Duhh.Acha niendelee na kupiga mkeka kwa swala naamini hiyo ndo njian sahihi ya mbingun mambo yakupitishana kwenye mawe na maji ya chumvi tuwaachie taywan...
Nikweli mazoezi nijambo moja zuri sana kwa mwanajesh hvyo kumsaidia awapo kwenye uwanja wa vita lakini kwa hili swala la kunywa damu ya nyoka halina madhala kwa mwanajesh?.
Nimeipenda hy (sisi wengine tutegeshee mashavu na kuchapana vibao) noma sana
Hawa ndo wanaume wa ukweli maana haya mazoezi yote kuyahimili si chambo la mchezo mchezo ni balaaa
Yap nikwer zoezi la njiaya mbinguni lilipaswa like namba Moja...watairendi ninouma sanaaa..
Asante kwa video,zoezi lililonishwngaza ni lile la kwenye bwawa la maji, huku wakiwa wamefungwa mikono na miguu
Mm naona uongo kuvunja tufali mana icho kichwa sio cha plastic ukipigwa kozi tu kichwa kinakuuma
Habari Justin naomba unitafutie historia ya muigizaji Werner pochath
Duuu nakubali hayo mazoezi nayapenda Sana yanareta kwa nza ujasili na kufanya kwa uchumgu kabisa
Umetisha sana❤❤🎉
Duhh.Acha niendelee na kupiga mkeka kwa swala naamini hiyo ndo njian sahihi ya mbingun mambo yakupitishana kwenye mawe na maji ya chumvi tuwaachie taywan...
😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Ni noma lakn hbt bongo wanayo hatar
Ebwanaaaee daah iyo tufali kwakimchwa ikosaw./ twende kaz
From Tanzania
Nakubali sana bro
Hiyo. Zoezi ya kupasua tofali Kwa kichwa hiyo Kali big up
Njia ya mungu no shida
Mim nimependa mazoez yote,,iyo inakujenga ujasiri utukutu na kujiokoa mwenyewe bila kumtegemea mtu,,,mim mwenyewe nilikuwa nataman sana kuwa mwanajeshi naiman ningeweza mana mim sinaga roho yakushindwa kirahis wala kuludi nyuma safii sana mazoez mazuli
Hjachelewa JKT wakitoa nafasi omba
Hongera sana, nimefrahi sana mazoez ya kuvunja tofali kwa kutumia kichwa
Weee sio rahisi kama unavoona kuna watu wanakufa apo
Iyo njia mbinguni hapana kwakweli loooohhh 😢
Justin shed wewe ni nouma , haya twende kazi 😊
Natazama kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aise iyo ya kupasua jiwe kwa kichwa ni noma
Achana n hy jkt y Tz n zaid yao kuna six week...achana n coz y bakabaka..nenda mtabila au kanembwa utafrah mbna..
Justin hayo matofal yana michanga mingi kuliko cement kama unabisha wapewe tofali lenye cement ya kutoka kama hawajabomoa mabichwa hayo
Thanks from Kenya
Ilo tiz la kuzam kwny maj ,lakupta kwny mawe na boxer ndo hatar zaid🔥🔥🔥
Asant kwa video ya mazoez Zoez lililonishangaza ni la kuvunja totality kwa kichwa
haya mazoezi yote ni mepesi sana. kwa mtu mwenye moyo wa ujasiri kama mimi ila kwa watoto wa mama wanaeza ona ni mateso
Kuvunja tofali kwa kichwa ni zoezi bora sana
Nashagara sana zoezi ya kunywa damu cobra. Na kuvuja matofari. Na zoezi barabara ya kuelekea mbinguni. Na kupokezana bomu. 😱😱😱😥😭🙏🙏🙏
Umetisha baba
Njia yambinguni hatari sanaa mbona Tanzania hatupo jamani
leshateur d africain leplirishen 10
Dhaaa ilo lakipita kwenye maw, badae unamwagiwa maji ya cumvi😖😖😟😫😫mamaaaaa mbona ucungu wakuzaa nimudogo mnooo🙆🙆
Kabisaa
Dadekiiiii sio poaaaa ata kam ukisikia sifany kazi hiyoo mimi
Hatari
Kwenye ile njia ya pepon jeahi la Taiwan noma sana
Nice
Naitazama video kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bila shaka mm hapa natamani kuyapitia mazoezi hayo yote na ninajuwa kuwa siwezi feli nitayamalizia hata. Nini kikatokea
Mazoezi ya mtu yeyote uwa yana ongozwa na hakiri sio mwili kwahyo kufanya mazoez kama haya siokwamba utashinda vita bari hakiri ndo ushindi
Hii ni kweli Mambo vp
Matopeni bro
Habar kweli
Nimeipenda hiyo njia ya mbinguni daaah
Nimeipenda njia ya mawe
Tanzania mbona hatupo 🤒🤒🤒🤒🤒🤒😂😂😂😂😂😬😬😬😬
Justin shed mazoez ya kuvunja mawe Kwa kichwa duh? Hayo hatr mzazi
Mm nimepeda nakushangazwa na kunywa damu ya nyoka na kuvunja matofali
Njia ya mbinguni niatari na kuvunja tofari kwa Kichwa 🤔🤔🤔🤔🤔
Nimependa kwenye uwanja wa mbinguni ni hatari fire
Nakubali
I m very proud To be Burundian military in FDNB (Sailo Soldier Boy Artiste militaire BURUNDAIS FDNB
Dam ya nyoka zoezi Kali sana
Woow hiyo inatisha
Ah apo zoezi la chini ya maji sio poa
Kwakweli wanakila mshahala kwa haki yao mungu awasaidie
Nikweli mazoezi nijambo moja zuri sana kwa mwanajesh hvyo kumsaidia awapo kwenye uwanja wa vita lakini kwa hili swala la kunywa damu ya nyoka halina madhala kwa mwanajesh?.
Zoezi la kichwa ni noma.
wametisha kwel
Kuvunjatwafali kwakicha duuu hadari watakuwa navichwa vyakondo mim napenda jeshi lakini kuonatu hivi nimekata tama kabisa aseeeee?????
Njia ya mbinguni💥💥
Haah!!!!??
hilo la kupasua matofari hatari sana
Mimi naona mazoez yote ni Sawa 2 katka uwanja wa vita
KUNYWA DAMU YA KOBRA IMENISISIMUA ZAIDI,
Wooow
Mzee baba mazowezi yote nayakubali.duuuuu.
Nimeshanga na zoezi la ku Na nimelipenda
Hahhhhh iyo ya kupasua mawe kwa vyichwa ni fire
Kwa jinsi mimi ninavyopenda kuwa Mwanajeshi hayo mazoezi yote yangekuwa ni halali yangu tu.
Omba uende JKT
Natoka congo
Kuvunja tofali Kwa kichwa umeniacha hoihoi
Damu ya nyaka
Kilichonishangaza mimi wanajesh kimyaa damu ya nyoka
Zoezi la kunywa damu ya nyoka
Natamani nami ningekuw mwanajesh sku moja ila basi tu
hahaha eti vita vya kupigana vichwa😂😂😂
Hii ni zoezi muhimu kwa majeshi ya tz
I wanna test cobra blood
Kazi ya ushajaa hakika
Duuuh 🤔 🤔 🤔
Le sang de serpent et la route qu'allez out ciel voilà c'est tres fantastique pour moi gråce a touts soldat
Nipe like wakwanza Ku comment
Eyo ya mawe kali
Nahitazamanikiwa marekani
kweli kuwa mjeshi nikazi sana
haya mazoez ni ya hatar jaman
Hatar
NJIA YA PEPONI NI HATARI ZAIDI...
Njia ya kwenda mbinguni ni kiboko
Aise hii ya damu ya Cobra dahhh ni shida
shed upo vizur sanaaa
dah mimi nakuwa polis
hiyo zoezi kunyonyadamu ya nyoka hiyo ni kumuuwa mtu wakome kdf
Atali zaidi kucheza nabomu
HIYO KALI WALLAH NINA TAMANI WANAJESHI KAMA WAO
Mimi naona hilo la kwenye mawe ndo hatari
Nashanga sana kupasuwa tofali kwakichwa
Kupasuwa tafsli kwakutumia kichwa
Baba sjamaliza
Hilo la kupasua mawe na kichwa
😱😥😥🙏🙏
Mazoez yte hyo kisa tu kulinda Wakubwa waendelee kula nchi losalaleee
Kupasua tofali mmh huu sio.