Steve, hii imekaa vizuri,maana kina wenye nyumba wana hii tabiya kwa dada wasaidizi (wafanya kazi wa nyumbani). Asilimia100, 80 wananyanyashwa na wajiri wao.hii asilimia20 kati yao,kweli kuna wenye tamaa natabia mbaya. ila walio wengi ni watafutaji halali (wafanyakazi halali).
Sahar napnda vdeo zako na mm mke wang analaisha kuekt na aliwah kuekti bila ruhsa yang hvo naomb nimuombee kwako pmja na wadau wako plz ana talent lakn kuna makundi alkoekti nay naogopa kweli
Hakuna kitu kilicho mbali sana ambacho hakikuweza kufikiwa, au kilichofichwa kiasi kwamba hakiwezi kugunduliwa. Kwenye ukweli uko, uongo lazima ukae pembeni🙏
Habari zenu wasani naomba kuonana na hajra kidoti tafadhali nitashukuru
Jamani mwezi mtukufu tusiwafanyie wenzetu mabaya ongera sana Steve and your team.
Good 👍
Steve, hii imekaa vizuri,maana kina wenye nyumba wana hii tabiya kwa dada wasaidizi (wafanya kazi wa nyumbani).
Asilimia100, 80 wananyanyashwa na wajiri wao.hii asilimia20 kati yao,kweli kuna wenye tamaa natabia mbaya.
ila walio wengi ni watafutaji halali (wafanyakazi halali).
Filamu nzuri sana yenye elimu
Good job
Kazi nzur
Duuuuuhhhh🤓🤓🤓 nitakuja ku comment baadae napita kwanza😊😊
😂😂
Kijana kijana nakusubiria u comment na mm ndiyo ni comment sasa🙈🙈🙈 usipo comment na mm sita comment🎅
Oya umecheze kama mwanume kweli kweli sema .mngekuwa mnaweka hata za dk 30
Toujours sambaza hekima
Toka apo
Toka apo
@@akiemanikambale5147 Mbona matusi ninini njaa au
Nyc
Tunayapitiya ayo sana
Angira yuko vizuri anafiti pande zote
Daah maisha hayo tunayapitia
Very educative
Iko poaa SN kbs imebikosh
Ina fundisha hii filam
Sahar napnda vdeo zako na mm mke wang analaisha kuekt na aliwah kuekti bila ruhsa yang hvo naomb nimuombee kwako pmja na wadau wako plz ana talent lakn kuna makundi alkoekti nay naogopa kweli
una hishi wapi
contact hizi number +255747269787
@@sahara3429 𝐡𝐛𝐫 𝐳𝐚 𝐡𝐮𝐤𝐨
@@sahara3429 Mimi natka kuigiza lkn m nmkenya nafikaje huko🤗
❤❤❤❤❤❤❤❤
So entreated
Good 👍🏽 👍🏽👍🏽
Ila ajila uko sawa
Hajra sio ajila mzee
Tenda aujui atakae kulipa
Xafii
Seen by baba kopao
😢😢😢
Aibuuu du
Kindoti nimekupnda bure
Mtu kukuchukia ahiombi Hadi umfanyie kitu kibaya ni ana kuchukia tu 😢😢😢😢
Kama waja wanavyomchukia Diamond, kila utakae muuliza Diamond kakufanyia nini, hana jibu la kumchukia.
Stivu nakupenda sjui napataje namba yako
Keni wambuwa
Mama iyu mbona Ana wivu sana
Wivu ndiyo mapenzi😀
Bonge la funzo
Hmmm
Very nice
Hakuna kitu kilicho mbali sana ambacho hakikuweza kufikiwa, au kilichofichwa kiasi kwamba hakiwezi kugunduliwa.
Kwenye ukweli uko, uongo lazima ukae pembeni🙏
Hahahaa Steve bwana
Hi
See by ISOCEL
Steve bwan 🤣🤣
Huyu mwandishi wa Heading jamani, eti 'mahamuzi', badala ya 'maamuzi'.
So entreated