SNAKE BOY | ep 3 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 мар 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #clamvevo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,4 тыс.

  • @Ismaelmeja
    @Ismaelmeja 3 месяца назад +92

    hata nimechelewa team vevo naomba like hata kumi nawapenda ❣️🎉🎂 ni sabiki sugu from Kenya 🇰🇪💪🙏🙌

  • @josephboniphace7737
    @josephboniphace7737 3 месяца назад +43

    Napenda sana uwepo wa Kakoso,vevo,kim, karbun kahama niwape Viazi na karanga.

  • @ibrayomapenzi7048
    @ibrayomapenzi7048 3 месяца назад +99

    leoo ndo naaaaminiiii kuna mengi yanatokekeaa nyuma ya paziaa huyajuiii daaaah kumbe jamaaa anachukuwa mke wa kiongozi

    • @Ammary-
      @Ammary- 3 месяца назад +4

      Wengi hawajaelewa vile amepigaje hapo

    • @IssaMangala
      @IssaMangala 3 месяца назад +4

      Kwa Keli ata Mimi Nime elewa ☝️

    • @mapapajay
      @mapapajay 3 месяца назад +2

      so poa yaan

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 3 месяца назад +1

      Noma kweli

  • @JohariZuberi
    @JohariZuberi 3 месяца назад +5

    Clam unajua sana kuandika story za movie zako nakubar sana vevo film

  • @emmanuelkihiyo9236
    @emmanuelkihiyo9236 3 месяца назад +121

    Duuh huyu mtoto Clam moto sana yani anawachezesha wasanii wake kwa ukubwa ata yeye akiwa ayupo Yani kama diamond au kanumba ambohi

    • @OCEANLOVEofficial.
      @OCEANLOVEofficial. 3 месяца назад +12

      Nakubali Sana watu wanao coment point kama wewe sio kuku zingine kazi kuomba like tu hata kutoa maoni hapana Oya respect sana mwanangu Emma boy

    • @eliyadavid3629
      @eliyadavid3629 3 месяца назад

      Kabisa kaka hujakosea​@@OCEANLOVEofficial.

    • @user-bv5qc5tl7f
      @user-bv5qc5tl7f 3 месяца назад

      ​@@OCEANLOVEofficial.😅

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 3 месяца назад

      💕💕💕 kabisa 😊😊😊😊💓💓💓💓💖💖💖💖

    • @user-yz3uw2uf1l
      @user-yz3uw2uf1l 3 месяца назад

      Hata diamond hawezi hivi

  • @user-wi3zr6rb5u
    @user-wi3zr6rb5u 3 месяца назад +43

    Asaivi unafanya vizuri huchelewi

  • @mikedjmkomb
    @mikedjmkomb 3 месяца назад +113

    Leo kakoso amejua kumbe Zumba anamkulia mkewe,makubwa hayo

    • @AmosSinkala-lx4sl
      @AmosSinkala-lx4sl 3 месяца назад +6

      Tatizo hawajaediti vizuri, mwanzo kamuita mkewe mke wangu nimueleze zumba ukweli alafu mbele mke wake anaonekana hajui kuwa huyo ni Kakoso

    • @BrunojnrMz
      @BrunojnrMz 3 месяца назад +1

      ​@@AmosSinkala-lx4slKweli kabisa

    • @raphaelchuche6281
      @raphaelchuche6281 3 месяца назад +4

      ​@@AmosSinkala-lx4slsasa ata ungekuw ww ungeamini na hujampa muda wa kumskiliza

    • @abedkioko9495
      @abedkioko9495 3 месяца назад +1

      Makubwa tenah saanah

    • @Mscamel
      @Mscamel 3 месяца назад +6

      Mimi nahisi kamwita mke wake ile ya kimazoea tuuh sababu ni Mke wake kweli

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +110

    Nafasi ya KAKOSO ni kubwa sana ❤ imenifanya niipende snake boy mala 10000+ imeongeza ukubwa wa film hii ❤ Kakoso kokote uliko heshima kwako ❤

    • @directorkakoso
      @directorkakoso 3 месяца назад +7

      🙏

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +4

      @@directorkakoso ❤❤❤❤🎬 international Director ❤❤❤

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 3 месяца назад

      💓💓💓💓💓😊😊😊😊😊😊💙💙💙💙💙💙😚😚😚😚😚😚💕💕💕💕💕💕

    • @moseshandsam1865
      @moseshandsam1865 3 месяца назад +4

      Yupo vizuri

    • @gabonmaseru2686
      @gabonmaseru2686 2 месяца назад

      @@directorkakoso Unaitendea haki kazi hii ,yaan mbo yamepangiliwa vema,
      Keep it up brother

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 3 месяца назад +30

    Sijawah kukoment ila apo Kwa kakoswe ni nchale tu na uyo mwakatombe et umalaya tu kuoga mmmmmh🤣🤣🤣🤣

  • @RASHIE7Kassapa
    @RASHIE7Kassapa 3 месяца назад +120

    wanaomkubal clam tujuane kwa hesabuhya likes leo😍😍

  • @ruthnasambummmuchongorimuc6386
    @ruthnasambummmuchongorimuc6386 3 месяца назад +4

    Congo oh no no 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @user-ms4mc5kp2r
    @user-ms4mc5kp2r 3 месяца назад +34

    Yaan anaongelea mchepuko hajui kuwa ni mme wake😅😅.. mme wake kalia kumbe hamlizishi mkeo😅

  • @Joshua6kambale
    @Joshua6kambale 3 месяца назад +22

    Sisi tuna toka drc congo butembo tuko sambamba n'a snack boy part 2

  • @mandellahduncan7904
    @mandellahduncan7904 3 месяца назад +23

    Nimechelewa ila nimefika kazi safi sna vevo na pia watazamaji from 254

  • @alfredbaraha9244
    @alfredbaraha9244 3 месяца назад +18

    Kazi kubwa na nzuri pongezi kwenu washiliki wote

  • @twasckozedon9237
    @twasckozedon9237 3 месяца назад +224

    Nafsi ya kakoso kwenye umbo la mwanamke mwakatobe ndo kauelewa mshangazi ❤❤ ! Alionielewa kwenye jambo hili like plz😂😂

    • @SmilingDachshund-zm8mc
      @SmilingDachshund-zm8mc 3 месяца назад +5

      Kakoso😅😅

    • @Munshid_Rajab
      @Munshid_Rajab 3 месяца назад +6

      Analeftishwa group karibuni😂😂😂😂😂

    • @SalomeEliabu
      @SalomeEliabu 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂 niatar

    • @EverlynKenneth
      @EverlynKenneth 3 месяца назад +4

      😢😢waaaaa jaman adiuruma mchepuko anapendwa
      Then anachaguliwa kama malpo yamshangaz

    • @ayubukassim7995
      @ayubukassim7995 3 месяца назад +3

      😂😂😂

  • @athumanabdullah1526
    @athumanabdullah1526 3 месяца назад +84

    Nikiwa wa kwanza leo mapema sana like 100 tosha jamani

  • @JumaUsina-ut4on
    @JumaUsina-ut4on 3 месяца назад +239

    Wakwanza nipeni like

    • @Qiqasalaby360
      @Qiqasalaby360 3 месяца назад +5

      Chukua Hzoo kaka 😂🙌

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 3 месяца назад +6

      Kama zote😂😂😂

    • @JumaUsina-ut4on
      @JumaUsina-ut4on 3 месяца назад +6

      Leo nimetimiza nimekuwa wa kwanza leo duuu nilikua na winda sana aya mambo

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 3 месяца назад +7

      Hv mtu ukipewa like zinasaidia nn au siku hizi like zinakuza account au kuna hela inaingia?

    • @user-li1uz5ot3o
      @user-li1uz5ot3o 3 месяца назад +7

      Nimekuwa 4 like zangu

  • @mariagondwe
    @mariagondwe 3 месяца назад +4

    Kuna sehem kakoso alimuuliza mkewe ivi mke wangu nikimwambia zumba ukweli atanielew mkewe akwambia ivi umechanganykiwa au kumaanisha anajua ukw jmn asa badae ana muitaje mwasi tena au nimeelew vby

    • @MussaKitulanya-ys5ez
      @MussaKitulanya-ys5ez 3 месяца назад

      Palee mke wa jamaa hakutaka kumskiliza yule dada maana pale alitaka kumeleza ukweli kuwa yeye sio mwanamke lakin hakumskiliza.

  • @user-kd1bk6mu3d
    @user-kd1bk6mu3d 3 месяца назад +6

    Jaman tumsapoti huyu msanii huenda akajakufanya makubwa zaidi katika hii tasnia ya filamu Africa mashariki

  • @Ushindipeter
    @Ushindipeter 3 месяца назад +107

    Mimi Léo wakwanza naitaji like zangu😂😂🎉🎉❤❤❤❤, Congo mimi wakwanza nipe like apo

  • @DjumaNininahazwe
    @DjumaNininahazwe 3 месяца назад +45

    Ni hatari sana Kakosso mtiani umemkuta sasa. Itabidi hajitolee siri😮😮🇧🇮

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 3 месяца назад +6

    Kila mtu n wakwanza basi m hapa n wa mwisho ila nakubali clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤

  • @BonheurNgana
    @BonheurNgana 3 месяца назад +2

    Mie ni shabikiako Niko Congo kamituga❤,🇨🇩

  • @kawasaki6137
    @kawasaki6137 3 месяца назад +116

    Clam wakwanza kutoka Bujumbura naomba like zangu!!

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 3 месяца назад +82

    Kama kawaida yangu huwa wa kwanza to kutoka somalia naombeni like zangu apa

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 3 месяца назад +2

      Abowe kweli upo somalia 😂😂😂😂😂, aniga waa gabar somali from Tanzania

    • @modiyuu6287
      @modiyuu6287 3 месяца назад

      @zainabhussein8142 waaaw mm ni msomali but sai nikekuja kenya kidogo

  • @samwelRyakwama-ni3nc
    @samwelRyakwama-ni3nc 3 месяца назад +2

    ukiwa unawahisha mzigo ivi fresh alf tukmlza hii tunaanza na big boss

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 3 месяца назад +7

    Kikulacho ki nguoni mwako zumba anapita n mke w kakoso 😂😂

  • @ngumbaoshukuru9020
    @ngumbaoshukuru9020 3 месяца назад +14

    mapema ndo best from kenya

  • @user-yz2un5fj5t
    @user-yz2un5fj5t 3 месяца назад +16

    Clam hiii ya leo ni Kali sanaaaaaàa❤❤❤❤❤❤

  • @moutinhomerlin6498
    @moutinhomerlin6498 3 месяца назад +23

    Kakoso kipi kitakacho mkuta baada y kuchaguliwa kama n wewe unasubir kuona kakoso kipi kitakacho mkuta gonga like my comment

  • @allyabdallah9441
    @allyabdallah9441 3 месяца назад +29

    Kakoso si ataolewa jaman 🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️

  • @user-sp3wv4op2t
    @user-sp3wv4op2t 3 месяца назад +47

    Mimi hapa leo nimekuwa wakwanza naomba like zenu msinifanye yatima wa kunyimwa like

  • @skystarVEVO254
    @skystarVEVO254 3 месяца назад +7

    Wakwanza leo watching from Kenya 🇰🇪Mombasa

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 3 месяца назад +1

    Iyi kali yamwaka kk clam vevo good nice one job brother vevo 🇨🇩 🇿🇦 🎉🎉❤

  • @user-hh8xl4yc8m
    @user-hh8xl4yc8m 3 месяца назад +2

    daaaah hapo sjui itakuwajeee kachagua kidume chenzakee daah mwamb sjui kwann alijibadilisha Jinsia

  • @ChrisKadenge-qe5nw
    @ChrisKadenge-qe5nw 3 месяца назад +6

    Hii ni zaidi ya zote ni moto sana part ya ndugu wa mwakatobe, ambae n mwakatobe tu 😅

  • @user-cm6jd9sx2y
    @user-cm6jd9sx2y 3 месяца назад +6

    Mwakatobe umetisha kkkk nawapenda wote timo vevo❤
    Mozambique🇲🇿🇲🇿CADODO

  • @wasomitv8487
    @wasomitv8487 3 месяца назад +12

    Kwenye épisode kakoso amefunza kitu kuhusu wanawake 😂 angalao tujibadili kidogo tujuwe wanao cheat na wake zetu

  • @msumarinicholas1038
    @msumarinicholas1038 3 месяца назад +10

    Mwanzoni ilikua kawaida tu tunapenda kuifuatilia hadithi na idea ilikua nzuri sana,,,, ubunifu na teknolojia ilikua kawaida sana lkn kwa hii season ya Pili Naona umeweka nguvu kubwa katika ubunifu na teknolojia Nimeona hakuna zile za Kutokea Kama mizuka sıkiwa nyingi na Mara kwa Mara umewekeza katika hadithi yenye kusisimua na hata wew mwenyew inakusisimua na huwezi Kukaa nayo ndani mpaka wiki lazıma Utashare tu….haswa nikuambie tu na nikutie nguvu clam hii ndio Sinema yako itakayokuja kukupa Jina kubwa hautaamini Naomba iendeleze hii na uongeze maarifa zaid na zaid…. This is the Best series na Kakoso ni Director Mkali sana atakae kuja sumbua hii Nchi..

  • @FoxJr-lh4fe
    @FoxJr-lh4fe 3 месяца назад +24

    Nkbr Nkbr kazi nzury🎉🎉

  • @adolpheniyukuri2089
    @adolpheniyukuri2089 3 месяца назад +10

    ❤❤Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮 yaaani Ninavyo mkubari #Vevo huezi kuniamini ndagukunda cne Clam

  • @HadijaMajo
    @HadijaMajo 3 месяца назад +2

    Hak iko saw ❤❤❤

  • @ZayanaHija
    @ZayanaHija 3 месяца назад +2

    Sipendi sana move ila hii nimeielewa good job

  • @user-bp6sc5jk4o
    @user-bp6sc5jk4o 3 месяца назад +4

    Clam mm sijapenda naomba bigboss iendelee munaoungana na mm gonga likes hapaaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-fm9qm5nv1r
    @user-fm9qm5nv1r 3 месяца назад +11

    Hebu ongeeni vitu vya msingi, habari ya Mimi wa kwanza naombeni like zangu
    Tuacheni
    Hebu izungumzieni filamu kiujumla na mtunzi

    • @charlesmartin7725
      @charlesmartin7725 3 месяца назад +1

      Ata mm nachukia kweli waomba likes utafkiri zinaliwa

    • @user-fm9qm5nv1r
      @user-fm9qm5nv1r 3 месяца назад +1

      Ndohapo sasa 🤣🤣🤣

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 3 месяца назад +1

      Ila ni kweli kabisa watu sijui wapojeee

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 3 месяца назад +2

    Kwahyo kakoso anaenda kupelekewa moto fanyeni haraka 4 na 5 zitoke bana mwezi huu mjue 😂😂😂🙌🙌

  • @user-eo6jj2ew4f
    @user-eo6jj2ew4f 3 месяца назад +2

    Daaa kakoso umeyatimba ngoja wahuni wakukamie sasa wakushone 😂😂😂😂

  • @user-zk7ir2hh3p
    @user-zk7ir2hh3p 3 месяца назад +14

    Asanté sana kwaku leta kazi mapema

  • @user-kq6zy9sl1y
    @user-kq6zy9sl1y 3 месяца назад +10

    siku hizi umenajitahidi kutoa kazi kwa wakati bravooo👏

  • @user-be6pw4qc4z
    @user-be6pw4qc4z 3 месяца назад +2

    Owaa sio poaaa kakoso anaumia mke wake ajagundua kuwa anaongea na kakoso Zumba mttata sio poa ❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +10

    Mke wa kakoso ameumbuka vizuri katowa siri mwenyewe😂😂😂 itakua ngumu

    • @salomejames9639
      @salomejames9639 3 месяца назад

      😂😂kakosa nae amechaguliwa kua mke wa mwakatobe

  • @fredrickanathesarakikya1890
    @fredrickanathesarakikya1890 3 месяца назад +144

    Wakwanza Leo naombeni like zangu

    • @GervasiSimoni
      @GervasiSimoni 3 месяца назад +6

      We kakoso umeua usije ukabadili mwonekono wako utaumia blu kak Zumba ankura mke wako hahahahahahah umejichanganya apo

    • @GervasiSimoni
      @GervasiSimoni 3 месяца назад +4

      Kakoso umejichanganya kak

    • @user-tl5yi2uo4u
      @user-tl5yi2uo4u 3 месяца назад +3

      ​@GokervasiSimoni

    • @user-fr7pv2un4t
      @user-fr7pv2un4t 3 месяца назад +3

      Mna penda xana laki nyinyi

    • @numpefikimwaipopo
      @numpefikimwaipopo 3 месяца назад +1

      Like sio zako

  • @DjBensoni
    @DjBensoni 3 месяца назад +9

    Hivi ni kweli wooote mmekuwa wa kwanza 😂😂

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 3 месяца назад +9

    Katika movie ambayo nilijua Clam ataharibu nilidhani ni hii Snake Biy Season 2!! Lakn nampa salute amenikata nishai 😊😊

    • @avitusalex9571
      @avitusalex9571 3 месяца назад

      amekosea tu kwenye jina hilo la snake boy

    • @ahmedsdk6736
      @ahmedsdk6736 3 месяца назад

      @@avitusalex9571 kivipi mdau

    • @user-fq9dd4mu6y
      @user-fq9dd4mu6y 3 месяца назад

      Snake boy Sasa si ndy clam Nae ataonekana Tu season zinazofuata

  • @user-ot5pq4vs6i
    @user-ot5pq4vs6i 3 месяца назад +7

    Mwazo nilikuwa siielewi ila hapa kwa kakoso duu natamani kujua mwendelezo

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 месяца назад +10

    Wow leo nimekuwa wa kwanza clam to the next level❤❤❤🎉🎉🎉

  • @DeokarySafary
    @DeokarySafary 3 месяца назад +45

    Wa Kwanza Leo naomba mnipe hata like 10🎉🎉

  • @user-nc4jh2gw2h
    @user-nc4jh2gw2h 3 месяца назад +1

    Kwa kweli nime furahii so much Big UP sana

  • @jacksonseleman3160
    @jacksonseleman3160 3 месяца назад +5

    🎉mbwaaa tenaa unajuaa falaaa way mau yako 🎉🎉🎉

  • @nasibuomary7981
    @nasibuomary7981 3 месяца назад +3

    Daaaaah! Ebuana eeeeh! Hapa dada kayatimba anazidi kumuumiza mumewe Bila yakujua.

  • @user-cu9mo3rf4t
    @user-cu9mo3rf4t 3 месяца назад +10

    Mimi ndiye wakwanza Léo ❤from drc

  • @theetrendingsisters2546
    @theetrendingsisters2546 3 месяца назад +2

    Clam VEVO wewe noma man nakubali snake boy on top

  • @zulfamangapi1219
    @zulfamangapi1219 3 месяца назад +6

    Saiz clam anatupa vitu kwa wakat 😊

  • @user-th9vv3pk6u
    @user-th9vv3pk6u 3 месяца назад +8

    Wakwanza Leo piga kelele kwa snake boy wakeee❤❤❤❤❤

  • @ibrahimrajabu1599
    @ibrahimrajabu1599 3 месяца назад +3

    Daah huyo jamaa aliebadilishwa jinsia na mizimu duuh naona anapata tabu saana 😢😢

  • @abdallahamad855
    @abdallahamad855 3 месяца назад +5

    Hongereni san muko spidi sana safi sana tunawapenda san

  • @meshackntibukigwa1163
    @meshackntibukigwa1163 3 месяца назад +4

    Duh jaman we clam vevo Mungu akujaalie maisha marefu awamuchii umejua kutufurahisha kwa kuwahisha hii series ya Snake boy ❤

  • @josiahnzila141
    @josiahnzila141 3 месяца назад +8

    Mmoja anapenda kucheka yule wazamani ni mzee wa kununa Mwakatobe 😅

  • @jbeatstz
    @jbeatstz 3 месяца назад +24

    Nipe like zangu bc Ata kama nimechelewa 😂🎉🎉🎉

  • @_lexuslexy
    @_lexuslexy 3 месяца назад +3

    Nipeeni likes za mzee Mwakatobe😂

  • @AMMY_TONYofficial
    @AMMY_TONYofficial 3 месяца назад +3

    Kakoso hatimae kachagulia kuwa mshangaz wa Baba mdogo😂😂😂😂 kazini kuna kaz

  • @PaulGitua
    @PaulGitua 3 месяца назад +22

    Wakwanza Leo nipewe like hata kumi

  • @user-jw7qq1rt4r
    @user-jw7qq1rt4r 3 месяца назад +24

    Wakwanza Leo naomben like japo kumi waoendwa

  • @NASMEDIATV
    @NASMEDIATV 3 месяца назад +1

    Kakoso mitihani wakuchaguliwa kachaguliwa yy daah 😂😂😂

  • @corneliuschai8398
    @corneliuschai8398 3 месяца назад +4

    Ubashiri wangu ni kuwa, Mwakatobe atamchukua Kakoso kuwa mchipuko wake lakini atapatwa na mshangao kuona kuwa ni mke ila ana viongo vya mume, hivyo amfurushe na kumkasirikia malkia.
    Yaani kifupi Mwakatobe hawezijua uhalisia wa Kakoso kuwa alibadilishwa na mizimu kuwa hivvyo alivyo kwa sasa, sababu akijua atamfanya kitoweo na tujue kwamba bado ana nafasi kubwa ya kucheza hapo hadi ile wakati atakaporudishwa hali yake halisi na ajue jinsi mkewe alivyokuwa akichipuka na askari wa hiyo himaya.😊😊😊

  • @mejumaaabuu618
    @mejumaaabuu618 3 месяца назад +3

    Jamni mwakatobe kachagua kakoso kumuowa,kazi ipo.clam unamjua sana

  • @niyomuzigamyichrispin6781
    @niyomuzigamyichrispin6781 3 месяца назад +5

    Clam uko vizuli Sana napenda kazi yako ❤️❤️

  • @user-km1oj4pu2i
    @user-km1oj4pu2i 3 месяца назад +1

    Big Boss iliishiyaka wapi Bron
    Ni Djuma kutoka CONGO DRC 🇨🇩🇨🇩

  • @geomangi6123
    @geomangi6123 3 месяца назад

    kwa hii episode 3 nimempigia salute clam . huyu dogo astasumbua sana tasnia ya bongo movie.

  • @fabianlucas3594
    @fabianlucas3594 3 месяца назад +10

    Mwakatobe umekujaje hivi naona ni mwendo wa tabasamu mubashara tu. Huku ukiwashughulikia watesi wako.😊
    Kongore kwa wote wahusika
    Kazi nzuri hii.

  • @user-nv6sw6wf7o
    @user-nv6sw6wf7o 3 месяца назад +3

    Tuseme ukweli hi part two sio Kali kama ya mwanzoo

  • @Euaebiusfred
    @Euaebiusfred 3 месяца назад +2

    Big apu mwanang clam we noma san usisahau kulike❤

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 3 месяца назад +2

    Clam vevo ginus 💪✋✋😂😂😂😂

  • @clewis520
    @clewis520 3 месяца назад +22

    Wakwaaaanza!!!wapi likes zangu?

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 3 месяца назад +4

    Isikawie sana..itoke haraka kama hizo zngne😊😊one love from 254 kenya

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 3 месяца назад +2

    msinambie kakoso atadinywa na mwakatobe😂😂😂 more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🔥

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 месяца назад +1

    Duh kumbe bado inaendelea hii😮

  • @dollar105
    @dollar105 3 месяца назад +5

    😂😂congratulations 🎊 team vevo gang mko faster kutoa episodes napenda 🎉ii ni ya moto😅😅😅

  • @kombejimmyartmaspeedy6103
    @kombejimmyartmaspeedy6103 3 месяца назад +55

    Wakwanza leo mnipee likes zangu one love from kenya

  • @MwaishambaKipanga-bu9sz
    @MwaishambaKipanga-bu9sz 3 месяца назад +2

    Clam njoo uikoe himaya kakosa Kawa pis ya kwenda😂😂😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад

    Maskin kakoso😢😢...uchungu wa kugeuzwa mwanamke,kujua mkewe anachepuka plus mwakatobe ndani!...kazi nzuri kwetu nyote, nawafatilia🎉🎉🎉

  • @EmpireDRAGON-hk9ic
    @EmpireDRAGON-hk9ic 3 месяца назад +10

    Mnachelewexha xana wakuu

  • @jeffommy1032
    @jeffommy1032 3 месяца назад +23

    Kakoso anaenda kupelekewa moto 😂😂😂😂

    • @user-io9jt4ll5j
      @user-io9jt4ll5j 3 месяца назад

      😂😂😂tayari kashapendwa na Zumba ni hatari sana

    • @yusrihamid827
      @yusrihamid827 3 месяца назад

      Anaeza kwenda pata ana mjegejee ..😂😂

  • @KelvinAkalo
    @KelvinAkalo 3 месяца назад +1

    Mwakatobe huyu jamaa anafanya vzur sn

  • @davidsimba9355
    @davidsimba9355 3 месяца назад

    Hiii episode imetoa funzo mnooooo safi sana

  • @abubakari8684
    @abubakari8684 3 месяца назад +6

    Kijan kazi unaiweza kweli nakuku Bali San ni abu kutok DRC congo

  • @user-lj9nl3iv6j
    @user-lj9nl3iv6j 3 месяца назад +52

    Wapili leo tunae mkubali mwakatobe weka like tujuwane jaman

  • @user-sq5bx5kk8s
    @user-sq5bx5kk8s 3 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤Wendo mwalimu wangu najifunza mengi tena mengi zaidi kupiya wewe ni kagass'b toka DRC 🇨🇩❤❤🥰NAKUKUBALI ZAIDI

  • @Hezron933
    @Hezron933 3 месяца назад +1

    very interesting nipewe like zangu