RAIS SAMIA AKISHUHUDIA BENDERA ZIKIPANDISHWA IKULU MPYA YA CHAMWINO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2023

Комментарии • 37

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 Год назад +8

    Ikulu nzuri sana, hongereni JKT, hongera JPM hukohuko ulipo!.

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад +5

    The Tanzanian icon Ancle Magufuri always be remembered Tanzanian loves you together and Dad Nyerere

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Год назад +8

    REST in happy daddy John will remember you life to live

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад +9

    R.I.P mwamba JPM na Nyerere hakika ndoto zetu zimetimia huko mliko Mungu wetu awapunguzie makosa ya Dunia na awape mwanga wa milele. Amina.

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 Год назад +10

    Kama namuona jpm
    Rip father 😢

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Год назад +9

    Rest in peace our magufuli

  • @nadirabdullahal_hinai2016
    @nadirabdullahal_hinai2016 Год назад +6

    New Home for our beloved president ❤

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 Год назад +6

    Magufur forever ❤, Tutakukumbuka daima Uthubutu huu hakuna aliye weza ila Mwamba ulio lala ndo uliweza,
    Pumzika kwa aman Mzee wetu😢😢😢

  • @bensonnkya3978
    @bensonnkya3978 Год назад +4

    JPM, we miss you so much. RIP!

  • @ashirafukitololi540
    @ashirafukitololi540 Год назад +2

    Dunia tunapita aisee.....JPM mungu akulaze pepon

  • @hamadially5585
    @hamadially5585 Год назад +2

    Anko MAGU binafsi nakushukuru sana kwa mawazo yako juu ya ikulu hii nataman ungekuwepo lakin MUNGU amekupenda zaid pumzika baba nembo yako haitafutika kwenye mioyo yetu dady 😭😭😭😭😭😭😭

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад +2

    Bora mlivyo ama mlikua mnatuletea gozi Dar, eti mtu mmoja anapita mnasimamishwa maelf ya watu masaa kibao kwa ajili ya mtu mmoja, Nnchi za watu akuna mambo ayo mkae uko uko Dom amna faida kwa Raia kazi yenu Kula rushwa tu

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 Год назад +7

    Rip King Magufuli, gone but not forgotten.

  • @rahma6189
    @rahma6189 Год назад +5

    Pumzika jembe letu Magufuli umeiheshimisha nnchi ukaondoka kleo hata waliokupinga ndio wameweka vitambi mbele wewe hata hujaiona ikulu

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 Год назад +6

    Rest in peace legendary Magufuli ❤❤❤

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Год назад +1

    Zanzibar mbn haibadilishiwi ikulu Kipo pale migombani hee twaomba ibadilishwe tafuteni eneo

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 Год назад +6

    Pumzika kwa amani Jpm kazi imekamilika wanajaribu kuficha fikra zako!

  • @janethjohnmrsjoseph2171
    @janethjohnmrsjoseph2171 Год назад +1

    Binafsi kusikia tu wimbo wa taifa 🇹🇿 machozi yamenitoka 😭 nikawaza angekuwepo JPM💪. R.I.P Magufuli 😭😭😭😭 Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi lake

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 Год назад +4

    AHSANTE JPM KWA MAWAZO MAZURI, HAKIKA YALIKUWA KIONGOZI, MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Год назад

      Hili lilikuwa wazo la mwalimu ila yeye twampongeza kwa kulitekeleza na rais samia atakumbukwa kwa kulikamilisha

  • @sabitintaganda9115
    @sabitintaganda9115 Год назад +2

    R I P JPM

  • @EliyaUhaula-ck3pu
    @EliyaUhaula-ck3pu Год назад +1

    Nyie mmekaa hapo mbele ndiyo mnaoiongoza nchii Sasa mkifanya madudu 2025 hatuta waelewa Watanzania tumefunguliwa ufahamu

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Год назад

    🙏🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +1

    👏👏👏👏

  • @pielinamalata1305
    @pielinamalata1305 Год назад

    🙏🙏

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Год назад +1

    Kikwete si alistaafu ama bado ni rais,hakosi kila shughuli

  • @user-qe2dp6oy8j
    @user-qe2dp6oy8j Год назад

    Jami ikili ndoo mnagungua Leo yangu mpate uhuru poleni

  • @neyntui2967
    @neyntui2967 Год назад

    rest in peace jpm

  • @IanPhilipo-rj2hq
    @IanPhilipo-rj2hq Год назад

    Naona ikulu imepigwa msauzi,vip ina sifa zozote za ziada?

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад

    Manina bonge laikulu Africa mashalik na kati oyeee bitozoooo oyeee una mbambaa bitozeeeeeeeee

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el Год назад

    Kwaiyo sasa hiv tutaruhusiwa kupiga picha ikulu ya dar

  • @patriciakalinga9176
    @patriciakalinga9176 Год назад

    Walokokuwa wanabisha wapo bado? Serikali haiwezi hamia Dodoma,

  • @controllafaraday6386
    @controllafaraday6386 Год назад

    Mchakat uwekw waz ndo nia yetu!!

  • @candidamuhanika8328
    @candidamuhanika8328 Год назад

    Mnaotoa comments muwe mnasoma mliyoyaandika kabla hamjatuma. Sentensi zingine hazisomeki zikaeleweka!

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад

    Kuna ubwabwa umo??

  • @salcle9702
    @salcle9702 Год назад

    Kungewekwa na running way za ndege kupunguza jam za misafara rodin kwani ni kero