Sakata la kupotea alokuwa mgombea wa ndani Uwakilishi CCM Chaani- Familia yasema kuna mkono wa mtu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Sakata la kutoweka kwa aliyekuwa mgombea uwakilishi ndani ya chama cha CCM jimbo la Chaani, Bwana Juma wa Juma Makame limechukua sura mpya baada ya wanafamilia kupaza sauti wakitaka kujua kilichompata ndugu yao na kuvitaka vyombo vyenye mamlaka kutoa majibu yanayoeleweka.

Комментарии • 68

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +2

    Poleniii sanaaa. Mungu tuuu atahukumu. WATUUUU JAMANI KHAAA

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +4

    poleni.sana Allah awape subira

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Год назад +4

    ولا تحسبن الله غافلا عما يعمل الظالمون انما يؤخرهم ليوم تشخص فيه الأبصار

  • @saidyussuf2291
    @saidyussuf2291 Год назад +2

    Mtangazaji anajua , hana ubabaifu , yupo vzr , Mungu afanye wepesi

  • @alexmosha9979
    @alexmosha9979 Год назад

    Poleni sana kwa uhuni wa ccm ambayo ninyi mlifurahia ilivyowauwa watu miaka yote ni vema mjue hampo salama kuwa ccm au kuwa rafiki na mwana ccm, wapingeni kama ukoma hawafai

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Год назад +4

    Mapinduziiiiiiiiiiiiii, daima mbeleeeeee,na kwabahati mbaya Hadi walioapa kuyalinda na kuyatetea kwa nguvu zao zote potelea mbali.Yana wapoteza mbali duu,,,, hatar

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Год назад +1

    Binaadamu unampoteza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya pesa? ALLAAH atupe mwisho mwema. Ameen

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Год назад +1

    Asante msomaji umeeleweka vzur

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад +3

    Madaraka ulev mbaya Sana

  • @komboalirashid9651
    @komboalirashid9651 Год назад +2

    Laaa yazidu dhalimiin ila khasara

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Год назад +2

    Huyo nadir wala hahusiki na upotevu wa juma uchunguzi uanze kwa viongozi wa ccm kuanzia mabodi mana kimya chao kinaonyesha wanajua kinachoendelea

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Год назад

      WW una uhakika gn km hahusiki?

    • @yasminjuma9146
      @yasminjuma9146 Год назад

      @@seifabdulwahid4579 na wewe una uhakika gani hata ukasema hivo

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Год назад

      Kaa usikilize hotuba zake km mabodi baada ya kumalizika huo uchaguzi walioufanya yy na wenziwe

  • @hamynas
    @hamynas Год назад

    zanzibar ina watu asilimia 99 waislamu misikiti kama yote kila mtaa
    vikofia na vikanzu kila mtu
    inshallah inshalla na salaam alaykum kama wimbo..LAKINI MAUWAJI UWONGO UJAMBAZI UWIZI NA KUKOSEKANA UTU NI JAMBO LA KAWAIDA KABISA..HII INASIKITISHA SAANA

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Год назад +1

    Mapinduzi daima,hio ndio benefit ya mapinduzi, sisi wapnzani hayo kwetu ni kawaida tu tumeshayazoea

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Год назад +2

    Tumbili akimaliza miti huja mwilini!wangapi wamepotea lkn hawakuhojiwa?hayo ndiyo mapinduziiiiii!Daiiimaaaaa!

    • @alliyrubea5731
      @alliyrubea5731 Год назад

      Na hili ni fundisho kwa wale wanaowaadhibu na kuwapoteza wapinzani wanapoyafurahia matendo haya,maana mke wa mpoteaji amesema kama na ww uliyefanyiwa mtu wako hivi je ungeonaje?sasa vp wale waliopotezwa kabla yake walionaje?ni uchungu juu ya uchungu na majonzi juu ya majonzi!je nani mchawi?kabla ya kadhia hii kutokea na wengine kufikwa na haya vp familia ya Juma aliumizwa vp na hili?suluhisho ya mambo haya ni moja tu!kuiondoa CCM madarakani maana wameshafanya kiburi utawala na kujifanya wao ni wao na kuandaa kundi maalum la Kiharamia na kuumiza wengine kwa matamanio yao tena ni wa chache akina Juma hawamo wao wanapakwa mafuta tu ma kurambishwa asali kidogo ili nao waone wamo!

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 Год назад +1

    LAILLAHA ILAHUWA HAPANA ATAEBAKI ILLA-LHWAHU ILAHUWA,DUNIA NIMAPITO

  • @robertmapinda1866
    @robertmapinda1866 Год назад

    Hiyo ndiyo halisi wakati wa uchaguzi hapa Tanzania lakini ipo siku Mungu atatenda

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    WAMEMPOTEZA UYOOO. SIASAAAA JAMANI. DAAA HADI LEO?? M. WATUUU SISIII SIO WEMAAA

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Год назад

    Yuko anaejua kilichotokea atajibu kwa Allah kesho na djambi hiyo itamueka pby

  • @omarabdallah3883
    @omarabdallah3883 Год назад +1

    MTANGAZAJI KASEMA WAMEMUONA AKITOKA KUOGELEA BAADA YA HAPO HAWAKUMUONA TENA,UNASEMA KAFA BAHARINI,BAHARI IPI HIYO? SIKILIZENI KWA MAKINI TAARIFA INAPOTOLEWA MSIKURUPUKE TU KUTOA MAONI.

  • @mwanahawamohammed8540
    @mwanahawamohammed8540 Год назад

    Sasa atawahi vipi na kashakufa au kashauliwa. Na pia mwenyewe hayupo hata mkimsemea uongo hawezi kujitetea! Hao hawaharakishi uchunguzi maana si ndugu yao huyoo
    😇😇😭😭😭😭

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад

    Allah anajua kama mtu kashiri atujuana naye….sisi utatuziba macho mola jeee 😯😯😯😯

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Год назад +1

    Wamemkigoma na kumkolimba

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 Год назад +3

    Kwa vyovyote vitakavyosemwa ila hapana shaka huyo mtu ameshauwawa tena kauliwa na ccm wezake

    • @AaAa-vm8bb
      @AaAa-vm8bb Год назад +1

      Wanauchu wa madaraka sasa wanauwana wenyewe ccm wamekua wachawi wanakula wa wenzao halafu wenyewe kwa wenyewe

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +3

      @@AaAa-vm8bb kweli wenyewe kwa wenyewe hao bora lkn mana wakifanyiwa wapinzani wanafurahia waone uchungu na wao

    • @alliyrubea5731
      @alliyrubea5731 Год назад

      Hii ni laana inawarudia na hao waliofanya hili nao watafanyiwa maana historia hujirudia,kama walikuwa wanawateka wapinzani wao kisiasa na wengine kuwauwa na sasa wanatekana wenyewe kwa tofauti za kugombea tu ndani ya chama chao!nini tufikirie watashindwa kufanya?ipo siku watekaji watapewa amri ya kuteka na kuuwa familia zao bila khofu,maana inasemekana kuna vijana maalum huvutishwa bangi na kupewa vilevi kila aina kwa kazi hii tu!

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    CCM daima mbere kwambere

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 Год назад

    Tutulieni2 wanachi hawa ccm watapigana nakuuwana wenyewe hao maana waponzani wanaposema wanaambiwa ccm daima

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Kama alikwenda kuogelea labda kazama baharini mbona watu wengi wanazama baharini poleni bahari haichagui mtu poleni mungu amuweke panapo stshiki

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Год назад +2

      Bahari haiweki kitu, ingekuwa amezama maiti yake ingeonekana tu kwenye ufukwe

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    ZAMBIIII. DAMU NZITOOO. WATOTOOO JAMANI NYIEEE HAAA KWERIII.

  • @ahmedmassoud8758
    @ahmedmassoud8758 Год назад

    Watajuana wenyewe watu wamuungano

  • @salyali7807
    @salyali7807 Год назад

    Baraka kakosea chupuchupu

  • @masshaka
    @masshaka Год назад

    Uwaneni ccm. Shenz wakubwa

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Год назад

    Mapinduzi yamefanya kazi yake

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 Год назад

    Kwani Hiyu si tulisikia alipotea baharini au vp

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Год назад +1

    Mlio mkwenye mamlaka msijisahau kuwa kuna mamlaka ya mbinguni inaona mpaka chembe ya mchana iliyo ktk kiza kizito, jamani jamani jamani mliopo ktk ccm uhalifu dhulma mnayoifanya mkumbuke kuwa kuna mamlaka iko mbinguni na kuna mahakma ya mbinguni na hakimu wa mahakama hiyo ni mwadilifu hana sifa ya kudhulumu viongozi wengi wa ccm kwa asilimia 99 ni madhalimu lkn mnayoyafanya hayasahauliwi ktk ufalme wa ALLAH viongozi qa ccm mnatamba ktk ardhi lkn akhera mtadhalilika sana kwa dhulma mnazofanya

  • @kisa6022
    @kisa6022 Год назад

    Yetu macho tu

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 Год назад

    Itakua kazama baharini

  • @stonetown578
    @stonetown578 Год назад

    So sad, Allah atakufanyieni wepesi wana familia.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад

    Zanzibar kamili mnaniboa mara mpo hewani mara mnapotea kwanini?

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  Год назад

      Hatupotei siye tupo tu. Ni mapumziko mafupi tu huwa tunafanya kupumua. Asante kwa kuwa nasi🙏

  • @mansourameir3605
    @mansourameir3605 Год назад

    Umetudanganya tuu kaskazini hakujawahi kuwa na mwenyekitii anoitwa mula acha uongo mbwaa wewe

  • @khamissalum3588
    @khamissalum3588 Год назад

    Wamemkolimba!Hili si ajabu kwa ccm!!!

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад

    Tushafaham na tushasikia hizi taarifa.

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  Год назад +2

      Basi pita tu ngoja ambao hawajasikia wasikie🙏

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima Год назад

      Kama umezisikia tuliza kijambio chako,choko ww

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Год назад +1

    Mtu mzima hapotei either killed or went to UK

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Hata UK hayupo angekua keshaonekana

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Wee Tadeo wacha unafiki mbwa mmoja wewe unasema unafiki tuu loo

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Poleni sana familia yake Allaah atawasaidia na ukweli mtaupata tutakuleteeni dua zitawasaidia

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Subhanallah namjuwa kama pesa kilo mponza ni kuwa mkewe Samira kwa kwa sababu ya mama mkwe wake kuwa alikuwa mpinzani Laysa laha mindunillahi kashifah tusomeni sana sote kwani ni Mzanzibari mwenzetu huyu tuweke mbali vyama

    • @w4058
      @w4058 Год назад

      Kwenda Mula mnafiki wewe

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад

    labda amezama baharini