Hotel ya Lake Tanganyika Beach, Kigoma. Uzuri na Changamoto za kulipa kwa dola
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Mahoteli mengi nchini Tanzania 🇹🇿 yanachaji tofauti Kati ya Mtanzania na raia wa nchi nyingine. Hili ni tatizo kubwa mnoooo
#visittanzania #tanzania #ughaibuni
Waboreshe majengo yao aisee
😂🤣 fungulia mbwa 🤣 Yep I remember that 🤣😅 yeah… I love that hotel. And the are migebuka is a Killer too. Oh god, I miss it!🤤😋
Tunajitaji numbari yasimu ya Hotel lenu hii Kigoma beach.
Aksante sana
asante for pointing that out, as a kigoma born with an American passport. I experienced the same thing in Dar, Mikumi national park, nyumbani kigoma, na Burundi back in 2021
Umeitangaza kigoma kwetu, asantee kaka. Watajirekebisha
Like it brother
Bonge la Hotel....A must visit
Asanteeee sana brother
Safi sana mkuu, umenikumbusha mbali ilikua ni sehemu yetu ya kujidai sikukuu.
😭Du kitambo kweli mwaka 99 nilipo maliza darasa saba tulifurahi kwenye ukumbi huo na ndio ilikuwa njiani ya kwenda kgm sec 🙏Asante kwa kutukumbusha wa tz tuliopo nchi ya Iraq
Mimi nafanya kazi ktk tourism industry ya hapa Tanzania na hii ishu ya bei kuwa tofauti kwa wazawa na wageni naifahamu vzr sana na sio hotels tu bali hata mbuga za wanyama pia wageni hulipa kiasi kikubwa wazawa hulipa bei ndogo kwasabab wazawa wengi hawawezi kulipia kiasi hicho mfano hotel kulala ni dola 200 Mmarekani anaweza kulipia lakini mtanzania hawezi kulipia kiasi hicho kutokana na uchumi wetu hivyo tunapewa punguzo la bei tunalipia 100,000 tu ili tusije kushindwa kulala hotel nzuri zilizopo nyumbani wakabaki wanalala wazungu tu
Ahsante sana.mtindo huu uko Tanzania 🇹🇿 peke yake ninaona kama vile ushamba Fulani Kwamba watu watozwe ushuru tofauti ati Kwa vile huna passport
Du afadhali unaliongelea hil swala hongera sana ililimenikuta Arusha pia ni ivyo kwani watanazania wakisafiri duniani wana tafauti kulipa swala hili serekal ingilieni kati
Aisee nimepata ideas za kujengaje kwangu
Nakuja Marekani kukuona😋
Asante sana
HONGERA SANA KAKA ILA KUNA NDUGU ZETU WAPO LONDON YANI TUNAOMBA KWENDA ILA WANATUPIGA CHINI YANI😂😂😂😂😂
Ni kweli kabisa,tabia ya mgeni kulipishwa zaidi ya mwenyeji iondolewe. Malipo haya sio hoteli tu,hata usafiri wa ndani ya nchi km boat, ndege na hata malipo ya mbugani n.k. Wabadilishe huo utaratibu.
Mr #ebm hyo ni kweli mm ni mtanzania ila iliwahi taka kunitokea Zanzibar nilienda kimapumziko lkn daaah kwanza ile kufik bandarini wakahitaji passport au kitambulisho Cha taifa , kufika hotel daaa ikataka kuwa changamoto lkn niliikabili na ikaisha
yaan iyokitu yakwamba mmzungu na bei yake na mmtanzania nabeiyake nikitu chakawada sana maana huna hotel utakayo kwenda tz ukakuta tofaut
Kwa namna Ile pale..
Sio fair kabisa special Kama una family kubwa inakua changamoto sana kwa hili swala kiss tu passport sio ya kitanzania unalipishwa mapesa makubwa tu😪😪😪
Bro nimependa sana video yako ukiwa na wanao,natamani sana kufika states lakini nipo chuo arusha technical ntamaliza diploma mwakani,ningependa ni apply scholarship bachelor degree in civil eng..
Hujiulizi kwanini hata nchi imeweka viwango tofaut Kati ya mgeni na mwenyeji kwenye swala la utalii
umenikumbusha mbali mambo ya fungulia mbwa au kupita chini ya wavu
Piga zoezi mjeshi
Cku nikirudi kwetu Kigoma Tanzania nitakuja kulala kwenye Hiyo hotel
SIO, VIZURI KUMLISHA MGENI PESA TOFAUTI NA ANAZO LIPA MTANZANIA, HUKU ULAYA NA MAREKANI UKI,WA MGENI AU MWENYEJI WATU WOTE WANALIPA SAWASAWA , KWA ULAYA EURO NA MAREKANI DOLLARS.
au ndo ulikuwa inaitwa Kigoma Hotel enzi za 1980
Piga zoezi una hema kinoma
Fungulia mbwa naikumbuka😂😂😂
Cha namna hiyo hapo.
Ila wana ufala sana kuwalipisha wageni bei tofauti na wasio wageni. Alafu iyo family villa yenyewe ingekuwa na at least two bedrooms basi sio wanakupa magodoro tu
Jinga yako ufanye unavyotaka!
Katika namna ile pale
Soweto, Kama ilivyo Juliana enzi hizo Ni hotel nzuri ktk mazingira mazuri. Mzee Ebm Kalalangabo ulifika?
Wewe ni mwenyeji wa Lwama, EBM alitakiwa atoe historia kamili ya mahali hapo, tangu enzi hizo ikiitwa Kigoma hoteli. Soweto lilikuwa jina kubwa mnoo, sehemu kubwa iliyokuwa inapiga Disco enzi hizooo. Asante kwa kutukumbusha.
Eban nimekubali kwa gisi umekemeya iyo price mwambiy huy manager wa hiy Hotel kwamb uku Marekani hatuogoti dollars jalalani km jinsi wanavyo fikiria…
Wewe hili sio tatizo wacha watozwe rates tofauti hela wanayo ya kutosha wewe tu ndo umeona noma ila wacha walete madolali
ww ni wa kigoma kweli maana ongea yako. eti unaona kama hivo
Acha ujinga huko Marekani mwanafunzi mgeni analipa ada kubwa kuliko mwenyeji!!
Naomba unicheki wasap +96894215849
una uhakika????
@@ChoroTesla Saana tu.
@@ChoroTesla hiyo ni kweli..
Hata hapa UK ndio hivyohivyo.
We EBM umeukana uraia wa nchi yako hivyo bare the repercussions of costs and regularities or whatsoever as a foreigner. Lipa tu hayo ma dollari mzee
100% most of hotels depends on foreign currency, and who will bring foreign currency if not someone who's not a country??? Just pay
Umeonyesha passport ya Marekani ili oweje labda? Kusudi uonekane wewe ni wa Marekani au? Wewe una rafudhi ya Kihaa 100 percent inakuwaje uonyeshe passport ya Marekani sisi mbona hatuonyeshi za Tanzania tukifika hotelini.
Ujakosea Nelson tatizo la watanzania wengi wakipata passport za nje uwa wakifika Tanzania ujifanya wao Matajili Na awatak buguzi. REALLY tunafanya kazi nyingi ulaya lakini pia tukifika kwe2 tuache kujiproudy sana ...Mimi naona Mzee aki yake ikiwezekana alipe 5000 us for one night ... 😂😂
Nimekutumia ujumbe kwenye email yako mara kadhaa lakn haujibu
wewe siyo Mtanzania ni mtalii, Lipa USD
Ni utaratibu wa hivyo, sehemu nyingi ambazo watalii wanazuru hazina tofauti ya bei kati ya mgeni na mwenyeji
100%