WAKE WENZA (SEASON 2) - EPISODE 17

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • #Bhailam#Rachel#Naomy##comedyplus#2023#
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
    Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
    Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
    Subscribe hapa : www.youtube.co...
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz

Комментарии • 285

  • @angelinewawira9591
    @angelinewawira9591 Год назад +36

    Wakwanza much love from Kenya 😘😘 likes zangu jamani

  • @hamismustafahalfansuleiman5799
    @hamismustafahalfansuleiman5799 Год назад +23

    Penda sana hii tamthilia ya wake wenza boy from Msumbiji 🇲🇿🔥🔥🔥

  • @Mwarain
    @Mwarain Год назад +15

    A. Alaykum hii filam tunaifatilia sana na tunaipenda .Naomba hizi sauti za miziki ziondoshe

    • @rajaburamadhani6612
      @rajaburamadhani6612 Год назад

      Naam naungana nawe mwalim hakika waliangalie hili na walifanyie kazi

  • @rosettenadine452
    @rosettenadine452 Год назад +15

    Jameni leo wa kwanza from burundi nipe ata liké 5 tu😢😢

  • @hamismustafahalfansuleiman5799
    @hamismustafahalfansuleiman5799 Год назад +24

    Mambo yamebadilika kwa mke mkubwa😂😂😂 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. Год назад +63

    Oyah we mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️❤️❤️😢😢😢

  • @janegati6031
    @janegati6031 Год назад +14

    Kiukweli nivyofatilia adi hapa,sisi kama wanawake kuna kitu cha kujifuza hapa sana tena sana ,ila pia kabla ujafanyia mtu ubaya kubuka kunawenye wanamtegemea pia ,na wewe mwenyewe unatakiwa kujilekebisha maana unayoyafanya yatakurudia wewe mwenyewe thanks so mach guys ❤❤❤nimejufuza vitu Vingi sana ususani kwenye doa❤❤

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 Год назад +34

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI, naitaji sapoti yenu wapendwa munipatie ma likes hata cumi basi

  • @melinakwizera8671
    @melinakwizera8671 Год назад +8

    Wakwanza from burundi.nawapenda sana

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 Год назад +9

    Ila mke mkubwa mshirikina aisee yaan yeye, Ni one chance,one goal😂😂😂😂🔥🔥👍

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Год назад +6

    Recho kayabananga,Ama kweli mapenz ya dawa sio mapenz ,Tunachakujifunza hapa🎉

  • @abdillahsalim1623
    @abdillahsalim1623 Год назад +8

    Bailam you will always be on fire 🔥💯 piga kazi na wenzako tupo pamojja na ww daima

  • @claudineuwizeye871
    @claudineuwizeye871 Год назад +18

    Love from Burundi 🇧🇮❤️👌

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 8 месяцев назад

    Nakwambiya kweli bidogo
    Nisuna
    Anasema
    MashaAlla
    Ataki Mungu
    Nimafunzo kwaungene
    Ibada joyalazima

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds 11 месяцев назад +1

    Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mmejua kunimalizia bundles team Bhailam hii ni zaidi ya ⚡⚡

  • @hoseachipando5097
    @hoseachipando5097 Год назад +2

    Hii film📽️ direct na mwandish wapewe maua yao💐💐💐💐💐💐💐

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 Год назад +7

    Huyu Naomi huyu na p'ozi lake hatariii❤❤❤🔥🔥🔥🙏👍

  • @getrudainolelo9992
    @getrudainolelo9992 Год назад +6

    Bailam utuwekee mfululizo jamn wenzio tunapendaaa

  • @kherbibmohamed6754
    @kherbibmohamed6754 Год назад

    Me nawapenda sana kazi iko poa sana na naomba mwisho ueleweke pia na mke mkubwa nakupenda unajitahidi sana hongereni wote

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 Год назад +8

    Asante sana nilikuwa nachungulia kila saa Asante sana aya like zenu team rial nimewai Leo 🔥🔥🔥🔥

  • @lalylaabdi2572
    @lalylaabdi2572 Год назад +10

    Mambo yamechemka yamebadilika 😂😂😂😂❤❤❤

  • @anastaciabartolomeugalampo3539
    @anastaciabartolomeugalampo3539 Год назад +6

    Leo nimekuwa wakwanza. Naipenda sana hii movie. Nipo mozambique

  • @DinahNish-bm9sr
    @DinahNish-bm9sr Год назад +4

    Mimi wa tatu naomba like na mimi .natamani kuona mwisho wake jmn bi mkubwa anaboa

  • @ibrahimunicodemo2806
    @ibrahimunicodemo2806 Год назад +2

    We naomi njoo mfundishe na mke wangu anakataa nisiongeze jiko😊

  • @romkasmabdall351
    @romkasmabdall351 Год назад +2

    Huyu mke mdogo amefanana na mke wangu sana sijui wana undugu

  • @SahamOman-y3m
    @SahamOman-y3m Год назад +3

    Mm ndiyo maana sifagilii ushirikina najua fanya ufanyavyo lkn amini siku vitaguma tu😂😂

  • @FaroukMitenje
    @FaroukMitenje Год назад +1

    Nawapenda sana rechal kazi nzuri

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Год назад +1

    Lechon ongeza dawa kaz iwe nzuri sana unaweza sana tena sana nabapenda sana 🙏 ❤❤❤

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Год назад +4

    Nikushauri tuu recho huwezi kushinda na mungu😂😂😂😂😂

  • @martinshena1056
    @martinshena1056 8 месяцев назад

    Mob ❤from Kenya .bhailam na timu yako..mnaweza...

  • @dominickomondi8936
    @dominickomondi8936 Год назад +8

    Very educative, keep it up

  • @aminaas8144
    @aminaas8144 Год назад +3

    Love from burundi🇧🇮

  • @MwanasaadaAsha-es6ov
    @MwanasaadaAsha-es6ov Год назад +4

    Wow hii series si ni tamu wallah 🎉🎉🎉much love ❤❤❤❤

  • @felixmutua7045
    @felixmutua7045 Год назад +1

    Msalimieni Naomi sana alf Recho wee noma sana😂😂

  • @MariamHamad-f9l
    @MariamHamad-f9l Год назад +1

    Kazi mzuri musiwe munatoa moja moja mnatuboa

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Год назад +2

    Wow pengezi san bhailam kaz nzr san ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @UwaseChadia-vr2mg
    @UwaseChadia-vr2mg Год назад

    Haki iyi movie n tamu. Ukweli. bb mudogo namupenda 🥰🥰🥰🥰😍

  • @witnesstanley6578
    @witnesstanley6578 Год назад +1

    Mnipee hat na mim like jmn wanduguu

  • @priscilladimanche8217
    @priscilladimanche8217 Год назад +2

    Bailam kiboko yao .au sio ,Rachel Leo amekua mpole sana

  • @Jacklinemwikali773
    @Jacklinemwikali773 Год назад +2

    Love ❤️ from Saudi 🇸🇦 Arabia

  • @ramaamofarah8967
    @ramaamofarah8967 9 месяцев назад

    Filamu ajabu, na bimdogo unanitia mapezi ya bibi wa bili ❤❤❤❤

  • @elimukwadada
    @elimukwadada Год назад +2

    Wueh 🙆🏾‍♀️ Rachel utaweza kweli. 😮

  • @AyubuJoseph-om3ks
    @AyubuJoseph-om3ks Год назад

    Bailamu KAZI nzuri sana ❤❤❤❤

  • @Jojo-y7k8g
    @Jojo-y7k8g Год назад +2

    Like zangu nizipate kbx ❤❤❤ from 🇧🇮

  • @lucypaulo9238
    @lucypaulo9238 Год назад +4

    Leo wa Kwanza naombeni like zenu hata kumi tu

  • @halimaabdul4805
    @halimaabdul4805 Год назад +2

    fatuma jamani nakupenda sana kwakupigania ndoa

  • @AfisaInkindi-bo6dl
    @AfisaInkindi-bo6dl Год назад +2

    Kacheko ka bailam ni hatari😂nawapenda sana kutoka Rwanda 🇷🇼

  • @paustine5590
    @paustine5590 Год назад

    Nice job kumanage wanawake wawili ni kazi sana na hayo yote yanafanyika hapa papa african

  • @kherbibmohamed6754
    @kherbibmohamed6754 Год назад

    Bailam unajituma haswa uko vizuri kaka maana nilisha acha kutizama filamu za nyumbani

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Год назад

    Kazi nzuri bhailam

  • @sheikhadinanshariff5967
    @sheikhadinanshariff5967 Год назад

    Bailam hiyo inatamkwa swalallahu alaihiwasalama jitahidi kutamka hayo maneno vizuri anapotajwa bwanamtume

  • @justinendayisenga7180
    @justinendayisenga7180 Год назад

    Nawakubaliii Sanaa munatufunzaaa kabisaaa number one from Bdi

  • @NuruWhite-k3i
    @NuruWhite-k3i Год назад

    All the best bailam ni moto🔥🔥nawapend wote ila bi mkubwa acha shirik mtegemee MUNGU yey ndy kila k2

  • @MejeEwaya
    @MejeEwaya Год назад +6

    Babu eh mimi wa kwanza❤❤❤😂😅😅😅😅

  • @tzroshab8991
    @tzroshab8991 Год назад +6

    Wakwanza ni Mimi Leo nipeni like zangu

  • @Fatuma-u4l
    @Fatuma-u4l Год назад +3

    Bi mkubwa umeyabananga 😂 hakunaga mapenzi ya dawa

  • @RenathaCosmas-m3t
    @RenathaCosmas-m3t Год назад +5

    Hayo ndo malipo ya ubaya katika Kila Jambo mtumainie mungu tu ❤❤❤❤

  • @BenardVenant
    @BenardVenant Год назад

    Mnazingua bailamu mnachelewa san kutoka mwendelezo daa

  • @tzroshab8991
    @tzroshab8991 Год назад +3

    Yule kija anaye vaa kikofia si mpendi hâta kumuona😀😀

    • @rqgabalr7937
      @rqgabalr7937 Год назад

      Amekufanya nn

    • @SashaOscar
      @SashaOscar Год назад

      😂😂😂😂😂😂 yule white anaeongea kama hana meno 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @paulmwanyika7622
      @paulmwanyika7622 Год назад

      @@SashaOscar anaitwa Dinho... Mhindi sijui mwarabu yule.

    • @SashaOscar
      @SashaOscar Год назад

      @@paulmwanyika7622 😃😃😃😃 akiongea kama hana meno naboeka

  • @chakilamuhimpundu1784
    @chakilamuhimpundu1784 Год назад +2

    Mke mkukubwa❤

  • @mlishoPande
    @mlishoPande Год назад +2

    Hakuna mapnzi ya dawa 😂😂😂😂😂

  • @polyetnduku9184
    @polyetnduku9184 Год назад

    Janet yaani twafanana hapa... Nakupenda bure mama

  • @nockigona5160
    @nockigona5160 Год назад

    waislam mungu anawaona munaoa wengi harafu wanajihudumia wenyewe ndo badae wanakuwa malaya

  • @arafaoman9504
    @arafaoman9504 Год назад +3

    nimewahii kidog Leo

  • @OmanOman-v7u
    @OmanOman-v7u Год назад +1

    Nzul san mafunzo mengi nawapenda from 🇧🇮

  • @minahsamwel
    @minahsamwel Год назад +1

    We recho kwa kicheko Cha kinafikii nakuaminia😂😂😂😂

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Год назад +7

    Leo Mimi wa kwanza nipeni like zangu jamani❤

  • @bebicutecute2648
    @bebicutecute2648 Год назад +1

    love from dubai nawafatilia mnoo ❤

  • @halimamohammed7863
    @halimamohammed7863 Год назад +1

    Recho mambo yamebadilika na bdo utavuna ulichokipanda

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад +2

    Mimba yamganga hiyoo.bailam akili kidogo imefunguka bado kidogo tuu mana huyo hana mimba

  • @HusnaAlly-xn5wn
    @HusnaAlly-xn5wn Год назад +1

    Bhailamu huna baya una mbamba kazi nzuri

  • @Farida-uz3vr
    @Farida-uz3vr Год назад +1

    Vip mashetani hayapandi kichwani wapimkemkubwa

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid Год назад +1

    Mke mkubwa ajuwa kuact kweli

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Год назад +5

    Leo Recho mashetani hayajapanda😂😂 baada ya kusikia mume anaongeza mke wa 3😂😂.

    • @mialihamadi5098
      @mialihamadi5098 Год назад

      😂😂 kashtuka kias ukumuona😂😂😂😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Год назад

      @@mialihamadi5098 Nilitaka apandishe mashetani yake feki yale ! Leo moto umemuwakia recho wetu!

  • @getrudainolelo9992
    @getrudainolelo9992 Год назад

    Nasbr mwendelez mpk nmechokaaaaaa

  • @swahiliseriestz
    @swahiliseriestz Год назад

    Hongereni sana

  • @fatumajuma117
    @fatumajuma117 Год назад +1

    Mambo yamechemk😂

  • @MwanakomboNdikira
    @MwanakomboNdikira Год назад +1

    Dddu, yani utraaaamu WA kazi yenu, napata faraja sana

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад

    mambo yamebdlika kweli mkemkubwa kimekuramba😂😂😂👉🇰🇪

  • @Family-i2d
    @Family-i2d Год назад +2

    Mkee mkubwa n bado ndio imeanza😂😂😂 much love watu wangu ❤❤❤

  • @carlitacelestino5548
    @carlitacelestino5548 Год назад +3

    Estão a demorar muito para lançar porque 🔥
    Eu amor essa história ❤

  • @akimdollarmusic6304
    @akimdollarmusic6304 Год назад +1

    WEWE mke mkubwa Ntafadhali Saana Wewe Sarenda tu basi Moyo mgumu kama Nguruwe ivo

  • @makambosafari2746
    @makambosafari2746 Год назад +3

    Naomi ❤❤🎉

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 Год назад +1

    Bimkubwa kimeumanaaaa😅😅😅😅😅😅😅

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Год назад +9

    Maua mimba yamganga tayari 😂😂😂

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 8 месяцев назад

    Mauwa anamimba 😀😀😀

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Год назад

    Chuma kimekazaaa😅😅😅😅😅😅na dawaa zake zimegomaaa

  • @Jojo-y7k8g
    @Jojo-y7k8g Год назад

    Jamani mke mkubwa pole yamekukuta

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 8 месяцев назад

    Mambiye utamu ikiwa sana unakuwa shubiri
    Nikweli ungekuwa ulisha Mupa talaka

  • @MariamRashidi-n7u
    @MariamRashidi-n7u Год назад

    Wow

  • @JazminAdamz99
    @JazminAdamz99 9 месяцев назад

    Team bahilam na bimdogo❤❤❤

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 8 месяцев назад

    Iyo nikomesha mambo yamebadilika
    😂😂

  • @marremarre9498
    @marremarre9498 Год назад +2

    Nzuriii

  • @mwanaathumani9594
    @mwanaathumani9594 Год назад +2

    Duu Yan sio poa mambo nimotoooo halaf ukweli mchungu pole yako bimkubwa nikwambie Tu mwanaume harogwi natunguri ona sasa wakumbuka shogaa😂😂😂😂😂❤❤❤❤

    • @RhaeemarRhaeema
      @RhaeemarRhaeema Год назад

      Mambo yamebadilika kwakwel 😂😂😂atajuwa ajui

  • @ndovumwembambacommeds
    @ndovumwembambacommeds Год назад +1

    Bhailum apo safi

  • @AishaAixha-nv3ws
    @AishaAixha-nv3ws Год назад +1

    Bailam uko juu broo hongera kwa kazi nzuri

  • @yasintastanslauskaganzi
    @yasintastanslauskaganzi Год назад

    Naipenda sana hii tamthilia

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp Год назад +1

    Sijapenta bi Mkubwa hujapandisha mashetani ulivyoambiwa anaongezwa mke wa 3😂😂😂😂😂😂

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 Год назад

    Ila katika wake wa 4 wote mmoja tu ndie upendwa sana na mume na hiyo ni siri ya mume hawezi sema Allah pekee ndie hujua coz hata mtume wetu katika wake zake woote kulikuwa na mmoja alikuwa kipenzi zaidi na ikawa ni siri yake❤❤

  • @Raliyaibrahim-xt2zx
    @Raliyaibrahim-xt2zx 11 месяцев назад

    Hki mke mdogo eeh my husband getting married n nisema ma shaa Allah that can never be me😂😂😂