Kuna sehem kakoso alimuuliza mkewe ivi mke wangu nikimwambia zumba ukweli atanielew mkewe akwambia ivi umechanganykiwa au kumaanisha anajua ukw jmn asa badae ana muitaje mwasi tena au nimeelew vby
Mwanzoni ilikua kawaida tu tunapenda kuifuatilia hadithi na idea ilikua nzuri sana,,,, ubunifu na teknolojia ilikua kawaida sana lkn kwa hii season ya Pili Naona umeweka nguvu kubwa katika ubunifu na teknolojia Nimeona hakuna zile za Kutokea Kama mizuka sıkiwa nyingi na Mara kwa Mara umewekeza katika hadithi yenye kusisimua na hata wew mwenyew inakusisimua na huwezi Kukaa nayo ndani mpaka wiki lazıma Utashare tu….haswa nikuambie tu na nikutie nguvu clam hii ndio Sinema yako itakayokuja kukupa Jina kubwa hautaamini Naomba iendeleze hii na uongeze maarifa zaid na zaid…. This is the Best series na Kakoso ni Director Mkali sana atakae kuja sumbua hii Nchi..
Ubashiri wangu ni kuwa, Mwakatobe atamchukua Kakoso kuwa mchipuko wake lakini atapatwa na mshangao kuona kuwa ni mke ila ana viongo vya mume, hivyo amfurushe na kumkasirikia malkia. Yaani kifupi Mwakatobe hawezijua uhalisia wa Kakoso kuwa alibadilishwa na mizimu kuwa hivvyo alivyo kwa sasa, sababu akijua atamfanya kitoweo na tujue kwamba bado ana nafasi kubwa ya kucheza hapo hadi ile wakati atakaporudishwa hali yake halisi na ajue jinsi mkewe alivyokuwa akichipuka na askari wa hiyo himaya.😊😊😊
hata nimechelewa team vevo naomba like hata kumi nawapenda ❣️🎉🎂 ni sabiki sugu from Kenya 🇰🇪💪🙏🙌
Napenda sana uwepo wa Kakoso,vevo,kim, karbun kahama niwape Viazi na karanga.
Nipe Mimi Sio kuwapa Wenye navyo
leoo ndo naaaaminiiii kuna mengi yanatokekeaa nyuma ya paziaa huyajuiii daaaah kumbe jamaaa anachukuwa mke wa kiongozi
Wengi hawajaelewa vile amepigaje hapo
Kwa Keli ata Mimi Nime elewa ☝️
so poa yaan
Noma kweli
Clam unajua sana kuandika story za movie zako nakubar sana vevo film
Duuh huyu mtoto Clam moto sana yani anawachezesha wasanii wake kwa ukubwa ata yeye akiwa ayupo Yani kama diamond au kanumba ambohi
Nakubali Sana watu wanao coment point kama wewe sio kuku zingine kazi kuomba like tu hata kutoa maoni hapana Oya respect sana mwanangu Emma boy
Kabisa kaka hujakosea@@OCEANLOVEofficial.
@@OCEANLOVEofficial.😅
💕💕💕 kabisa 😊😊😊😊💓💓💓💓💖💖💖💖
Hata diamond hawezi hivi
Asaivi unafanya vizuri huchelewi
Leo kakoso amejua kumbe Zumba anamkulia mkewe,makubwa hayo
Tatizo hawajaediti vizuri, mwanzo kamuita mkewe mke wangu nimueleze zumba ukweli alafu mbele mke wake anaonekana hajui kuwa huyo ni Kakoso
@@AmosSinkala-lx4slKweli kabisa
@@AmosSinkala-lx4slsasa ata ungekuw ww ungeamini na hujampa muda wa kumskiliza
Makubwa tenah saanah
Mimi nahisi kamwita mke wake ile ya kimazoea tuuh sababu ni Mke wake kweli
Nafasi ya KAKOSO ni kubwa sana ❤ imenifanya niipende snake boy mala 10000+ imeongeza ukubwa wa film hii ❤ Kakoso kokote uliko heshima kwako ❤
🙏
@@directorkakoso ❤❤❤❤🎬 international Director ❤❤❤
💓💓💓💓💓😊😊😊😊😊😊💙💙💙💙💙💙😚😚😚😚😚😚💕💕💕💕💕💕
Yupo vizuri
@@directorkakoso Unaitendea haki kazi hii ,yaan mbo yamepangiliwa vema,
Keep it up brother
Sijawah kukoment ila apo Kwa kakoswe ni nchale tu na uyo mwakatombe et umalaya tu kuoga mmmmmh🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
wanaomkubal clam tujuane kwa hesabuhya likes leo😍😍
Congo oh no no 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Yaan anaongelea mchepuko hajui kuwa ni mme wake😅😅.. mme wake kalia kumbe hamlizishi mkeo😅
Kaka hiii kachezaaa sana jamaaa anajuwaa snana😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Sisi tuna toka drc congo butembo tuko sambamba n'a snack boy part 2
Nimechelewa ila nimefika kazi safi sna vevo na pia watazamaji from 254
Kazi kubwa na nzuri pongezi kwenu washiliki wote
Nafsi ya kakoso kwenye umbo la mwanamke mwakatobe ndo kauelewa mshangazi ❤❤ ! Alionielewa kwenye jambo hili like plz😂😂
Kakoso😅😅
Analeftishwa group karibuni😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 niatar
😢😢waaaaa jaman adiuruma mchepuko anapendwa
Then anachaguliwa kama malpo yamshangaz
😂😂😂
Nikiwa wa kwanza leo mapema sana like 100 tosha jamani
Wakwanza nipeni like
Chukua Hzoo kaka 😂🙌
Kama zote😂😂😂
Leo nimetimiza nimekuwa wa kwanza leo duuu nilikua na winda sana aya mambo
Hv mtu ukipewa like zinasaidia nn au siku hizi like zinakuza account au kuna hela inaingia?
Nimekuwa 4 like zangu
Kuna sehem kakoso alimuuliza mkewe ivi mke wangu nikimwambia zumba ukweli atanielew mkewe akwambia ivi umechanganykiwa au kumaanisha anajua ukw jmn asa badae ana muitaje mwasi tena au nimeelew vby
Palee mke wa jamaa hakutaka kumskiliza yule dada maana pale alitaka kumeleza ukweli kuwa yeye sio mwanamke lakin hakumskiliza.
Jaman tumsapoti huyu msanii huenda akajakufanya makubwa zaidi katika hii tasnia ya filamu Africa mashariki
Mimi Léo wakwanza naitaji like zangu😂😂🎉🎉❤❤❤❤, Congo mimi wakwanza nipe like apo
Ni hatari sana Kakosso mtiani umemkuta sasa. Itabidi hajitolee siri😮😮🇧🇮
Watamuuwa au hawato muua
Kila mtu n wakwanza basi m hapa n wa mwisho ila nakubali clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤
Mie ni shabikiako Niko Congo kamituga❤,🇨🇩
Clam wakwanza kutoka Bujumbura naomba like zangu!!
Kama kawaida yangu huwa wa kwanza to kutoka somalia naombeni like zangu apa
Abowe kweli upo somalia 😂😂😂😂😂, aniga waa gabar somali from Tanzania
@zainabhussein8142 waaaw mm ni msomali but sai nikekuja kenya kidogo
ukiwa unawahisha mzigo ivi fresh alf tukmlza hii tunaanza na big boss
Kikulacho ki nguoni mwako zumba anapita n mke w kakoso 😂😂
mapema ndo best from kenya
Clam hiii ya leo ni Kali sanaaaaaàa❤❤❤❤❤❤
Kakoso kipi kitakacho mkuta baada y kuchaguliwa kama n wewe unasubir kuona kakoso kipi kitakacho mkuta gonga like my comment
Kakoso si ataolewa jaman 🙆🏼♂️🙆🏼♂️
😂😂naona hivo
Atajua hajui😂
Atajua 😂😂😂😂 aujui 😂😂😂😂 tena 😂😂😂😂😂
Mimi hapa leo nimekuwa wakwanza naomba like zenu msinifanye yatima wa kunyimwa like
Wakwanza leo watching from Kenya 🇰🇪Mombasa
Iyi kali yamwaka kk clam vevo good nice one job brother vevo 🇨🇩 🇿🇦 🎉🎉❤
daaaah hapo sjui itakuwajeee kachagua kidume chenzakee daah mwamb sjui kwann alijibadilisha Jinsia
Hii ni zaidi ya zote ni moto sana part ya ndugu wa mwakatobe, ambae n mwakatobe tu 😅
Mwakatobe umetisha kkkk nawapenda wote timo vevo❤
Mozambique🇲🇿🇲🇿CADODO
Kwenye épisode kakoso amefunza kitu kuhusu wanawake 😂 angalao tujibadili kidogo tujuwe wanao cheat na wake zetu
Aloo weee ni balaa 😂😂😅😂
Mwanzoni ilikua kawaida tu tunapenda kuifuatilia hadithi na idea ilikua nzuri sana,,,, ubunifu na teknolojia ilikua kawaida sana lkn kwa hii season ya Pili Naona umeweka nguvu kubwa katika ubunifu na teknolojia Nimeona hakuna zile za Kutokea Kama mizuka sıkiwa nyingi na Mara kwa Mara umewekeza katika hadithi yenye kusisimua na hata wew mwenyew inakusisimua na huwezi Kukaa nayo ndani mpaka wiki lazıma Utashare tu….haswa nikuambie tu na nikutie nguvu clam hii ndio Sinema yako itakayokuja kukupa Jina kubwa hautaamini Naomba iendeleze hii na uongeze maarifa zaid na zaid…. This is the Best series na Kakoso ni Director Mkali sana atakae kuja sumbua hii Nchi..
Nkbr Nkbr kazi nzury🎉🎉
❤❤Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮 yaaani Ninavyo mkubari #Vevo huezi kuniamini ndagukunda cne Clam
Hak iko saw ❤❤❤
Sipendi sana move ila hii nimeielewa good job
Clam mm sijapenda naomba bigboss iendelee munaoungana na mm gonga likes hapaaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Alisema itaendelea mwez wa 7
Hebu ongeeni vitu vya msingi, habari ya Mimi wa kwanza naombeni like zangu
Tuacheni
Hebu izungumzieni filamu kiujumla na mtunzi
Ata mm nachukia kweli waomba likes utafkiri zinaliwa
Ndohapo sasa 🤣🤣🤣
Ila ni kweli kabisa watu sijui wapojeee
Kwahyo kakoso anaenda kupelekewa moto fanyeni haraka 4 na 5 zitoke bana mwezi huu mjue 😂😂😂🙌🙌
Daaa kakoso umeyatimba ngoja wahuni wakukamie sasa wakushone 😂😂😂😂
Asanté sana kwaku leta kazi mapema
siku hizi umenajitahidi kutoa kazi kwa wakati bravooo👏
Owaa sio poaaa kakoso anaumia mke wake ajagundua kuwa anaongea na kakoso Zumba mttata sio poa ❤
Mke wa kakoso ameumbuka vizuri katowa siri mwenyewe😂😂😂 itakua ngumu
😂😂kakosa nae amechaguliwa kua mke wa mwakatobe
Wakwanza Leo naombeni like zangu
We kakoso umeua usije ukabadili mwonekono wako utaumia blu kak Zumba ankura mke wako hahahahahahah umejichanganya apo
Kakoso umejichanganya kak
@GokervasiSimoni
Mna penda xana laki nyinyi
Like sio zako
Hivi ni kweli wooote mmekuwa wa kwanza 😂😂
Katika movie ambayo nilijua Clam ataharibu nilidhani ni hii Snake Biy Season 2!! Lakn nampa salute amenikata nishai 😊😊
amekosea tu kwenye jina hilo la snake boy
@@avitusalex9571 kivipi mdau
Snake boy Sasa si ndy clam Nae ataonekana Tu season zinazofuata
Mwazo nilikuwa siielewi ila hapa kwa kakoso duu natamani kujua mwendelezo
Wow leo nimekuwa wa kwanza clam to the next level❤❤❤🎉🎉🎉
Wa Kwanza Leo naomba mnipe hata like 10🎉🎉
Hongera clam kazi nzur🎉🎉
Kwa kweli nime furahii so much Big UP sana
🎉mbwaaa tenaa unajuaa falaaa way mau yako 🎉🎉🎉
Daaaaah! Ebuana eeeeh! Hapa dada kayatimba anazidi kumuumiza mumewe Bila yakujua.
Mimi ndiye wakwanza Léo ❤from drc
Oyaaa
Clam VEVO wewe noma man nakubali snake boy on top
Saiz clam anatupa vitu kwa wakat 😊
Wakwanza Leo piga kelele kwa snake boy wakeee❤❤❤❤❤
Daah huyo jamaa aliebadilishwa jinsia na mizimu duuh naona anapata tabu saana 😢😢
Hongereni san muko spidi sana safi sana tunawapenda san
Duh jaman we clam vevo Mungu akujaalie maisha marefu awamuchii umejua kutufurahisha kwa kuwahisha hii series ya Snake boy ❤
Mmoja anapenda kucheka yule wazamani ni mzee wa kununa Mwakatobe 😅
Nipe like zangu bc Ata kama nimechelewa 😂🎉🎉🎉
Nipeeni likes za mzee Mwakatobe😂
Kakoso hatimae kachagulia kuwa mshangaz wa Baba mdogo😂😂😂😂 kazini kuna kaz
Wakwanza Leo nipewe like hata kumi
Wakwanza Leo naomben like japo kumi waoendwa
Kakoso mitihani wakuchaguliwa kachaguliwa yy daah 😂😂😂
Ubashiri wangu ni kuwa, Mwakatobe atamchukua Kakoso kuwa mchipuko wake lakini atapatwa na mshangao kuona kuwa ni mke ila ana viongo vya mume, hivyo amfurushe na kumkasirikia malkia.
Yaani kifupi Mwakatobe hawezijua uhalisia wa Kakoso kuwa alibadilishwa na mizimu kuwa hivvyo alivyo kwa sasa, sababu akijua atamfanya kitoweo na tujue kwamba bado ana nafasi kubwa ya kucheza hapo hadi ile wakati atakaporudishwa hali yake halisi na ajue jinsi mkewe alivyokuwa akichipuka na askari wa hiyo himaya.😊😊😊
Jamni mwakatobe kachagua kakoso kumuowa,kazi ipo.clam unamjua sana
Clam uko vizuli Sana napenda kazi yako ❤️❤️
Big Boss iliishiyaka wapi Bron
Ni Djuma kutoka CONGO DRC 🇨🇩🇨🇩
kwa hii episode 3 nimempigia salute clam . huyu dogo astasumbua sana tasnia ya bongo movie.
Mwakatobe umekujaje hivi naona ni mwendo wa tabasamu mubashara tu. Huku ukiwashughulikia watesi wako.😊
Kongore kwa wote wahusika
Kazi nzuri hii.
Tuseme ukweli hi part two sio Kali kama ya mwanzoo
Big apu mwanang clam we noma san usisahau kulike❤
Clam vevo ginus 💪✋✋😂😂😂😂
Wakwaaaanza!!!wapi likes zangu?
Isikawie sana..itoke haraka kama hizo zngne😊😊one love from 254 kenya
msinambie kakoso atadinywa na mwakatobe😂😂😂 more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🔥
Duh kumbe bado inaendelea hii😮
😂😂congratulations 🎊 team vevo gang mko faster kutoa episodes napenda 🎉ii ni ya moto😅😅😅
Wakwanza leo mnipee likes zangu one love from kenya
Unapeleka wapi likes
Clam njoo uikoe himaya kakosa Kawa pis ya kwenda😂😂😂
Maskin kakoso😢😢...uchungu wa kugeuzwa mwanamke,kujua mkewe anachepuka plus mwakatobe ndani!...kazi nzuri kwetu nyote, nawafatilia🎉🎉🎉
Mnachelewexha xana wakuu
Kakoso anaenda kupelekewa moto 😂😂😂😂
😂😂😂tayari kashapendwa na Zumba ni hatari sana
Anaeza kwenda pata ana mjegejee ..😂😂
Mwakatobe huyu jamaa anafanya vzur sn
Hiii episode imetoa funzo mnooooo safi sana
Kijan kazi unaiweza kweli nakuku Bali San ni abu kutok DRC congo
Wapili leo tunae mkubali mwakatobe weka like tujuwane jaman
❤❤❤❤❤❤Wendo mwalimu wangu najifunza mengi tena mengi zaidi kupiya wewe ni kagass'b toka DRC 🇨🇩❤❤🥰NAKUKUBALI ZAIDI
very interesting nipewe like zangu