LIVE: USIKU HUU KINACHOENDELEA NYUMBANI KWA JAMAA ALIYEUA ASKARI WANNE
HTML-код
- Опубликовано: 24 авг 2021
- Ayo TV & Millardayo.com tumeweka kambi mahali inapoaminika alikuwa akiishi Hamza, jamaa aliyefanya mauaji ya Askari wawili na watu wengine wawili akiwemo Mlinzi.
Uyu jamaa n mtu mhimu sana kwa Millard anapambana na yuko very smart katika kaz yake
Oya millard huyu jamaa anayetangaza unatakiwa umlipe pesa nyingi sana tofauti na wengne.... Maana jamaa anafight sana kuzitafta habari kwa udi na uvumba ,kokote na muda wowote ,
😂😂😂😂
Hamza
Kabisa bro yupo vizuri
Vida vidox
Vido vidox
Jamani tuendelee kuiombea nchi yetu🙏🙏🙏Mwenyezi Mungu atuepushie mabalaa na aimarishe amani na utulive ..Ameen🙏🙏🙏
Ee Mungu wetu ikumbuke 🇹🇿 🤲tujaalie mwisho mwema 🤲🙏
Hatar tazama hapa ruclips.net/video/7G6YURR-j3c/видео.html
Mungu ubariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢
Poleni sana familia zilizopoteza wapendwa wao
Amina
MUNGU akupe afya njema kaka millrad hayoo tunakupenda mnoo
Millad ayo mzee wakutupa apdat za ukweli zisizokua na chenga🙏
Kweli
Kabisa
Kabisa
Namkubali ayo
1.kunashida ktk jeshi la polisi. Mbona hajazuru raia
2.Watu Kila mara Wana lalamika mahusiano yanakuwa siyo mazuri kati ya raia na police.
3.Rais wetu kipenzi hebu angalia hili jambo kwa kina. Kunashida hapo katikati ya haya matukio. Poleni wafiwa
Polic wetu wanapenderea san
Ahsante Millard Ayo kwa updates muhimu
huyu jamaa yawezekana"
Alikuwa na BIFU na ASKALI,,..
Mbona hakudiri na RAIA?🤣🤣🤣
Watakuwa walichukuwa boda🙄
Hata mie nahis ivyo...Kuna ktu kpo na hao polis
Siku moja mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya ulale salama mwenda zake magu. 😭😭😭
😢 😢 😢
Kwa iyo yeye ndo alikua mungu kwa matukioa haya yasingetokea ebu acha ujinga bhana
Sasa hili tukio la leo linahusiana nini na mzee wetu?
Huyu mtangazaji aongezewe msharaha wallah anajua anajua anajua tenaaa
Mungu akulinde kaka mtangazaji na pia Allah ibariki tz yetu👏
Mungu akubariki kaka millard kwa kazi yako nzuri
Anasababu tu huyo.angeuwa raiya.kwanini ashambulie polis tu? Ipo sababu t.
Watakuwa wamemzurum mbona hajaua raia
Kweli ya kaisari hayo... Polisi wawajiboshwe kutoa taarifa za kweli baada ya kuhojiana nae. Wasitupange uongo. Wasiseme hamza chizi anasababu. Raia tunawajua polisi uzulumat wao na ubabe wao juu ya haki. R.I.p. hamza baba LA watu
Kweli kabisa ilo wala haliitaji tochi, awa polisi dhurmati Sana
Kumbe ni mtanzania na ana family yake DAAH mapolisi wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sasa mapolisi wenu wamefanyeje kama MTU kishauwa askari 4 ulitaka afanyweje sasa na wewe
INNALILAH WAINNA LILAH RAJIUN.
Kunakitu sio bure
Isingefaa kupigwa risasi ya mguu tu na kumkamata, maana amejitwika silaha kifuani anamimina hovyo. Apumzike kwa Amani.🙏
Milard ayo number 1 on blog
Mungu ilinde 🇹🇿 kweli nimeumia asikali wetu jamani wapumzike kwa Amani
Au ndo zile chanjo za korona zimeanza kuvuruga watu 😭😭😭
🙄
Ata mm nina mashaka na hilo
Kweli jamaa achunguzwe isjekuwa alichanja corona ndo imeanza Fanya kaz hahaha
😂😂
.😁😂😁😁😂😁😁 we noma
Ira akuna tv makn kama miladayo jomon
Inaumiza kwa wafiwa na muuji pia maana cjui kakutwa na nn yaarabi
Yes
Noma sana hii
Poleni sana wanafamiliya
Mtangazaji mzur😋macho yake ss nauwo weusi wake dah😘
Jaman pengine haya ni matatizo yanayotokana na kupanda kwa tozo luku mafuta na vichanjo yaan dar mungu ibaliki tz
Tusha uzwa na wenye tamaa ya pesa
Ndo mjue tofauti na alivyo kua magufuli na bado watatunyanyasa haswa tu
When magufuli was presented i wanted to come back but now no way
Hakuna anaye jari watu wa chini kama magufuli alivyo kua akifanya
Mmmh kazi kwelikweli yalipungua haya wakat mzee yupo sasa yameanza tena kwa kasi
Rufiji, mapango ya amboni , kutekwa kwa roma, mo, kufaliki kwa msanii wa ze mafiki mbalamwezi na kuokotwa akiwa uchi , beni saa nane ajulikani alipo, nakukumbusha tu Ili upate angalau kuona usiwe kipofu Sema kinachotokea ni miemko au kutaka kumchafua serikali ya awamu hii watu wantembea na changamoto za msongo wa mawazo , juzi Kati kuna jamaa kaua mtu na yeye kajiua saa unawezaje kuzuia tukio kama Ilo duniani kote utokea matukio kama ayo unakua mtu na silaa anavamia shule anapiga risasi baadae naye anauliwa kawaida
yalipunguaa yap??mbona mo alitekwaa akapoteaa wiki naaa...
@@shubebunyesi542 hao walishalishwa unga wa ndeld km walikua wanakula malimao na kubugia matangawiz na kumtuma profesa kabudi akabebe apple lunch madagascar hawaez kuelewa
@@shubebunyesi542 Yule jamaa wa Mbalamwezi ilikuaje aisee?
Dah!!
Mnaifanya kz nzuri
Nanyie mtakufa Kama walivyo kufa wengine maana amuogopi mnaenda tuu
Jamaa sijui kakutwa na nn ila angeamua kuua RAIA angeua hata buku
Kabsa
Kwa risasi kiroba?
Kweli mana ilikuwa mda wa move ment watu wana shughuli zao kwaiyo angekuwa na nia mbaya kwa raia da angeua sana
apo kuna lakujifunza
Polisi wa tanzania Kuna jambo la kujifunza kwa hili tukio, jmaa alidili na askar polis tu,
Umeona eeh waache tamaa kama kinacho zungumziwa ni kweli basi mapolice wamekufa kizembe sana wao rushwa tuuu na tamaa mbaya
@@userAysha hatar san yani hao hawana ubinadam hata kidogo rushwa tu hawafny kz kwa mujib wa sheria inavyosema yan
@@simonmwandu2214 kila kona rushwa tu mtu baada ya kufanya kazi yake vizuri kama inavotakiwa basi yeye akimshika mtu anaanza nipe chochote nikuwache
@@userAysha hiyo ndo tatizo watu wanawachukia polisi wa africa ni tatizo
@@simonmwandu2214 halafu afrika nzima sawa sawa karibia wafanya kazi wote wa serikalini wanapenda rushwa ulaya hakuna mmabo hayo na ndo maana wameendelea we tizama afrika mtu anapangiwa mda wa kuanza kazi basi anakwenda time anazotaka yeye hawako makini na kazi zao kabisa
Jaman
Watu wanaona kitu Cha kushededea Ila kunawatu nyuma ya panzia washaumizwaa
Mungu ibarik Tanzania yetu🙏🙏
Habari za hii chaneli sina wasiwasi nazo ni zaukwel
Baba awe na mgodi wala asiwe nawo, ila uyo gayidi kajifundisha wapi jeshi, wala silaha????
Jiulize kwanza na iyo silaha anayomiliki kihalali kaipata vp?
Eee mungu inuxulu nchi yetu nawatu wake 🙏🙏
Nakubali
Aseee vijana acheni hayo mambo mutaharisha family kama hivyo mama Wenda hujui chochote dah mungu atulindie vizazi vyetu yasitokee balaa kama hizi
Vido love you bro
Sisi tunahangaika kutafuta sababu ni nini kumbe ndio ilikua andiko la kifo Chao hapo kuna yakujifunza kuwa ikifka muda wako utakufa tu maana kama ni jambazi aliiba nini kabla au target yake ni nin au wapi?
Lakini kama ni gsidi alitaget nin na kwanini aue Askari tu awaache wengine yaani raia?
Na kama ni gaidi hawezi jitoa road kwa style ile?
Kwahiyo jamaa Ni msamalia mwema anaetimiza maandiko ya Mungu ..😅😅😂😂 .
@@wilsonjoshua6209 😂😂😂
We nawe huna point ya msingi ,tunajua kama kila kifo kina sababu lakini huyo jamaa analo alilokusudia, wasomali wanapenda kufanya ugaid na kujificha ktk uislamu, washenzi wKubwa
@@wilsonjoshua6209 🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu nae itakua ni msomali
Kuna siri nzito hapo kt ya mtuhumiwa na police
Dhuu mbona kazi ipo
Namkubali sana Vido Vidox
Askari wa 4 raia Mmoja Duh,
Jaman uombe na kusal Tanzania Mauaji Kira sku😭🙏
Masikini maasikar wetu duh
Tunashukuru kwa tahalifa kaka
Samia kazidi kusema magaidi magaidi hajui tyuu mazara yake
Magufuri ajawai kusema acha unafki kama unachuki zako binafsi Sema yani, linawauma kusikia mbowe gaidi ila wale mashekhe wala hamjawai kupiga kelele kwenu sawa tu
@@shubebunyesi542 binafsi siko huko unakowaza wew hata ukiangalia video alikuwa anaongea leo unaweza ukaelewa kwann nimecoment ivi
Anyway acha kihere here bro
@@shubebunyesi542 mbona hao Kina Mbowe na Lisu ndo waliipigia kelele serikali ya Magu iwaachie Mashekhe wa uamsho??!!!
Kuna nini mbona c elewy
Polen sana
Atali Sana😭
Poleni Sana jeshi la polisi
Weeee poleni jamani
Duu kumbe wa nyumbani nini maskin kimemkuta
Itakua alikua na bifu na pokisi
Nmehuzunika kutambua hakuw jambaz alizurumiwa pesa zake na askar ND maan akaamua kuyafany hayo Ila waislam wenzangu tujiuliz Jambo japo alifany hayo lkn hakumsaahau mola wake kwa Kila hatua
Mr Vido Vidox naomba ukipata nafasa kumuhoji mamq yake Muulize "Unahisi Mwanao alipata wapi silaha na mafunzo ya kutumia silaha za kivita..."
Nasikia silaha ni ya baba yake alikuwa mmliki wa migodi huko shinyanga ila kwa sasa baba yake ni marehem kwa sasa na amewaachia hiyo migodi
Alifuata nn ubalozin
kwann wasimulize kwann alikuwa anauaaa askarii 2
Duh mmmmmh
Polesi wetu jamani ..poleni ndugu na jamaa....
Kaz ya upolisi ni sawa na kujitowa muwanga kuzuiya bom
Aya ndio matatizo yatokanayo na Tozo Luku bizaa kupanda bei chanjo nk lazima akili ziruke sio poa
Nikwel aisee
Dah
Daaa jmn walinz wetu wanch wameondok gafla mungu awapokeee kak zang mlio kufa bila atia sas huyu anza kwanin walimrus kumilik hiz bastola
ao police walijuaje apo ndo kwake?
Akili anazo timamu kwann aue police tu asiue raia
Yap,sio chiz na wala hakuchanganyikwa
huwezi kujua chizi kuna muda akiona polisi anajua yupo vitani so tatizo la akili ni daktari wa kuthibitisha
Watanzania tukio alofanya huyo jama siolakawaida yuko peke yake naeneo lenyewe kuna baloz kama nne na kunakituo chapolic tuji ulize wange kuwa wako watano ingekuaje?
We reporter boys kweli ,huna hata bullet proof.karibu na nyumvavya gaidi mwenye jezi za ccm
Tetea haki yak had Toni lako la mwisho hamza itakuwa alizulumiwa ndio Maan akaamuwa kudili na police tu dah hatar san Ole wak unakufa hali umedhulumu chochote kile iwe kwa tajir ukaona hupunguz kitu au maskin ukaona hanambii kitu jahannam inakusubir mpe kila mwenye haki haki
🙏🇹🇿🇹🇿
Kawapa tabu familia yao na wengine
Vido vidox nakukubali naunajua bana
Hamza kaitia familia yake matatizo
Kweli kabisa.
Itakuwa uko uko mgodin polis wamemdulumu kitu akaamua kufany vile na inawezekan ni maswala ya hera
R I P polisi wetu 😭😭😭
Inaskitisha allah atunusur
Jamani hata maiti pia askari wamekuja amakeli ukiwa na mali uko mavini bado kazulumiwa na bado family inateseka jamani sasa lazima tuwe makini na hawa askari mola akupe kauli sabit akupunguzie azabu ya kaburi
Jitiada za polisi kuhus mtuumiwa na wengne kama huyo vp🤷♂️🤷♂️
Vidox😘😘
jeshi lapolisi lichunguzwe vizuri kwanini hajauwa laiya na anafanya kusema yeye hana shida ya kuuwa laiya anashida ya kuuwa askari polisi wachunguzwe kwa kina wakijulikana wanahatia wachukuliwe hatua za kishelia
Mkishindwa niiteni city hunter nije chap chap tutawapata
Asee MUNGU atukumbuke
Mungu hakuna hata kimoja anachokisahau vyote ni milki yak hasahau kitu
Mimi ndo WA kwanza au
Kwani Millard anasemaje
Kupigwa risasi au😃
Wamemuibia mgod uo
Blog no 1 tz
Polen kwa wafiwa wote Lakin siro aseme alikua anatatizo gan nahamza
🙄🙄🙄
Mtuhumiwa kashakufa hapo kwake wanalinda nini kaacha nini kitachowasaidia upelelez inachotakiwa musiwe mnauwa watuhumiwa muwe mnawajeruhi mnabakiza ushaidi mtamuua baadae akishajieleza
Me napita tu.
Watu walishachanganyikiwa na maisha
Harafu unakutana na mixengwe unasumbuliwa kweny mali yako kitatokea nini wkt mnawakabidhi bastora ajilinde na mali zake
Serekal yetu hususani polic wanapenda kuzulum mali za wana nchi ss wananchi wenye hasira kali km hamza hawawez kuvumilia ujinga wao
Kazma Kuna kitu hapa polisi tyu na sio laia
Uthubutu wote aliwonyesha siyo wakawayida, dah
Yule jamaa ilikua inaonyesha wazi kua sio jambazi ni akili yake imetikisika Tu kiasi na hakueza kuhimili
Na iyo bastola aliitoa wapi?!
Jambazi havamii kama hivyo tena peke yake
Ao kuna bifu itakuwa na police
@@mluziwajini4734 kwani kilaanaemiliki bastola ni jambazi?
Imetikisika na tozo😂😂😂😂
duuh pazitooh
Hakuna ulizi wowote
Vidi dock anajitahid wamillad hay
Dahaa
Ni mtanzania mwenye asili ya kisomali. Nilikuwepo kwenye tukio.Nilikuwa kwenye daladala ambalo picha yake imerushwa na baadhi ya mitandao. Huyu jamaa alionekana kuchanganyikiwa. Nakumbuka alilisogelea basi letu na kutuambia kuwa" mwambieni Siro kuwa hawezi kupambana na nguvu ya waislam". Hata hivyo hakutaka kushambulia raia la sivyo yangekuwa ni maafa a
Una uhakika ?
Usipende kuropoko ovyo
Mmmmmmmh wewe itakuletea shida una ushahidi wa kutosha juu hilo uliloandika????
Kwahiyo ni shababu?
Unachotafuta utakipata