Sakata la kupotea alokuwa mgombea wa ndani Uwakilishi CCM Chaani- Familia yasema kuna mkono wa mtu
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Sakata la kutoweka kwa aliyekuwa mgombea uwakilishi ndani ya chama cha CCM jimbo la Chaani, Bwana Juma wa Juma Makame limechukua sura mpya baada ya wanafamilia kupaza sauti wakitaka kujua kilichompata ndugu yao na kuvitaka vyombo vyenye mamlaka kutoa majibu yanayoeleweka.
Poleniii sanaaa. Mungu tuuu atahukumu. WATUUUU JAMANI KHAAA
poleni.sana Allah awape subira
ولا تحسبن الله غافلا عما يعمل الظالمون انما يؤخرهم ليوم تشخص فيه الأبصار
That's true
Mtangazaji anajua , hana ubabaifu , yupo vzr , Mungu afanye wepesi
Amiin🙏
Poleni sana kwa uhuni wa ccm ambayo ninyi mlifurahia ilivyowauwa watu miaka yote ni vema mjue hampo salama kuwa ccm au kuwa rafiki na mwana ccm, wapingeni kama ukoma hawafai
Mapinduziiiiiiiiiiiiii, daima mbeleeeeee,na kwabahati mbaya Hadi walioapa kuyalinda na kuyatetea kwa nguvu zao zote potelea mbali.Yana wapoteza mbali duu,,,, hatar
Binaadamu unampoteza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya pesa? ALLAAH atupe mwisho mwema. Ameen
Asante msomaji umeeleweka vzur
Madaraka ulev mbaya Sana
Laaa yazidu dhalimiin ila khasara
Huyo nadir wala hahusiki na upotevu wa juma uchunguzi uanze kwa viongozi wa ccm kuanzia mabodi mana kimya chao kinaonyesha wanajua kinachoendelea
WW una uhakika gn km hahusiki?
@@seifabdulwahid4579 na wewe una uhakika gani hata ukasema hivo
Kaa usikilize hotuba zake km mabodi baada ya kumalizika huo uchaguzi walioufanya yy na wenziwe
zanzibar ina watu asilimia 99 waislamu misikiti kama yote kila mtaa
vikofia na vikanzu kila mtu
inshallah inshalla na salaam alaykum kama wimbo..LAKINI MAUWAJI UWONGO UJAMBAZI UWIZI NA KUKOSEKANA UTU NI JAMBO LA KAWAIDA KABISA..HII INASIKITISHA SAANA
Mapinduzi daima,hio ndio benefit ya mapinduzi, sisi wapnzani hayo kwetu ni kawaida tu tumeshayazoea
Tumbili akimaliza miti huja mwilini!wangapi wamepotea lkn hawakuhojiwa?hayo ndiyo mapinduziiiiii!Daiiimaaaaa!
Na hili ni fundisho kwa wale wanaowaadhibu na kuwapoteza wapinzani wanapoyafurahia matendo haya,maana mke wa mpoteaji amesema kama na ww uliyefanyiwa mtu wako hivi je ungeonaje?sasa vp wale waliopotezwa kabla yake walionaje?ni uchungu juu ya uchungu na majonzi juu ya majonzi!je nani mchawi?kabla ya kadhia hii kutokea na wengine kufikwa na haya vp familia ya Juma aliumizwa vp na hili?suluhisho ya mambo haya ni moja tu!kuiondoa CCM madarakani maana wameshafanya kiburi utawala na kujifanya wao ni wao na kuandaa kundi maalum la Kiharamia na kuumiza wengine kwa matamanio yao tena ni wa chache akina Juma hawamo wao wanapakwa mafuta tu ma kurambishwa asali kidogo ili nao waone wamo!
LAILLAHA ILAHUWA HAPANA ATAEBAKI ILLA-LHWAHU ILAHUWA,DUNIA NIMAPITO
Hiyo ndiyo halisi wakati wa uchaguzi hapa Tanzania lakini ipo siku Mungu atatenda
WAMEMPOTEZA UYOOO. SIASAAAA JAMANI. DAAA HADI LEO?? M. WATUUU SISIII SIO WEMAAA
Yuko anaejua kilichotokea atajibu kwa Allah kesho na djambi hiyo itamueka pby
MTANGAZAJI KASEMA WAMEMUONA AKITOKA KUOGELEA BAADA YA HAPO HAWAKUMUONA TENA,UNASEMA KAFA BAHARINI,BAHARI IPI HIYO? SIKILIZENI KWA MAKINI TAARIFA INAPOTOLEWA MSIKURUPUKE TU KUTOA MAONI.
Sasa atawahi vipi na kashakufa au kashauliwa. Na pia mwenyewe hayupo hata mkimsemea uongo hawezi kujitetea! Hao hawaharakishi uchunguzi maana si ndugu yao huyoo
😇😇😭😭😭😭
Allah anajua kama mtu kashiri atujuana naye….sisi utatuziba macho mola jeee 😯😯😯😯
Wamemkigoma na kumkolimba
Kwa vyovyote vitakavyosemwa ila hapana shaka huyo mtu ameshauwawa tena kauliwa na ccm wezake
Wanauchu wa madaraka sasa wanauwana wenyewe ccm wamekua wachawi wanakula wa wenzao halafu wenyewe kwa wenyewe
@@AaAa-vm8bb kweli wenyewe kwa wenyewe hao bora lkn mana wakifanyiwa wapinzani wanafurahia waone uchungu na wao
Hii ni laana inawarudia na hao waliofanya hili nao watafanyiwa maana historia hujirudia,kama walikuwa wanawateka wapinzani wao kisiasa na wengine kuwauwa na sasa wanatekana wenyewe kwa tofauti za kugombea tu ndani ya chama chao!nini tufikirie watashindwa kufanya?ipo siku watekaji watapewa amri ya kuteka na kuuwa familia zao bila khofu,maana inasemekana kuna vijana maalum huvutishwa bangi na kupewa vilevi kila aina kwa kazi hii tu!
CCM daima mbere kwambere
Tutulieni2 wanachi hawa ccm watapigana nakuuwana wenyewe hao maana waponzani wanaposema wanaambiwa ccm daima
Kama alikwenda kuogelea labda kazama baharini mbona watu wengi wanazama baharini poleni bahari haichagui mtu poleni mungu amuweke panapo stshiki
Bahari haiweki kitu, ingekuwa amezama maiti yake ingeonekana tu kwenye ufukwe
ZAMBIIII. DAMU NZITOOO. WATOTOOO JAMANI NYIEEE HAAA KWERIII.
Watajuana wenyewe watu wamuungano
Baraka kakosea chupuchupu
Uwaneni ccm. Shenz wakubwa
Mapinduzi yamefanya kazi yake
Kwani Hiyu si tulisikia alipotea baharini au vp
Mlio mkwenye mamlaka msijisahau kuwa kuna mamlaka ya mbinguni inaona mpaka chembe ya mchana iliyo ktk kiza kizito, jamani jamani jamani mliopo ktk ccm uhalifu dhulma mnayoifanya mkumbuke kuwa kuna mamlaka iko mbinguni na kuna mahakma ya mbinguni na hakimu wa mahakama hiyo ni mwadilifu hana sifa ya kudhulumu viongozi wengi wa ccm kwa asilimia 99 ni madhalimu lkn mnayoyafanya hayasahauliwi ktk ufalme wa ALLAH viongozi qa ccm mnatamba ktk ardhi lkn akhera mtadhalilika sana kwa dhulma mnazofanya
Yetu macho tu
Itakua kazama baharini
So sad, Allah atakufanyieni wepesi wana familia.
Zanzibar kamili mnaniboa mara mpo hewani mara mnapotea kwanini?
Hatupotei siye tupo tu. Ni mapumziko mafupi tu huwa tunafanya kupumua. Asante kwa kuwa nasi🙏
Umetudanganya tuu kaskazini hakujawahi kuwa na mwenyekitii anoitwa mula acha uongo mbwaa wewe
Wamemkolimba!Hili si ajabu kwa ccm!!!
Umeonaee!
Tushafaham na tushasikia hizi taarifa.
Basi pita tu ngoja ambao hawajasikia wasikie🙏
Kama umezisikia tuliza kijambio chako,choko ww
Mtu mzima hapotei either killed or went to UK
Hata UK hayupo angekua keshaonekana
Wee Tadeo wacha unafiki mbwa mmoja wewe unasema unafiki tuu loo
Poleni sana familia yake Allaah atawasaidia na ukweli mtaupata tutakuleteeni dua zitawasaidia
Subhanallah namjuwa kama pesa kilo mponza ni kuwa mkewe Samira kwa kwa sababu ya mama mkwe wake kuwa alikuwa mpinzani Laysa laha mindunillahi kashifah tusomeni sana sote kwani ni Mzanzibari mwenzetu huyu tuweke mbali vyama
Kwenda Mula mnafiki wewe
labda amezama baharini