HATARI YA MAOMBI YA KUFUNGULIWA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
/ @pastorsunbellakyando
Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
nami mimi na taka kumupa yesu maisha yangu niombee baba
Tafuta kanisa lililopo karibu nawe...
Amen mtumishi barikiwa sana
Mtumishi ubarikiwe sana mungu akutunze daima
Na watch nko Kenya be blessed man of God
Huwa nakuelewa sana mtumishi wa MUNGU...wewe na Mch Abiudi Misholi mkiungana Shetani atatetemeka sana. Nakufuatilia nikiwa Mombasa 🇰🇪
Amen
Ameni
Ubarikiwe saana Kwa Elimu ya kiroho.
Nabarikiwa mwalimu nataka kuja kwenye ibada nizid kumuona mungu
Asante MUNGU kumtumia mtumishi kutuletea somo zuri
Nimebarikiwa na neno🙏🏾
Amen 🙏 for revelation kusudio ya hili pepo kuwa halika ao kutafuta wengine saba
Man of God huwa nakuelewa sana!
Mubalikiwe sana mmenifunguwa Mimi niliumwa mapepo mda mlefu kupona hakuna hilo ilikuwa inazidi kuwa mbaya kama ulivyo ongea mimi ndo niliyapa mlango mungu anisamehe saana dhambi zote nilizo fanya
Hapa kuna kitu cha kujifunza sana 🙏.Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana Mchungaji neno hili Lina ngumvu kabisa pia uweza kwa kila anayebahatika kushiriki somo hili🙏🙏 🙏
Ubarikiwe Ndugu yangu kwa Neno nzuri ya Mwenyezi Mungu Baba, akubariki...
mafundisho mazuri nashukuru naona mbele
Ahsante YESU WANGU
Amen...nabarikiwa na huduma
Mungu atusaidie sana
Kila kilicho kinyume na mm ktk ulimwengu wa roho, kupitia madhabau hii, Mungu anifungue kwa kuliangalia agano lake kwenye madhabau hii
Kanisa hili linapatikana wapi ?samahan
@@neemaemmanuel4267 Dar, Sinza Mori
Amen
Amena baba nakuelewa
Amen 🙏🏿 MUNGU awa bariki
VERY EDUCATIVE 🇰🇪
Huyo mtumishi wa MUNGU anayeongoza kundi la waimbaji kweli BWANA amempa kibali cha uimbaji🙏
Ameeeeeeeeeeeeeeeeen
tuned from kenya
Asante Sana Mtumishi wa Bwana nimeelewa somo
Amen the man of Gos
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
KTK HILI NA MIMI NIFUNGULIWE
Najiunganisha namaombi
Mtumishi maombi Yako yanibarik lakin Jin mahaba linanisumbuwa sina Raha kwenye mahusiano yangu namuomba MUNGU anisaidie
Naomba kufanyiwa deliverance
San bella mungu akubariki sana
AMEN AMEN
Nilikua naitaji maombi ya kufunguliwa
Pia mtuombee nasi mapepo yote yatukimbiye
mimi ni mkenya napenda mahubiri ya huyu mchungaji nikitaka kuwasiliana naye binafsi nitampata vipi kwetu familia imeharibika na uchawi
Fridah ni kweli hata Mimi hupenda sana mafundisho yake. Imenizaidia sana. I long if kenya we would get this kind of teachers. It’s very hard to get this kind of the teacher of the word … very very very hard
Neno ni bora kuliko maombi nakuelewa sana Baba likijiumba unapata nafasi ya kujiokoa ww binafsi.. ndio maana Yesu alisema ndugu zangu na mama angu ni wale wanaolisikia neno langu na kulishika
Kweli… I learned a lot about that. Heri mafundisho kuliko maombi. I kept that in heart and it has helped me a lot imagine. I have been listening to his teaching very keenly and has helped me a lot
@@Kofer10 kwakweli ni maarifa ni jambo jema sana...ndio mana hata Yesu walimwita Mwalimu..
Aendelee kutufunza vyema kama Roho mtakatifu anavyomuongoza
Ameen
Etii watumishi wanaonekana 0000😀😀😀😀
Asante mutumishi Nîmes kufatilia kilasiku n'a ninakua najengwa kabisa kwa somo Niko 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Man of God huwa nakuelewa sana 🙏