Mung mwema usikate tamaa dada coz tukisoma ata Bible kitabu Cha samweli was kwanza tunaona ni jins gani Hana alivyokuwa aliomba mtot na mapito aliyoyapitia kwa kipindi kile jins penina alivyokuwa akimsumbua lakin sadaka yake katika madhabau ya mung aliweza na yeye kupewa mtot ambaye ninuyo samweli mung mwema atakupatia mtot dad
Napenda nyimbo zako dada mungu azidi kukuneemesha
Dada b uko vizuri umenitoa machozi mungu azidi kukutumia jinsi apendavyo
Ninangojea kwa mungu machozi yangu si bure naamini siku na saa atanitendea kupitia wimbo huu
Amen. Nangojea kwa Mungu
Nangojea kwa mungu sitachoka
Nangojea kwa Mungu Machoz😢i yangu sibure amen Ubarikiwe sana . Hongera nyimbo nzuri ❤❤
Amen amen
Ubarikiwe sana
ameni barikiwa
Emmy from qatar , I really your motivation songs beatrice , natamani kuimba na wewe sana hilo ndo ombi langu
Dada Beatrice barikiwa sana mpendwa. Nangojea kwa Mungu siku na saa moja nitatendewa.
😭😭😭😭😭😭😭😭nimelizwa mno Mungu nijibu itaji langu la mtoto kupitia wimbo
Daah mungu akusaidie nayajua maumivu yakukosa mtoto
Mung mwema usikate tamaa dada coz tukisoma ata Bible kitabu Cha samweli was kwanza tunaona ni jins gani Hana alivyokuwa aliomba mtot na mapito aliyoyapitia kwa kipindi kile jins penina alivyokuwa akimsumbua lakin sadaka yake katika madhabau ya mung aliweza na yeye kupewa mtot ambaye ninuyo samweli mung mwema atakupatia mtot dad
Ameni.ahadi.zake.nikweli
Good and it's ok
Barikiwa sana
Nangoje kwa MUNGU kwa imani yangu,, iliahidi atatenda hata km si leo kesho atatenda 🙏🙏
Amen barikiwa dada
Nangojea kwa mungu
Good song
Amen kubwa
Thank you so,much
Ubarikiwe sana
Thank u
Ameen dada mwaipaja.
AMEN GOD BLESS U
Nitangojea kwa mungu hakika atanitendea machozi Yangu si bule
Nonkojea kwa mungu😢😢😢😢huu wimbo unitoa machozi nice song dear
amina
Amen
Mungu wangu akubariki
Amen tuzidi kungojea kwa mungu atatenda.
Amen 🙏🙏
Nyinyi madada na martha
Nawapenda sana na your sis marthar
😢🙏