YANGA WALIKURUPUKA KUMSAJILI OKRAH| HAJALETA UTOFAUTI YANGA| BERNAD MORRISON NI BORA KULIKO OKRAH.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 8

  • @ShkuluMohammed
    @ShkuluMohammed Месяц назад +2

    Sio kweli flavian nakataa kwani okra kinachosababisha aachwe ni nidham nasio kwamba hana uwezo mzuli uwanjani

  • @flavianmashimi6327
    @flavianmashimi6327 Месяц назад +2

    Tatizo la Yanga ni kutaka kucheza na akili za viongozi wa Simba. Walifanikiwa kiasi msimu uliopita kwa sasa wanajua wamerudi watu wenye akili nyingi hivyo wanajaribu wanashindwa

    • @andersonshimbi1378
      @andersonshimbi1378 Месяц назад +2

      Sasa Simba karudi nani mwenye akili nyingi? Na nani katoka mwenye akili kidogo? Yanga GSM hajaenda kutafuta Wachezaji mwenyewe, Lakini Simba MO yeye mwenyewe kaenda sokoni, Je tuseme hawaaminiani?

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Месяц назад +1

    Ocra anakipaji kukubwa

  • @jivankulikwa24
    @jivankulikwa24 Месяц назад +1

    Na aliyemleta jobe je??

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Месяц назад +1

    ebbychipo8010 kwani wewe simba saido hakuwa makombo

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 Месяц назад +2

    Yanga ni wala makombo ya simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +2

      😂😂😂 kumchukua bernad Morrison, kumchukua saidoo sawa ila kusajiliwa Baleke na chama yanga makombooo