Huo pia niugwa nimependa sana hiyo clip wapo watu kama huyo mshikaji ili huyo mshikaji nimugwana sana kajiuliza kaona amekosea kaenda kumuomba msamaha Fresh kiroho safa kabisa🙏
Hata mimi nimeona. Simu kajanayo yule jamaa tajiri akawaoneshea madirisha wanayotaka kisha akawaandikia namba ya simu na kuwapatia simu moja kwa moja wakageuza skmu ni yao tena
Adjala nakufurahiyaga sana dada
Nimeangalia kwaajili yako txdula ❤
👏👏👏🙌🙌ONGERENI KABISA KWA KAZI ZENU😁😁
Nakukubali saaan dada adjira
Huo pia niugwa nimependa sana hiyo clip wapo watu kama huyo mshikaji ili huyo mshikaji nimugwana sana kajiuliza kaona amekosea kaenda kumuomba msamaha Fresh kiroho safa kabisa🙏
Very nice, following from Kenya
Daah nmelia kwakweli naisitoshe nina ugonjwa wa kulia nikiguswa kdg 😢
Nice lesson there
Txdallah siku nyingine usirudie Sasa asirudie kuumwa au 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣
Txdullah yupo sawa tu pia kwa namna fulani, assume huyo mgonjwa kifafa kimempanda na amewasha grinder si anajichinja😂😂😂
Ndio maisha mungu anajua
Imenifunza Sana
Respect
Imeenda iyooo❤
Ndo👌👍👍👍👍👍👍
😅 unaweza kaka
Safi
tx nakubar kaka
Roho mbaya haijengi hubomoa Kila kitu acha roho mbaya dulaaaa😁😀
Kago ninakuku balisana damuyangu nakufatilia sana mungu akujalie uzdikuwafundisha bnadamu wenyeroho kama hyu
Hii group wamekutana wote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 na ni miyayusho full mhu! 🤣😂😀
Ila we Dulla ni mkorofi sana.😂😂
Daaaah uyo dogo kaongea kijasiri saan
Duhllah acha uroho
Kaka dula naomba niigize nawewe
Mwisho wa ubaya aibu...but good job
Mafundi kazin 🙌🙌👏👏👏💪🏻🤣🤣🤣🤣
Haaaaaaa mtihani eti yule sio binaadam yule ni mgonya hujafa hujaumbika
Duuuuuh hatari sana
Huyo Dada MashaaAllah..
Master apoo umeona dada,noma sana😮
@@Sisopotashiumz huyo namuelewa since day uno.
Aloooo
Siku nyingine usirudie 😁
Hahaha kalete kioo sawa nilete viwili leta kimoja mwamba kazini
😂😂😂😂❤❤❤❤❤😮
inavutia
Maisha nikusaidiana tenda mema ujiendee
Good work
Apo kwenye simu apo kuna kitu hakipo sawa
Hata mimi nimeona. Simu kajanayo yule jamaa tajiri akawaoneshea madirisha wanayotaka kisha akawaandikia namba ya simu na kuwapatia simu moja kwa moja wakageuza skmu ni yao tena
😂😂😂😂
Huyufundi hatr
Anay mukubali adjala agonge like hapa
Nauliza tena kwanini dada hajra ajawayi kuvua ushungi napenda nione nyele ya dada
Dulla unaumwa ww
We dula kumbuka hujafa hujaumbika ata Kama una act
Ninauhakika hujaangalia mpaka mwisho yaani umeielewa story kabla haijaisha ungefika mpaka mwisho dula kaonyesha uungwana sana.
UYU DOGO WA KAPERO NI MIMI KABISA UYU LAZIMA UJUE KUA MAISHA NI SAFAR NDEFU SAAN DAAH DULLA ULIPEWA SEHEM NGUMU SANA JAPO ULIKUA KAZN HONGERAN 🤝🏿🤝🏿🤝🏿
😂😂😂😂😂 niwewee
Safi
😂