Maashallah, mtoto una akili kushinda asilimia 80% ya waschana wa kiislamu wa kizazi cha leo. Wao wanaenda na wakati na wewe unafata mwongozo wa dini yako, na ndio maana baada ya umri fulani kufikia unaamua kwa khiari yako kuacha kusoma nasheed. Allah akujaalie rizki ya halali na wazazi wako pia.🤲🤲🤲🥰🥰🥰
Maashaa allaah umenifurahisha sana inavoonekana wanaokusimamia wanaujua uislam tutakumiss sana mtoto mzri,mungu akupe afya njema na wazaz wako na utuombee mungu pia sisi kaka zako
Mashallah hashyat uko very smart mdogo wang Allah atakusimamia inshaallah kuondoka kwenye Nasheed si mwisho wakukatikiwa ni ndoto zako mambo mengi yapo soma mfog wang utafika mbal kipaj unacho natumai uyaendelea masomo yajuu uje uwe mtu mzur katika Ulimweng huu lov u soomuch Nimekujua zaid kua uko smart uliposema Changamoto zaid anazijua mama Mashallah Mashallah Hashyat Allah akulinde na mabaya na sharr zamahasid yaarab😭😭😭😙😚Naskitika tutakumiss sana lkn tuko pamoja nikija home znz nitakutafuta Inshaallah from uae😙😚❤
Nimefrahi kuskia umeacha kuimba nasheed kwan ushakuwa saivi kwaio haitakikani sauti yako kusikika, ukizingatia ww ni mtt wa kike kwaio endelea kusoma dini na Allah awe pamoja na wewe آمين يارب العالمين 🌹🌹🌹
@@khadijamagram4063 sahihi kbsa kwan Allah anasema kuwaambia wanawake فلا تخضعن بالقول فيطمع الذي في قلبه مرض Msilegeze sauti ikawa ni sababu ya kumtamanisha yule ambaye ktk moyo wake kuna maradhi (yaan maradh ya shahwa)
Allahbakubadilishie shughuli nzuri yenye kheri nawe kuliko Nasheed unayoiwacha. Na wala usiskitike hiyo yote ni mipango ya allah na amekuchagua uwe katika njia yake. Aaaamini
علمو ألادكم دين الإسلام معرفة الله ومعرفة نبيهم ومعرفة الإسلام بالأدلة والله من أراد الله به خير يتفقه في دينه ولايكون كَـلْ المغنين والمغنيات كثير من الناس الآن أصبحوا ينشؤون الأناشيد ويحسبون أنهم على الحق بل إنهم على سبيل الوصول الى الغنى يبدأ المرأ شيئاً فشيئاً حتى يصبح في الغنى ونعوذ بالله
Anasheed ni KHARAMU nyimbo na alama za muziki na aina zake zote haifai ni haramu. Nasha zangu tubia kwa Mola wako mlezi na uache tena uchukie endapo utajiona ktk mitandao.
Maashallah, mtoto una akili kushinda asilimia 80% ya waschana wa kiislamu wa kizazi cha leo. Wao wanaenda na wakati na wewe unafata mwongozo wa dini yako, na ndio maana baada ya umri fulani kufikia unaamua kwa khiari yako kuacha kusoma nasheed. Allah akujaalie rizki ya halali na wazazi wako pia.🤲🤲🤲🥰🥰🥰
Maashaa allaah umenifurahisha sana inavoonekana wanaokusimamia wanaujua uislam tutakumiss sana mtoto mzri,mungu akupe afya njema na wazaz wako na utuombee mungu pia sisi kaka zako
Maa Shaa Allah... Tabarakkallah Hashyat....Amin Allah akujaalie uwe msichana mwema Kwa uwezo wake. Amin
Mungu afanyie wepesi insha'Allah
Mashallah anaakili sana mashallah yaani majibu yake tu unamuona. Allah akupe khery nyingi na barka.
Mashaallah mung akuzidishie zaid
MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah MaashaaAllah
Allah akujaalie uwe mke bora na mama Bora
Aamiin yaarabb al aalamiin
Mashallah wajua dn maa endelea his hiv
MASHA ALLAH...Tunakuombea kila la Kheri....!!!!
Mashallah hashyat uko very smart mdogo wang Allah atakusimamia inshaallah kuondoka kwenye Nasheed si mwisho wakukatikiwa ni ndoto zako mambo mengi yapo soma mfog wang utafika mbal kipaj unacho natumai uyaendelea masomo yajuu uje uwe mtu mzur katika Ulimweng huu lov u soomuch
Nimekujua zaid kua uko smart uliposema Changamoto zaid anazijua mama Mashallah Mashallah Hashyat Allah akulinde na mabaya na sharr zamahasid yaarab😭😭😭😙😚Naskitika tutakumiss sana lkn tuko pamoja nikija home znz nitakutafuta Inshaallah from uae😙😚❤
Uko vizr sana hashyat❤❤❤
Maa shaa Allah, Allah akupe umri mrefu, kasome tena dinni uje uwe mtu mkubwa hapo baadae ktk dini sy kuimba tena
Mashaallah mtoto una akili wallah.Allah akuepushe na matamanio ya Dunia.
Masha Allah Hashyat ur the best❤❤❤ napenda decision uloichukuwa....Allah akuzidishie umri Hashyat ww n Wazazi wko❤❤❤
Mashaalllah nakutakia kila LA khery❤
Mashaa allah kitt kimeleleka allah azidi kukuongoza unajitambua mashaa allah huna tamaa zakidunia
Allah akuitikie kwa KHERI na AMANI!
Masha allah,allah akuzidishie elimu upate kuwafunza na wengine insha allah
Nimefrahi kuskia umeacha kuimba nasheed kwan ushakuwa saivi kwaio haitakikani sauti yako kusikika, ukizingatia ww ni mtt wa kike kwaio endelea kusoma dini na Allah awe pamoja na wewe آمين يارب العالمين 🌹🌹🌹
Mashaallah nasaha nzuri
@@khadijamagram4063 sahihi kbsa kwan Allah anasema kuwaambia wanawake
فلا تخضعن بالقول فيطمع الذي في قلبه مرض
Msilegeze sauti ikawa ni sababu ya kumtamanisha yule ambaye ktk moyo wake kuna maradhi (yaan maradh ya shahwa)
Jmn mtt mzr ila hamna namna dini ndivyo anavyosema mashallah
Mashaallah dear, Allah akulinde na aendelee kukusimamia
MASHA Allah kapendeza mwenye
MashAllah bora aache kweli maana kila anapokulia anazidi kua mkubwa kisura
Mashallah Allah akuongoze betiful mashalah❤😍
Mashallh 😘😘😘😘
Allah azidi kukupa umri mrefu zaid
Allah akulinde akupe elimu zaidy aamin
Mashaallah 💞
Allah akupe umri mrefu wenye kheir na Bakara
Mashallah tabarakallahu
Nakupenda kwa ajili ya Allah kipenzi
Maashaa Allaah Tabaarakallaah.
Allahbakubadilishie shughuli nzuri yenye kheri nawe kuliko Nasheed unayoiwacha. Na wala usiskitike hiyo yote ni mipango ya allah na amekuchagua uwe katika njia yake. Aaaamini
Barakallah lahaa fihiii
Maashaaallah ya allah protect u
Mashallah mmy khashyat😍😘😘😘
Hongera mashaallah
Kila lakher tunakutakia m mungu akulipe tunakupenda🥰
Maaashaallah💞💓💓💞💞
Nimempenda huyu mtoto bora alivo acha maana keshakuwa makubwa sasa
Aaalllah akuhifadhi
mashaallah mtt mzur
Looking nice
Mashaallah
Tutazimis nasheed zako ❤️❤️
Usiwache www bwana endelea
mtoto mzur sana mashaallha
Maa sha allah
Please hashyat usitoke kwanini
علمو ألادكم دين الإسلام معرفة الله ومعرفة نبيهم ومعرفة الإسلام بالأدلة
والله من أراد الله به خير يتفقه في دينه
ولايكون كَـلْ المغنين والمغنيات
كثير من الناس الآن أصبحوا ينشؤون الأناشيد ويحسبون أنهم على الحق بل إنهم على سبيل الوصول الى الغنى يبدأ المرأ شيئاً فشيئاً حتى يصبح في الغنى ونعوذ بالله
Yaaani twakukubali
mashallah
MashaAllah walhamdulih ❤❤
Masha Allah ❤❤❤
Mashaallah
Yani nakupenda kama mwanangu ila nachukia nnapo kuona unaimba nimefurahi uliposema haumbi tena natamani nikuone nikupe zawadi
Manshallah ❤❤
Mashalllah
Kazuri
Hapa ni wap jomon oman au Bongo
Zanzibar
Sasa jamani hashyat kaacha nasheed lakni mamaake anaimba apo vipi au mama yake hajafikia umri wakuacha kusoma nauliza tu
Nmecheka akhiii
Hahaha
Mama yake Ni muimbaji???
Hapana
Anasheed ni KHARAMU nyimbo na alama za muziki na aina zake zote haifai ni haramu. Nasha zangu tubia kwa Mola wako mlezi na uache tena uchukie endapo utajiona ktk mitandao.
Uropokaji tu bado kidogo nikutukane maana unastahili, sema tu nimeogopa dhambi. Kama huna unalojua sio lazma ucomment.
Mashaallah 🥰
Mashaaa Allah 🙏🙏🙏
Maa sha Allah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah