Hotel ya Lake Tanganyika Beach, Kigoma. Uzuri na Changamoto za kulipa kwa dola

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Mahoteli mengi nchini Tanzania 🇹🇿 yanachaji tofauti Kati ya Mtanzania na raia wa nchi nyingine. Hili ni tatizo kubwa mnoooo
    #visittanzania #tanzania #ughaibuni

Комментарии • 55

  • @arthurkailembo6300
    @arthurkailembo6300 2 года назад +1

    Waboreshe majengo yao aisee

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 2 года назад +2

    😂🤣 fungulia mbwa 🤣 Yep I remember that 🤣😅 yeah… I love that hotel. And the are migebuka is a Killer too. Oh god, I miss it!🤤😋

  • @mupenziremmy
    @mupenziremmy 7 месяцев назад

    Tunajitaji numbari yasimu ya Hotel lenu hii Kigoma beach.
    Aksante sana

  • @Gregoiresidehustle
    @Gregoiresidehustle Год назад

    asante for pointing that out, as a kigoma born with an American passport. I experienced the same thing in Dar, Mikumi national park, nyumbani kigoma, na Burundi back in 2021

  • @ashurakhalfan9132
    @ashurakhalfan9132 2 года назад

    Umeitangaza kigoma kwetu, asantee kaka. Watajirekebisha

  • @joshuamsaki7734
    @joshuamsaki7734 2 года назад

    Like it brother

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 2 года назад

    Bonge la Hotel....A must visit

  • @showalimuyagwa320
    @showalimuyagwa320 2 года назад

    Asanteeee sana brother

  • @jamesmbanga1831
    @jamesmbanga1831 2 года назад

    Safi sana mkuu, umenikumbusha mbali ilikua ni sehemu yetu ya kujidai sikukuu.

  • @salha6596
    @salha6596 2 года назад +1

    😭Du kitambo kweli mwaka 99 nilipo maliza darasa saba tulifurahi kwenye ukumbi huo na ndio ilikuwa njiani ya kwenda kgm sec 🙏Asante kwa kutukumbusha wa tz tuliopo nchi ya Iraq

  • @noelmunuo4660
    @noelmunuo4660 2 года назад +1

    Mimi nafanya kazi ktk tourism industry ya hapa Tanzania na hii ishu ya bei kuwa tofauti kwa wazawa na wageni naifahamu vzr sana na sio hotels tu bali hata mbuga za wanyama pia wageni hulipa kiasi kikubwa wazawa hulipa bei ndogo kwasabab wazawa wengi hawawezi kulipia kiasi hicho mfano hotel kulala ni dola 200 Mmarekani anaweza kulipia lakini mtanzania hawezi kulipia kiasi hicho kutokana na uchumi wetu hivyo tunapewa punguzo la bei tunalipia 100,000 tu ili tusije kushindwa kulala hotel nzuri zilizopo nyumbani wakabaki wanalala wazungu tu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    Ahsante sana.mtindo huu uko Tanzania 🇹🇿 peke yake ninaona kama vile ushamba Fulani Kwamba watu watozwe ushuru tofauti ati Kwa vile huna passport

  • @KATOPE1
    @KATOPE1 2 года назад

    Du afadhali unaliongelea hil swala hongera sana ililimenikuta Arusha pia ni ivyo kwani watanazania wakisafiri duniani wana tafauti kulipa swala hili serekal ingilieni kati

  • @ndewerio1
    @ndewerio1 2 года назад +2

    Aisee nimepata ideas za kujengaje kwangu

  • @michaelmichael6017
    @michaelmichael6017 2 года назад

    Asante sana

  • @js.entetaiment2282
    @js.entetaiment2282 2 года назад

    HONGERA SANA KAKA ILA KUNA NDUGU ZETU WAPO LONDON YANI TUNAOMBA KWENDA ILA WANATUPIGA CHINI YANI😂😂😂😂😂

  • @yusufjamal6059
    @yusufjamal6059 2 года назад

    Ni kweli kabisa,tabia ya mgeni kulipishwa zaidi ya mwenyeji iondolewe. Malipo haya sio hoteli tu,hata usafiri wa ndani ya nchi km boat, ndege na hata malipo ya mbugani n.k. Wabadilishe huo utaratibu.

  • @paulinesylvester886
    @paulinesylvester886 2 года назад

    Mr #ebm hyo ni kweli mm ni mtanzania ila iliwahi taka kunitokea Zanzibar nilienda kimapumziko lkn daaah kwanza ile kufik bandarini wakahitaji passport au kitambulisho Cha taifa , kufika hotel daaa ikataka kuwa changamoto lkn niliikabili na ikaisha

  • @khatorhamad6365
    @khatorhamad6365 2 года назад

    yaan iyokitu yakwamba mmzungu na bei yake na mmtanzania nabeiyake nikitu chakawada sana maana huna hotel utakayo kwenda tz ukakuta tofaut

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania 2 года назад

    Kwa namna Ile pale..

  • @KATOPE1
    @KATOPE1 2 года назад

    Sio fair kabisa special Kama una family kubwa inakua changamoto sana kwa hili swala kiss tu passport sio ya kitanzania unalipishwa mapesa makubwa tu😪😪😪

  • @gekyume_utv7277
    @gekyume_utv7277 2 года назад

    Bro nimependa sana video yako ukiwa na wanao,natamani sana kufika states lakini nipo chuo arusha technical ntamaliza diploma mwakani,ningependa ni apply scholarship bachelor degree in civil eng..

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 2 года назад

    Hujiulizi kwanini hata nchi imeweka viwango tofaut Kati ya mgeni na mwenyeji kwenye swala la utalii

  • @bongoconnection4395
    @bongoconnection4395 2 года назад

    umenikumbusha mbali mambo ya fungulia mbwa au kupita chini ya wavu

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 2 года назад +1

    Piga zoezi mjeshi

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 года назад

    Cku nikirudi kwetu Kigoma Tanzania nitakuja kulala kwenye Hiyo hotel

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 года назад

    SIO, VIZURI KUMLISHA MGENI PESA TOFAUTI NA ANAZO LIPA MTANZANIA, HUKU ULAYA NA MAREKANI UKI,WA MGENI AU MWENYEJI WATU WOTE WANALIPA SAWASAWA , KWA ULAYA EURO NA MAREKANI DOLLARS.

  • @machibyajeremia9650
    @machibyajeremia9650 2 года назад

    au ndo ulikuwa inaitwa Kigoma Hotel enzi za 1980

  • @drepsama8027
    @drepsama8027 2 года назад

    Piga zoezi una hema kinoma

  • @salha6596
    @salha6596 2 года назад

    Fungulia mbwa naikumbuka😂😂😂

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania 2 года назад

    Cha namna hiyo hapo.

  • @ndewerio1
    @ndewerio1 2 года назад

    Ila wana ufala sana kuwalipisha wageni bei tofauti na wasio wageni. Alafu iyo family villa yenyewe ingekuwa na at least two bedrooms basi sio wanakupa magodoro tu

  • @geewara2846
    @geewara2846 2 года назад

    Katika namna ile pale

  • @ntayega.a.hamissi9760
    @ntayega.a.hamissi9760 2 года назад +1

    Soweto, Kama ilivyo Juliana enzi hizo Ni hotel nzuri ktk mazingira mazuri. Mzee Ebm Kalalangabo ulifika?

    • @swalehm722
      @swalehm722 Год назад

      Wewe ni mwenyeji wa Lwama, EBM alitakiwa atoe historia kamili ya mahali hapo, tangu enzi hizo ikiitwa Kigoma hoteli. Soweto lilikuwa jina kubwa mnoo, sehemu kubwa iliyokuwa inapiga Disco enzi hizooo. Asante kwa kutukumbusha.

  • @destroyerban7364
    @destroyerban7364 2 года назад

    Eban nimekubali kwa gisi umekemeya iyo price mwambiy huy manager wa hiy Hotel kwamb uku Marekani hatuogoti dollars jalalani km jinsi wanavyo fikiria…

  • @tumsifujoachim5877
    @tumsifujoachim5877 2 года назад

    Wewe hili sio tatizo wacha watozwe rates tofauti hela wanayo ya kutosha wewe tu ndo umeona noma ila wacha walete madolali

  • @mariamally4488
    @mariamally4488 2 года назад

    ww ni wa kigoma kweli maana ongea yako. eti unaona kama hivo

  • @hassshoban8206
    @hassshoban8206 2 года назад

    Acha ujinga huko Marekani mwanafunzi mgeni analipa ada kubwa kuliko mwenyeji!!

    • @neemaneema9969
      @neemaneema9969 2 года назад

      Naomba unicheki wasap +96894215849

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 года назад

      una uhakika????

    • @hassshoban8206
      @hassshoban8206 2 года назад

      @@ChoroTesla Saana tu.

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 2 года назад

      @@ChoroTesla hiyo ni kweli..
      Hata hapa UK ndio hivyohivyo.

  • @raphaelonyango5690
    @raphaelonyango5690 2 года назад +1

    We EBM umeukana uraia wa nchi yako hivyo bare the repercussions of costs and regularities or whatsoever as a foreigner. Lipa tu hayo ma dollari mzee

    • @khalfanmohd5807
      @khalfanmohd5807 2 года назад +1

      100% most of hotels depends on foreign currency, and who will bring foreign currency if not someone who's not a country??? Just pay

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson 2 года назад +2

    Umeonyesha passport ya Marekani ili oweje labda? Kusudi uonekane wewe ni wa Marekani au? Wewe una rafudhi ya Kihaa 100 percent inakuwaje uonyeshe passport ya Marekani sisi mbona hatuonyeshi za Tanzania tukifika hotelini.

    • @Bombom-ze1sj
      @Bombom-ze1sj 2 года назад

      Ujakosea Nelson tatizo la watanzania wengi wakipata passport za nje uwa wakifika Tanzania ujifanya wao Matajili Na awatak buguzi. REALLY tunafanya kazi nyingi ulaya lakini pia tukifika kwe2 tuache kujiproudy sana ...Mimi naona Mzee aki yake ikiwezekana alipe 5000 us for one night ... 😂😂

  • @africanproudtv7652
    @africanproudtv7652 2 года назад

    Nimekutumia ujumbe kwenye email yako mara kadhaa lakn haujibu

  • @mbarukunzige5742
    @mbarukunzige5742 2 года назад

    wewe siyo Mtanzania ni mtalii, Lipa USD

    • @ntayega.a.hamissi9760
      @ntayega.a.hamissi9760 2 года назад

      Ni utaratibu wa hivyo, sehemu nyingi ambazo watalii wanazuru hazina tofauti ya bei kati ya mgeni na mwenyeji

    • @khalfanmohd5807
      @khalfanmohd5807 2 года назад

      100%