NDARO, MR. MWANYA WAMEMCHANA MAKAVU CHIEF GODLOVE ATOKE MAGETONI "NIMEKUTANA NAE LIVE HANA HELA!"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Ni aibu! Mchezo wa Chief Godlove kutumia pesa feki tiktok umevuja na washkaji Ndaro na Mr Mwanya wamemchana makavu bila kupepesa macho.
    Nimekutana nae Live hana pesa! Haendani na pesa anazoonesha tiktok!
    Pia chief godlove ameamua kwenda studio na amesema ataachia ngoma yake hivi karibuni kwa hiyo watu wakae mkao wa kula.
    #fyp #chiefgodlove #freemason #tiktok #ndaro #mwanya #mbao

Комментарии • 34

  • @romwaldlikwawa1167
    @romwaldlikwawa1167 27 дней назад +1

    Chief Godlove, ni mmbunifu, hongera msimuonee wivu....huyu ans hela hajakosea....Kwa sababu Dunia ni uwanja wa fujo aliye na ngoma acheze....

  • @GodiGodi-im5wi
    @GodiGodi-im5wi 2 месяца назад +2

    akili auna tafta pesa alali

  • @aliymajala5678
    @aliymajala5678 Месяц назад +1

    🇹🇿🇹🇿

  • @josephmathias8341
    @josephmathias8341 11 месяцев назад +6

    Huyu jamaaa pesa anazo nyingi sana ,,,yan namanisha kwamba kama huna pesa huwezifanya vitu kama anavyofanya mwamba,,pesa anazo💪💪

  • @Allyngubo-n9c
    @Allyngubo-n9c 11 месяцев назад +3

    wew mwanya na huyo ndaro wote nnyiee n panya kwa huyu jamaa sis tuna muelewa sana chifu

  • @Florisvevotz
    @Florisvevotz 6 месяцев назад

    Kuna wakati anazungumuza vizuri nakuna wakati anazinguwa

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 11 месяцев назад +2

    Huyo ndio mswahili,msaidie utakavyo weza lazima atakunanga

  • @PAULOJAMES-v2s
    @PAULOJAMES-v2s 10 месяцев назад +1

    Jamani watu waongee vyote lkn chief godlove hela anazo japo tuliona kibao lkn vp clip zake zote kuna vibaoo chief baba upige mwingi tu hakuna mtu anaeweza kupita njia yako iliokufikisha hapo hio ni siri yetu tusonge mbele

  • @EmmanuelCylilo
    @EmmanuelCylilo 8 месяцев назад +1

    Mimi nimemuelewa sana
    Hii ni mbinu Moja ya juu ya kufanya watu wakukazie uangalifu na hivyo kuwa na followers wa kutosha!!!

  • @mariammariam6356
    @mariammariam6356 11 месяцев назад +1

    HUY MGANGA WA JADI AU MWANAMAZINGAOMBWE 😅MBON AKIITWA KWENY REDIIO YOYOT ANAKWEPA KWEND MUONGOOOOOOOO

  • @KasheshiMachibya
    @KasheshiMachibya 8 месяцев назад +1

    Sasa ndaro unajilinganisha na chief wewe na mwanya ni makumakuma tu

  • @mariammariam6356
    @mariammariam6356 11 месяцев назад +1

    MUONGOOO HUYU BABU YAK GANI CHIEF WAKAT ANAENDAGA DHAMBIA KUNUNUA UCHAWI

  • @faidhacute
    @faidhacute 11 месяцев назад +2

    Huyu pesa hana ila anaridhisha nafsi yake mpuuz

  • @RashidiSalum-r8h
    @RashidiSalum-r8h 7 месяцев назад

    Anakosea sana

  • @stevenndeda
    @stevenndeda 11 месяцев назад +1

    Mfano wamtumwenye PESA mtazame bakhresa

  • @ABDULKIPAGWILE-ke8ci
    @ABDULKIPAGWILE-ke8ci 11 месяцев назад +1

    Mwenye ela amsemi maskin zitaisha izo kumbuka misemo ya ndalo anasema yanamwisho

  • @deobabula1268
    @deobabula1268 8 месяцев назад +1

    🇹🇿 ni icho yenye fujo zisizoumiza tafuta pesa

  • @zachariasaimon1448
    @zachariasaimon1448 11 месяцев назад +1

    chief goodlove ni kaline tunao ishi sasa hivi ambayo imebeba majivuno kwa kili mtu kwangu mimi sio sahihi kuonesha pesa zako sehem za media mitandaon ili kusudi iweje sasa kwangu mimi anakosea sana

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 11 месяцев назад +1

    Wewe ndaro na mwanya ni fala2 na hamuwezi maisha ya yuyo jamaa pia kama unaweza kuazima azima tuone bs

  • @jimmymucowimana9718
    @jimmymucowimana9718 11 месяцев назад +1

    Acha mambo zenu chef anapesa kabisa zakutosha muhacheni ujinga nahasira huyo jama niboss Sana

  • @Susanumazi
    @Susanumazi 11 месяцев назад +2

    Huyu jamaa anasumbuliwa na ushamba sana

  • @AdrianoMwalupani
    @AdrianoMwalupani 11 месяцев назад +1

    Chifu niazime namimi vimbao natambe kwetu

  • @ABDULKIPAGWILE-ke8ci
    @ABDULKIPAGWILE-ke8ci 11 месяцев назад +1

    Mbwa hauna ela bwege

  • @buchomillion4743
    @buchomillion4743 11 месяцев назад +1

    Dunia inakutesa wewe.wenye hela hawaongei.

  • @Zaikadena
    @Zaikadena 11 месяцев назад +1

    Kwel huyu ni kichaa

  • @husseinbakari7008
    @husseinbakari7008 11 месяцев назад +1

    Toka apa Vimbao 😂

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 11 месяцев назад +1

    Libaya lijitu lenyewe

  • @IsmailMohamed-h1h
    @IsmailMohamed-h1h Год назад +2

    Jamaa anafanya ualisia wa maisha yake ila wanadamu wapo kwajili yakumchafua mtu alie fanikiwa ili ashuke alipo anachokifanya godlove ni sahihi kwa ajili ya maisha yake respect blotter

    • @VictorBugobola
      @VictorBugobola 11 месяцев назад

      Nakubali Kaka...sema bongo wivu tu na rohoo mbaya tu inatusmbua

    • @sanchoMohamedi-bh3nf
      @sanchoMohamedi-bh3nf 11 месяцев назад +1

      ​@@VictorBugobola😂❤😊2❤0

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 11 месяцев назад

      kama kujishusha atajishusha mwenyewe nanyodo zake we mbele yamalofa kibao unaonyesha ukwasi , si watakuloga wandewa