Anko MAGU binafsi nakushukuru sana kwa mawazo yako juu ya ikulu hii nataman ungekuwepo lakin MUNGU amekupenda zaid pumzika baba nembo yako haitafutika kwenye mioyo yetu dady 😭😭😭😭😭😭😭
Bora mlivyo ama mlikua mnatuletea gozi Dar, eti mtu mmoja anapita mnasimamishwa maelf ya watu masaa kibao kwa ajili ya mtu mmoja, Nnchi za watu akuna mambo ayo mkae uko uko Dom amna faida kwa Raia kazi yenu Kula rushwa tu
Ikulu nzuri sana, hongereni JKT, hongera JPM hukohuko ulipo!.
The Tanzanian icon Ancle Magufuri always be remembered Tanzanian loves you together and Dad Nyerere
REST in happy daddy John will remember you life to live
R.I.P mwamba JPM na Nyerere hakika ndoto zetu zimetimia huko mliko Mungu wetu awapunguzie makosa ya Dunia na awape mwanga wa milele. Amina.
Kama namuona jpm
Rip father 😢
Rest in peace our magufuli
New Home for our beloved president ❤
Magufur forever ❤, Tutakukumbuka daima Uthubutu huu hakuna aliye weza ila Mwamba ulio lala ndo uliweza,
Pumzika kwa aman Mzee wetu😢😢😢
JPM, we miss you so much. RIP!
Dunia tunapita aisee.....JPM mungu akulaze pepon
Anko MAGU binafsi nakushukuru sana kwa mawazo yako juu ya ikulu hii nataman ungekuwepo lakin MUNGU amekupenda zaid pumzika baba nembo yako haitafutika kwenye mioyo yetu dady 😭😭😭😭😭😭😭
Bora mlivyo ama mlikua mnatuletea gozi Dar, eti mtu mmoja anapita mnasimamishwa maelf ya watu masaa kibao kwa ajili ya mtu mmoja, Nnchi za watu akuna mambo ayo mkae uko uko Dom amna faida kwa Raia kazi yenu Kula rushwa tu
Rip King Magufuli, gone but not forgotten.
Pumzika jembe letu Magufuli umeiheshimisha nnchi ukaondoka kleo hata waliokupinga ndio wameweka vitambi mbele wewe hata hujaiona ikulu
Inauma sana ila kamwe hatutaacha kumkumbuka
Rest in peace legendary Magufuli ❤❤❤
Zanzibar mbn haibadilishiwi ikulu Kipo pale migombani hee twaomba ibadilishwe tafuteni eneo
Pumzika kwa amani Jpm kazi imekamilika wanajaribu kuficha fikra zako!
Binafsi kusikia tu wimbo wa taifa 🇹🇿 machozi yamenitoka 😭 nikawaza angekuwepo JPM💪. R.I.P Magufuli 😭😭😭😭 Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi lake
AHSANTE JPM KWA MAWAZO MAZURI, HAKIKA YALIKUWA KIONGOZI, MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI
Hili lilikuwa wazo la mwalimu ila yeye twampongeza kwa kulitekeleza na rais samia atakumbukwa kwa kulikamilisha
R I P JPM
Nyie mmekaa hapo mbele ndiyo mnaoiongoza nchii Sasa mkifanya madudu 2025 hatuta waelewa Watanzania tumefunguliwa ufahamu
🙏🙏🙏
👏👏👏👏
🙏🙏
Kikwete si alistaafu ama bado ni rais,hakosi kila shughuli
Jami ikili ndoo mnagungua Leo yangu mpate uhuru poleni
rest in peace jpm
Naona ikulu imepigwa msauzi,vip ina sifa zozote za ziada?
Manina bonge laikulu Africa mashalik na kati oyeee bitozoooo oyeee una mbambaa bitozeeeeeeeee
Kwaiyo sasa hiv tutaruhusiwa kupiga picha ikulu ya dar
Walokokuwa wanabisha wapo bado? Serikali haiwezi hamia Dodoma,
Mchakat uwekw waz ndo nia yetu!!
Mnaotoa comments muwe mnasoma mliyoyaandika kabla hamjatuma. Sentensi zingine hazisomeki zikaeleweka!
Kuna ubwabwa umo??
Kungewekwa na running way za ndege kupunguza jam za misafara rodin kwani ni kero