Unaonge kuwaaminisha watu unachojua, Sasa kama upo miongoni mwa Freemason au vikundi kama hivyo basi utakuwa unajua unachokifanya, Ila kama haupo huko basi bado hujui unachoongea
Sikuzote ukweli unapingwa unaongea vitu vya undani sana mpk mtu ayajue maandiko ksha amchunguze anae ongelewa ndio ataelewa ukweli uko wapi ht shetani ana jiita malaika wa nuru
Kwa usalama wako achana kabisa na TBJOSHUA. Utatoa hesabu kwa maneno yako.Mimi ni shahidi niliyepona kwa kupitia huduma ya TBJOSHUA. Achana naye kabisa huna masomo yoyote.kumbuka vita ya TBJOSHUA ni ya Bwana. Unajitafutia matatizo husiyo yajua .Acha kabisa kushuhudia uongo uliona wewe. Tofauti yako na wale watumishi wa ibilisi haipo. Mungu akurehemu nakuonya kabisa.
Hakuna siri unayoijua dogo, siri iliyopo ni kuwa na yesu na kusimama na yesu vizuri tu. Sidhani kama wewe dogo umewahi kutoa hata pepo😂 sasa kama hujawahi unawezaje kuzijua hizo siri sasa? Na wakati wenzako hatujafika hata level ya wainjilist wa barabarani na tunatoa pepo kwa jina la yesu. Unataka kujua siri nitafute nitakusaidia uijue ili uwafundishe watu wako vizuri.
@@kiuje Chuki ya nini, wakrosto hawafubdishwi chuki na hakuna andiko linafundisha chuki ndani ha biblia, niambie juu ya maandiko yako 🤣🤣 chuki tupu. Ukiona mtu mkristo ana chuki huyo ana jina tu sio mkristo halisi. Ninachosena hapa dogo hujui siri ya aina yoyote, hata za kwenye imani yako bado huzijui 😀😀. Bado yesu yupo na siri yake ni rahisi kuielewa, na wala haifanani na uganga, inafanya kazi kwa mamlaka ya jina LA yesu tu... Kwa jina la yesu kristo aliye hai basi kila kitu kinakaa sawa 😇
Sidhani kama wewe dogo umewahi kutoa hata pepo? kama hujawahi unawezaje kuzijua hizo siri sasa?wenzako hatujafika hata level ya wainjilist na pepo wananitii. Unataka kujua siri nitafute nitakusaidia uijue ili uwafundishe watu wako vizuri.
@@sidemorreira1076 Matusi ndicho nnachokijua kufanya, elimu hamna, akili hamna, hata siri huzijui, si ukauze madafu? Sawa endelea na kipaji cha matusi!
Ujinga huu ndio maana mnapigwa pesa kila siku kwa kukosa maarifa Hivi mchwawi anaweza kukuambia mimi mchwawi? Acha upumbavu ukiona uelewi usisikilize tuache tunaomwelewa Mr Jose
Jamani mtajibu nini huko kwa baba huyo ni masihi wa Mungu. Ogopeni
🙌🙌🙌🙌God Is good all the time 🙏🙏🙏🙌
Samahan bro at sanduku la agano
Limepatikana tujuze bas
Mbona umefuta video ya pastor bushiri
Jameni kaka, tangaza kile wajuwa sio kuvuta myoyo za watu wamchukue mbaya. Acheni T.b Joshua apumzike.alisaidia wengi na duniani unaye msaidia hugeeuka kua adui.sasa alikufa ndo viji maneno manenooo yasio na msingi, wivutuu.
Mbna hatuletei safari ya kiroho part 6?
👍👊✌️.
Unaonge kuwaaminisha watu unachojua,
Sasa kama upo miongoni mwa Freemason au vikundi kama hivyo basi utakuwa unajua unachokifanya, Ila kama haupo huko basi bado hujui unachoongea
Wewe unafanya au umefundishwa?
Kaka ni kweli Joshua alikuwA freemason
Ndiyo alikuwa
Tuletee ya pdii
Sikuzote ukweli unapingwa unaongea vitu vya undani sana mpk mtu ayajue maandiko ksha amchunguze anae ongelewa ndio ataelewa ukweli uko wapi ht shetani ana jiita malaika wa nuru
Kwa usalama wako achana kabisa na TBJOSHUA. Utatoa hesabu kwa maneno yako.Mimi ni shahidi niliyepona kwa kupitia huduma ya TBJOSHUA.
Achana naye kabisa huna masomo yoyote.kumbuka vita ya TBJOSHUA ni ya Bwana.
Unajitafutia matatizo husiyo yajua .Acha kabisa kushuhudia uongo uliona wewe.
Tofauti yako na wale watumishi wa ibilisi haipo.
Mungu akurehemu nakuonya kabisa.
ok sasa nyie tuonyesheni nguvu za Mungu kama kristo alivyotuahidi,acheni bla bla
😂 na ww mbona unaleta story tuh za hao unauhakika gan na habari zao 😢 tambua marafiki wengi wanafki , na wengine wapo kutafuta kiki
wakisema
mema yake utaona wapo sahihi watu hao hao wenye fame huwa ni wabaya vile vile
wakisema
mema yake utaona wapo sahihi watu hao hao wenye fame huwa ni wabaya vile vile
Wee kama humuelewi pita hv,,jamaa hajawai kukulazimisha uingie kwenye account yake na umalize MB zako kuangalia post zake
Ni kweli TB jochua alikuwa frimason 100%
Wewe upo dunia gani?
Hao watu walitimuliwa wakaja kuomba msamaha baadae na wakazingua na kutimuliwa tena
Hakuna cho chote ila kujidai kuwa wewe unajua sana mnajiletea laana mbele ya Mungu. Inakuhusu wewe.
Una uhakika gani? Weka hizo clip za kuthibitisha
Hakuna siri unayoijua dogo, siri iliyopo ni kuwa na yesu na kusimama na yesu vizuri tu. Sidhani kama wewe dogo umewahi kutoa hata pepo😂 sasa kama hujawahi unawezaje kuzijua hizo siri sasa? Na wakati wenzako hatujafika hata level ya wainjilist wa barabarani na tunatoa pepo kwa jina la yesu. Unataka kujua siri nitafute nitakusaidia uijue ili uwafundishe watu wako vizuri.
Wewe umeleta ujuaji ungekuwa mungwana ungemtafuta private sio kuongea hivi. Ila ninavyo hisi huwenda wewe unachuki binafsi na ujivuni
@@kiuje Chuki ya nini, wakrosto hawafubdishwi chuki na hakuna andiko linafundisha chuki ndani ha biblia, niambie juu ya maandiko yako 🤣🤣 chuki tupu. Ukiona mtu mkristo ana chuki huyo ana jina tu sio mkristo halisi. Ninachosena hapa dogo hujui siri ya aina yoyote, hata za kwenye imani yako bado huzijui 😀😀. Bado yesu yupo na siri yake ni rahisi kuielewa, na wala haifanani na uganga, inafanya kazi kwa mamlaka ya jina LA yesu tu... Kwa jina la yesu kristo aliye hai basi kila kitu kinakaa sawa 😇
Sidhani kama wewe dogo umewahi kutoa hata pepo? kama hujawahi unawezaje kuzijua hizo siri sasa?wenzako hatujafika hata level ya wainjilist na pepo wananitii. Unataka kujua siri nitafute nitakusaidia uijue ili uwafundishe watu wako vizuri.
ungekuwa unajua hvo vtu hata usingeandika kwa EGO kias hiki Mpumbavu wahed wewe
@@sidemorreira1076 Matusi ndicho nnachokijua kufanya, elimu hamna, akili hamna, hata siri huzijui, si ukauze madafu? Sawa endelea na kipaji cha matusi!
Nilikuomba story ya Bilgate but bado hujapandisha
Hujui chochote kaka ili ni fumbo juu ya fumbo ukitaka ukweli muamshe alipolala TB Joshua ndipo tumuoji ,,
Ujinga huu ndio maana mnapigwa pesa kila siku kwa kukosa maarifa
Hivi mchwawi anaweza kukuambia mimi mchwawi? Acha upumbavu ukiona uelewi usisikilize tuache tunaomwelewa Mr Jose