Dah yani Kuna watu watachomwa sana Kuna watu Leo wanavyo mkosowa huyu shekh kisa wamesomea uhabiii uhabiii uhabiii yani wanatia hasira sana kazi yao kuwatia motoni wenzao kwa elimu zao mchwaraa,,, muachekni huyu shekh al barazanjii apumzike huko aliko kwa Amani Allah mlipe kwa kazi kubwa alio I fanya shekh jaafar al barazanjii 🤲
ATAKAE AMUONGOPE MUNGU NANI ??? NI MWENYE KUTOA DAAWA KWA UPOTOFU NDIO MTUME AMEMFUNZA KUKOSOA WATU NA KUKUFURISHA WATU HVYO? NABI MUSA MWENYEWE ALIKWENDA KUTOA DAAWA KWA FIRAUN HAKUONGEA KAMA HYO MPOTOFU WENU ALIVYO ONGEA TENA AMABO FIRAUN ALISEMA YY MUNGU TAKUA HYU AMETOA KITABU CHA KUMSIFU MTUME NA KUMTUKUZA ALLAH AJAPOTOSHA WATU ANDE HUKO AKASOME KWAZA KISHA ARUDI ATOE DAAWAA
Duh, Muogope ALLAH ewe mzungumzaji kwenye vinanda, Barzanj hajawai kuwa imam wa msikiti wa mtume wala hajawai kuwa muft madina, Yaani unamjaza sifa ilimradi tu uwaaminishe wasiojuwa.
WAtu wa bidaa munatunga mpaka uwongo ilimradi tu muonekane mpo sawa, Ukweli hautabadilika hata kama mukisema alikuwa imam wa msikiti gani hiyo haitabadilisha maneno ya urongo yaliyomo kwenye maulid ya barzanji, Endeleeni kutunga uwongo.
Jamani waisilamu tumefungamana na Quran ,hadithi na sunna za mtume na pia wanavyuoni lazima tuwape heshima yao inavyo stahili wao wamesoma kutushinda nasi tumezaliwa majuzi tu mbona tushindane na walio kuwa na ilimu zaida yetu sisi sote tunaongozwa na Quran na kila linalostahili kwa uisilamu nasi sote ndugu tusiwakashafu wanavyuoni hata mmoja labda kuna ilimu iliyojificha ndani ya maneno ya barzanji inafaa tuende tusome ilitujue nasi kwa sababu hii yote ni kiarabu na labda baadhi yetu hatuna ilimu zaidi kumliko kwa hiyo bila kukimbilia kukashifu tujiulize wewe na mimi na bacho elimu yetu imefika kiwango gani hadi kuwakashifu wanazuoni Allah atusamehe na atupe hekima na maarifa tupate ilimu zaidi 🤲🤲🤲
Hiyo ni historia haiwezi geuzwa, ukibishia kilichopo naam unahoja na ni haki tupate majibu ukibishia historia hutaeleweka , na ukibishia kijacho utaambiwa hakijatokea. Wallahu a'lam.
Hivi mwalimu unajua usihusike katika tuhuma hizo kwa sababu hizo hoja 19 basi12 ni zaungo haziko.katika kitabu cha maulid ya barzanj. Ila hii ninhistoria tyu
Kisha amekufa amezikwa Bakii jirani kwa Mtumi. Tushikeni ababu na wanazuoni. Wewe mtoto wa Bachu. Hiyo ilimu yako iweke vizuri kwahisani yako inshaAllah
@@allysuleiman517 chunga na kusema vibaya kwa wanazuoni wema yeye amepata mwisho mwema mm na wewe hatujui tutakufa wapi. Yeye amezikwa Baqii jirani na Babu yake kipenzi chake Mtumi.
@@misbahukhalifa3216 wakulla bidaa tu dhwalala wakulla dwalalatu finnar sasa sijui una maana nyengine tofauti na hii alosema mtume alaih ssalat wassalam
Kitabu cha Barzanjy n kitbu cha sira tu kama vitbu vyengine tafauti na kina rahiiq makhtoum n kwamba hiki ni uslub wa nadhmy ..na uongo wake ubaki uongo ukweli pia ukubalike ..acheni kutetea mambo yasyo na asli sahihi ..barzajy sio sahaby kukosolewa isiwr ngurumo ....
Mi naomba HAO watu wa twariqah wanieleze katika tarehe kma Zama za Abubakar asidiq Ra na makhalifa wengine waliofuta kma walikua wakisoma maulidi hta kwn wao ndio viigizo vyema baada ya mtume wetu Muhammad saw
Kwa hiyo Haya yoote ya Maulidi yanayowatoa mapovu dhini ya Bach u MASWAHABA WA MTUME S.A.W HAWAKUYAJUA!? Hakuna hata sehemu moja Bachu kabeza Elimu ya Barzanj ila kakosoa yaliyomo ndani kwamba ni Uzushi
Abdul Malik Mohamed we hii historia ya mwanazuoni huyu inakukera Nini?,hapa kwanza unapata fursa ya kumfahamu huyu mwanazuoni na upime msomi huyu anawezaje kufanya makosa katika kitabu Chake Cha maulid,tatizo mawahabi Hana elimu na zaidi mmeishika misimamo yenu ya kiwahabi ndio inayowasumbua,huyu ni msomi aliyekubalika na wanazuoni wengi ktk ulimwengu wa kiislamu,
KILA MMOJA AONA ILE TABIA YAKE INAMFUNZA KAMA WW WAONA HVYO SIO MAKOSA YAKO TABIA YAKO HIO JIONGELEENI KWA TABIA ZENU MAULID MPAKA QIYAMAH KAMA WAUME KWELI SMAMISHENI
BACHU KATUNGA KITABU CHA KIBRI NA KUTUKANA WANAZUONI NA KUMTUKANA ALLAH NA MTUME WAKE INSHAALLAH ALLAH AMUANGAMIZE KWA KAZI YAKE SHEKH JAAFAR ALIKUWA MUFTI WA MADINA BACHU MUFTI WA KIBRI NA UJINGA NA UJAHILI
Sheikh kumbuka ukimuimpea mwenzio Dua nzuri ama mbaya basi nao Malaika akuombea hata ww , tafakari ww na Malaika wasio muaswi ALLAH nani Dua yake itapokelewa kwa haraka
Ndio kawaida, shetwan hulipambia jambo lisilo na maslahi. Bacho simama kwenye haki na Allah yuko pamoja nawe na tunakuonbea kwa Allah akulinde na hasad.
@@tamashamagoma2941kwa hy barzanj hako ktk haki? wamtuhumu mtu? huo si usheitwani na ujinga mipumbavu barzanj si umfananishe na paka au panya bachu huyo,, hicho kipanya
Kwan jama mkiacha kusoma hayo maulid mtapungukiwa nn, halaf kuna watu wamekaa kiushabik, tuache ukang'ang'ani jama dini haupo hvo, ukiiona hii ni haqq ni wajibu kwako kuifuata, tatzo c jina la maulid tatzo yaliyomo kwenye hyo maulid, kuna mambo anasemelewa mtume sala na salam ziwe juu yake wala hayathibit katk sheria hayo ndo tunayopinga cc mnaotuita mawahabi, ili muwe katk haqq hebu LETENI HOJA NA DALILI kuhusu hzo sifa alizopachikwa mtume sala na salam ziwe juu yake katk barazanj ikiwa ninyi mnasema kweli
Mm nakwambia ukweli mtoto wa Bachu chukuwa msha hara wa kuwa wahabi na kutukana wanazuoni na ujuwe nyama ya wanazuoni ni sumu nani haramu na waweza kufariki katika njia mbaya. Mungu atuongoze Aamiin Aamiin
Bachu endelea kutuelimisha, Mungu atakulipa, maana usipo jambo hili la maulidi utadhani uko sawa. Ninachokishanga, hawataki kubadilika, au michango ya wali wa maulidi?
UMEONA KAMA NI WAPOTOFU??? HIO NDIO LIMEKUKERA??? HIO SHARUBU YAKE ?? NDIO DINIBYAKO IMEKUFUNZA HVYO HAMUNA HATA HAYA WATU NYINYI WAJUA KAMA NYINYI MU WAPOTOFU SANAA... NABI ISA ALIENDA KUMPA DAAWAA FIRAUN HVYOOO
@@fikratulmuhibbonlinetvismail na hii maulidi haswaa ilianza lini sababu huyu wakati anatunga kitabu mtume ashakufa sasa tufahamishe maulidi haswaa yalianza Karne ya ngapi na yalianzishwa na nani?
WATU WA TWARIQANA TABU SANA,SUALA LA MAULIDI MNALIONA NI IBADA KUBWA SAAANA! HALI YA KUWA KUNA WATU HAWASWALI KABISA WAO HUSUBIRI MAULIDI TU WAKAIMBE KASWIDA NA KUPIGA UBWABWA ! SASA HUKO NDO KUMPENDA MTUME?
Wanasema kwamba kuna baadhi ya mambo yanaonekana ni.makubwa na hayapo katika quran na sunnah kama.alivobainisha shekh Muhammad Bachu... Unaweza ukatusaidia Shekh Jaffar aliyatoa wapi??
Jamani hemu tutosheke na mafundisho ya mtume na makemeo. Hivi huyu sheikh anaesifiwa mwana wa chuoni mkubwa. Mi nawaomba mnijibu hizi sharubu Zina maana gani ،?
Mwanachuoni kama huyu alobobea kwa ilimu ndani ya msikiti wa Mtumi Madina. Ametunga kitabu kisha aje mtoto wa Bachu atowe makosaaa 😂. Aliyekuwa mufti wa shaafii ndani ya Madina. Mungu atuongoze Aamiin.
Tatizo ni ufahamu unawasumbua mawahab maana wanatafsiri maandiko wanavyotaka wao na wanasahau kuwa kitab cha barzanji kimeshehen fani za lugha so huwez kutafsir unavyotaka ww.
Hiii sio dalili watu walisali na mtume na walikuwa wanafik watu walikuwa watoto wa mitume na walikosea huyu nani asikosee kukosea ni kawaid tu kwa bina damu kakosea kukosolewa wajub
Kwnn asitolewe makosa mkamilifu ni Allah tu yap atayokosea km mwanadamu watu Walikosea mbele ya mtume na mtume akawakataz hiv msifany hiv msiseme seuze yy. Allah atamlipa kw Kaz yake kubwa ya kupigania dini na pale alipokosea Allah atamfanyia wepesi
Shekh Barazanji zama zake hakuna alie mkosoa sasa leo utashangaa wa tu wanamkosoa na hali Shekh Barazanji kuhudum katika msikit wa Mtume Sisi Masufi tunamuamini Shekh jaafari kwani ni katika Salafu swaleh
SUBIRI SIKU YA HUKUMU KESI ZOTE ANAKWENDA KUMALIZA ALLAH,HAPO NDIPO TUTAKAPO MUONA BARZNJI ANAKWENDA MOTONI NA SISI WASHABIKI WA MOHAMEDI BICHWA NA YEYE MO BICHWA MWENYEWE TUKIENDA PEPONI.
Dah yani Kuna watu watachomwa sana Kuna watu Leo wanavyo mkosowa huyu shekh kisa wamesomea uhabiii uhabiii uhabiii yani wanatia hasira sana kazi yao kuwatia motoni wenzao kwa elimu zao mchwaraa,,, muachekni huyu shekh al barazanjii apumzike huko aliko kwa Amani Allah mlipe kwa kazi kubwa alio I fanya shekh jaafar al barazanjii 🤲
اللهم اغفر له وارحمه واجعل قبره روضة من رياض الجنة يارب العالمين
Aaaamin
Mashaallah twayyib mabruuk umetarjimi na kumuhadithia Kwa ufasaha wa hali ya juu Allah akubarik sana
Sote inshaallah tupate Barka zake
MASHA ALLAH 💚
ASANTE SANA KWA UFAFANUZI MUNGU AKUBARIKI SANA JAZAKALLAH KHER
Amyyyn kwa sote
اللهم اغفرله ورحمه ورفع درجته في المهديين وخلفه فلغابرين وغفرلنا وله اللهم افسح له في قبره وغفرلنا وله
Mtangazaji, muogope Allaah, unawadanganya watu kweupe
Huenda uko sahihi lakini usituhumu
acha kutuhumu watu, na wewe muogope mingu wazua uongo na ilhal hujui mshenzi wewe
ATAKAE AMUONGOPE MUNGU NANI ??? NI MWENYE KUTOA DAAWA KWA UPOTOFU NDIO MTUME AMEMFUNZA KUKOSOA WATU NA KUKUFURISHA WATU HVYO? NABI MUSA MWENYEWE ALIKWENDA KUTOA DAAWA KWA FIRAUN HAKUONGEA KAMA HYO MPOTOFU WENU ALIVYO ONGEA TENA AMABO FIRAUN ALISEMA YY MUNGU TAKUA HYU AMETOA KITABU CHA KUMSIFU MTUME NA KUMTUKUZA ALLAH AJAPOTOSHA WATU ANDE HUKO AKASOME KWAZA KISHA ARUDI ATOE DAAWAA
Na ww muogope 👉 MINGU Usitukane Kufikisha kunatosha bila ya matusi
Kama Anawadanganya kosoa wapi amedanganya ili watu waone ukweli wako KWEUPE
Duh,
Muogope ALLAH ewe mzungumzaji kwenye vinanda,
Barzanj hajawai kuwa imam wa msikiti wa mtume wala hajawai kuwa muft madina,
Yaani unamjaza sifa ilimradi tu uwaaminishe wasiojuwa.
Sawa ikiwa unafahamu hivyoo hebu jaribu kusoma historia yake
HAWA WOTE WANAOJIIBU UPOTOFU HAWAJASOMA NDIO MANAA MUSIWALAUMU KABISAA WACHE NA UJINGA WAO
WAtu wa bidaa munatunga mpaka uwongo ilimradi tu muonekane mpo sawa,
Ukweli hautabadilika hata kama mukisema alikuwa imam wa msikiti gani hiyo haitabadilisha maneno ya urongo yaliyomo kwenye maulid ya barzanji,
Endeleeni kutunga uwongo.
Kaa usome mwanaume hatopokwi tuu
Jamani waisilamu tumefungamana na Quran ,hadithi na sunna za mtume na pia wanavyuoni lazima tuwape heshima yao inavyo stahili wao wamesoma kutushinda nasi tumezaliwa majuzi tu mbona tushindane na walio kuwa na ilimu zaida yetu sisi sote tunaongozwa na Quran na kila linalostahili kwa uisilamu nasi sote ndugu tusiwakashafu wanavyuoni hata mmoja labda kuna ilimu iliyojificha ndani ya maneno ya barzanji inafaa tuende tusome ilitujue nasi kwa sababu hii yote ni kiarabu na labda baadhi yetu hatuna ilimu zaidi kumliko kwa hiyo bila kukimbilia kukashifu tujiulize wewe na mimi na bacho elimu yetu imefika kiwango gani hadi kuwakashifu wanazuoni Allah atusamehe na atupe hekima na maarifa tupate ilimu zaidi 🤲🤲🤲
MashaAllah❤
Hiyo ni historia haiwezi geuzwa, ukibishia kilichopo naam unahoja na ni haki tupate majibu ukibishia historia hutaeleweka , na ukibishia kijacho utaambiwa hakijatokea. Wallahu a'lam.
Hivi mwalimu unajua usihusike katika tuhuma hizo kwa sababu hizo hoja 19 basi12 ni zaungo haziko.katika kitabu cha maulid ya barzanj. Ila hii ninhistoria tyu
Allah akulipe kila kher inshaallah
Shukran sana
رحمه الله تعالى
Allahu yaalahlam
Mbona umeweka vinanda
Ana asli ya ushia flani
una hakika?
MuongozJi wa kipindi nakuomba ungepunguza hz firimbii 7bu hata saut yako haisikiki vizur huo ni ushauri wng na Allah akulipe kw kz yako ishaallah
Shukran sana habib wanguu Allah akuhifadh
Mziki lazimaa
Mbn xaut inackika vzr tu au ndo chuki na nai??
Hlf hujalazimishwa kucklza pia
Shukran tunfamyia kazi
Allah akulipe kheyr kwa kutuelimisha
Sote inshaallah
Kisha amekufa amezikwa Bakii jirani kwa Mtumi. Tushikeni ababu na wanazuoni. Wewe mtoto wa Bachu. Hiyo ilimu yako iweke vizuri kwahisani yako inshaAllah
Hata ikawa vp atabaki kuwa Mwanazuoni wa bidaa tu huyo ameacha uovu unaendelea Allah lmustaan
@@allysuleiman517 wewe wajuwa bidaa ama wasikia tuu ما معنى البدعة لو سمحت ممكن اعرف
@@allysuleiman517 hebu nieleze na mm ufahamu wako wa bid aa
@@allysuleiman517 chunga na kusema vibaya kwa wanazuoni wema yeye amepata mwisho mwema mm na wewe hatujui tutakufa wapi. Yeye amezikwa Baqii jirani na Babu yake kipenzi chake Mtumi.
@@misbahukhalifa3216 wakulla bidaa tu dhwalala wakulla dwalalatu finnar sasa sijui una maana nyengine tofauti na hii alosema mtume alaih ssalat wassalam
MAULID MPAKA QIYAMA KAMA WAUME KWELI ZUWIYENI KAMA MUTATUZUWIYA MUNAKEREKA SANA NDIO MAANA MUNA LAZMA WATU WASISOME HASBIYALLAH
Hata makafiri husema kama uvosema,
Hakuna atakayezibia njia.
Fanyeni muwezavyo ikishafika qiyama mutapata malipo yenu.
Masharubu yake nikama.mayaudi subhanaallah hana tafauti nao
Pima maneno yako habib.
Kweli kabisa, Misharubu ya kiyahudi kabisa, Mtume (s.a.w) alisema tuache ndevu na tupunguze masharubu.
Chunga ulimi usalimike
@@fikratulmuhibbonlinetvismail kwani ni uongo? Hajafuga misharubu?
Hii picha sio hAlisia
Mbona mnaitukuza Barzanji kana kwamba ni QUR-AN??
Mtangazaji umetoa kauli ambayo huna ushahidi nayo yakusema "KITABU KIMETUNGWA KWA USAHIHI" tuwaache walioruhusiwa kutoa fatwa.
Niutovu wanidhwamu tu
Maslafi mawahabi Mabwa tu
Kwahoja ya ndevu hata maalim sefu alikuwa nazo kwa hoja ya sharubu basi na Amani Karume anazo
Je mlisoma wapi katika tarjama zake kwmba yy pia alkuwa akikusanya watu na kuwasomea kwa kughani na dufu mikononi
Kitabu cha Barzanjy n kitbu cha sira tu kama vitbu vyengine tafauti na kina rahiiq makhtoum n kwamba hiki ni uslub wa nadhmy ..na uongo wake ubaki uongo ukweli pia ukubalike ..acheni kutetea mambo yasyo na asli sahihi ..barzajy sio sahaby kukosolewa isiwr ngurumo ....
Ww kitabu chako nikipi ndio ukosowe vingine !hadhi aliyo nayo sheikh barzanje ww huna na hata mm Kwa hiyo tumheshimu.
Mi naomba HAO watu wa twariqah wanieleze katika tarehe kma Zama za Abubakar asidiq Ra na makhalifa wengine waliofuta kma walikua wakisoma maulidi hta kwn wao ndio viigizo vyema baada ya mtume wetu Muhammad saw
Quran mtume hakuikusanya walikusanya omar na bida nyingi zilikua mtume s a w akiwa hai wajua hayo ama waongea
Kwa hiyo Haya yoote ya Maulidi yanayowatoa mapovu dhini ya Bach u MASWAHABA WA MTUME S.A.W HAWAKUYAJUA!? Hakuna hata sehemu moja Bachu kabeza Elimu ya Barzanj ila kakosoa yaliyomo ndani kwamba ni Uzushi
Allah amrehemu lkn akida yake na vitabu vyake vyote ulovitaja ni vya kimaajabu
Abdul Malik Mohamed we hii historia ya mwanazuoni huyu inakukera Nini?,hapa kwanza unapata fursa ya kumfahamu huyu mwanazuoni na upime msomi huyu anawezaje kufanya makosa katika kitabu Chake Cha maulid,tatizo mawahabi Hana elimu na zaidi mmeishika misimamo yenu ya kiwahabi ndio inayowasumbua,huyu ni msomi aliyekubalika na wanazuoni wengi ktk ulimwengu wa kiislamu,
Masharubu kama paka pori
Chunga ulimi usalimike
Muisllam Hana sifw ya matusi jitathmin ndugu yangu
@@ShuaibuMsofeMmmh wewe ndugu acha utani matusi kwa mwislamu ni Sunna
Kitabu chenye uwongo na shirki
Jitambue sio kila kitu unacomment
KILA MMOJA AONA ILE TABIA YAKE INAMFUNZA KAMA WW WAONA HVYO SIO MAKOSA YAKO TABIA YAKO HIO JIONGELEENI KWA TABIA ZENU MAULID MPAKA QIYAMAH KAMA WAUME KWELI SMAMISHENI
Kwahyo yy pia alipiga dufu na kupiga mipunga ya hfla hixi
Maajabu makubwa ya enzi za leo.
BACHU KATUNGA KITABU CHA KIBRI NA KUTUKANA WANAZUONI NA KUMTUKANA ALLAH NA MTUME WAKE INSHAALLAH ALLAH AMUANGAMIZE KWA KAZI YAKE SHEKH JAAFAR ALIKUWA MUFTI WA MADINA BACHU MUFTI WA KIBRI NA UJINGA NA UJAHILI
Muombee dua ya hidaya Allah amuongoze
Haji upepo ndo anaongoza Kwa matuss Kila koona lazima atukane Allah amuongoze naee
Sheikh kumbuka ukimuimpea mwenzio Dua nzuri ama mbaya basi nao Malaika akuombea hata ww , tafakari ww na Malaika wasio muaswi ALLAH nani Dua yake itapokelewa kwa haraka
Ndio kawaida, shetwan hulipambia jambo lisilo na maslahi. Bacho simama kwenye haki na Allah yuko pamoja nawe na tunakuonbea kwa Allah akulinde na hasad.
@@tamashamagoma2941kwa hy barzanj hako ktk haki? wamtuhumu mtu? huo si usheitwani na ujinga mipumbavu
barzanj si umfananishe na paka au panya bachu huyo,, hicho kipanya
Wamuhayan kashamsi Minka mudhiu......
Mashallah
Kwan jama mkiacha kusoma hayo maulid mtapungukiwa nn, halaf kuna watu wamekaa kiushabik, tuache ukang'ang'ani jama dini haupo hvo, ukiiona hii ni haqq ni wajibu kwako kuifuata, tatzo c jina la maulid tatzo yaliyomo kwenye hyo maulid, kuna mambo anasemelewa mtume sala na salam ziwe juu yake wala hayathibit katk sheria hayo ndo tunayopinga cc mnaotuita mawahabi, ili muwe katk haqq hebu LETENI HOJA NA DALILI kuhusu hzo sifa alizopachikwa mtume sala na salam ziwe juu yake katk barazanj ikiwa ninyi mnasema kweli
Umeelewa makusudio ya hiyo video unayocomment
@@fikratulmuhibbonlinetvismail umeelewa ulichosema?!
Afwan
Kasome ww usiropoke t bila kujuwa nn unachokisem
NA MUKIACHA KUINGILIA WATU WASOMAO MAULID MUTAPATA NN? IKIZIDI MTUME AMESHAWAMBIA MUKIONA MUNKAR MUACHE MBONA NYINYI MUNA LAZMA AU NYINYI MWAJUA KUMSHINDA MTUME NA KUPENDA SANA DINI???
Mm nakwambia ukweli mtoto wa Bachu chukuwa msha hara wa kuwa wahabi na kutukana wanazuoni na ujuwe nyama ya wanazuoni ni sumu nani haramu na waweza kufariki katika njia mbaya. Mungu atuongoze Aamiin Aamiin
Bachu endelea kutuelimisha, Mungu atakulipa, maana usipo jambo hili la maulidi utadhani uko sawa. Ninachokishanga, hawataki kubadilika, au michango ya wali wa maulidi?
We una elimuu bwana kaa mbalii
Pamba ukiwa wewe unakataa maulid unakubali tauhid 3 kama sio bidaa kua na akili basi mbona nyie mawahabi mnatia hasira
Naam Bachu Aendelee kiwatowa watu katika Giza, haitakii ilmu NI akili ya MTU... Common sense.
shia huyu
Ni mashairi tu, kitabu Barzanji si Quran.
Maneno yasio kuwa na mastadari yamezoeleka ktk vinywa via masufi
Maulidd yalianza kusomwa kabla hajajulikana kama atazaliwa Bachu, sasa atuletea storyy nyingi.,swalluu alanabyyyyy
Hata abuu jahali alikuwa kabla yenu
@salmaali waulize hao wakubwa wa maulidi nani alieanzisha maulidi? Na yalianziswali lini?
M mwenyewe ntakujibi babuyake babuyako alikua hajazaliwa maulidd yakianza upo
sharubu ndeefu halafu eti ni mufti wa madina subuutuuu
UMEONA KAMA NI WAPOTOFU??? HIO NDIO LIMEKUKERA??? HIO SHARUBU YAKE ?? NDIO DINIBYAKO IMEKUFUNZA HVYO HAMUNA HATA HAYA WATU NYINYI WAJUA KAMA NYINYI MU WAPOTOFU SANAA... NABI ISA ALIENDA KUMPA DAAWAA FIRAUN HVYOOO
Nimetamani niskize lakini hizo kelele huko nyuma zinakera. Afadhali ingekua mazungumzo tu
Mbn huku yasikika uzuri
Kwanini aliandika kitabu cha maulidi na malengo yake yalikuwa yapi?
Aliandika kitabu hicho kama kuelezea historia ya mtume na malengo ni kumsifu mtume.
@@fikratulmuhibbonlinetvismail na hii maulidi haswaa ilianza lini sababu huyu wakati anatunga kitabu mtume ashakufa sasa tufahamishe maulidi haswaa yalianza Karne ya ngapi na yalianzishwa na nani?
MAULID MPAKA QIYAMAH PAMMOJA NA MTUME
WATU WA TWARIQANA TABU SANA,SUALA LA MAULIDI MNALIONA NI IBADA KUBWA SAAANA! HALI YA KUWA KUNA WATU HAWASWALI KABISA WAO HUSUBIRI MAULIDI TU WAKAIMBE KASWIDA NA KUPIGA UBWABWA ! SASA HUKO NDO KUMPENDA MTUME?
Tarekh mzuri ya bwana mkubwa barzzanj
Wanasema kwamba kuna baadhi ya mambo yanaonekana ni.makubwa na hayapo katika quran na sunnah kama.alivobainisha shekh Muhammad Bachu... Unaweza ukatusaidia Shekh Jaffar aliyatoa wapi??
Hakuna uwakika wa historihi kwan zama hizo hapakuwa na video uzushi huu
@@muhamadyabubakary6750eeeeh hii kali
VIP kuhusu historia ya mtume haina ukweli pia maan hakukua na video
😂😂😂😂😂😂 kisingiziokikubwa ni balagha
Naona shekh katika sifa za mtume ni ndevu yeye kaweka masharubu bado mnaendelea na vioja jibuni hoja hatutaki kuonyeshwa watu
Picha ya uongo
Fanya inswafu kidogo kwa wanazuoni habib
Akhe Juma umenichekesha kweli,
Na wingi watu Maaulidi ndevu hunyowa Allah atuhidi
Jamani hemu tutosheke na mafundisho ya mtume na makemeo. Hivi huyu sheikh anaesifiwa mwana wa chuoni mkubwa. Mi nawaomba mnijibu hizi sharubu Zina maana gani ،?
Kabla hujacomment fikiria unachozungumza hivi wakati huyo yupo kulikua na camera. Hizi si picha sahih
Je ? Na wewe Kwa hichi unachonijibu una usahihi !
Afwan
NA JEE MTUME NDIO AMEFUNZA WATU KUTOA DAWA KAMA HYO MPOTOFU WENU????
UKIONDOA KITABU CHAKE CHA BIDA'A CHA MAULIDI BARZANJI KWANI KUNA KITABU GANI KINGINE KATUNGA HUYU
Isikizeee historia utajua ametunga vitabu 32
TUTASOMA MAULID MPAKA QIYAMA TUZUWIYENI KAMA KUTAWEZA KWELI
BACHU ACHA MAULID BORA UPAMBANE NA MASHOGA MABASHA /TARABU/MDUNDIKO/MATEJA WALA UNGA....UNAPATA FADHILA KUBWA KWA ALLAH.....
Mtume alipambana na maovu yote, hakuchaguliwa maovu yepi awachane nae.
Hayo yotte yanajulikanwa kua ni madhambi wala hakuna mashaka, Bacho anawatoa watu taka za masikio kua utaratibu unaoitwa maulid ni bidaa na c o ibada
Kumbe ndie jafar huyo anafanana na zile mbwa za kizungu mdomoni alivyo nyoa ndevu na kuaca sharubu
Subhana Allah
KAMA WW VILE SIO MTU HUA ANAJIONGELEA KULENGANA NA TABIA YAKE AMEFANANA NA WW VILE MASHAALLAH
AU WW WA MSITUNI AU WA MJINI??
Mnadanganyan sana nyie masufi mnakufuru halaf mnaita balagha kurani maneno ya Allah yapo nyuma zaid ya maneno ya Jaafar eee?
Mitwarika fahamu zenu ndogo sana neno mawlid sio kupiga dufu wala kulazimusha kusoma hicho kitabu kw jamahiri ..kumbe huyo Barzanjy pia hamkumuelewa
kusudio lake nn tuambie ndg
Alichanganya usufi na ushia na ushafi, kinacho takiwa ni kufuata madhehebu manne tu kisheria
Si vizuri kutoa tuhuma akhy lakini pia mimi si sheikh ni mwanafunzi wa historia tyu
Bado hujatoa dalili barazanje inamauongo tetea hoja
Sasa mnataka dalili Gani kama sio uzwazwa mnaleta mawahabi
Hii ni tarekh na mimi si sheikh ni mwana historia
Unaona wahabi walivo wajinga .kwani huyo alisema anajibu hoja?
Yeye Barzanji alikua akishushiwa wahyi na yeye ? Ktk Uislam kua utakae kua ukikosea lazima uambiwe , hii ni dini si chama cha Maulidi.
Masufi watu wanataka dalili
Hii ni tarekh kuw na inswafu akhy
Mitwarika tukubaliane kuwa barzajy hakufamika malengo yake kwenu ..pia watu wa madina hawakufaidika na imu yke..
uzuka unao
Mwanachuoni kama huyu alobobea kwa ilimu ndani ya msikiti wa Mtumi Madina. Ametunga kitabu kisha aje mtoto wa Bachu atowe makosaaa 😂. Aliyekuwa mufti wa shaafii ndani ya Madina. Mungu atuongoze Aamiin.
Tetea zile hoja acha siasa
Kwani yy hakosei acha ubabaifu
@@jumasalum2677apohakuna hoja achani ujinga
Suali kama kimetungwa Madina mbona hakisomwi huko Madina wala Makkah .?
Hakuswomwi unanihakika
Tatizo ni ufahamu unawasumbua mawahab maana wanatafsiri maandiko wanavyotaka wao na wanasahau kuwa kitab cha barzanji kimeshehen fani za lugha so huwez kutafsir unavyotaka ww.
Sasa vinanda ni vya nini sheikh twataka kusikia unavyo ongea ww hatuna haja na vinanda sheikh pole lkn
Shukran sana kwa maoni tutafanya kazi INSHALLAH
Sasa Sheikh mkubwa kama huyu wa zama hizo eti anatolewa makosa na watu wasiokuwa na Silsila
Hiii sio dalili watu walisali na mtume na walikuwa wanafik watu walikuwa watoto wa mitume na walikosea huyu nani asikosee kukosea ni kawaid tu kwa bina damu kakosea kukosolewa wajub
@@zahormbwana9916 yani ukijiingiza Kwenye kundi la kiwahabi unakuwa mwehu
Kwnn asitolewe makosa mkamilifu ni Allah tu yap atayokosea km mwanadamu watu Walikosea mbele ya mtume na mtume akawakataz hiv msifany hiv msiseme seuze yy. Allah atamlipa kw Kaz yake kubwa ya kupigania dini na pale alipokosea Allah atamfanyia wepesi
huyu ni mwanaadamu kukosea kwake ni wajibu na kukoaolewa vilevile ni wajibu. HAISHANGAZI sisi waislam tutaka dalili sahihi BASI
Izo birojo tu bachu kidume maulidi uongo
Hujafahamu makusudio ya hii video akhyy hii ni historia
Shekh Barazanji zama zake hakuna alie mkosoa sasa leo utashangaa wa tu wanamkosoa na hali Shekh Barazanji kuhudum katika msikit wa Mtume Sisi Masufi tunamuamini Shekh jaafari kwani ni katika Salafu swaleh
Mulid ni mazazi .kwaiy mtume hajazaliwa?hata asiesoma anajua maana ya maulid.kasome usiwe mbumbumbu
huyo alikuwa mtunzi mkubwa wa mashairi sasa punguza uwongo kijana
Sawa habib ikiwa unaamini hivyo je unawwza kulitetea hilo msimu ya kiama kama unaweza basi sawa ila kama huwezi ni bora ukae kimya
Aliku shia au sunni
Ahlul sunnah. Waljama
@@fikratulmuhibbonlinetvismail angekua ahlu Sunna asinge Tunga uongo Kiasi hicho
punguza uwongo wewe mtangazaji huyo sisi tunamfahamu vizuri kuliko wewe
Inshall Allah ALLAH athukumu siku ya kiama
SUBIRI SIKU YA HUKUMU KESI ZOTE ANAKWENDA KUMALIZA ALLAH,HAPO NDIPO TUTAKAPO MUONA BARZNJI ANAKWENDA MOTONI NA SISI WASHABIKI WA MOHAMEDI BICHWA NA YEYE MO BICHWA MWENYEWE TUKIENDA PEPONI.
Mhhh
Hata wewe hujielewi