KUNDI LA WAKRISTO LAJISALIMISHA KWA ALLAH NA KUINGIA MSIKITINI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • ‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria Please remember to subscribe to our channel.

Комментарии • 87

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 3 месяца назад +3

    Mashallah mungu akuzidishiea bidii ulonao ya iman

  • @allymkumba70
    @allymkumba70 3 месяца назад +3

    mungu awaongoze amina

  • @ufafanuzi4382
    @ufafanuzi4382 3 месяца назад +4

    Mungu awabariki shekhe kwa kuFikisha ukweli wa uislamu kenya nzima . Hapo ndipo maisha ya wakenya itakuwa bora. Watu wakujaliana waee wengi i.a

  • @josemu870
    @josemu870 3 месяца назад +5

    Mafundisho yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide Allahamdhullah barikiweni sana sana

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 3 месяца назад +3

    مشأ الله تبارك الرحمن

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 3 месяца назад +3

    Mashaallah Tabaraka Rahman Allah yupo pamoja nawe akuwezeshe zaidi

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 3 месяца назад +3

    Masha Allah

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bg 3 месяца назад +3

    MashaAllah

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 3 месяца назад +3

    ALLAH AKBAR

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi 3 месяца назад +1

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah azidi kuwaongoza masheikhe wetu kwa KAZI hii nzuri ya daawah ,,,alafu sheikh JINA BILAL sijalisikia mtu akitwa , please JINA tukufu hilo vijana wengine wanapaswa kuitwa Bilal..🎉🎉❤

  • @Naw89
    @Naw89 3 месяца назад +2

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    Maa sha Allah sheikh wetu Allah akupe jannat firdaus bila kipingamizi

  • @swabraswarina7331
    @swabraswarina7331 3 месяца назад +3

    Allahu akbar

  • @salimomar-n7s
    @salimomar-n7s 3 месяца назад +2

    Mashallah

  • @Naw89
    @Naw89 3 месяца назад +9

    Maa sha Allah wamependeza kweli Allah atujaalie waislam sote peponi kwa rehma zake Allah

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад +5

    MashaAllah.Allahu.Akbaru.😭😭😭TunamuombaAllah AzidikuipaishaDiniYetu.NaawLinde.mashekh.wetu.InshaAllah.Ndacha.upo

  • @Hajimmanga
    @Hajimmanga 3 месяца назад +1

    Mashaallah Allah awalipe ujira stahiki awajaalie jannat frdaus

  • @Naw89
    @Naw89 3 месяца назад +4

    Maa sha Allah wamependeza kweli Allah atujaalie waislam sote peponi kwa rehma zake Allah

  • @hassanwario-w7n
    @hassanwario-w7n 11 дней назад +1

    Ramadhan Assalam alykum warakamtullah wabarakatuh tuko na shida ya miskiti hapa juja farm naomba ukuje utuwekeee kwa mtandao Ili wale wameguzwa na mungu waweze kutuma sadaqah zao in Shaa Allah tuweze kupata miskiti hapa juja farm...mchango ni mwezi WA kumi na moja inayokuja in Shaa Allah

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад +1

    MashaAllah

  • @Fumokale
    @Fumokale 3 месяца назад +8

    MashaAlla tabaarakallah....Allah awaongoze wooote walosilimu na walioko ktk uislamu na atujaalie mwisho mwema na atujaalie IKHLAS....aaminaa🤲

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714 3 месяца назад +5

    Allahu Akbar Subhanallah. Hakika Uctadh na jopo lako Alhamdulilah. Yani ww una fanya kazi Allah Swt hakika malipo yenu yapo kwa Allah ambaye hasinzii wala halali Allah Akbar mpo ktk faida kubwaa mnoo. Umesilimisha watu wengi na kuna markaz ambayo wengi wamejiunga. Subhanallah hakika mmefuvuzu. Allah awajalie afya njema na awaondolee vikwazo ktk hii kazi ngumu na Inshallah awajalie pepo yke tukufuu kbsaa Biidhinilah.Allahumma Amiiyn.

  • @josemu870
    @josemu870 3 месяца назад +2

    Takbir tumtukuze mwenyezi Mungu pekee yake

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 3 месяца назад +6

    Nime ishtuka wakati yule kijana Ali Sema mukosa dini. Ramadan ume fanya kazi mungu peke ana weza ku kupatia zawadi vike ume fanya . Jaza jena farsows Inshalaah

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija7949 3 месяца назад +4

    Masha Allah Allah awafanyie wepesi kwakazi mnayoifanya

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +3

    Assalam aleikum mashekh Allen awalipe hapa duniani Na Kesho akhera kazi nzuri

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 3 месяца назад +4

    ALLAHU AKBAR
    ALLAH akufanyieni wepesi nyote.
    Aamiin

  • @aliseif2691
    @aliseif2691 3 месяца назад +3

    Assalam Aleykum.
    Allah azidi kuwaongoza,Inshallah.

  • @AbdallaBarisa
    @AbdallaBarisa 3 месяца назад +4

    Mashaallah Mashaallah shekhe mungu awaongeze hiyo juhudi ya kulingania Dini ya haki ya mwenyenzi mungu

  • @linetkikin4023
    @linetkikin4023 3 месяца назад +3

    Mashaallah kwa daawa inaelimisha wengi

  • @abdisomali3840
    @abdisomali3840 3 месяца назад +3

    Shukran sana sililali bila kuskiza mawaida❤

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 3 месяца назад +3

    Mashaa Allah, Allah awaongoze karibu katika dini ya haqqi

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114 3 месяца назад +3

    MashaaAllah MashaaAllah MashaaAllah Allah akuhifadhi dunia na akhera

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry27 2 месяца назад

    ما شاء الله

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +3

    Sheikh Ramadhan mashallah Allah akupe umri mrefu akuzeeshe katika kazi ya daawa

  • @raniahmamu2586
    @raniahmamu2586 3 месяца назад +3

    ❤❤❤❤ Masha'Allah.. alhamdulilah

  • @faridbashuu
    @faridbashuu 3 месяца назад +3

    Daawa kwa Utaratibu, nidhamu, na urafiki. Utulivuuu Maashallah.
    Barakallahu Feekum Nyotee.

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 3 месяца назад +3

    Takbyr

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 3 месяца назад +2

    Allah Akbar 🎉

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +3

    Correction not Allen but Allah

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 3 месяца назад +3

    Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲🤲🤲📿

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 3 месяца назад +3

    Allah akbar Allah akbar wali llah lihamd

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 3 месяца назад +3

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +4

    Uislamu neema

  • @Naw89
    @Naw89 3 месяца назад +2

    Sheikh usisahau kuwapa majina hapo hapo tusikie raha
    Uislam raha sana na radha ya uislam ni imani thaabiti

  • @Natashaamina-u7w
    @Natashaamina-u7w 3 месяца назад +3

    Mashallah tabalakallah good job

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +2

    Astaghfirullah astaghfirullah Allah Akbar Allah Allah Akbar

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 3 месяца назад +2

    Subhanna Allah hawa ndugu wakristo hii ilimu ya kuabudu yesu jamani wajisomee bibilia wao wenyewe mapasta wanawapoteza

  • @nadiifoabtidoon169
    @nadiifoabtidoon169 3 месяца назад +2

    Mashallah jasaakallahu khayr

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 месяца назад +3

    Masha Allah 💖💖💖

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 3 месяца назад +3

    Allah Akbar

  • @Zainab-f9w5x
    @Zainab-f9w5x 3 месяца назад +3

    Ma sha Allah

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад +2

    Takbiriii.Allahu.Akbaru😭😭mashaAllah

  • @djhassim_254
    @djhassim_254 3 месяца назад +2

    Mashaallah kazi nzuri karibuni kwenye dini alotutakieni Allah

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 3 месяца назад +4

    Kuna sehemu flani kitale kuna vjana wanataka kuslimu but wanasema hakuna masjid na hawajaona wakuwaongoza, mmoja wao ni baby daddy wangu but niko gulf. Kitale

    • @Khalidmwangwai4651
      @Khalidmwangwai4651 3 месяца назад +1

      Masha’allah tuombe Allah atupe nguvu Ramadhan afike uko alafu tuchangie kujenga nyumba ya Allah

    • @prettyaysha7892
      @prettyaysha7892 3 месяца назад

      Inshallah kwa uwezo wa Allah​@@Khalidmwangwai4651

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 3 месяца назад +2

    Allah Akbar

  • @zayanyarow149
    @zayanyarow149 3 месяца назад +1

    ManshAllah wallih unafanya kazi very nice. Frm Norway

  • @RajabwanyonyiJuma
    @RajabwanyonyiJuma 3 месяца назад +1

    Nafurahia kuona wazee pia wakisilimu, maana wengine hudai vijana wanaosilimu hawana unfahamu.....
    Mzee wetu hapo alisema amemuita mwenzake waende kanisani lakini wapi, Kwa kweli mwenyezi mungu humuongoza amtakae

  • @Ozihamza
    @Ozihamza 3 месяца назад +1

    Fedha Masha Allah ni vile sikuwa area ningekuona live

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 месяца назад +1

    Masha Allah sheikh ramadhan dawa inaendelea alhamdulillah

  • @muhamedibrahim8931
    @muhamedibrahim8931 3 месяца назад +1

    Mtafika lini madogo Amir sub

  • @mohamedmaina2279
    @mohamedmaina2279 3 месяца назад

    Asalam alekum My friend please let me know when you are coming to kamkunji kitui village NAIROBI

  • @Al-khalilySuleiman
    @Al-khalilySuleiman 3 месяца назад +1

    Assalm alaykum nauliza hiyo nashid kasoma nani?

  • @AliHassanAli-jd9ru
    @AliHassanAli-jd9ru 3 месяца назад +1

    Allah Akbar

  • @BURHANDAWAHMAN
    @BURHANDAWAHMAN 3 месяца назад

    Allah awafanyie wepesi sh.Ramadhan na kundi lako

  • @Bintiiiiiiiiii
    @Bintiiiiiiiiii 3 месяца назад +2

    Mashaa Allah ❤️

    • @MejumaaRashid-s8g
      @MejumaaRashid-s8g 2 месяца назад

      Asalamu aleykum mashaallah tabarakallah Allah akulipe wema hapa duniani na akherani

  • @mariamhakim1463
    @mariamhakim1463 2 месяца назад +1

    Mashallah hajazaka la kheri fih kum, mimi ni mTanzania ila ,na nina wafutilia sana ,ilaninaswali ,nauliza hivi mnaenda kutoa dawaa hata nchi za nje ,?

    • @mariamhakim1463
      @mariamhakim1463 2 месяца назад

      Huyu msomaji ana soma vizuri sana hua namkubali hua hababaiki kama walewengine Masha Allah

  • @ImmanueliPatrick
    @ImmanueliPatrick 2 месяца назад

    Hao ni wale wasiotambua uzur na ubora usio na kias ulio katika kristo Yesu,atakae wahukumu wote,hata Muhammad anatazmia siku hiyo

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA 2 месяца назад

    MASHAALLAH MASHAALLAH ♥️ ♥️ ♥️ TABARAKALLAH ❤

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 2 месяца назад

    Mashaallah kazi nzuri sana Allah azidi kuwaongoza kila aliepotea

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed8812 2 месяца назад

    Mash ALLAH alhamdulilah ❤❤❤

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад

    Nawasikitikia wamejiunga na Shetani

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 2 месяца назад

    Pole Sana kwakuwa potosha watu Yesu watarudi tu

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 2 месяца назад

    Mashaa Allah Tabarakallah ❤❤

  • @georgeachiengrestinpeacebr7215
    @georgeachiengrestinpeacebr7215 3 месяца назад

    Wakristo feki...siwezi jiunga na uislamu dini la shetani Allah na mtume wake Mohammed

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 3 месяца назад

      Makafiri moto upo kwa ajili yenu wewe endelea na ukafiri tu

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 3 месяца назад

    Masha Allah ❤