ZE COMEDY WAMEPEWA DAKIKA 5 STEJINI TAZAMA MBWEMBWE ZAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • KAMPUNI ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.

Комментарии • 305

  • @japhetmwangwa2145
    @japhetmwangwa2145 3 года назад +16

    Tunaomba ze comedy irudi Tena🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад +22

    Njooni tena the real fun comedians ever in Tanzania

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 года назад +6

    amabye hakumuona Jyoti ,,,,agonge LIKE hapa ili twende sambamba

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +20

    Safiii sn hongereni Original Comedy 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +37

    MashaAllah🙌🙌🙌🙌🙌tunarudi kwenye kuvunja mbavu kihalali🙌🙌🙌

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 3 года назад +4

    Hahahaaaaaa Masanja hiyo RISE ON au raizoni kama tulivyozoea kuiita
    Yaani umeua,ila masanja alizaliwa akiwa mchekeshaji,yaani kila anachosema lazima utacheka.....hata akihubiri dini utacheka tuu...mungu ampe maisha marefu

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 3 года назад +1

    Masanja you are very clever

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 3 года назад +18

    Yani watanzania wote mwa zungumza Kiswahili kwa ufasaha... nimependa....

    • @victorsomba867
      @victorsomba867 3 года назад +2

      Tulivunjiwa mipaka ya kuongeleshana lugha mama now nchi nzima tunaelewana na kuishi Kama ndugu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 3 года назад +2

      @@victorsomba867 aisee, hapa kenya kizazi cha sasa ndo tunachukua hatua kuangamiza ukabila na kuimarisha Kiswahili...manake tuki ngoja wanasiasa, yesu atakua amerudi duniani...

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +71

    Mi kiatu cha mchungaji tu🙌🙌🙌😂😂😂😂😂

  • @osiahkasangaofficial1672
    @osiahkasangaofficial1672 3 года назад +2

    Ahsante Sana Kwakurudi

  • @francisabushiri4143
    @francisabushiri4143 3 года назад +13

    Itapendeza kama original comedy irud tena hewan.

  • @abdulrahmankanduka1977
    @abdulrahmankanduka1977 3 года назад +6

    Mpoki
    Maklegani
    Wakuvanga
    Masanjaa
    Amekosekana Joti & Vengu timu itimie aisee nyie watu tunawakubali ile mbaya yaani .....

  • @roseuwambe893
    @roseuwambe893 3 года назад +4

    Mkanda mizaji ndani ya kiatu cha ngongingo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 3 года назад +15

    Nimecheka jamani mpaka nimeangukaj jamani masanja ivyo viatu

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 года назад +1

      Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html

  • @jacklinekatandula6534
    @jacklinekatandula6534 3 года назад +4

    Yani limasanja linapendaga kutumia sana fursa ndio mana anafanikiwa huyu kaka

  • @geofreykalawa2260
    @geofreykalawa2260 3 года назад +16

    We miss you so much guys🤗

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 3 года назад +7

    Hao wanaabudu kwa masaja nawapa pole

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 года назад

      Nikucheka nadhani mwanzo wa mpk mwisho

  • @elvissirito5952
    @elvissirito5952 3 года назад

    Noma sana

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 3 года назад +10

    Cant wait for Original Comedy

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 3 года назад

    Wow wow nawapenda mno Hawa watu😘😘😘😘😘

  • @omanss268
    @omanss268 3 года назад +7

    😄😄😄masanja bhana😄😄

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 3 года назад +3

    Yaani viatu vya mchungaji ni 🤝

  • @dennisnjiro7922
    @dennisnjiro7922 3 года назад

    Masanja umetishaaa mambo ya kanisan yabaki hukooo hapo upo kwenye kutafta hela...

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 3 года назад

    Hakuna comedy hapa...Tanzania bado mpo mbali

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 3 года назад +3

    Tumewamiss sana jamani...Nawapenda mnoooo....

  • @jonathannelson7392
    @jonathannelson7392 2 года назад

    My favorite original comedy

  • @luthmwandinde8930
    @luthmwandinde8930 3 года назад

    Mwanaume umetisha

  • @janeymhando
    @janeymhando 3 года назад +1

    Woyooo...so Happy orijino komedi imerudiii

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 3 года назад +2

    Salama tuheshimiane..pls ongea na andunje mwenzio awepo hapo, ila mchungaji..kiatu mie hoi.. hata pepo likitaka kukuvamia linapita kwenye upenyo hapo ... 😂

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 года назад

      Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html

  • @paschaljackson5469
    @paschaljackson5469 3 года назад +1

    WOW, itakua poa sana, nitanunua dstv

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 года назад +9

    I can't wait 😂 walinifanya nifeli shule hawa

  • @bryteskylinks2228
    @bryteskylinks2228 2 года назад

    Huduma zetu ni pamoja na:
    - Ubunifu wa wavuti
    - Ubunifu wa nembo
    - Usajili biashara/kampuni
    - Tiketi ya ndege na basi (ya Ndani na Kimataifa)
    - Usajili wa Pasipoti na Visa
    - Usajili vyuo vya nje
    - Uagizaji bidha ndani na nje ya nchi.

  • @bamsnames149
    @bamsnames149 3 года назад

    DUUUUUUUU THE COMEDY 2021 & FOREVER

  • @bilioneamwegole5138
    @bilioneamwegole5138 Год назад

    Jamaa nae kama wew mchungaji acha mambo ya zamani uendane na wokovu mchungaji anavaaje viatu kama ivyo et

  • @emmanuelmuniko17tz21
    @emmanuelmuniko17tz21 3 года назад +1

    Wa kwanza kukomenti

  • @dennisisrael2187
    @dennisisrael2187 3 года назад +2

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Mungu ametuona katurudshia kitu yetu

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 3 года назад

    Mbona Kindururu Joti cjakiona hapo kwenye INTRO au kilinyea KAMBI 🙆‍♂🙆‍♂🙄🙄😂😂

  • @aladinho1352
    @aladinho1352 3 года назад +1

    Alafu masanja unalamika waumini wanakukimbia

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 3 года назад +1

    Jamaniiii 😂😂😂😂 masanja una nini wewe yaani ulivyopandisha hapo nimecheka kwa nguvu kabisaaa

  • @faustinanyamtengera5778
    @faustinanyamtengera5778 2 года назад

    Rudini tena nawakubali sana.

  • @saymonithebest1283
    @saymonithebest1283 3 года назад

    Konde Gang _ Unaniskia New Audio Out Now 👇
    ruclips.net/video/B2QAIvBpq2U/видео.html

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 3 года назад +1

    Huyo churaaa!!!!! huwa ni mchekeshaji mzuri lkn hajatusua kama wengine

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 3 года назад +3

    Sasa uchungaji na comed mbona kama vitu viwil tofauti au mimi ndio sijui jmn! Kweli mmh waumin wake endeleen kuabudu

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 3 года назад +5

    T.I.D Talented 🙌

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 года назад +9

    Masanja si kwa jeje hilo!! 😀😀

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 3 года назад +1

    Huyu mmoja sijui aliuguaa.. mbona kaisha hivyo

  • @mussahussein183
    @mussahussein183 3 года назад +1

    Joti ashajitenga hataki hata ujamaa nao wanazingua tuuu

  • @shabankiliani8234
    @shabankiliani8234 3 года назад

    Mko talented sana

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 года назад +1

    Sema Mbona hamjaja na Joti aisee

  • @janetshao6423
    @janetshao6423 3 года назад +1

    Nakuelewaga sana mwarabu wa Dubai 🤣🤣🤣🤣🤣🤜.

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 года назад

    hivi nyie wehu mnakumbukaga lkn kuwa mnatuingiza ndani saa moja usiku ili kuwatizama tu unatukuta familia nzima tupo ndani tumekaa tunaangalia tv tulivyo fanana sasa kama wachina 😂😂😂🇹🇿🇦🇪

  • @dipletitus9967
    @dipletitus9967 3 года назад +2

    Tid chuckes watoto wadogo sana nyie 😂😂

  • @ngasadere7465
    @ngasadere7465 3 года назад

    Jamani simurudishe kundi lenu hili tumewamis kweli yaani hapa kakosa vengu tu

  • @edoboysabuni2627
    @edoboysabuni2627 3 года назад

    Uyu msenge sana

  • @emanuelandedela2771
    @emanuelandedela2771 3 года назад +1

    Jamani hiyo laizoni ya mtumishi inauzwa wapi!!

  • @waidaamon457
    @waidaamon457 3 года назад

    Uwiiiiiiiii kiatuu chaa baba mchungajiiiii sasaaaaa hahahahaaaaa

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya kanisani yaache kanisani usije ukachanganya mada 🤣🤣haki mchungaji unavisa weyee

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 года назад

      Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html

  • @hamisfufuru6294
    @hamisfufuru6294 3 года назад

    Umundu gwa Mwakaleli

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 года назад +8

    Wachungaji waleo,huku Mungu huku komedy,dah wapi tunaelekea?

    • @rayanndizeyes3161
      @rayanndizeyes3161 3 года назад +5

      Mwisho ni binguni,Mungu alitupa akili tuitumikishe hatwabiya tuleye mikono

    • @zuberinyenzi1982
      @zuberinyenzi1982 3 года назад +3

      Kwani kuna ubaya gani kuwafurahisha watu

    • @mao9622
      @mao9622 3 года назад +3

      Kwani umeambiwa uwafuate

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 3 года назад +3

      Ndiyo wanaofaa maana hawategemei pesa ya waumini kununua magari makubwa, wanakulisha neno wakimaliza mnaingia wote mtaani kusaka tonge,

    • @vival8800
      @vival8800 3 года назад +1

      Mbinguni

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 3 года назад

    waliokuwa na maisha ya furaha kwamtazamo wa sura zao ni mpoki n amasanja na joti tu.

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 3 года назад

    Duuu umeacha njia chagua moja dunia au Mungu ile njia n nyembamba sana ndgu wengi watataka kuingia lkn wasiweze iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa n njema sana lkn kwa Mungu n machukizo akili kichwani mwako masanja

  • @insteinjonga6651
    @insteinjonga6651 3 года назад

    Mpoki wa Kigamboooni

  • @hajihussein9185
    @hajihussein9185 3 года назад

    TID got voice aisee.

  • @francislovemore3858
    @francislovemore3858 3 года назад

    Kweli Mch Wa kisasa hatariii!!!

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster6146 3 года назад +1

    Kama hayupo Joti hiyo ze comedy Itakuwa ze kichekesho😏

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 3 года назад +1

    Nawa kubal sanaaa mlikuwa mnanifanya nisilale

  • @muddy6076
    @muddy6076 3 года назад

    Toka pepo

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 3 года назад

    Original comedy haijawah kutokea kama hawa bado vengu hayupohapo

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 3 года назад +3

    Golden shoes 👠🤣🤣Viatu vya zahabu 🤣

  • @vival8800
    @vival8800 3 года назад

    Joti yupo wapi?

  • @modekessy1790
    @modekessy1790 2 года назад

    Joti yuko wapi jamaniiiiiu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Viatu kanunua wapi mchungaj

  • @simiriicimotrich6372
    @simiriicimotrich6372 3 года назад

    Wanaume

  • @frankalexmwacha6921
    @frankalexmwacha6921 3 года назад

    Nawakubali sana

  • @kizotapeter1094
    @kizotapeter1094 3 года назад

    Jot yuko wapi jamani

  • @bernadethaprosper
    @bernadethaprosper 3 года назад

    Kiatuu

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад +2

    Hahahaha Masanja jamani

  • @aliasaally
    @aliasaally 3 года назад

    Hivi vengu vipi aisee, kitambo sana jamaa hatujui anaendeleaje

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 года назад

      Kwa kweli,ila Seki alishasemaga wasemaji zaidi familia yake ,

  • @martinnasala3750
    @martinnasala3750 3 года назад

    Vipi joti yuko wapi

  • @obbycharles1705
    @obbycharles1705 3 года назад

    awa jamaa wapo tuuu!!!! Daaaaah!!

  • @maishaedward3628
    @maishaedward3628 3 года назад +1

    Kwani hili kundi bado lipo na linapatikana kwenye kisimbuzi kipi

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 3 года назад

    Tid a.k.a mashineeee😄😄😄😄😄

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 года назад

    😂😂😂masaja kweli ni mwisho sikwakiyato isho

  • @michaelgamba6698
    @michaelgamba6698 3 года назад

    Masanja dah namkubal kinom

  • @leonardpeter9827
    @leonardpeter9827 3 года назад

    Joti yuko wapi

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 3 года назад

    Wamezeeka mweeh

  • @mbondehr708
    @mbondehr708 3 года назад +2

    Mbona Mr nixhai/joti cijamuona hapo !!??

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 года назад

      Mabao yote yanga day ruclips.net/video/EKEejbzxMNY/видео.html

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 3 года назад

    Joti wapi?

  • @allyjumbe9476
    @allyjumbe9476 3 года назад

    Hapa ata nikilipa kifurushi naona ela yangu inaenda kihalali

  • @bandanahmiqassa
    @bandanahmiqassa 3 года назад +1

    Chidi beenz ni chawa wangu 😂😂😂😂

  • @peninakingara7080
    @peninakingara7080 3 года назад

    Wooo congratulations

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 года назад

    Safiii

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 3 года назад

    Salama kabongeka

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    jaman

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 3 года назад +7

    Vengu na joti wapo wapi kundi likamilikee🤣🤣

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 3 года назад

    Huyu Mchungaji huyu, Anawachunga mbuzi wake Vibaya Mwisho Atawapeleka Motoni.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +1

    Joti yuko wapi?

  • @franknjavike2304
    @franknjavike2304 3 года назад

    Nime cheka kwa saut, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Via2 ni balaa

  • @hillarymbilinyi9067
    @hillarymbilinyi9067 3 года назад

    Da hawa jamaa haiji tokea

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 3 года назад

    Masanja bana