ANTIII PT: 8 | TAMTHILIA YA MAADILI |Official HD VIDEO | MASH TV| MADRASA SHOP TZ
HTML-код
- Опубликовано: 7 окт 2024
- Tamthilia hii ni moja ya filamu ilio bora na iliojaa mafumdisho katika familia na wanandoa
ili upate faida na kujiwekea mazingira mazuri ya kuilinda ndoa yako basi usiache kuitiama
Pia
Subscribe like comments share
mash tv
madrasa shop tv online
cont:
+255773 950 250
+255717 513 191
MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE
MashaAllah MashaAllah Tanzania na maendeleo ya sekta ya sanaa..hongereni
Duh!!! Jaman 🤣🤣mbona mnatuacha njian sana jaman Aaah 😢Msichelewe sana basii🤩😋nawapenda much love from🇦🇪
Kuliko kunawishwa kwenye mikona kaogeshwa kichwani🤣🤣😅😆😁😂 mungu tunusur sisi atuja ingiya kwenye ndoa yarabi
Aameen Allahumma Aameen
@Billylovebilly Billylovebilly 😂😂😂😂Wacha tu jaribu mm na ww kama tutaweza..
Filam vizu mashaall lakini munachelewa sana
Maashaallah 🥰🥰 Allah awajaalie nguvu mupate kuuendeleza hadi mwisho kwani unafundisha na kufurahisha Allah awalipe kila la kheri
Aamin yaarabill alaamin
Allaahumma aamiin
Ameen
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
@@abubakaryusuph6555 Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Dah jamani hii nimecheka Hadi Basi, Allah atuongoze sir tupate waume wema na tuwe wake wema
Mwanivunja mbavu, Ila kuna mafunzo mazuri mashaallah Tabarakallah
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Kwa kweli hatuna meng zaidi ya shukrani na kuwaombea mzidi kufanikiwa zaidi.
Twawaombeni mwendelezo usichelewe ishaallah
lakn na muomb mungu anijaliee mke mweny tabia km mke mdogo
Jaman huyu mke mkubwa amenishinda tabia😂😂😂😂😂hio sahani na sinia nisida🙌🙌Allah azidi kuwapanguvu ya kutuelimishe
Jomonyyyyy Sabah
Hiyo ni sinia ya Mahabba bhnaaaaaa
Mashaallah,,,,nimepata mafunzo mazuri kabla sijaingia kweny ndoa.
Tuko pamoja
Yes
Mashaallah kaz nzuri,, lakin jamani fanyenii iishe tena hyo ANTII mtuletee nyengine. Isiwe km isidingo.
hahahahahahaaaaa huyu mke mkubwa anichekesha aki muko poa nyote twawapenda
Maa shaa ALLAH mungu awabaliki na Safi sana .nawapenda sana ndugu zangu kwa ajili ya ALLAH
Allaahumma aamiin
Allaahumma aamiin
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
@@abubakaryusuph6555 Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
@@abubakaryusuph6555 Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Mashawah Allah awape nguvu na umri mrefu wenye kher na nyie mutumalizie filamu yet hakik Ni nzrur na yenye mafunzo mengi ndani yake
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Yani Huyu Mwanamuke Ananicekesha Wallahi 😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah awape umri mzuri kutupa mafunzo nasi tuweze kuelimika shukran jazila ndugu zangu waislamu nawapenda kwa ajili ya Allah
Nasi tunakupenda habibty kwa ajili ya allah
@@sabraabdilnasir8826 Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Jaman mashaallah barakallwahu fiyk mumtaaz jidaan filam nzur sanaa twaisubirii inayofuata kwa hamu
Wallah. Mashaallah nzuri kweli twaomba mwendelezo inshaallah
Mashaallah tabaraka Allah khair tunapata matam matam ak tunaixubir part 9 inshaallah big up kw xan washiriki wote katik hii tamthilia wallahi hongereni xaan mnatufunza
Mtizame Afaaizu Luheta 👇👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Shukraaan
Masha allah tunataman tena mutuletee filam kama hii maana muna maadil mazur allah awafanyie wepes kwa kila jambo
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
😂😂nimejikuta nikicheka tuu 😂😂baba anaoshwa kichwa wapi team fulusi weweee❤
Maashalla nzuri sana tena sana tunaomba muendepezo tafadhali
Hapo mke wa pili anahusu kabisaaa tena mm ndo naoa watatu khasaaa kama uwezo upo ...Maashaallah kwa kutoa funzo zuri
😅😅
Mbona munachelewa saan mwendelezo
Shukran sana Wapendwa. Kazi Nzur sana 🔥🔥😍😍
🤣🤣🤣🤣yani najiona mimi na mke mwenzangu kwa huyo mume maana mwenzangu mwembamba mie mnene🤣🤣
😂😂😂😂 unaangalia ukicheka
@@NaifinMohamed c ndio
Mimi naomba msiwe mnachelewesha sanaaa maana tumesubiri mpaka basi
Tatizo pesa hatuna wadhamini
Manshallah ila mnachelewa sana jmn vipande vyenu love
Maashaallah 🥰🥰🥰 Allah awalipe kher innshaallah
🙌🙌kushaoga tayari kapake mafuta uwende zako
Yaaaaan akalaleeeeee😅😅😆
Mashaallwah DJ lakini unatucgeleweshea hi filam , lakini mkosawa nawapenda Kwa ajili ya allah
Maashaa Allah awabaliki sema huwa mnavhelewwsha Sana kwann jmn
😂😂 mtihani wallah Allah akufanyie sahali bimkubwa maana ishakuwa balaa ahsanteni kwa mafundisho na burudan 🥰🥰 nawapenda from Dubai
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Shukraaaan
Mashallah MASHALLAH
....ALLAH AWABARIK🤲🤲
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Well done from South Africa🇿🇦
And from America also🇺🇸🤣
Welcome to omani
Dada mukorofi
Baarak Allah namuomba Allah awalipe kwahili
Mchezo wenye mafunzo kwa Wanandoa. yapo hayo majumbani mwetu,. Mashallah Barakallah
Hv kuna waume wanafanyiwa hv kweli!?
Wapo na Hawana usemi, Wazazinwao wanapoona huwa wanaumia Rohoni, ila kuvunja ndoa za Wanawao hawaezi maana mume haoni hasikii. husema eti Mapenzi
Daaaaah elf 15 ,,,,imeenda vikobanii yaan hyu dada ni shiiidaa
M/mungu awalipe kwa mafundisho yalokuwa mazur Wallah !!! Nataman ningekuwa na uwezo wa kifedha nikawashika mkono ili msiwe mnachelewesha movie yetu hii !! Lakin Allahu aalam !!!
Mungu akufanyie wepes ktk maisha yako ili upate ya kuwasaidia wasio jiweza kama hawa
mashallah wake wote nihivi hiikali
Kama tunaomkubali da Salma pitieni hapa mgonge like
Nakupendaaaaaaaaaaa❤❤❤
Maashaallah 🥰🥰 jamanii mumeukatisha pazuri kwely nataman ata uendelee tenaa
Mashaaalh Ila mnakaa sana tunasibir
mashaallah tumejifunza mengi kupitia filamu hii
MashaAllah,,,filamu nzuri na yenye mafunzo mengi kwetu sisi haswa wanawake
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Daaah fahad kazi unayo
Hahahahhaha, mashallah nzuriii
Kisa kizuri mafundisho mazuri ILA MNACHELEWA SANA KUTOA MFULULIZO MPAKA TUNASAHAU HALAFU LADHA INAPOTEA FANYENI HIMA ISICHUKUE MUDA MREFU JAPO WIKI HIVI
Hawana wadhamini kwaiyo watu mkichangia sio mbaya ili zitoke chapchap
Mngekuwa mnatuwekea Kila ijumaa atirist tungekuwa tuna injoy hatariii Ila mpaka mwezi kwa mwezi duuuu
Habibty tatizo hatuna wadhamin tunajitegemea kila kitu wenyewee
Pole yako mume watu😂😂😂mwanamke vituko
Nzuri sa na ila daah mnachelewa sana kutuletea
Mke mkubwa umejua kuicheza nafasi yako masha Allah mume nikosha roho
Allah awazid kuwatia nguvu ili muzid kutupa muendelez tuzid kujifunza inshaallah
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Mashallah ❤️
Munafanya Kazi mzuri mashallah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Maa Shaa Allah
mashaalla💗💗 kipande kingine jamn tafadhal msicheleweshe sn
Yaan wanachelewesha kwel 😥
Haaa kaekewa sinia yakupambilia ubwabwaaa. Vyombo kameekewa wageniiiiii
Hahaha jmn mie nimecheka hapo kwenye lisinia🤣🤣🤣🤣🤣
Wow,,jazakum llahu khayraa tulikuw tunasbriii kw hamuu Allah awalipee kheriii
Hahahah salma kipind st Matthew alikuw mpolee kumbe talent iko motooo hahaha kazi safi kazi legit
Mpka huku
@@husna34562 🤣🤣🤣🤣 eee cc wapend burdani kila kona tupoo
Masha Allah movie nzuri sana ina mafunzo
Nawapenda san antii na nawenzeo move nzur san
Mashaallah mzr Allah awabariki, Inshaallah
Aameen Yarabbil A'lameen
Shoga waumbeya umemshuka yaani nakahawa imemwaika mwaiiiiy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siongei na wewe scrapper 😜🤣🤣🙌
Mashaallah. Mie mbona nimeogopaa roho gani hiyo. Japo. Mafunzo ni MAZURI
Jamani ningepata mwanaume kama huyu sijui ninge fanyann
Mashaallah mashaallah ni nzuri sana
Mashaallah 🌹 tamthilia poa sans mungu awazidishie amiin
Ma shaa Allah mchezo ni mzuri sana na unamaadili na namafundisgonmazuri pia ila unachekewa sana kutoka jaman
Dah kw hali hii Sito vumilia ngumi za muhusu n talaka juu
Ma shaa Allah 💞💞
Mashaalah alhmdulillah Allah awalipe kher kw kuelimisha jamiii 💯💯
Amiiyn yarabbal A'alamiin
Haaa ciwezii pataa part nyinginge na yet hili movie ona mafunzo
Mashaallah hakika ni nzuri sana Allah awajalie
Mashaallah kazi nzuri ila mnachelewa sana jaman
Bismilah Mashallah
Ila mnachelewa sana adi tunawasahau
Dooooooooo aiseeeee!!!
Mashallah mashallah ♥️ mashallah
Hilo sinia me mbavu Sina 😂😂😂Et vyombo vyangu nimewawekea wageni wakati wageni ndo Hao wamekuja unataka kuwamwagia maji 🤣🤣🤣🤣"salmaaaaaa good action"
Shukran habibty 🤣🤣🤣
@@sallysaidy685 ndio weye kisunzi 😄 🤣 😂 😆
@@husna34562 ndiy miee huhuuhuhuhuhuh
Maa Shaa ALLAH,, Safi. Ukhty Salma Wacha Choyo, Wageni Ni Baraka 😍
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌹🌹🌹🌹🌹🌹nawapenda sana tuuuuu
Darsa nzuri mashaallah😍🤩👍👍👍❤
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Mungu awabarlki kwa kufikisha ujumbe
Mnachelewa sana kutupa mwendelezo
Nzuri sana mashaallah tunaomba muendelezo tafadhali
Lakini da salma kazidi nae ilo sinia 🤣🤣🤣Attariiiy kahawa pia haijanywika tenaa
Habibty wangu KISINIA CHA KIMAHABA HIKO
😂😂😂😂
Muzuri ira tabiya mbaya tuu
Plz tuleteeni part mbili mbili maana n nzri sna
Msichelewe kuuletea part 9
In Shaa Allah
Hahaha fahad unayweza😍👍😄😅
Aslm alykm
Shukran kwa wote munaoianglia hii film yetu tunawapenda na tunawajali na maoni .ushauri wenu tunaufanyia kazi
Pia tunawaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Madrasa shop tz
Tatizo mnachelewesha
Naipenda sana hii ila ombi langu muwahishe kidogo
Mashallh 🥰 Allah awajazie fahm muwez kututungia filamu zaidi y hzi ....naomba muendlzo tafdhwali
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
@@hasaniayubu1646 Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
Mwanamke fidhuli hana heshima kwa mumewe
Mashaallah nawapenda sana ant na fahdi❤️❤️❤️❤️😍
Mtizame Afaaizu Luheta 👇
ruclips.net/video/jW0gL5a8nUM/видео.html
MashaAllah much love from 974 🇶🇦
Wallah Leo nimecheka sana
Lkn asanten kwamafunzo mazur asante sana
Maa shaa Allah
Mafunzo mazuri kwl ila dada punguza maneno adi nimekuogopa🤣
😄😄🤣
Huhuuhuhuhuhuhuhuh Usiniogopee jomonyyyyy
Mchezo mzuri ila huyo dada apungunze hako kadharau anaharibu mchezo
Hapa wanawake tunapata funzo kubwa kupitia hii movie. Maana sio kwa tabia hiyo kama mwanamke mbele ya mume
Umeona ee hana nidhamu natamani nikampige kibao anavomjibu mumewe
@@sabraabdilnasir8826 kwa sababu ni igizo unaachana nalo ila ingekuwa ni uhalisia kweli huyu mama alikuwa anahitaji adhabu