ZE COMEDY WAMEPEWA DAKIKA 5 STEJINI TAZAMA MBWEMBWE ZAO
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- KAMPUNI ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.
Tunaomba ze comedy irudi Tena🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪
Njooni tena the real fun comedians ever in Tanzania
amabye hakumuona Jyoti ,,,,agonge LIKE hapa ili twende sambamba
Safiii sn hongereni Original Comedy 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
MashaAllah🙌🙌🙌🙌🙌tunarudi kwenye kuvunja mbavu kihalali🙌🙌🙌
Eemungu waludi tu jamani nime wamisi hawa watu sana
Hahahaaaaaa Masanja hiyo RISE ON au raizoni kama tulivyozoea kuiita
Yaani umeua,ila masanja alizaliwa akiwa mchekeshaji,yaani kila anachosema lazima utacheka.....hata akihubiri dini utacheka tuu...mungu ampe maisha marefu
Masanja you are very clever
Yani watanzania wote mwa zungumza Kiswahili kwa ufasaha... nimependa....
Tulivunjiwa mipaka ya kuongeleshana lugha mama now nchi nzima tunaelewana na kuishi Kama ndugu
@@victorsomba867 aisee, hapa kenya kizazi cha sasa ndo tunachukua hatua kuangamiza ukabila na kuimarisha Kiswahili...manake tuki ngoja wanasiasa, yesu atakua amerudi duniani...
Mi kiatu cha mchungaji tu🙌🙌🙌😂😂😂😂😂
😅😅😅KIATU...KTK UBORA WAKE GOLD MGUUN
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiatu😷😷
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
😂😂😂
Ahsante Sana Kwakurudi
Itapendeza kama original comedy irud tena hewan.
Mpoki
Maklegani
Wakuvanga
Masanjaa
Amekosekana Joti & Vengu timu itimie aisee nyie watu tunawakubali ile mbaya yaani .....
Mkanda mizaji ndani ya kiatu cha ngongingo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰
Nimecheka jamani mpaka nimeangukaj jamani masanja ivyo viatu
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
Yani limasanja linapendaga kutumia sana fursa ndio mana anafanikiwa huyu kaka
We miss you so much guys🤗
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
Jamni tumewasi sana.
We appreciate you the original comedy.
Hao wanaabudu kwa masaja nawapa pole
Nikucheka nadhani mwanzo wa mpk mwisho
Noma sana
Cant wait for Original Comedy
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
@@simbafuns785kviewso iohbvyytct
Wow wow nawapenda mno Hawa watu😘😘😘😘😘
😄😄😄masanja bhana😄😄
Yaani viatu vya mchungaji ni 🤝
Masanja umetishaaa mambo ya kanisan yabaki hukooo hapo upo kwenye kutafta hela...
Hakuna comedy hapa...Tanzania bado mpo mbali
Tumewamiss sana jamani...Nawapenda mnoooo....
My favorite original comedy
Mwanaume umetisha
Woyooo...so Happy orijino komedi imerudiii
Salama tuheshimiane..pls ongea na andunje mwenzio awepo hapo, ila mchungaji..kiatu mie hoi.. hata pepo likitaka kukuvamia linapita kwenye upenyo hapo ... 😂
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
WOW, itakua poa sana, nitanunua dstv
I can't wait 😂 walinifanya nifeli shule hawa
Hahahahaaaa
Hahahaha! Unazingua😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Huduma zetu ni pamoja na:
- Ubunifu wa wavuti
- Ubunifu wa nembo
- Usajili biashara/kampuni
- Tiketi ya ndege na basi (ya Ndani na Kimataifa)
- Usajili wa Pasipoti na Visa
- Usajili vyuo vya nje
- Uagizaji bidha ndani na nje ya nchi.
DUUUUUUUU THE COMEDY 2021 & FOREVER
Jamaa nae kama wew mchungaji acha mambo ya zamani uendane na wokovu mchungaji anavaaje viatu kama ivyo et
Wa kwanza kukomenti
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Mungu ametuona katurudshia kitu yetu
Mbona Kindururu Joti cjakiona hapo kwenye INTRO au kilinyea KAMBI 🙆♂🙆♂🙄🙄😂😂
Alafu masanja unalamika waumini wanakukimbia
Jamaniiii 😂😂😂😂 masanja una nini wewe yaani ulivyopandisha hapo nimecheka kwa nguvu kabisaaa
Rudini tena nawakubali sana.
Konde Gang _ Unaniskia New Audio Out Now 👇
ruclips.net/video/B2QAIvBpq2U/видео.html
Huyo churaaa!!!!! huwa ni mchekeshaji mzuri lkn hajatusua kama wengine
Sasa uchungaji na comed mbona kama vitu viwil tofauti au mimi ndio sijui jmn! Kweli mmh waumin wake endeleen kuabudu
Ndo maana ya comedy
Ni kweli kabisa.
Mungu hapendi mizaha
T.I.D Talented 🙌
Masanja si kwa jeje hilo!! 😀😀
Huyu mmoja sijui aliuguaa.. mbona kaisha hivyo
Joti ashajitenga hataki hata ujamaa nao wanazingua tuuu
Mko talented sana
Sema Mbona hamjaja na Joti aisee
Nakuelewaga sana mwarabu wa Dubai 🤣🤣🤣🤣🤣🤜.
hivi nyie wehu mnakumbukaga lkn kuwa mnatuingiza ndani saa moja usiku ili kuwatizama tu unatukuta familia nzima tupo ndani tumekaa tunaangalia tv tulivyo fanana sasa kama wachina 😂😂😂🇹🇿🇦🇪
Tid chuckes watoto wadogo sana nyie 😂😂
Jamani simurudishe kundi lenu hili tumewamis kweli yaani hapa kakosa vengu tu
Uyu msenge sana
Jamani hiyo laizoni ya mtumishi inauzwa wapi!!
Uwiiiiiiiii kiatuu chaa baba mchungajiiiii sasaaaaa hahahahaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya kanisani yaache kanisani usije ukachanganya mada 🤣🤣haki mchungaji unavisa weyee
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
Umundu gwa Mwakaleli
Wachungaji waleo,huku Mungu huku komedy,dah wapi tunaelekea?
Mwisho ni binguni,Mungu alitupa akili tuitumikishe hatwabiya tuleye mikono
Kwani kuna ubaya gani kuwafurahisha watu
Kwani umeambiwa uwafuate
Ndiyo wanaofaa maana hawategemei pesa ya waumini kununua magari makubwa, wanakulisha neno wakimaliza mnaingia wote mtaani kusaka tonge,
Mbinguni
waliokuwa na maisha ya furaha kwamtazamo wa sura zao ni mpoki n amasanja na joti tu.
Duuu umeacha njia chagua moja dunia au Mungu ile njia n nyembamba sana ndgu wengi watataka kuingia lkn wasiweze iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa n njema sana lkn kwa Mungu n machukizo akili kichwani mwako masanja
Mpoki wa Kigamboooni
TID got voice aisee.
Kweli Mch Wa kisasa hatariii!!!
Kama hayupo Joti hiyo ze comedy Itakuwa ze kichekesho😏
Nawa kubal sanaaa mlikuwa mnanifanya nisilale
Toka pepo
Original comedy haijawah kutokea kama hawa bado vengu hayupohapo
Golden shoes 👠🤣🤣Viatu vya zahabu 🤣
Joti yupo wapi?
Joti yuko wapi jamaniiiiiu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Viatu kanunua wapi mchungaj
Wanaume
Nawakubali sana
Jot yuko wapi jamani
Kiatuu
Hahahaha Masanja jamani
Hivi vengu vipi aisee, kitambo sana jamaa hatujui anaendeleaje
Kwa kweli,ila Seki alishasemaga wasemaji zaidi familia yake ,
Vipi joti yuko wapi
awa jamaa wapo tuuu!!!! Daaaaah!!
Kwani hili kundi bado lipo na linapatikana kwenye kisimbuzi kipi
Tid a.k.a mashineeee😄😄😄😄😄
😂😂😂masaja kweli ni mwisho sikwakiyato isho
Masanja dah namkubal kinom
Joti yuko wapi
Wamezeeka mweeh
Mbona Mr nixhai/joti cijamuona hapo !!??
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
Joti wapi?
Hapa ata nikilipa kifurushi naona ela yangu inaenda kihalali
Chidi beenz ni chawa wangu 😂😂😂😂
Wooo congratulations
Safiii
Salama kabongeka
jaman
Vengu na joti wapo wapi kundi likamilikee🤣🤣
Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html
Vengu alikufa
@@waynereuben1440 jamani si kweli
Churaaaa wanaumeeee😂😂😂😂😂😂😂
@@waynereuben1440 ulimuua wewe?
Huyu Mchungaji huyu, Anawachunga mbuzi wake Vibaya Mwisho Atawapeleka Motoni.
Joti yuko wapi?
Nime cheka kwa saut, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Via2 ni balaa
Da hawa jamaa haiji tokea
Masanja bana