MPYA: MIMBA YA JINI - 1/5 SIMULIZI ZA MAPENZI BY FELIX MWENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Kwa simulizi zaidi subscribe channel hii Simulizi Mix na kwa simulizi fupi subscribe channel simulizi fupi bofya hapa / simulizifupi

Комментарии • 54

  • @lilianjoseph5290
    @lilianjoseph5290 2 года назад +9

    Huyu felix hata hadidhi iweje kwa jinsi anavyo pangilia kusimulia lazima niisikilize 💯👏🏼🔥❤️🙏

  • @nailamimi20
    @nailamimi20 2 года назад +23

    Yani simulizi nikiona tu Felix hata iwe mbaya lazm niskilize ur blessed kijana 🥰 sauti yako ❤️❤️,, na d oen piah much respect ❤️

  • @arafaabuubakar6391
    @arafaabuubakar6391 2 года назад

    Safi San kaka filix mwenda

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 2 года назад +3

    nashukuru sana Felix mwenda sauti yako mashaa Allah mungu alikupa thanks very much once again

  • @assanisamuel4771
    @assanisamuel4771 2 года назад

    Nawakukubali sana simulizi mx
    Felix mwenda na wenzako
    Mnatisha sana ✊✊✊

  • @romanamassae1228
    @romanamassae1228 2 года назад

    Jmn ni mzur

  • @sabinandunguru9985
    @sabinandunguru9985 2 года назад

    Nakupenda sanaaa felix nakupenda❤❤❤❤

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 2 года назад

    Asate sana simlizi mix fellix mweda

  • @paulotomealame1994
    @paulotomealame1994 2 года назад +1

    Poá sana mm Niko mozambique nakubali sana kazi yenu ombi langu muwe munalitaja jina langu la mwisho kama mfuatiliaji wenu

  • @rosemonyenche2848
    @rosemonyenche2848 2 года назад +2

    Napenda jinsi unaongea kitaratibu na sauti nzuri kabisa yaani nafuatilia simulizi zako sana ni za mafunzo tele .ubarikiwe

  • @ledymaliko6695
    @ledymaliko6695 2 года назад

    Jamn siunioe tu maan mm iyo saut hoi ilove you voice

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 2 года назад

    Asante kaka felix mwenda na kwa kitu kipya mbarikiwe sana mungu hawatie nguvu

  • @romanamassae1228
    @romanamassae1228 2 года назад

    Inafundisha ten ni mzur san jmn

  • @fatmafuraha7924
    @fatmafuraha7924 2 года назад

    Ki2 New💃💃💃

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 2 года назад

    Hmm nmechelewa Sana 🤔😍😍

  • @almasbenja2743
    @almasbenja2743 2 года назад +1

    Hiii itakuwa poa sana mana kabeat kake kazur

  • @salasala9114
    @salasala9114 2 года назад

    Nakuku bali sana felix mwenda✌️

  • @joycekazungu4003
    @joycekazungu4003 2 года назад

    Simuli mix mko Vizuri Sana hakika mna mafunzo mazuri xana

  • @fatimsikiti795
    @fatimsikiti795 2 года назад

    Uyu kaka ni hatari napenda sana simulizi zake hongera 🤝

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    ❤❤❤

  • @mushken65
    @mushken65 Год назад

    Enyewe Felix sauti yako ni ya kuwekewa patent. Hiyo sauti ni nzuri sana na pia unakipawa cha kupandisia story zako kenya 🇰🇪

  • @sashaqueentz3753
    @sashaqueentz3753 2 года назад

    Nipo hap kweny mimba ya jini

  • @nibigiramwajuma7925
    @nibigiramwajuma7925 2 года назад

    Asante sana felix kwa kitu kipya mbarikiwe sana

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 2 года назад

    Napenda sauti yako felix

  • @evelynebayori4250
    @evelynebayori4250 2 года назад

    Yani kaka felix mungualikupakipaji chakusimulia sautiyakonzuuri inatoa stress simulizizakozote nazifataga yani daa yani unazifanya mutu asichokenakusikiliza

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 2 года назад

    Shukran sana brother god bless you 🙏

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 года назад

    Waiting

  • @MdBabu-sh4ov
    @MdBabu-sh4ov 2 года назад

    Yaaan ferix wwe jamni nikirudi tz nitakuletea zawadi

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 2 года назад

    Nice

  • @vero756
    @vero756 2 года назад

    Asante kaka FM😍

  • @naimazuberi7993
    @naimazuberi7993 Год назад

    Hi

  • @kuruthumshaban460
    @kuruthumshaban460 2 года назад

    Alfu Sio husuna ni husna Felix🤣🤣🤣🤣

  • @mwajumamany6402
    @mwajumamany6402 2 года назад

    Felix unakera Kaka yani kinoma

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 2 года назад +1

    🙏🙏🙏❤

  • @ahmedysingano1579
    @ahmedysingano1579 2 года назад

    Haunaga sevee mbovu bro 2po p1 by mkaburu xela from keko Dar1....

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 2 года назад

    🔥🔥

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥👌

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 2 года назад

    Shukran sana kwa simulizi tamu 🥰 ila dha maajabu ya sheina nayo....

  • @zainabubahati5661
    @zainabubahati5661 2 года назад

    Asante

  • @moemussa5212
    @moemussa5212 2 года назад

    Niko Apa

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 2 года назад

    Zee la njombe Leo sauti base kinoma. Ila napenda simulizi kupitia sauti yako

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 2 года назад

    Jmn kk felyx unatupa buruda n

  • @hasamsaid4083
    @hasamsaid4083 2 года назад

    Ahsnt

  • @nickhealthcare5612
    @nickhealthcare5612 2 года назад +1

    Yani simulizi mix sio watu wa kuwachukulia poa kabisa,yani kigongo kinakonga moyo kabisa