehem shekhe wetu
C kila avaae Kanzu ni Sheikh wengine ni Wauza Bucha mfano ni huyo Mpuuzi alomtaja vibaya Sheikh Muhammad Idi RahimahuLlahu
Allah amrahamu sheikh wetu hao majaahili waendelee kufurahia mashetani wakubwa hao
اللهم اغفر له وارحمه وأسكنه فسيح جنانك يا رحيم يا رحمن يا كريم يا الله
KATIKA SIFA ZA MAYAHUDI NI KUTOSOMA QUR'ANI KWA MJIBU WA USOMAJI WA HUYU SHEIKH WA QUR'AN BILA SHAKA NI MYAHUDI HAJAPATIA HATA AYA MOJA KUISOMA
Masalafi ni msiba wa Dunia
Hakika tumepata pigo zito sana kwa kuondokewa na sheikh wetu muhammad Abu Idd,hakika nilimsikiliza yule wahabi alivyokuwa akishangilia kifo cha sheikh nimesikitika sana hakika mawahabi hawana mafunzo ya uislamu wao wana dini yao inayokwenda kinyume na mafundisho ya mtume wetu muhammad s,a,w kama alivyosema sheikh hapo,waislamu tuchukue tahadhari dhidi ya genge hili,allah swt amrahamu sheikh wetu insha allah,
Mungu akuweke mahali moja na yeye siku ya qiyama
Tunamshukuru Allah kwa kutupunzisha kwa kifo cha muhammad idd mzushi khurafi
haja kushinda wewe labda wenge isoma taudhihu al,ahkami ya albasamu miongoni mwa mashehe wenu ndio kitabu alichokua akikisoma shekh kuwafahaniaheni msimamo wenu wenyewe lakini hamujielewi masikini
Kwa maisha aliyoishi mafunzo yake yametuingia kaacha alam kwenye vichwa vyetu sasa hapo umeshukuru nini?watakuja kina babu Iddi wengine Insha Allah
Hekma huna hata akili umekosa
@@massoudkhamis-k3h wewe ndio huna akili ambae huijui dini yako uislamu ni sunnah na sunnah ndio uislam tuambie abuu idd ni sunnah gani alikua ana lingania
@@massoudkhamis-k3h zaid ya kuiponda sunnah na watu wake allah amsamehe madhambi yake lakini pia tunamshukuru allah kwa kifo chake hayo ndio maneno walikua wakisema wema waliotangulia kwa watu mfano wake
Tatizo tuna wasndishi wa ovyo sana wasioweza kuchambua habari kulingana na athari zake
Acheni kiki tena mumepata cha kusema .Kufurahia sio sawa ila kushukuru kwa kufa kwake ni sawa kumepungua mtu wa bidaaaa.
Allah amghufiri shekh Muhammad ayub lkn shekh tumekatazwa kuitana majina mabaya SASA shekh na wewe umewaita wenzako mayahudi wahabbi mpumbavu Hana akili SASA hapo kidogo hakuko Sawa
Hayo ni mapandikizi ya mayahudi
Pandikizi la kiyahudi hawa ziwez kusema ni wenzetu hata siku moja
Nikweli nimwehu Hana akili
Mwana chuoni tena jamaa mpumzisheni ashayaona yale sie hatujayaona.
Bado mpaka sheikh mmoja wa kisalafy apande mimbari adhihirishe ile furaha tulioipata hasa ndio wataelewa kama vp sheikh muniir as-saad alivyo dhihirisha furaha yao kwa kufa jizushi la kule yemeni
Ni kweli Abu IDD alikuwa mzushi na kupinga sunnah, dhibitisho wa maneno yangu mtume asema tufuge ndevu na tunyoe masharubu ilhali Abu IDD amenyoa ndevu na kufuga masharubu, opposite ya mtume kwa hivyo alikuwa anapinga sunnah, pia angalia kanzu ya Abu IDD ilikuwa inavuka kwato hadi kugusa chini na mtume kasema kanzu isipite ankal
Kwahiyo unaona uislamu ni kanzu na Ndevu?
Roho mbovu zenu zimejaa chuki, ukiona una chuki jiangalie sana, Dini ni nafsi yako ilivyo, jiangalieni sana, huenda mkawa mnapatia na huenda mkawa mnakosea
@hamisisalimu6908 tumia akili yako, uislamu ni 1+1+1+1 na huwezi Pinga moja ufanye ingine, hatuna ruhusa ya kupinga sunnah ya mtume hata moja na ukipinga ama kukejeli basi unaweza kukufuru, chunga sana ndugu. Pia usidogoshe sunnah ya ndevu na kanzu, naona kama unadogosha sunnah ya mtume s.a.w
Ila vijana wa kiwahabi mna matatizo makubwa sana adabu zenu ni ndogo mno
@katalayshemndolwa3146 story ya kuniita wahabi haikusaidii chochote, let's talk ile kitu muhimu ambayo ni huyo shehe wenu aliishi kupinga sunnah ya mtume s.a.w na nimetoa mfano, wewe leta sunnah gani alihuisha huyo shehe wako kama huna funga mdomo, matusi hayakusaidii chochote
Hakuna Sheikh wa Salafi anaesema
hayo ni Mambo ya fb
ipo hta audio wametengeneza
Hatukatai kua sio Mashekh wakisalafi au wa habi. Kama siyo hivyo wangejitokeza Mashekh wao waseme kukanusha hilo mbona wamenyamaz
Ibilisi kweli ni mjanja
,serikali ingeifuta taasisi ya ansar ni ya zulma na utapeli a niwshujumu uchumi wa nchi huyo kiongozi waokashika msahafu mwezo wa ramadhani kuapauongo kuwa yatima na mama yao mjane hawana haki mara alitoa wakfu atatoa wakfu mtu ana mke na watoto watano awaache masikini wakutupwa wangeacha zulma kwanza wakarudisha haki za mayatima walizowazulumu lakini allah anawashuhudia yeye na barazla zulma a
Kama serikali ni yako nenda futa, khurafi wewe
Serikali siyo ya babu yako
@rashidikhamisi4313 wakikosa hoja wanakimbilia serikali na idara za ujasusi 😂🤣🤣
@@mohagurey2214 nikweli ni yawatu wote haina ubaguzi inazifahamu taasisi zote Kila kitu huwezi ipangia ifute hii ibakize hii
@rashidikhamisi4313 makhurafi wakikosa hoja si wanapenda kukimbikia serikali 😂🤣🤣
Hawa wanao jiita salaf hili nikundi katika makundi yaki yahudi , walikua wakiishi saudia na wakaenda baadhi yaao Yemen, wakijifanya ni waislamu , wakaunda kundi wakaliita kwa jina la salafi, kundi hili kazi yaao kubwa nikutusi waislamu wenzao na kukufurisha mashekhe na wanavioni , huku wakijifanya wao ndio wafwasi wa kubwa wa bwana mtume pia wakijifanya waao wana fwata salaf yani weema walio pita ili waislamu wadaganyike kwa hilo jina , huku ikiwa nembo yao kubwa alama yao kubwa nikukufurisha na kutusi wanavioni wote walio kinyume na wao,
Dhahiri haya maneno yako ni kusikia kwa watu tu bali hujakaa kuijua manhaj salaf
Ujue kutofautisha kati ya Jamaat Takfir na manhaj salafy. Sio kila mwenye ndevu yupo katika manhaj ya salafy ndg. Jitahidi kupambanua kwa baswira.
Wewe unadhani angekua Amekufa Baba yake, angesema hivyo??ni wendawazimu tu.
Nyinyi makhurafi siyo wakweli kwenye dini. Nyinyi mnashirikiana na mashia kwenye maulidi wakati shia mnajua kabisa wanawatukana maswahaba wa mtume swalallahu alayhi wasallaam na wanafurahia kufa kwao na wale waliouawa wanawaadhimisha wale waliowaua. Makhurafi ni watu waongo tena wajinga wakupuuzwa.
Kama nimwanaume Sana angeweka sura yake hapo tukamuona na huyo tutamjuatu yahudi mkubwa huyo
Mpumbavu mkubwa ww huyo sufi ghurafi jizushi jitu la bidaah abuu idd alikua na uwanazuoni. Gani zaidi yaupotoshaji
Kila anaenda kinyume na muongozo wa MTUME huyo ni khulafi huelew wap nyote mliopo apo ni makhukafi
Onyo gani ....KWA KHURAFI SUFI...MLINGANIZI WA BIDAAA......AU MNATAKA KUTUAMBIA ALIKUA ANALINGANI SUNNA????
Kwaiv ni wa motoni au sio jaji mkuu
Sasa shk alietamka ni huyo mmoja kwanini wachanganya masalafi wote
Ni kwa sababu masalafi waliobaki hawajamrudi huyu mwenzao kwamba amefanya makosa.
😂😂😂😂😂😂😂
Eti tusikhalifu msimamo wa babu zetu😂😂😂"juu yenu ni Sunnah zangu na za khulafau rashidin" imeenda wapi? Babu zetu wengi walikuwa wazushi na watu wa bid'a so tufuate vp
Umebaki kusema Hadi baba Ako na mama Ako alikua mzushi, na mda c mrefu masalafi watasema had mama zao walikua wazushi sikusudii kutukana kama nyny mlivo watukanifu
@HemedSerious sawa, wewe fuata Babu yako, sisi tunafuata na kuhimizana tufuate mtume s.a.w
Uislamu umekufikiaje kama sio hao babu zako unaowaita wazushi?
@JJ4ZA nenda nunua akili kwa dukani kama ipo
@@mohagurey2214 Walichofanikiwa mayahudi ni kutengeneza mawahabi.
Acha Kukariri Matukio
Kwani Salafi Hawana Viongozi
nani ktk Masheikh wa kisalafi
aliesema hivyo ?????
hao ni vichaa
wa fb Acheni kukuza Matukio
Waislam wote tunasema inna lilah wa
inna ilaihi rajuun
mengine ni. kutafuta umaarufu
Hayo maneno tumetumiwa na SALAFY mwenzetu NDANI ya magurupu ya kisalafy na viongozi wa kisalafy wameona wamefurahia. Wewe usijifanye hujui. Serikali inaweza kumfichua ukaadhirika bure kujisemea bila kujua.
Tusisahau aya inayosema waumini wanaume wasiwadharau wanaume wenzao na wanawake wasiwadharau wanawake wenzao huwenda wanaodharauliwa wakawa bora hivyo umakini unahitajika
Ww mwehu
Kama wewe sio salaff basi ni myahudi maana usalaff ndio uislaamu wa sawa
Usalafi wanu huo wakisenge
Usalafi wenu ni sawa na mayahudi
Kwasababu wengi wenu hamuna Adabu au akhlaq