Комментарии •

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 3 года назад +5

    Haya wanaotegemea nchi za magharibi, eti wanaijua demokrasi duniani leo yako wapi🤔🤔🤔🤗🤗😂😂

  • @ismailsalumu6398
    @ismailsalumu6398 3 года назад +4

    Allah alitupa mfumo wa kuingiza, jinsi ya kupata viongozi lakini wanadamu tumekataa mfumo huo na kuanzisha mfumo wa kwetu hvyo lazima tupate misukosuko mpaka kiama labda turudi kwenye mfumo wa allah....

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 3 года назад +6

    Marekani watu wengine vichaa hawatakiwi kupewa nchi, Trump ni chizi Kama wengine tuu

  • @reubendaud8198
    @reubendaud8198 3 года назад +3

    Si mnasema malekani Ina uhuru? Kwanni maandamano Tena?

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay2205 3 года назад +3

    Wababe wa dunia,,hiyo ndio demokrasia?????..

    • @jmm1840
      @jmm1840 3 года назад

      😀😀

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 3 года назад +4

    Natamani Lisu atuambie Demokrasia ya Marekani imeenda wapi??Maana ilikuwa kila siku Marekani Marekani.

    • @jmm1840
      @jmm1840 3 года назад +1

      Atasema kibaraka wa wazungu.Hana jipya ni mchumia tumbo tu yule.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +2

    Heee trump vipi tena nyie mnajitapa wakuu wa demokrasia haya yanatokea wapi tena

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад +1

    Laana imewashukia

  • @dogodogo595
    @dogodogo595 3 года назад +2

    Mange Kimangi upooo??? haya rudi nyumbani sasa huku kumenoga😄😄😄

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 3 года назад +2

    vibweka vya demokrasia

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 3 года назад

    J.Biden safiii

  • @jmm1840
    @jmm1840 3 года назад +1

    Ingelikuwa africa kwa vurugu hizi ungesikia rais ajiuzuru.Kweri palipo panya tupu wakumfunga paka kengere hamna.

  • @khalidkhalfan4349
    @khalidkhalfan4349 3 года назад +1

    Wazungu mnapenda kuinyanyasa Tanzania nyinyi yakwenu yanawashinda tulizeni fujo alafu.uyo trump mpelekeni jela tuone so wafuasi wa trump nguvu wataipata wapi wakamtoe jela kama.wanaweza

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 3 года назад

    Wauwaji wa watu weusi bila kuajibika ndo democrasia? Acheni upumbavu.

  • @devothamasaki5513
    @devothamasaki5513 3 года назад

    Ogopa mjinga

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад

    Kiongoz wa CCM huyu Trump siyasa yake amesoma zanzibar TANZANIA

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 3 года назад

      Leo kawa wa CCM Tena...... kimbilio la watu eti malekani baba wa domoklasia

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 3 года назад

    mwenye demokrasia imemshinda demokrasia yake, tunahitahi mfumo mbadala

  • @emmanuelngasa5891
    @emmanuelngasa5891 3 года назад

    Baba wa demokrasia duniani sasa yuko hoi been taabani.

  • @reubenbuchege8577
    @reubenbuchege8577 3 года назад

    Njooni huku tujifunze neno na tumwabudu Mungu ktk Roho nakweli bonya link hii chat.whatsapp.com/Cio1IeWyfsHE9miJz12oZv

  • @fakihaji7164
    @fakihaji7164 3 года назад

    I dislike it

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 3 года назад

    Vurugu zilisababishwa na democrat kwa miaka 4 mfululizo,tena mbaya sio hizi ,Twitter,Facebook,medias are all corrupt

    • @kyataonline5262
      @kyataonline5262 3 года назад

      hatari sana!

    • @fundiabrafundiwashingmachi4698
      @fundiabrafundiwashingmachi4698 3 года назад

      Wakati umefika sasa ulimwengu unahitaji mfumo mwengine sio demokrasi nao ni Uislamu tu

    • @fundiabrafundiwashingmachi4698
      @fundiabrafundiwashingmachi4698 3 года назад

      Suluhisho la matatizo yote ni mfumo wa uislam pekee wala sio demokrasia

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 года назад

      @@fundiabrafundiwashingmachi4698 uislam unamfumo gani😂😂😂😂
      Hakuna mfumo wa uislam duniani,nnachojua kuna mfumo wa kifalme ambao upo tokea zamani ,mfumo wa kiislam ni kandamiz,uongo,njia ya jjehanam
      Yesu atakapotawala ndio aman itakuwepo ,huo uislam uliochinja mamilion ,ubakaj wa vitoto kwa kusingizia ndoa,uchafu kibao,haufai,tupambane mpka Mungu atakapotawala ndio aman itakuwepo

    • @fundiabrafundiwashingmachi4698
      @fundiabrafundiwashingmachi4698 3 года назад

      @@goldmansun5859 lnaonekana hata maana ya mfumo huelewi ndugu nani kakuambia hakuna mfumo wa uialamu

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 3 года назад

    J.Biden safiii