FUNDI MWENYE KIFAFA ABAGULIWA, KILICHO TOKEA NI MUUJIZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 фев 2023
  • #sahara #sambazahekima #inspiration #motivation
  • КиноКино

Комментарии • 53

  • @luciedoxa2735
    @luciedoxa2735 Год назад +9

    Adjala nakufurahiyaga sana dada

  • @sarokipma3782
    @sarokipma3782 Год назад +12

    Nimeangalia kwaajili yako txdula ❤

  • @lawisebastien
    @lawisebastien Год назад +8

    👏👏👏🙌🙌ONGERENI KABISA KWA KAZI ZENU😁😁

  • @nonogustave-oq3nq
    @nonogustave-oq3nq Год назад +4

    Nakukubali saaan dada adjira

  • @kennethmnyiha2109
    @kennethmnyiha2109 Год назад +4

    Huo pia niugwa nimependa sana hiyo clip wapo watu kama huyo mshikaji ili huyo mshikaji nimugwana sana kajiuliza kaona amekosea kaenda kumuomba msamaha Fresh kiroho safa kabisa🙏

  • @user-bl6yq2hy1r
    @user-bl6yq2hy1r 10 месяцев назад

    Very nice, following from Kenya

  • @user-gr8ky3oz2e
    @user-gr8ky3oz2e 2 месяца назад

    Daah nmelia kwakweli naisitoshe nina ugonjwa wa kulia nikiguswa kdg 😢

  • @hybridaccounts
    @hybridaccounts 7 месяцев назад

    Nice lesson there

  • @hassanbaoma8798
    @hassanbaoma8798 Год назад +9

    Txdallah siku nyingine usirudie Sasa asirudie kuumwa au 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 Год назад +2

    Txdullah yupo sawa tu pia kwa namna fulani, assume huyo mgonjwa kifafa kimempanda na amewasha grinder si anajichinja😂😂😂

  • @AmisseSulemane-sb4re
    @AmisseSulemane-sb4re 9 месяцев назад

    Ndio maisha mungu anajua

  • @Officialpiejotv
    @Officialpiejotv Год назад +1

    Imenifunza Sana

  • @nsmilles_tz2601
    @nsmilles_tz2601 Год назад

    Respect

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz Год назад

    Imeenda iyooo❤

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 5 месяцев назад

    Ndo👌👍👍👍👍👍👍

  • @user-eo2ws5rh3o
    @user-eo2ws5rh3o Год назад

    😅 unaweza kaka

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 Год назад

    Safi

  • @user-ww2rc6zf2p
    @user-ww2rc6zf2p 10 месяцев назад

    tx nakubar kaka

  • @mwaminashosi5781
    @mwaminashosi5781 Год назад +2

    Roho mbaya haijengi hubomoa Kila kitu acha roho mbaya dulaaaa😁😀

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya1820 7 месяцев назад

    Kago ninakuku balisana damuyangu nakufatilia sana mungu akujalie uzdikuwafundisha bnadamu wenyeroho kama hyu

  • @franklin-yz9we
    @franklin-yz9we Год назад +1

    Hii group wamekutana wote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 na ni miyayusho full mhu! 🤣😂😀

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 10 месяцев назад +1

    Ila we Dulla ni mkorofi sana.😂😂

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 Год назад

    Daaaah uyo dogo kaongea kijasiri saan

  • @user-ry5bh9vq7t
    @user-ry5bh9vq7t Год назад

    Duhllah acha uroho

  • @ezraphilbert6602
    @ezraphilbert6602 Год назад +1

    Kaka dula naomba niigize nawewe

  • @reinatave780
    @reinatave780 Год назад +2

    Mwisho wa ubaya aibu...but good job

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +1

    Mafundi kazin 🙌🙌👏👏👏💪🏻🤣🤣🤣🤣

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +2

    Haaaaaaa mtihani eti yule sio binaadam yule ni mgonya hujafa hujaumbika

  • @emmaandrew3298
    @emmaandrew3298 Месяц назад

    Duuuuuh hatari sana

  • @stn4873
    @stn4873 Год назад

    Huyo Dada MashaaAllah..

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Год назад

      Master apoo umeona dada,noma sana😮

    • @stn4873
      @stn4873 Год назад

      @@Sisopotashiumz huyo namuelewa since day uno.

    • @simontemba1851
      @simontemba1851 11 месяцев назад

      Aloooo

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 Год назад

    Siku nyingine usirudie 😁

  • @ramyramso
    @ramyramso Год назад +1

    Hahaha kalete kioo sawa nilete viwili leta kimoja mwamba kazini

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 5 месяцев назад

    😂😂😂😂❤❤❤❤❤😮

  • @methodeverista-kt3fm
    @methodeverista-kt3fm Год назад

    inavutia

  • @munguyikojeanmarie2558
    @munguyikojeanmarie2558 Год назад

    Maisha nikusaidiana tenda mema ujiendee

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Год назад

    Good work

  • @bollywoodentertainment8081
    @bollywoodentertainment8081 Год назад

    Apo kwenye simu apo kuna kitu hakipo sawa

    • @africanfilmstz8765
      @africanfilmstz8765 Год назад

      Hata mimi nimeona. Simu kajanayo yule jamaa tajiri akawaoneshea madirisha wanayotaka kisha akawaandikia namba ya simu na kuwapatia simu moja kwa moja wakageuza skmu ni yao tena

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Год назад

    😂😂😂😂

  • @RahimNgoo
    @RahimNgoo 10 месяцев назад

    Huyufundi hatr

  • @luciedoxa2735
    @luciedoxa2735 Год назад +6

    Anay mukubali adjala agonge like hapa

  • @user-sl3dy2kw4c
    @user-sl3dy2kw4c 5 месяцев назад

    Nauliza tena kwanini dada hajra ajawayi kuvua ushungi napenda nione nyele ya dada

  • @victormbilinyi2998
    @victormbilinyi2998 Год назад

    Dulla unaumwa ww

  • @patijohhullian5372
    @patijohhullian5372 Год назад

    We dula kumbuka hujafa hujaumbika ata Kama una act

    • @stevenmwasomola2417
      @stevenmwasomola2417 Год назад

      Ninauhakika hujaangalia mpaka mwisho yaani umeielewa story kabla haijaisha ungefika mpaka mwisho dula kaonyesha uungwana sana.

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 Год назад

    UYU DOGO WA KAPERO NI MIMI KABISA UYU LAZIMA UJUE KUA MAISHA NI SAFAR NDEFU SAAN DAAH DULLA ULIPEWA SEHEM NGUMU SANA JAPO ULIKUA KAZN HONGERAN 🤝🏿🤝🏿🤝🏿

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha7006 9 месяцев назад

    Safi

  • @user-kl6gk9gt9k
    @user-kl6gk9gt9k 4 месяца назад

    😂