Allah alitupa mfumo wa kuingiza, jinsi ya kupata viongozi lakini wanadamu tumekataa mfumo huo na kuanzisha mfumo wa kwetu hvyo lazima tupate misukosuko mpaka kiama labda turudi kwenye mfumo wa allah....
@@fundiabrafundiwashingmachi4698 uislam unamfumo gani😂😂😂😂 Hakuna mfumo wa uislam duniani,nnachojua kuna mfumo wa kifalme ambao upo tokea zamani ,mfumo wa kiislam ni kandamiz,uongo,njia ya jjehanam Yesu atakapotawala ndio aman itakuwepo ,huo uislam uliochinja mamilion ,ubakaj wa vitoto kwa kusingizia ndoa,uchafu kibao,haufai,tupambane mpka Mungu atakapotawala ndio aman itakuwepo
Haya wanaotegemea nchi za magharibi, eti wanaijua demokrasi duniani leo yako wapi🤔🤔🤔🤗🤗😂😂
Allah alitupa mfumo wa kuingiza, jinsi ya kupata viongozi lakini wanadamu tumekataa mfumo huo na kuanzisha mfumo wa kwetu hvyo lazima tupate misukosuko mpaka kiama labda turudi kwenye mfumo wa allah....
Marekani watu wengine vichaa hawatakiwi kupewa nchi, Trump ni chizi Kama wengine tuu
Si mnasema malekani Ina uhuru? Kwanni maandamano Tena?
Wababe wa dunia,,hiyo ndio demokrasia?????..
😀😀
Natamani Lisu atuambie Demokrasia ya Marekani imeenda wapi??Maana ilikuwa kila siku Marekani Marekani.
Atasema kibaraka wa wazungu.Hana jipya ni mchumia tumbo tu yule.
Heee trump vipi tena nyie mnajitapa wakuu wa demokrasia haya yanatokea wapi tena
Laana imewashukia
Mange Kimangi upooo??? haya rudi nyumbani sasa huku kumenoga😄😄😄
Hatarehataree
vibweka vya demokrasia
J.Biden safiii
Ingelikuwa africa kwa vurugu hizi ungesikia rais ajiuzuru.Kweri palipo panya tupu wakumfunga paka kengere hamna.
Wazungu mnapenda kuinyanyasa Tanzania nyinyi yakwenu yanawashinda tulizeni fujo alafu.uyo trump mpelekeni jela tuone so wafuasi wa trump nguvu wataipata wapi wakamtoe jela kama.wanaweza
Wauwaji wa watu weusi bila kuajibika ndo democrasia? Acheni upumbavu.
Ogopa mjinga
Kiongoz wa CCM huyu Trump siyasa yake amesoma zanzibar TANZANIA
Leo kawa wa CCM Tena...... kimbilio la watu eti malekani baba wa domoklasia
mwenye demokrasia imemshinda demokrasia yake, tunahitahi mfumo mbadala
Baba wa demokrasia duniani sasa yuko hoi been taabani.
Njooni huku tujifunze neno na tumwabudu Mungu ktk Roho nakweli bonya link hii chat.whatsapp.com/Cio1IeWyfsHE9miJz12oZv
amina mtumishi munguwetu muaminifu mile
I dislike it
I like what is happening in America right now.
Vurugu zilisababishwa na democrat kwa miaka 4 mfululizo,tena mbaya sio hizi ,Twitter,Facebook,medias are all corrupt
hatari sana!
Wakati umefika sasa ulimwengu unahitaji mfumo mwengine sio demokrasi nao ni Uislamu tu
Suluhisho la matatizo yote ni mfumo wa uislam pekee wala sio demokrasia
@@fundiabrafundiwashingmachi4698 uislam unamfumo gani😂😂😂😂
Hakuna mfumo wa uislam duniani,nnachojua kuna mfumo wa kifalme ambao upo tokea zamani ,mfumo wa kiislam ni kandamiz,uongo,njia ya jjehanam
Yesu atakapotawala ndio aman itakuwepo ,huo uislam uliochinja mamilion ,ubakaj wa vitoto kwa kusingizia ndoa,uchafu kibao,haufai,tupambane mpka Mungu atakapotawala ndio aman itakuwepo
@@goldmansun5859 lnaonekana hata maana ya mfumo huelewi ndugu nani kakuambia hakuna mfumo wa uialamu
J.Biden safiii