Hofu ya Vita yatanda Mashariki ya Kati
HTML-код
- Опубликовано: 7 окт 2024
- JARIDA LA WIKIENDI linaangazia mzozo wa Mashariki ya Kati, vita kati ya Israel na Wanamgambo wa Hezbollah, Hamas, wa wahouthi wanaorusha makombora kutoka Yemen, wakati Iran pia inayorusha makombora ya masafa marefu kuelekea Israel.
VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
Jiunge na VOA Swahili:
» Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
»Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
»Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
»Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
»Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili...
»Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili
»Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili
»Tufuatilie katika X: / voaswahili
»Tufuatilie katika RUclips: / @voaswahili - Развлечения
Safi sana Ibrahim rahbi umewachana vizuri sana hasa huyo mtangazaji wa VOA,alitaka kupenyeza propaganda zake hapo nawakati tumeona wauwaji wa Israel walivyo chezea Kichapo kama mbwa mwizi MEDIA za magharibi na washirika wake siku hizi watu tumeshaamka sio kama zamani.
anae itwa pr. hajui hata kuongea, anangata maneno kulinda asiwakosee mabwana zake, haongei ukweli.
hongera sana ibrahim umejitahidi kuongea ukweli.
Prophesna huna maana hujui kuongea au unajipendekeza kwa Marekani na israil makafiri wenzio
Ibrahim mungu akulinde sana kaka
mimi nipo tayali kupgana kwajili yawapalestina
Wahi sasa maana nafasi ni chache 😂😂
Tupo pamoja
@@CragyMsuyerMagaidiiii
😂😂@@living_creature99
@@living_creature99😂😂😂😂
Ibrahim mchambuzi bora na mfatiliaji
Ibrahimu shukrani kwakuwa mkweli na mwazi kwa hao wafuasi wa Israel. Uko vizuri kwakweli
Ni mtu na nusu
Hmjmbo voa swahili pa moja na citizen wetu na pia azam tv 📺 nawa salamia nyinyi nyote hii nasikia sauti y ma ndugu bmj murihi n pia kaka sauti nyoro rooro abdu shakuur abuud hii viita y m shariki y kati ata enea majiraani wote kea ville usi ongoojee ye amani na utulifu ukiwa we hutaaki amaani asanteeni voa swahili
Hongeren sana wachambuzi mmechambua Safi sana bila upendeleo pongezi kubwa kkwaleoieende kwa lmchambuzi Ibrahim. Naitwa chacha mturi. Natokea Sala last. Dar les Salaam,Nawatakia kazinjema
Ongereni
Mwisho wenu umefika uraaaaaa
Walipigwa sawa sawa na Iran
Israel haiwezi kuyakabili
wacha unazi ww profesa hapo An apigana mmarekan
Bwana,vita Iran na wenzake wakiamua kushambulia mbaka hizo meli za marekani zitakimbia au kuangamizwa so marekani watapata hasara kubwa Sana.unchanja wao WA kuwauwa viongozi kagunduliwa bro.
Huu ni mwisho WA duniaaa
Yetu machooo😂
●msimuonyeshe dhalimu😢😮
😢😢 habari za hasubuhi?
Mm naona kma Israel wanauwa wananchi wa Irani SSA Irani ifanye hvo kwao.
Uchungu bin uchungu
Aslimia 90 ya makombora yalilenga shabaha na kusababisha uharibifu mkubwa,
Ha ha haa mmechemka Ibrahim kawashida
Mnafichaficha Upwell vibaraka wa wasenge
Iran mbn hujaishqmbulia
Indeed israel is a tough country. As small state as it is being attacked by countries and big economies surrounding it but they unable to defeat it.
Wakati huy marekani ndio mchochez WA siku zote yaan marekani n ndumi la kuwili
Hao waarabu hawatakiwi kupewa uhuru sana maana hao huwaza mabaya siku zote haitakiwi wakae salama ili wasijipange zaidi ni kuwa zohofisha kila wakati. Ndio maana Marekani na Israel imesha wasoma vizuri hao makafiri wa kiarabu😮😮
We ni fara,Bado una minyororo ya ukoloni akilini mwako.Hujui historia ya kuanzishwa kwa Taifa la Israel,taifa lililokubali ushoga kisheria.Pia hujui historia ya Dunia, historia ya utumwa, ukoloni na Ukoloni mambo Leo.Nenda ukasome na ukafuatilie mambo ujue ili uache ukenge.
Profesa Monda njootu ulime mihogo kihonda uku
Mtangazaji unaogopa kufukuzwa na washirika wa israil mbona ukimkatiza habari Ndugu Ibrahiim
Vita zitaendelea ikiwa muisrael hataondoka kwa ardhi ya mpalastine vita zitaendelea na hakutakuwa na amani duniani hatuwezi kunyamazishwa na magaidi waisrael na wamarekani
Mda utaongea 2 tunawasubili mjib
Kila kombola lilinaswa kwa plopaganda Israeli mko vzr kama mna uwezo kivita mbona hammalizi zaidi ya mdomo tu
Awajanasa atakombora moja yairan
Umejuaje wewe
Kwani hatuoni?Kama wamenasa ni kidogo TU.Sehemu kubwa makombora hayakunaswa.
Zipigwe tu kwani vp kila mtu atakufa ata uyo netanyahu atakufa tu siku moja so vita iendelee tu
Poa tu babu wazichape tu
Kwani mungu ni ya israel pekee israel zita chomeka siku karibu kwa idinillah
Inaonekana Haina uwezo wakulinda anga yake kwasababu irani imepitiliza kupita kwenye anga ya israil majumba mengi ameyawacha na kutunga anapotaka irani nakufanikiwa🤓
Kajibiwa vizur voice America😂😂😂 na propaganda zao
Kumalamanazenu wachambuzi
HAWA WAARABU NI WABAYA SANA
WANAPENDA VITA NA KUMWAGA DAMU SIJUI KWA NINI
WANAJUA KABISA ISRAEL NI TAIFA LA MUNGU LKN WANAZIDI KUSHINDANA NAO!!!
MBONA MUNGU HALILINDI 😢😢😢😢😢MASHOGA NDIO WANALILINDA MWISHO WAKE UNAKARIBIA
Kwa hiyo wewe kwa kuwa sio Mwisraeli ni taifa la Shetani? Acha kumeza mambo bila kutafuna. Hakuna Mungu anayehalalisha umwagaji damu wa watu wasiokuwa na hatia: wanawake, wazee, na watoto. Mataifa mengi duniani yanailaani Israeli kupitia Umoja wa Mataifa (UNO) kwa mauaji ya watu wasiokuwa na hatia, unadhani hao wote ni wajinga. Fikiri mara mbili my friend.
@@StephenKimondo-qw3et HIYO KWA WAGALATIA INAITWA COLONIAL MENTALITY WACHUNGAJI WETU WAMETUPIGA BAO NA TAIFA TEULE AMBALO HALIJAFIKISHA HATA MIAKA 💯🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
😂😂😂alafu fatilia history kafiri wewe nani anae penda vita vita yote ya middle east unajua nani alie anzisha or unasema tu, jiulize Syria, Iraq, Taliban, yemen, libya, Japan aliepiga bomu la nuclear, jiulize nani alienda kuvamia Vietnam alafu useme ni muarabu uyo au ulikua kijijini umenza kufatilia habari juzi
@@MohamedAhmada-ie7ke VITA YA DUNIA NA UTUMWA KWA MIAKA ZAIDI 400 MAGONJWA WOTE NI WAZUNGU JAMANI WAGALATIA NA BADO WANATUITA MANYANI HATA UKIWA MCHUNGAJI NI NYANI TU 🤩🤩🤩🤩🤩🤩🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mm nikotayari kisaidia israel kupigana kwani nitaifa la mungu
Kumbe tupo wengi waarabu sio watu ukiwapa nafasi na uhuru wana jipanga kuleta fujo duniani
Unao sarport israil wewe ni msenge unafirwa hao wenzio kuma wewe watu wanauwa watoto na wanawake na watu wasio hatia unaunga mkono wewe mfirwaji kumamamako mbwa wewe na wazee wako unaonekana wewe unapatikana kwakufirwa mamako
@@MgishaBoaz...kila anaesa unga mkono wauwaji na wasenge nae ndio hapohapo na wewe kumamamako mkundu wewe unaona raha watoto wetu arobaini kuuawa wewe mtu au mbwa??
Nyote munao unga mkono israil mambwa kumamazenu
@@seifmasoud3061 UNAWEZA KUJIFUNZA CHOCHOTE KUTOKA KWA YEYOTE.
Ibrahim hilo jina wajua asili yakeee? usilitumie hili jina kutetea magaidi ka aliyejiita IBRAHI rais, oleee
Ufumbuzi wa mgogoro wa siku kati ya Israeli na ulimwengu wakiarabu utapatikana tu Marikani mshirika mkuu wa Israeli atapo kubali kufanya hivyo.
EE MUNGU ENDELEA KUIPIGANIA ISRAEL
Kama Mungu marekani ndio tayari anaipigania ila Mungu alieumba hii dunia hawez fanya hivo
Hakuna mtu yeyote atakaye wafumba kinywa Israel maana hawajui wanachokifanya lait wangejua wanacho kifanya wangeomba msamaha Kwa Israeli ,maana ukimgusa Israel umemgusa MUNGU ayewaumba kumbuka taifa lakwanza kutengeneza makombora ni Israel kutafuta ushindi zidi ya Israel nikutafuta AIBU.
Puguza ujinga ww soma vzuri
Jidanganye ww 😂😂😂 hakuna taifa la mungu hapo. Izraeli ndo taifa la kwanza kusapoti ushoga, izraeli ni taifa kiyahudi[kizayuni] dini inayopinga zaidi ukristo kwao wao hawamueliewi kabisa yesu. Wao yesu ni mtoto wa haramu na hawamuelewi kabisa. kwaiyo wewe jidanganye tuh endelea kusapoti hao mashoga 😂😂😂😂
😂😂😂unatakiwa ukapimwe milembe