TUNA MATUMAINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 авг 2021
  • Kwaya ya Mt.Lucia kutoka Parokia ya Roho Mtakatifu Ngarenaro Arusha, Wakilia kwa Matumaini baada ya kuondokewa na aliyekuwa mlezi wa Kwaya yao, Ndugu Mathias E. Manga aliyefariki dunia August 2021.Tuungane nao katika kumwombea mpendwa wetu apokelewe kwenye makao ya heri Mbinguni, Amina.Wimbo huu wameuandaa kama kumbukumbu ya kifo chake na daima iwe sala yao kwa Mathias E.Manga. Apumzike kwa Amani, Amina.
    #rajoprodudctions #miminaneema
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 78