Jifunze Nadharia (Theory) ya Muziki / Uelewe muziki kiundani Zaidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Hili ni Somo la Nadharia ya muziki ili kuuelewa muziki vizuri ni vyema kuelewa kwanza kisha vitu vingine vinafwata aanza leo

Комментарии • 81

  • @alanmakiti109
    @alanmakiti109 2 года назад +1

    Mafunzo Yako ni mema sana bro

  • @florajosembacho8618
    @florajosembacho8618 3 года назад +1

    Napenda muziki kupita maelezo ila sikubahatika kupata nafasi ya kujifunza lakini bado sijakata tamaa asante sana

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Mziki huna umri bali tu kiwango cha mda utiapo katika mazoezi yako tu

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 7 месяцев назад +1

    brother upo vzr,huwezi amini ndio mara ya kwanza nimejifunza leo lakini nimekuelewa balaa Mungu akutunze na kukubariki,nasubiri part II

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  7 месяцев назад

      Nashukuru sana

  • @tiimanywaj3898
    @tiimanywaj3898 3 года назад +2

    Asante mwalimu kwa somo zuri,naomba kujua ni kwa nini B na E hazina sharp kama ilivyo kwa herufi nyingine?asante

  • @theophilegasasira3236
    @theophilegasasira3236 2 года назад +1

    Assante sanakabisa mimini nimkongomani napenda nijifunzekabisa napenda kinandasana mubarikiwesana naaminikupitiya nyinyi tutajuwa nitakufwata sikukwasiku assantesana

  • @akwabadrummersdaniel6030
    @akwabadrummersdaniel6030 Год назад +1

    Happo sawa ndugu. Asante sana

  • @Oliviermjaphet
    @Oliviermjaphet 7 месяцев назад +1

    Thanks 🙏

  • @jastinsalim2054
    @jastinsalim2054 9 месяцев назад +1

    Asant

  • @gabrielmwakisya2083
    @gabrielmwakisya2083 2 года назад

    Nimependa mafundisho yako naona mabadiliko chanya.ila mi mkono wangu wa kushoto unakuwa mzito kuama umbali mrefu toka kwenye moja kwenda nyingine

  • @emmanuelybonifase4017
    @emmanuelybonifase4017 2 года назад +1

    Nashukulu sana sasa najifuza mziki kiganjani kwangu mwalimu endelea kutupa ujuzi mwengene

  • @alanmakiti109
    @alanmakiti109 2 года назад +1

    Nimejitima sana kwa haya majifunzo but kidogo kuunganisha nyimbo imekuwa gumu

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 года назад

      Ngoja nifundishe nyimbo ambayo ina kodi hizo

  • @gracedason294
    @gracedason294 3 года назад

    Unafundisha vzr fanya mpango wakutuachia namba zako za WhatsApp kwenye comment

  • @rangermasham6498
    @rangermasham6498 Год назад +1

    I like your class

  • @paulprosper4139
    @paulprosper4139 Год назад +1

    Excellent !

  • @paulprosper4139
    @paulprosper4139 Год назад +1

    Superb ?

  • @eng.abiudl.njangaje9274
    @eng.abiudl.njangaje9274 3 года назад +1

    Kaka Eli Phaz ahsante sana. Niko TZ aisee nimekuelewa mno. Nimekuwa nikipiga music ni miaka thelathin sasa. Lakini ni very local haswa. Nitaendelea kufuatilia. Naitwa Abiud +255755661039

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад

      tutawasiliana

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад

      amani ndugu

    • @yohanamazoya184
      @yohanamazoya184 2 года назад

      Eli phaz nashukur kwamafunzo mazuri lakini kdgo jinsi yakupga mkono wakulia asante sana

  • @newug3347
    @newug3347 6 месяцев назад +1

    Someone has to teach you how to teach.

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  6 месяцев назад

      I will appreciate that

  • @gutehno1450
    @gutehno1450 4 года назад +2

    Mungu akubali maana tunapenda kupinga gitaa la tunashindwa tuazie wapi Asante sn

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 года назад

      Na mi nashukuru sana kunisapport na kama kuna somo lolote ungelitaka kujua basi nijirushe ntalifunza

  • @mrpath.6992
    @mrpath.6992 2 года назад +1

    Asante sana mwalimu you’re the best

  • @orgenesslema8768
    @orgenesslema8768 2 года назад

    Unaeleweka
    Mwalimu. Hongera sana

  • @strongli5136
    @strongli5136 2 года назад +1

    Mwalimu kamili... Ahsanti sana kaka

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  2 года назад

      Na mi nashukuru sana kabisa MUNGU awazidishie

  • @givenmlay7115
    @givenmlay7115 3 года назад +1

    Naomba no zako za what's up mwalimu

  • @givenmlay7115
    @givenmlay7115 3 года назад +1

    Mwalimu naomba SoMo la pili

  • @iamchusse
    @iamchusse Год назад +1

    nakuelewa sana mwalimu

  • @dommysicandary5205
    @dommysicandary5205 3 года назад +1

    Hembu namba za watssp nikutafute kiongoz

  • @bevanny9389
    @bevanny9389 4 года назад +1

    Nakukubali sana kiongozi nilikua napenda siku moja nije kwako unifunze music

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  4 года назад

      Mda wowote ukiwa tayari nijulishe ndugu

  • @musilangalugera2567
    @musilangalugera2567 4 года назад +2

    EL PHAZ pamoja sana nimekuelewa sana mwalimu wangu

  • @kyalokimende
    @kyalokimende 7 месяцев назад +1

    Bsrikiwa sana mwalimu

  • @frankmkopiofficial6753
    @frankmkopiofficial6753 3 года назад

    duh bado ila najaribu

  • @dankenmassage7123
    @dankenmassage7123 2 года назад +1

    barikiwa sana

  • @abelmbilinyi7401
    @abelmbilinyi7401 3 года назад +1

    Mwalimu nimefarijika sana kwa masomo yako na nimekuwa mfuatiliaji wa ufundishaji wako Mungu akubariki sana. Shida yangu kubwa sasa ni kupata vidio zako za masomo unayo yafundisha nitazipataje ili niingie moja kwa moja kujifunza pale nipatapo nafasi ya kufanya mazoezi

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад

      Kwa ss kama umesabscribe tayari nenda kwenye profile yngu kwa juu utaona sehemu umeandikwa videos kisha itakuonyesha vidoes zote zangu ns kama unataka masomo maalumu basi acha namba yko ntakucheck

  • @vicentmasanyiwa7259
    @vicentmasanyiwa7259 3 года назад

    Nahitaji namba yako mwalimu tuwasiliane Nahitaji darasa

  • @karolkileo4066
    @karolkileo4066 3 года назад +1

    kaka nimekuelewa uko vzuri sana .
    ila waambie kwamba ili kuweza kutambua hizo not kirahs lazima wafany zoez sanaa

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Ok ok ntafanya hivyo ndugu,, asante kwa wazo

  • @edomsilla9700
    @edomsilla9700 3 года назад +1

    Asante Sana na Hongera Sana mungu. Akupe maono meng naakuangazie Baraka nimekuona napatikana Dodoma napenda Sana soro mipigo yako nimevutiwa uko nchi gan

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад

      nafurahi kusikia hivyo ndugu tuzidi wasiliana kuhusu solo ili tuleteane mafunzo zaidi mimi kwa ss niko johannesburg south africa na wewe ubarikiwe ndugu

  • @vumiliagaladia8252
    @vumiliagaladia8252 Год назад +1

    Unapatikana wapi

  • @givenmlay7115
    @givenmlay7115 3 года назад +1

    Mwalimu nashukuru sana umenisaidia,naweza kupata Somo linaloendelea

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Po kwa video ipi? Niendeleze

  • @enelesmdeluka5745
    @enelesmdeluka5745 3 года назад

    Uko vizuri.nilianza kujifunza kinanda.naomba mwalimu mawasiliano zaid

  • @kwakaedward1962
    @kwakaedward1962 3 года назад +1

    Somo limekua Nzuri naweza Pata gita Nzuri ni aina gani.

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Yapo mengi mazuri inategemea na mfuko wako kwanza

  • @georgepily8372
    @georgepily8372 3 года назад +1

    Nimeanza Leo kujifunza Gitaa Asante.

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Safi sana ukikwama nambie

  • @dommysicandary5205
    @dommysicandary5205 3 года назад +1

    Nimejaribu sana mkuuu tafadhali nahitaji zaid mafunzo kiongoz

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      +27658918501

    • @dommysicandary5205
      @dommysicandary5205 3 года назад +1

      @@Eli_Music mbn sikupat

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Niko South Africa kwa hiyo ipige ilivyo au nicheck kwenye whatsap

  • @chilumba654
    @chilumba654 3 года назад +1

    Braza nakukubari

  • @ImpressiveFacts
    @ImpressiveFacts 3 года назад +1

    You're a good teacher

    • @Eli_Music
      @Eli_Music  3 года назад +1

      Am humbled my brother,, n thsnks fr yr support

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 3 года назад +1

    Nimekuelewa kbsa

  • @moseslisiolo1297
    @moseslisiolo1297 Год назад

    Sioni subscribe