SHABIKI WA SIMBA AMLILIA CAMARA HAMNA A KIPA PALE,TUNAMKUBUKA MANULA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024

Комментарии • 69

  • @DicksonMsangawale
    @DicksonMsangawale 2 часа назад +3

    Yaaaan me napenda sana mkilia😂😂😂😂😂

  • @ramajr3762
    @ramajr3762 6 часов назад +6

    Aya ndiyo mambo nayo yapenda 😂😂😂😂

  • @GaliboSumailWambuesso-s8m
    @GaliboSumailWambuesso-s8m 5 часов назад +4

    Mm napendaga ivi! Na mtaliya kweli!!

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Час назад

    Camara mchezaji wa Yanga mzuri sana

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Час назад

    Poleni baba yangu

  • @hashimumiho4741
    @hashimumiho4741 8 часов назад +3

    😂😂😂😂😂😂 aua anashindwa kumsaidia ateba

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 8 часов назад +3

    Tulitaka tusiwafunge mkajifunga wenyewe😊

  • @mohamedmbwana8866
    @mohamedmbwana8866 11 часов назад +3

    😅😅😅😅😅😅😅 et spider

  • @EsteregiusShostenes
    @EsteregiusShostenes 8 часов назад +3

    Wameshenyetwa 😂😂😂😂😂

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 7 часов назад +1

    Pole blaza

  • @AronMassawe
    @AronMassawe 7 часов назад +2

    Huyu jamaa kila simba ikifungwa analiaga pamoja na yule ndonya wa simba

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 38 минут назад

    Tumepiga msukule 😂😂😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 9 часов назад +4

    Nakingine msemaji wetu anaongea sana mpaka anawafanya waupinzani wetu wanajipanga zaidi

    • @makejamaduhu7618
      @makejamaduhu7618 7 часов назад

      Ni ball trick anayotumia kuwajenga watu kisaikolojia

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 4 часа назад +1

    Nimecheka mie

  • @HafidhAlly-i1c
    @HafidhAlly-i1c 8 часов назад +3

    Sasa kamara au kambare?

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Час назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa mvua ndio inachezaaaa?????

  • @FatmaMiraji-od4rr
    @FatmaMiraji-od4rr 2 часа назад +1

    Huyu hua analia tangu enzi za mayele

  • @MarianaMartin-rr7nx
    @MarianaMartin-rr7nx 22 часа назад +1

    Mweeeee 😂😂😂😂😂

  • @masoudmongomongo244
    @masoudmongomongo244 6 часов назад +1

    Hii Milio ndio tunaipenda ss wana yanga fyokofyokofyoko 😂😂😂😂😂

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 8 часов назад +1

    Acha ushabiki wa kipumbavu wew kamara amefanya nini

  • @ShukuruMakoko
    @ShukuruMakoko 8 часов назад +1

    Simba jameni tunaumia ilayatapita iposikuyetu pleni wanasimba wote tujipange zaidi kunasikuyetu

  • @MahmoudGronkjaer-o8g
    @MahmoudGronkjaer-o8g 5 часов назад

    Yanga hawakutaka kuwafunga lkn mkajifunga wenyewe. Lkn aliyewaponza ni ateba sio Camara. Najiuuliza ile save aliyoifanya diarra kwa ateba huyo camara ingekuwaje si angekula tobo

  • @lenziangowoko9325
    @lenziangowoko9325 27 минут назад

    Alafu hili ni tahila,baba mzima ovyoo unajidhalilisha tu mbele ya camera,unamlaumu camara amekosea nini

  • @Mhabeshi.Madayi
    @Mhabeshi.Madayi Час назад

    Gb4.atakamilisha mda c mrefu kitabu cha machozi ya wanasimba 😂😂😂😂Sema mangungu anamkwamisha 😅😅😅

  • @TeddyJames-l3o
    @TeddyJames-l3o 3 часа назад

    😂😂😂😂😂

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 8 часов назад +1

    Ahamed ally kumbe aliwaaminisha kolosedadi kuwa mvua ikinyesha kolo wanashinda ndio wakaja uwanjani.

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 9 часов назад +2

    Shida ni kuja na matokeo uwanjani Koma kudadadek

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 8 часов назад +1

    Bado hamjasema

  • @Allybomeza
    @Allybomeza 6 часов назад

    Makolo bhan mungu kawajalia mdomo tu ila machozi yapo karibu😂

  • @cosmasluwanja7394
    @cosmasluwanja7394 11 часов назад +1

    Brother Tulia mbona kimoja tuuu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 8 часов назад +1

    Yanga itabd mechi ijayo wabalance wajifungishe, svyo wataondoka na roho za raia wasio na hatia 😂

  • @aminasogo5780
    @aminasogo5780 9 часов назад +2

    Jitu zima ovyooo na bado

  • @Israhmachota-p9v
    @Israhmachota-p9v 9 часов назад +2

    Brooo mbona nimekupga kamoja tu je ningekupga vitatu si ungechubuka wewe

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 часа назад

    Kamara kengee,

  • @lusajomwasomola-e5k
    @lusajomwasomola-e5k 4 часа назад

    Mbona huyu jamaa anaepnda kulialia kila simba ikifungwa au ni commedian jaman

  • @frevastram25
    @frevastram25 11 часов назад +2

    tulia boss kwan camara aliona mpira unaenda kutoka

    • @musapfute6608
      @musapfute6608 8 часов назад +1

      Ndio,, na sio mara Moja, mara nying anadaka mipira ya kutoka

  • @ZuberiHuseni
    @ZuberiHuseni 5 часов назад

    Kwanza analia kwa kujilazmish

  • @MohamedShaksi
    @MohamedShaksi 11 часов назад +2

    Sifa ni nyinyi mnampa sifa. Kula chuma hicho

  • @BahatiRamadhani-i8f
    @BahatiRamadhani-i8f 7 часов назад +1

    Ana mke na watto kwel hyu.vjan Kam haw wanamchango mdogo San katk taifa

    • @salumumawaya
      @salumumawaya 7 часов назад

      hahaha😂 afu huyu jamaa kila mech lazma alie kipndi kile alilia kisa mayele😂😂

    • @mbarakasijaona7638
      @mbarakasijaona7638 41 минуту назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie Час назад

    Hili mbumunda ni yanga simba hatuna choko la kulia tukifungwa ujinga huo uko yanga

  • @edwardmwaliko9078
    @edwardmwaliko9078 11 часов назад +1

    Acha ubwege mzee

  • @AbeidyMoraes
    @AbeidyMoraes 4 часа назад +1

    Huyu Mbna kila wakifungwa derby analia kila mwaka nyie mfatilien vzr huyu mmakonde kipindi flan walifungwa akasema wanamtaka manzokii

    • @FatmaMiraji-od4rr
      @FatmaMiraji-od4rr 2 часа назад

      Nakumbuka kile kipindi cha mayele alikua analiaga

  • @SevarinijrChitanda
    @SevarinijrChitanda 14 часов назад +1

    😅😅😅😅😂😂🤣🤣🤫

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 15 часов назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 9 часов назад +5

    PUMBAVU UNALIA NINI BABA MZIMA, SI UMEVUNA ULIVYOPANDA? KAMARA KAMARAA, NYIE HAMKOSAGI LAWAMA BASI MLETENI M MWAMEJA 😂😂😂😂😂

  • @BakaryOmally
    @BakaryOmally Час назад

    Njaa si msema ubaya ubwegee asa si mngempa chakula ashibeee

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 8 часов назад +1

    Anaigiza Akitaka kuonekana

  • @hamudumaulid3807
    @hamudumaulid3807 9 часов назад +1

    Canara anafungwa mara ya tatu Kwa ubovu ule ule

  • @TeddyJames-l3o
    @TeddyJames-l3o 3 часа назад

    Ukiona mtu mzima mama analia ujue kunajambo

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 6 часов назад

    Kuna mijitu ya hovyo hii dunia..Hivi mke na watoto wake wanamtazamaje?

  • @subiralema
    @subiralema 13 часов назад +2

    Mtu kama uyo itakuwa ajuwi kanisani wala msikitini na wala auzuniki kufunngwa na yanga unalia😂😂😂😂

  • @shafiimdogwa1482
    @shafiimdogwa1482 Час назад

    Kumekucha kumekucha

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 часа назад

    BADO MARA MOJA TUWEKE BANGO

  • @TandaligimaMatege
    @TandaligimaMatege 10 часов назад +1

    Nabodo..hujaria..ongeza

  • @ZuberiHuseni
    @ZuberiHuseni 5 часов назад

    Sio shabik wa kwel huyu

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 6 часов назад

    Wamesheshetw matako yao mutujuwatuu

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 9 часов назад +1

    Kamala Hana shida tatizo viongozi walioko madalakani hawajui kuzicheza dabi niwasenge tu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 часа назад

    Huyu jamaa Kila mechi lazma wamlize .....pole lile Jana ni Pila PIDIDI Pila MAFUTA

  • @frankhokororo4052
    @frankhokororo4052 9 часов назад +1

    😂😂😂