Inawezekana sana tu, inategemea na mtu mtu wengine ni tabia zao, makuzi na jinsi walivyolelewa. Tupo 24 yrs now na bado hatujawah inategemea uta handle vipi hisia na matamanio yako
🎉🎉🎉kwanini isiwe kweli ni ukweli siyo kila mtoto wakileo anatakuwa atumikishe mwili wake najua hamuezi kumuelewa sababu inchi yenu ngono nikitu raisi sana
Inawezekana sana tu, inategemea na mtu mtu wengine ni tabia zao, makuzi na jinsi walivyolelewa. Tupo 24 yrs now na bado hatujawah inategemea uta handle vipi hisia na matamanio yako
Mie naamini, is good mpaka mtu akuowe usikubali kuchezewa
🎉🎉🎉kwanini isiwe kweli ni ukweli siyo kila mtoto wakileo anatakuwa atumikishe mwili wake najua hamuezi kumuelewa sababu inchi yenu ngono nikitu raisi sana
Ndio waambie kwnz
Jaman tunachoka mweeee
Uyo Ni Muongo sana
Zee kama hilo hadi lina jiremba kwendraaaa uko
Tutolee upwampwani wako weww
Inawezekana ila kwenye tundu za pua
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂,, 😂 aaaii