LIVE: USIKU HUU KINACHOENDELEA NYUMBANI KWA JAMAA ALIYEUA ASKARI WANNE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 авг 2021
  • Ayo TV & Millardayo.com tumeweka kambi mahali inapoaminika alikuwa akiishi Hamza, jamaa aliyefanya mauaji ya Askari wawili na watu wengine wawili akiwemo Mlinzi.

Комментарии • 319

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +30

    Uyu jamaa n mtu mhimu sana kwa Millard anapambana na yuko very smart katika kaz yake

  • @tzsolarenergy6592
    @tzsolarenergy6592 2 года назад +59

    Oya millard huyu jamaa anayetangaza unatakiwa umlipe pesa nyingi sana tofauti na wengne.... Maana jamaa anafight sana kuzitafta habari kwa udi na uvumba ,kokote na muda wowote ,

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +18

    Jamani tuendelee kuiombea nchi yetu🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu atuepushie mabalaa na aimarishe amani na utulive ..Ameen🙏🙏🙏

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 года назад +25

    Ee Mungu wetu ikumbuke 🇹🇿 🤲tujaalie mwisho mwema 🤲🙏

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 2 года назад

      Hatar tazama hapa ruclips.net/video/7G6YURR-j3c/видео.html

  • @yasintajohn1189
    @yasintajohn1189 2 года назад +16

    Mungu ubariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢

  • @peteryohanamachibya2493
    @peteryohanamachibya2493 2 года назад +24

    Poleni sana familia zilizopoteza wapendwa wao

  • @magrethdeogratias6876
    @magrethdeogratias6876 2 года назад +13

    MUNGU akupe afya njema kaka millrad hayoo tunakupenda mnoo

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 2 года назад +24

    Millad ayo mzee wakutupa apdat za ukweli zisizokua na chenga🙏

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 2 года назад +5

    1.kunashida ktk jeshi la polisi. Mbona hajazuru raia
    2.Watu Kila mara Wana lalamika mahusiano yanakuwa siyo mazuri kati ya raia na police.
    3.Rais wetu kipenzi hebu angalia hili jambo kwa kina. Kunashida hapo katikati ya haya matukio. Poleni wafiwa

  • @moodykillenja3673
    @moodykillenja3673 2 года назад +9

    Ahsante Millard Ayo kwa updates muhimu

  • @japhetkassim5910
    @japhetkassim5910 2 года назад +14

    huyu jamaa yawezekana"
    Alikuwa na BIFU na ASKALI,,..
    Mbona hakudiri na RAIA?🤣🤣🤣

  • @RoseRose-fo8lw
    @RoseRose-fo8lw 2 года назад +13

    Siku moja mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya ulale salama mwenda zake magu. 😭😭😭

    • @yoakimmsuha9636
      @yoakimmsuha9636 2 года назад

      😢 😢 😢

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 года назад

      Kwa iyo yeye ndo alikua mungu kwa matukioa haya yasingetokea ebu acha ujinga bhana

    • @jumakwau6500
      @jumakwau6500 2 года назад

      Sasa hili tukio la leo linahusiana nini na mzee wetu?

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 года назад +2

    Huyu mtangazaji aongezewe msharaha wallah anajua anajua anajua tenaaa

  • @superdeeboy6100
    @superdeeboy6100 2 года назад +1

    Mungu akulinde kaka mtangazaji na pia Allah ibariki tz yetu👏

  • @pendombise6756
    @pendombise6756 2 года назад +1

    Mungu akubariki kaka millard kwa kazi yako nzuri

  • @aminamalugala8010
    @aminamalugala8010 2 года назад +7

    Anasababu tu huyo.angeuwa raiya.kwanini ashambulie polis tu? Ipo sababu t.

  • @joycecasto7966
    @joycecasto7966 2 года назад +11

    Watakuwa wamemzurum mbona hajaua raia

    • @kontradagugami3678
      @kontradagugami3678 2 года назад

      Kweli ya kaisari hayo... Polisi wawajiboshwe kutoa taarifa za kweli baada ya kuhojiana nae. Wasitupange uongo. Wasiseme hamza chizi anasababu. Raia tunawajua polisi uzulumat wao na ubabe wao juu ya haki. R.I.p. hamza baba LA watu

    • @swdaalii6892
      @swdaalii6892 2 года назад

      Kweli kabisa ilo wala haliitaji tochi, awa polisi dhurmati Sana

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 года назад +11

    Kumbe ni mtanzania na ana family yake DAAH mapolisi wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @shijamakoye6544
      @shijamakoye6544 2 года назад

      Sasa mapolisi wenu wamefanyeje kama MTU kishauwa askari 4 ulitaka afanyweje sasa na wewe

  • @saidisalabi7693
    @saidisalabi7693 2 года назад +1

    INNALILAH WAINNA LILAH RAJIUN.

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 года назад +15

    Kunakitu sio bure

  • @claudiangowi9585
    @claudiangowi9585 2 года назад +1

    Isingefaa kupigwa risasi ya mguu tu na kumkamata, maana amejitwika silaha kifuani anamimina hovyo. Apumzike kwa Amani.🙏

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 2 года назад +9

    Milard ayo number 1 on blog

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 2 года назад

      Mungu ilinde 🇹🇿 kweli nimeumia asikali wetu jamani wapumzike kwa Amani

  • @izdorybutati3718
    @izdorybutati3718 2 года назад +20

    Au ndo zile chanjo za korona zimeanza kuvuruga watu 😭😭😭

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 2 года назад +1

      🙄

    • @joelkahuya6719
      @joelkahuya6719 2 года назад +2

      Ata mm nina mashaka na hilo

    • @alimakame5645
      @alimakame5645 2 года назад +2

      Kweli jamaa achunguzwe isjekuwa alichanja corona ndo imeanza Fanya kaz hahaha

    • @yb-60-9
      @yb-60-9 2 года назад +2

      😂😂

    • @shijamakoye6544
      @shijamakoye6544 2 года назад +2

      .😁😂😁😁😂😁😁 we noma

  • @edgasanga9694
    @edgasanga9694 2 года назад +4

    Ira akuna tv makn kama miladayo jomon

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 2 года назад +5

    Inaumiza kwa wafiwa na muuji pia maana cjui kakutwa na nn yaarabi

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 2 года назад

    Yes

  • @cathywence4336
    @cathywence4336 2 года назад

    Noma sana hii

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 2 года назад

    Poleni sana wanafamiliya

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 2 года назад

    Mtangazaji mzur😋macho yake ss nauwo weusi wake dah😘

  • @evansthobias9115
    @evansthobias9115 2 года назад +4

    Jaman pengine haya ni matatizo yanayotokana na kupanda kwa tozo luku mafuta na vichanjo yaan dar mungu ibaliki tz

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 года назад

      Tusha uzwa na wenye tamaa ya pesa

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 года назад

      Ndo mjue tofauti na alivyo kua magufuli na bado watatunyanyasa haswa tu

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 года назад

      When magufuli was presented i wanted to come back but now no way
      Hakuna anaye jari watu wa chini kama magufuli alivyo kua akifanya

  • @manicidan650
    @manicidan650 2 года назад +15

    Mmmh kazi kwelikweli yalipungua haya wakat mzee yupo sasa yameanza tena kwa kasi

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 года назад +5

      Rufiji, mapango ya amboni , kutekwa kwa roma, mo, kufaliki kwa msanii wa ze mafiki mbalamwezi na kuokotwa akiwa uchi , beni saa nane ajulikani alipo, nakukumbusha tu Ili upate angalau kuona usiwe kipofu Sema kinachotokea ni miemko au kutaka kumchafua serikali ya awamu hii watu wantembea na changamoto za msongo wa mawazo , juzi Kati kuna jamaa kaua mtu na yeye kajiua saa unawezaje kuzuia tukio kama Ilo duniani kote utokea matukio kama ayo unakua mtu na silaa anavamia shule anapiga risasi baadae naye anauliwa kawaida

    • @nasrahnaim795
      @nasrahnaim795 2 года назад

      yalipunguaa yap??mbona mo alitekwaa akapoteaa wiki naaa...

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 года назад

      @@shubebunyesi542 hao walishalishwa unga wa ndeld km walikua wanakula malimao na kubugia matangawiz na kumtuma profesa kabudi akabebe apple lunch madagascar hawaez kuelewa

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 2 года назад

      @@shubebunyesi542 Yule jamaa wa Mbalamwezi ilikuaje aisee?
      Dah!!

  • @omarmuhale5320
    @omarmuhale5320 2 года назад +3

    Mnaifanya kz nzuri

  • @ismailystarmusic3657
    @ismailystarmusic3657 2 года назад +2

    Nanyie mtakufa Kama walivyo kufa wengine maana amuogopi mnaenda tuu

  • @shaniaally153
    @shaniaally153 2 года назад +9

    Jamaa sijui kakutwa na nn ila angeamua kuua RAIA angeua hata buku

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 2 года назад +11

    Polisi wa tanzania Kuna jambo la kujifunza kwa hili tukio, jmaa alidili na askar polis tu,

    • @userAysha
      @userAysha 2 года назад

      Umeona eeh waache tamaa kama kinacho zungumziwa ni kweli basi mapolice wamekufa kizembe sana wao rushwa tuuu na tamaa mbaya

    • @simonmwandu2214
      @simonmwandu2214 2 года назад +1

      @@userAysha hatar san yani hao hawana ubinadam hata kidogo rushwa tu hawafny kz kwa mujib wa sheria inavyosema yan

    • @userAysha
      @userAysha 2 года назад

      @@simonmwandu2214 kila kona rushwa tu mtu baada ya kufanya kazi yake vizuri kama inavotakiwa basi yeye akimshika mtu anaanza nipe chochote nikuwache

    • @simonmwandu2214
      @simonmwandu2214 2 года назад

      @@userAysha hiyo ndo tatizo watu wanawachukia polisi wa africa ni tatizo

    • @userAysha
      @userAysha 2 года назад

      @@simonmwandu2214 halafu afrika nzima sawa sawa karibia wafanya kazi wote wa serikalini wanapenda rushwa ulaya hakuna mmabo hayo na ndo maana wameendelea we tizama afrika mtu anapangiwa mda wa kuanza kazi basi anakwenda time anazotaka yeye hawako makini na kazi zao kabisa

  • @getrudamichaely9609
    @getrudamichaely9609 2 года назад +1

    Jaman

    • @getrudamichaely9609
      @getrudamichaely9609 2 года назад

      Watu wanaona kitu Cha kushededea Ila kunawatu nyuma ya panzia washaumizwaa

  • @boniphacepetro5919
    @boniphacepetro5919 2 года назад +4

    Mungu ibarik Tanzania yetu🙏🙏

  • @mariaernest9324
    @mariaernest9324 2 года назад +1

    Habari za hii chaneli sina wasiwasi nazo ni zaukwel

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 2 года назад +4

    Baba awe na mgodi wala asiwe nawo, ila uyo gayidi kajifundisha wapi jeshi, wala silaha????

    • @abdillahsuleiman7931
      @abdillahsuleiman7931 2 года назад

      Jiulize kwanza na iyo silaha anayomiliki kihalali kaipata vp?

  • @suzukisimba8393
    @suzukisimba8393 2 года назад

    Eee mungu inuxulu nchi yetu nawatu wake 🙏🙏

  • @talekush5623
    @talekush5623 2 года назад

    Nakubali

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 года назад +1

    Aseee vijana acheni hayo mambo mutaharisha family kama hivyo mama Wenda hujui chochote dah mungu atulindie vizazi vyetu yasitokee balaa kama hizi

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад

    Vido love you bro

  • @sultanamour8501
    @sultanamour8501 2 года назад +6

    Sisi tunahangaika kutafuta sababu ni nini kumbe ndio ilikua andiko la kifo Chao hapo kuna yakujifunza kuwa ikifka muda wako utakufa tu maana kama ni jambazi aliiba nini kabla au target yake ni nin au wapi?
    Lakini kama ni gsidi alitaget nin na kwanini aue Askari tu awaache wengine yaani raia?
    Na kama ni gaidi hawezi jitoa road kwa style ile?

    • @wilsonjoshua6209
      @wilsonjoshua6209 2 года назад

      Kwahiyo jamaa Ni msamalia mwema anaetimiza maandiko ya Mungu ..😅😅😂😂 .

    • @sarahkimaro75
      @sarahkimaro75 2 года назад

      @@wilsonjoshua6209 😂😂😂

    • @wasilaahmad5459
      @wasilaahmad5459 2 года назад

      We nawe huna point ya msingi ,tunajua kama kila kifo kina sababu lakini huyo jamaa analo alilokusudia, wasomali wanapenda kufanya ugaid na kujificha ktk uislamu, washenzi wKubwa

    • @wasilaahmad5459
      @wasilaahmad5459 2 года назад

      @@wilsonjoshua6209 🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu nae itakua ni msomali

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si 2 года назад

      Kuna siri nzito hapo kt ya mtuhumiwa na police

  • @mathiassay3723
    @mathiassay3723 2 года назад +3

    Dhuu mbona kazi ipo

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 2 года назад

    Namkubali sana Vido Vidox

  • @suleimansalim7194
    @suleimansalim7194 2 года назад

    Askari wa 4 raia Mmoja Duh,

  • @dogotwaanails_mafunzo
    @dogotwaanails_mafunzo 2 года назад

    Jaman uombe na kusal Tanzania Mauaji Kira sku😭🙏

  • @lydiachembe9376
    @lydiachembe9376 2 года назад +3

    Masikini maasikar wetu duh

  • @lameckmtera2252
    @lameckmtera2252 2 года назад

    Tunashukuru kwa tahalifa kaka

  • @mtagechota1002
    @mtagechota1002 2 года назад +7

    Samia kazidi kusema magaidi magaidi hajui tyuu mazara yake

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 года назад +1

      Magufuri ajawai kusema acha unafki kama unachuki zako binafsi Sema yani, linawauma kusikia mbowe gaidi ila wale mashekhe wala hamjawai kupiga kelele kwenu sawa tu

    • @mtagechota1002
      @mtagechota1002 2 года назад

      @@shubebunyesi542 binafsi siko huko unakowaza wew hata ukiangalia video alikuwa anaongea leo unaweza ukaelewa kwann nimecoment ivi
      Anyway acha kihere here bro

    • @faustinenyeura4243
      @faustinenyeura4243 2 года назад +1

      @@shubebunyesi542 mbona hao Kina Mbowe na Lisu ndo waliipigia kelele serikali ya Magu iwaachie Mashekhe wa uamsho??!!!

  • @ChaluEngine
    @ChaluEngine 2 года назад +1

    Kuna nini mbona c elewy

  • @mussanganda505
    @mussanganda505 2 года назад

    Polen sana

  • @kimodomusic2009
    @kimodomusic2009 2 года назад

    Atali Sana😭

  • @zawadimasula6253
    @zawadimasula6253 2 года назад

    Poleni Sana jeshi la polisi

  • @jamesmumba9985
    @jamesmumba9985 2 года назад

    Weeee poleni jamani

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 2 года назад +7

    Duu kumbe wa nyumbani nini maskin kimemkuta

  • @officialsalhath299
    @officialsalhath299 2 года назад +3

    Nmehuzunika kutambua hakuw jambaz alizurumiwa pesa zake na askar ND maan akaamua kuyafany hayo Ila waislam wenzangu tujiuliz Jambo japo alifany hayo lkn hakumsaahau mola wake kwa Kila hatua

  • @goodluckbosha1464
    @goodluckbosha1464 2 года назад +5

    Mr Vido Vidox naomba ukipata nafasa kumuhoji mamq yake Muulize "Unahisi Mwanao alipata wapi silaha na mafunzo ya kutumia silaha za kivita..."

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 2 года назад +1

      Nasikia silaha ni ya baba yake alikuwa mmliki wa migodi huko shinyanga ila kwa sasa baba yake ni marehem kwa sasa na amewaachia hiyo migodi

    • @mohammedjuma8992
      @mohammedjuma8992 2 года назад

      Alifuata nn ubalozin

    • @nasrahnaim795
      @nasrahnaim795 2 года назад

      kwann wasimulize kwann alikuwa anauaaa askarii 2

  • @adamkadiri3864
    @adamkadiri3864 2 года назад

    Duh mmmmmh

  • @robinahumphrey9725
    @robinahumphrey9725 2 года назад

    Polesi wetu jamani ..poleni ndugu na jamaa....

  • @kalizote4952
    @kalizote4952 2 года назад +3

    Kaz ya upolisi ni sawa na kujitowa muwanga kuzuiya bom

  • @mcmwasikitoko7294
    @mcmwasikitoko7294 2 года назад +2

    Aya ndio matatizo yatokanayo na Tozo Luku bizaa kupanda bei chanjo nk lazima akili ziruke sio poa

  • @ezraphonetv6185
    @ezraphonetv6185 2 года назад

    Dah

  • @naihfrank7306
    @naihfrank7306 2 года назад

    Daaa jmn walinz wetu wanch wameondok gafla mungu awapokeee kak zang mlio kufa bila atia sas huyu anza kwanin walimrus kumilik hiz bastola

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 2 года назад

    ao police walijuaje apo ndo kwake?

  • @robertmtiba6092
    @robertmtiba6092 2 года назад +13

    Akili anazo timamu kwann aue police tu asiue raia

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад

      Yap,sio chiz na wala hakuchanganyikwa

    • @kipsjr3664
      @kipsjr3664 2 года назад

      huwezi kujua chizi kuna muda akiona polisi anajua yupo vitani so tatizo la akili ni daktari wa kuthibitisha

  • @jumamsafari5121
    @jumamsafari5121 2 года назад +1

    Watanzania tukio alofanya huyo jama siolakawaida yuko peke yake naeneo lenyewe kuna baloz kama nne na kunakituo chapolic tuji ulize wange kuwa wako watano ingekuaje?

  • @fredrickmalunde3426
    @fredrickmalunde3426 2 года назад

    We reporter boys kweli ,huna hata bullet proof.karibu na nyumvavya gaidi mwenye jezi za ccm

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim3840 2 года назад +1

    Tetea haki yak had Toni lako la mwisho hamza itakuwa alizulumiwa ndio Maan akaamuwa kudili na police tu dah hatar san Ole wak unakufa hali umedhulumu chochote kile iwe kwa tajir ukaona hupunguz kitu au maskin ukaona hanambii kitu jahannam inakusubir mpe kila mwenye haki haki

  • @perpetuafelix2264
    @perpetuafelix2264 2 года назад

    🙏🇹🇿🇹🇿

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu4401 2 года назад +1

    Kawapa tabu familia yao na wengine

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад

    Vido vidox nakukubali naunajua bana

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +7

    Hamza kaitia familia yake matatizo

  • @filismpangala2146
    @filismpangala2146 2 года назад +1

    Itakuwa uko uko mgodin polis wamemdulumu kitu akaamua kufany vile na inawezekan ni maswala ya hera

  • @esteromary2102
    @esteromary2102 2 года назад +4

    R I P polisi wetu 😭😭😭

  • @jumansekeye3860
    @jumansekeye3860 2 года назад

    Inaskitisha allah atunusur

  • @nasrasaid2121
    @nasrasaid2121 2 года назад

    Jamani hata maiti pia askari wamekuja amakeli ukiwa na mali uko mavini bado kazulumiwa na bado family inateseka jamani sasa lazima tuwe makini na hawa askari mola akupe kauli sabit akupunguzie azabu ya kaburi

  • @jimmymwambe8733
    @jimmymwambe8733 2 года назад

    Jitiada za polisi kuhus mtuumiwa na wengne kama huyo vp🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @mimahally1388
    @mimahally1388 2 года назад

    Vidox😘😘

  • @fauziawaziri2729
    @fauziawaziri2729 2 года назад +1

    jeshi lapolisi lichunguzwe vizuri kwanini hajauwa laiya na anafanya kusema yeye hana shida ya kuuwa laiya anashida ya kuuwa askari polisi wachunguzwe kwa kina wakijulikana wanahatia wachukuliwe hatua za kishelia

  • @cityhunter6858
    @cityhunter6858 2 года назад +1

    Mkishindwa niiteni city hunter nije chap chap tutawapata

  • @poncan1133
    @poncan1133 2 года назад +6

    Asee MUNGU atukumbuke

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад +1

      Mungu hakuna hata kimoja anachokisahau vyote ni milki yak hasahau kitu

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 2 года назад

    Mimi ndo WA kwanza au

  • @victordede1922
    @victordede1922 2 года назад +3

    Wamemuibia mgod uo

  • @elishamwanjela4443
    @elishamwanjela4443 2 года назад

    Blog no 1 tz

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 года назад

    Polen kwa wafiwa wote Lakin siro aseme alikua anatatizo gan nahamza

  • @asmahaniabduli2726
    @asmahaniabduli2726 2 года назад

    🙄🙄🙄

  • @pendopeleus9943
    @pendopeleus9943 2 года назад

    Mtuhumiwa kashakufa hapo kwake wanalinda nini kaacha nini kitachowasaidia upelelez inachotakiwa musiwe mnauwa watuhumiwa muwe mnawajeruhi mnabakiza ushaidi mtamuua baadae akishajieleza

  • @elishasolomon9742
    @elishasolomon9742 2 года назад

    Me napita tu.

  • @fredmramba6612
    @fredmramba6612 2 года назад +1

    Watu walishachanganyikiwa na maisha

    • @pendopeleus9943
      @pendopeleus9943 2 года назад

      Harafu unakutana na mixengwe unasumbuliwa kweny mali yako kitatokea nini wkt mnawakabidhi bastora ajilinde na mali zake

  • @nassirvarane6852
    @nassirvarane6852 2 года назад

    Serekal yetu hususani polic wanapenda kuzulum mali za wana nchi ss wananchi wenye hasira kali km hamza hawawez kuvumilia ujinga wao

  • @twistermwasilelwa3663
    @twistermwasilelwa3663 2 года назад +1

    Kazma Kuna kitu hapa polisi tyu na sio laia

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 2 года назад

    Uthubutu wote aliwonyesha siyo wakawayida, dah

  • @ahamadtvonline7546
    @ahamadtvonline7546 2 года назад +4

    Yule jamaa ilikua inaonyesha wazi kua sio jambazi ni akili yake imetikisika Tu kiasi na hakueza kuhimili

  • @officialz-styletz4934
    @officialz-styletz4934 2 года назад

    duuh pazitooh

  • @mashibatoursafari4670
    @mashibatoursafari4670 2 года назад

    Hakuna ulizi wowote

  • @naihfrank7306
    @naihfrank7306 2 года назад

    Vidi dock anajitahid wamillad hay

  • @lameckmtera2252
    @lameckmtera2252 2 года назад

    Dahaa

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 2 года назад +10

    Ni mtanzania mwenye asili ya kisomali. Nilikuwepo kwenye tukio.Nilikuwa kwenye daladala ambalo picha yake imerushwa na baadhi ya mitandao. Huyu jamaa alionekana kuchanganyikiwa. Nakumbuka alilisogelea basi letu na kutuambia kuwa" mwambieni Siro kuwa hawezi kupambana na nguvu ya waislam". Hata hivyo hakutaka kushambulia raia la sivyo yangekuwa ni maafa a