MAJIBU YA DKT.MWINYI KWA ACT
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
+255 773 071 409
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Weka tume huru na ya haki wazanzibar ndio tunayoihitaji
True ❤🎉
P 22:28
Kama huna habari hao sio wana ccm zinduka watu wako kazi yao nikukusanya watu na kuwalipa ikiwemo vikindi binafsi na wanafunzi wasikupe moyo na kama ww unajiamini weka uchaguzi huru.tume huru.matokei hueu utizimae kama hukulia kilio ammbacho maisha yakk huja wahi kulia jaribu ufe.
Mwinyi tunataka uchaguzi uhuru na haki. Nyinyi wanasiasa pia mjue dunia sio yenu ni ya mwenyezi mungu na kwake mtarejea na yote mnayo yafanya kwa Allah mtakwenda kuyakuta
Mm binafc sio mwana siasa ila kwangu mm uyu ndo Raisi bora hayawai tokea znz...❤❤❤❤❤❤
Unaipenda ccm uxjiday xio mwanasiasa
Hicho kiswahili ulicho kiandika tosha wewe Nikichogo kutoka Tanganyika Bara😷
Muhimu tume Huru ya uchaguzi,
Ccm na mbwa nachaguwa mbwa
Tumepiga hatua kweli maana mapembe kilo 2400 saiv Njaa imeeka nanga kwenye majumba
Wanaopandisha mapembe bei ni jamaa zako hao
Jamaa yangu yupi mim nina jamaa dhalim ccm?Allah aninusuru
Ba Mwinyi hanaga sera wazanzibar unawakera 2025 ukishinda sawa ukishindwa usije kutumia mabavu tume huru tuu😂
Ahsante Mr. President
Tumekuitikia
Hapo umeteleza kaka mwinyi unyesha mkutano mmoja tu act wametukana halafu na wewe useme act walete mikutano mlotukana na kuchochea fujo ,mkutano wenu mmoja jimbo la kwa hani uchaguzi mdogo na mkutano wa pili amani na wewe ulikua mgeni rasmi naomba rejea hiyo mikutano halafu utamjua nani anaharibu amani ya nchi naomba tu uwe mkweli kwani mikutano ipo wazi na kula mmoja anaoona ogopa technology technology
Hongera docta mwinyi
Tunataka uchaguzi wa huru na haki
Karafuu bado bei ndogo mnauza kilo Moja Dola 850 Sasa kwanini mwananchi asipewe kilo laki Moja hiyo elfu 15000 ni ndogo sana
Nyie munaosema jussa hajaoa sio mambo binafsi wachen unafik wacheni kujisahau
vile vile mara nyingi wanaopiga kura huwa ni wengi kuliko walioandikishwa
Shida ya nchi hii sio maneno nyinyi CCM tokea uhuru miaka 60 sasa maneno ni hayo hyo,,watu wanahitaji vitendo,,tume huru na chaguzi za haki na uwazi,,anaekaa madarakani awe amechaguliwa sio kuibia wenziwe,,ndio maendeleo yaanzie hapo
Mbona hatuoni watu
Tunaomba kipindi hiki cha uchaguzi hawo wasio Wazanzibar muwasiyopishe kuja Zanzibar mueaache waje wapige kura zao huko huko Tanganyika mikoani mwao.
Dr. Hussein lakini hakuna Waalim bora sana wa Lugha ya Kiswahili na Kingereza . Na Wanafunzi walopasi vizuri form 6 wapatie Scholarships wakamilishe ndoto zao na kujenga Nchi yao kwenye mustakbal.
hhhhh muondowe faina na uchaguzi wa siku mbili si mna watu wengi nyie
Tushawazaoe
haijui pemba kamuulize mrema
Na muache kuwapiga wapizani usiku majumbani mwao mmoja mmoja. Mutakwrnda kuwajibishwa vibaya kesho mbele ya Allah. Leo tuko duniani na kesho tunakufa. Akhera Kuna masuali mazuri ba makubwa.
❤
Mungu ayapange mambo mnoyataka yamalizike kwa salama bila ya dhulma. Dr. Hussein yote hayo maneno unayo yasema Mungu ajaaliye salama na akupe umri mambo yasije yakabadilika…. Lakini ile harusi haikuwa kubwa hivyo Kama maharusi ya Ma Raisi😊 watu wanapenda kusema tuu.
Pemba hamna Jimbo t moj nynyi fanyen mikutano ya nje bc ccm wanaisabik nyi mtavotuibia malipo kw mungu
Jiaribu kuweka uchaguzi huru tuone
Mm nakuomba nikuulize Muheshimiwa Hussein.. Kwani CCM ilishawhi kushinda kwa kura? Au ndio funika kombe mwanaharamu apite?
Kijasho kinamtoka kwa kusema uongo .. usanii mtupu ... majimbo mawili tu roho imekutoka ...
Ivi wanavosema uongo mi CCM tu
Kwani aloifunga ni nani au Pemba ilikua ikiongozwa na Kenya??
Kwa matazamo wangu ulimwengu hautoshangaa usgindi wa ccm zanzibar, kwa sababu 2016 ccm ilishind zaidi ya asilimia 90 na2020 ccm ilshinda zaidi ya asilimia 80, kwa matokeo hayo.........
vutulo😂
😂@@nassorhassan7288
Tubadilike znz maendeleo hayana chama!!! Kutembea insaidia sio kila siku shamba na mjini TU... Tutembeeeee
Watembeee wapi
ww km unajiamin weka uchaguz wa hur na salam na pia wach majigambo ww unajip tamaa bc weka tum hur tuone
Tuhubiri amani tu bila ya haki? Haki huihubiri unahubiri amani
Sasa kama unahitaji yote hayo watu wote waandikishwee
Mbona unaongea vibaya unaagiza watu wa upande wako tu na si wazanzibari wote wanaostahiki kama vile wavyotowa haki wapinzani ktk mazungumzo
Inaonyesha umbo landani ktk nia zako si salama
ASEme kuwa ifikapo wakati wa kupiga kura wazanzibari wote wanaostahiki kupiga kura wawe wamepata haki zao za kupigia kura na sio Kwa watu wetu tu
Hatutokuelewa wewe ni mkuru lazima uwe mfano ktk usahihi
Au.... Ndio vile?
Wote ni wavamizi
Kura zako zote ni asilimia 20 Zanzibar nzima
hongera sana mh umefanya makubwa ambaya katka nchii hatujapata kuyaona
Kweli kafanya mambo mengi ila kwenye kuzulumu nafsi za watu na kufanya maisha kuw magumu zaid
Sio,kukandiwa,hatakiwi,znz,naaende,mkuranga,akalime
Weka tume huru tumekuchoka maisha yamezidi kuwa magumu
Kumbe waliokuwa WA Chama cgamo tu Cha CCM ndo wajewa wajandikushe Katika daftari la kura 2025 waliokuwa c CCM hawaandikikishi Wala hawapigi kura.
Ccm ni chama kubwa inauwezo na wapiga kura zanzibibar sio wengi wawezesheni mtashinda kwa,kishindo
Wasiokua wenu hawana haki yakupata haki yakupata zao
Unajisifu kushinda uchaguzi wakati tume unaichagua wewe mwenyewe kama ni sheria mbona mambo munayoyataka munayafanyia miswada ya sheria kubadilisha
Wapeni motisha bure bure haiendi wapeni motisha sio dhambi mkiwapa motisha
Ni upuuz tu mlonao ccm na ujinga wenuu
2024 karne ya 21 tunajigamba na Skuli za ghorofaa 🤣🤣😂
Bila haki tambua hakuna amani ulimwengu mzima bila haki amani hakuna itakua nyimbo tu ya mdomoni hiyo
Wekeni tume huruu
Suala la mamlaka kamili Zanzibar sio muhimu?
Umuhimu ni nini we mtangnyika mbwa
@@SuleimanMussa-x5i acha mihemko, , hivi umeishia la ngapi wewe? naweza kukutukana pia.. Mimi hapo nimewauliza swali, em rudia tena comment yangu
@@hafidhhemed1514 Msamehe hajaona question make
😂😂😂😂😮😮😮
Mjomba Mwinyi hukuhitajiki kukupigia kura wewe kaa Tu utungarishie Zanzibar mana hakuna atakae fanya kama wewe.
Hiyo ni akili yako .
Wapumbavu kam nyiny ndo mnaleta majang kweny nchi
Hao mbinu zao wakija kusindwa kw kura waje waseme uchaguz imeharbik ufutwe waisabu wanachama wenye kad za ccm walowaandikish kwenye madaftar hiz ndio mbinu zao mara hii man hawajawah kushinda na Pemba ndio kabisa hakun ccm wanaisabik
Kazi uongo tu kijasho kinakuttoka
Na haki pia itendeke sio amani tu
Hongere mh Dr mwiny
Sirohombaya tunadai uru wa wazanzibari wanatwita wakaazi mkaazi ni mkimbizi ss raiya wazanziba mtanganyika yy ndomkaazi
Tunataka mamlaka ya nchi ya zanziba yawe zanziba sitanzania mana ss tumeungana na tanganyika sio tanzania tunataka tanganyika tuiyone sio kujificha kwenyekivuli chatanzania kilanchi uchukue mamboyake tubaki na muungano wa mkataba na si wakulazimishana nchi moja kuizulumu nchi nyengine sio tunachotaka kufanya lolote tuwafate tanganyika walojidicha kwenye kivuli cha muungano hiinchi yatanganyika tunataka tuiyone
Shekhe shule za gorofa sio ndoano ya kuwapata wazanzibari mji mkongwe una shule za gorofa miaka 300 iliyopita, kwenu mkuranga ndo jambo jipya wewe umeziuza kwa wawekezaji . Wazanzibari hatuhitaji majengo tunahitaji uhuru wetu dhidi ya tanganyika hata wakoloni walijenga lakini tulidai uhuru
Ccm hajashinda chaguzi hata moja na hamtoshinda mtabaki hivyo hivyo kuiba na kutumia ubavu hata firauni alikua hivyo hivyo mutaondoka kwa uwezo wa mungu kila hatua dua mpaka tupate uhuru wetu tuondoshejina latanzania iwe zanziba yenye kupendeza iwe huru jina liwe zanziba lisiwe tanzania kamawalivyofanya wakoloni tanganyika kupitia nyerere ccm
HoNgera raic kwa maneno mazur ila Ukiweka tume huru utajutia mkuu
hawalalamiki ila wanasema ukweli.
Munaandikisha mpk watoto wadogo waliokua hawajafikia umri wa kujiandikisha
Duh haha watu mpaka damu imagikwe
I love so much Dr mwinyi Allah akupe umbri mrefu ukimaliza znz tunakupa uraisi bara inshallah
Kwenye soko la mwani umuongo unaijua bei ya mwani kwa kilo
Me nauliza tu kura itakua sku ngapi mara hii
Kura yako tu inatosha acha kucheza na akili za watu
Kwa hyo palikuwa vitu haviko sawa jussa alikuwa sahihi? Hahahh
Mwinyi mtu mzima haitwi muongo ila weye kunzidi uongo
Baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamadi na ushindi wa Dr.Hussein Ali Hassan Mwinyi Zanzibar hakuna tena upinzani
Walid mgonja rudi kwenu
Kaka umeanza mazoezi ya mlo mmoja?? Janabi demo???
Weka miguu ya wtu huru
Nimegundua wapinzani wengi wanamfatilia sana huyu bwana ,utaona tu comment zao za kukandia na roho mbaya
Ww huna akili eti
Mhhhh
Hicho kitu cha kawaida hata CCM pia ni lazima wasikilize upande wa pili.
Hana hoja wala jipya!na kama na wewe Una akili usingalisema hivyo!
Watu wa kushinda Kwa Kyra halali hamuna labda matusi ya Nadir
Tatizo njaa vitu ni bei mpumbavu wewe