MAJIBU YA DKT.MWINYI KWA ACT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 772 281 879
    +255 773 071 409
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

Комментарии • 104

  • @Mursalin68680
    @Mursalin68680 Месяц назад +14

    Weka tume huru na ya haki wazanzibar ndio tunayoihitaji

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 Месяц назад +5

    Kama huna habari hao sio wana ccm zinduka watu wako kazi yao nikukusanya watu na kuwalipa ikiwemo vikindi binafsi na wanafunzi wasikupe moyo na kama ww unajiamini weka uchaguzi huru.tume huru.matokei hueu utizimae kama hukulia kilio ammbacho maisha yakk huja wahi kulia jaribu ufe.

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 Месяц назад +2

    Mwinyi tunataka uchaguzi uhuru na haki. Nyinyi wanasiasa pia mjue dunia sio yenu ni ya mwenyezi mungu na kwake mtarejea na yote mnayo yafanya kwa Allah mtakwenda kuyakuta

  • @ISSAissa-r3b
    @ISSAissa-r3b Месяц назад +4

    Mm binafc sio mwana siasa ila kwangu mm uyu ndo Raisi bora hayawai tokea znz...❤❤❤❤❤❤

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Месяц назад +2

      Unaipenda ccm uxjiday xio mwanasiasa

    • @Stillrunlikeaball
      @Stillrunlikeaball Месяц назад

      Hicho kiswahili ulicho kiandika tosha wewe Nikichogo kutoka Tanganyika Bara😷

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Месяц назад +12

    Muhimu tume Huru ya uchaguzi,

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa Месяц назад +5

    Ccm na mbwa nachaguwa mbwa

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Месяц назад +8

    Tumepiga hatua kweli maana mapembe kilo 2400 saiv Njaa imeeka nanga kwenye majumba

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Месяц назад +1

      Wanaopandisha mapembe bei ni jamaa zako hao

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 Месяц назад

      Jamaa yangu yupi mim nina jamaa dhalim ccm?Allah aninusuru

  • @MachanoMohdmachano-mo6xe
    @MachanoMohdmachano-mo6xe Месяц назад +3

    Ba Mwinyi hanaga sera wazanzibar unawakera 2025 ukishinda sawa ukishindwa usije kutumia mabavu tume huru tuu😂

  • @dm_hulsdv86
    @dm_hulsdv86 Месяц назад +1

    Ahsante Mr. President
    Tumekuitikia

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Месяц назад +4

    Hapo umeteleza kaka mwinyi unyesha mkutano mmoja tu act wametukana halafu na wewe useme act walete mikutano mlotukana na kuchochea fujo ,mkutano wenu mmoja jimbo la kwa hani uchaguzi mdogo na mkutano wa pili amani na wewe ulikua mgeni rasmi naomba rejea hiyo mikutano halafu utamjua nani anaharibu amani ya nchi naomba tu uwe mkweli kwani mikutano ipo wazi na kula mmoja anaoona ogopa technology technology

  • @IsmailMadiana
    @IsmailMadiana 5 дней назад

    Hongera docta mwinyi

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Месяц назад +10

    Tunataka uchaguzi wa huru na haki

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 Месяц назад +1

    Karafuu bado bei ndogo mnauza kilo Moja Dola 850 Sasa kwanini mwananchi asipewe kilo laki Moja hiyo elfu 15000 ni ndogo sana

  • @KhanifaSaid
    @KhanifaSaid Месяц назад +3

    Nyie munaosema jussa hajaoa sio mambo binafsi wachen unafik wacheni kujisahau

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Месяц назад +1

    vile vile mara nyingi wanaopiga kura huwa ni wengi kuliko walioandikishwa

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Месяц назад +2

    Shida ya nchi hii sio maneno nyinyi CCM tokea uhuru miaka 60 sasa maneno ni hayo hyo,,watu wanahitaji vitendo,,tume huru na chaguzi za haki na uwazi,,anaekaa madarakani awe amechaguliwa sio kuibia wenziwe,,ndio maendeleo yaanzie hapo

  • @MasoudKhamis-b1v
    @MasoudKhamis-b1v Месяц назад +3

    Mbona hatuoni watu

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours Месяц назад +1

    Tunaomba kipindi hiki cha uchaguzi hawo wasio Wazanzibar muwasiyopishe kuja Zanzibar mueaache waje wapige kura zao huko huko Tanganyika mikoani mwao.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Месяц назад +2

    Dr. Hussein lakini hakuna Waalim bora sana wa Lugha ya Kiswahili na Kingereza . Na Wanafunzi walopasi vizuri form 6 wapatie Scholarships wakamilishe ndoto zao na kujenga Nchi yao kwenye mustakbal.

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np Месяц назад +6

    hhhhh muondowe faina na uchaguzi wa siku mbili si mna watu wengi nyie

  • @sule17942
    @sule17942 Месяц назад +1

    Tushawazaoe

  • @AbdulSuleiman-w2m
    @AbdulSuleiman-w2m Месяц назад +2

    haijui pemba kamuulize mrema

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours Месяц назад

    Na muache kuwapiga wapizani usiku majumbani mwao mmoja mmoja. Mutakwrnda kuwajibishwa vibaya kesho mbele ya Allah. Leo tuko duniani na kesho tunakufa. Akhera Kuna masuali mazuri ba makubwa.

  • @AmanimbiuMgambo
    @AmanimbiuMgambo Месяц назад

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Месяц назад +3

    Mungu ayapange mambo mnoyataka yamalizike kwa salama bila ya dhulma. Dr. Hussein yote hayo maneno unayo yasema Mungu ajaaliye salama na akupe umri mambo yasije yakabadilika…. Lakini ile harusi haikuwa kubwa hivyo Kama maharusi ya Ma Raisi😊 watu wanapenda kusema tuu.

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m Месяц назад +2

    Pemba hamna Jimbo t moj nynyi fanyen mikutano ya nje bc ccm wanaisabik nyi mtavotuibia malipo kw mungu

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 Месяц назад +2

    Jiaribu kuweka uchaguzi huru tuone

  • @SaidHamad-s4j
    @SaidHamad-s4j Месяц назад +1

    Mm nakuomba nikuulize Muheshimiwa Hussein.. Kwani CCM ilishawhi kushinda kwa kura? Au ndio funika kombe mwanaharamu apite?

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +8

    Kijasho kinamtoka kwa kusema uongo .. usanii mtupu ... majimbo mawili tu roho imekutoka ...

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Месяц назад +5

    Kwani aloifunga ni nani au Pemba ilikua ikiongozwa na Kenya??

  • @saidsalim453
    @saidsalim453 Месяц назад +1

    Kwa matazamo wangu ulimwengu hautoshangaa usgindi wa ccm zanzibar, kwa sababu 2016 ccm ilishind zaidi ya asilimia 90 na2020 ccm ilshinda zaidi ya asilimia 80, kwa matokeo hayo.........

  • @ISSAissa-r3b
    @ISSAissa-r3b Месяц назад +1

    Tubadilike znz maendeleo hayana chama!!! Kutembea insaidia sio kila siku shamba na mjini TU... Tutembeeeee

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa Месяц назад +1

      Watembeee wapi

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 Месяц назад +5

    ww km unajiamin weka uchaguz wa hur na salam na pia wach majigambo ww unajip tamaa bc weka tum hur tuone

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Месяц назад +5

    Tuhubiri amani tu bila ya haki? Haki huihubiri unahubiri amani

  • @aliissa123
    @aliissa123 Месяц назад

    Sasa kama unahitaji yote hayo watu wote waandikishwee

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Месяц назад +2

    Mbona unaongea vibaya unaagiza watu wa upande wako tu na si wazanzibari wote wanaostahiki kama vile wavyotowa haki wapinzani ktk mazungumzo
    Inaonyesha umbo landani ktk nia zako si salama
    ASEme kuwa ifikapo wakati wa kupiga kura wazanzibari wote wanaostahiki kupiga kura wawe wamepata haki zao za kupigia kura na sio Kwa watu wetu tu
    Hatutokuelewa wewe ni mkuru lazima uwe mfano ktk usahihi
    Au.... Ndio vile?

  • @omaribrahim1087
    @omaribrahim1087 Месяц назад +2

    Wote ni wavamizi

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 Месяц назад

    Kura zako zote ni asilimia 20 Zanzibar nzima

  • @Bobobobo-jr9zr
    @Bobobobo-jr9zr Месяц назад +2

    hongera sana mh umefanya makubwa ambaya katka nchii hatujapata kuyaona

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Месяц назад +1

      Kweli kafanya mambo mengi ila kwenye kuzulumu nafsi za watu na kufanya maisha kuw magumu zaid

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq Месяц назад +1

    Sio,kukandiwa,hatakiwi,znz,naaende,mkuranga,akalime

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 Месяц назад

    Weka tume huru tumekuchoka maisha yamezidi kuwa magumu

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours Месяц назад

    Kumbe waliokuwa WA Chama cgamo tu Cha CCM ndo wajewa wajandikushe Katika daftari la kura 2025 waliokuwa c CCM hawaandikikishi Wala hawapigi kura.

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Месяц назад

    Ccm ni chama kubwa inauwezo na wapiga kura zanzibibar sio wengi wawezesheni mtashinda kwa,kishindo

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 Месяц назад

    Wasiokua wenu hawana haki yakupata haki yakupata zao

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Месяц назад +1

    Unajisifu kushinda uchaguzi wakati tume unaichagua wewe mwenyewe kama ni sheria mbona mambo munayoyataka munayafanyia miswada ya sheria kubadilisha

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Месяц назад

    Wapeni motisha bure bure haiendi wapeni motisha sio dhambi mkiwapa motisha

  • @muslihpandu6
    @muslihpandu6 Месяц назад +2

    Ni upuuz tu mlonao ccm na ujinga wenuu

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 Месяц назад +1

    2024 karne ya 21 tunajigamba na Skuli za ghorofaa 🤣🤣😂

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Месяц назад +1

    Bila haki tambua hakuna amani ulimwengu mzima bila haki amani hakuna itakua nyimbo tu ya mdomoni hiyo

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Месяц назад +1

    Wekeni tume huruu

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Месяц назад +3

    Suala la mamlaka kamili Zanzibar sio muhimu?

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i Месяц назад +1

      Umuhimu ni nini we mtangnyika mbwa

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 Месяц назад +1

      @@SuleimanMussa-x5i acha mihemko, , hivi umeishia la ngapi wewe? naweza kukutukana pia.. Mimi hapo nimewauliza swali, em rudia tena comment yangu

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 Месяц назад +1

      @@hafidhhemed1514 Msamehe hajaona question make

  • @Ahmarhassan-lk3ms
    @Ahmarhassan-lk3ms Месяц назад

    😂😂😂😂😮😮😮

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Месяц назад +3

    Mjomba Mwinyi hukuhitajiki kukupigia kura wewe kaa Tu utungarishie Zanzibar mana hakuna atakae fanya kama wewe.

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m Месяц назад +1

    Hao mbinu zao wakija kusindwa kw kura waje waseme uchaguz imeharbik ufutwe waisabu wanachama wenye kad za ccm walowaandikish kwenye madaftar hiz ndio mbinu zao mara hii man hawajawah kushinda na Pemba ndio kabisa hakun ccm wanaisabik

  • @BakarAliy
    @BakarAliy Месяц назад +1

    Kazi uongo tu kijasho kinakuttoka

  • @hassanbakar
    @hassanbakar Месяц назад

    Na haki pia itendeke sio amani tu

  • @AhmedShaame-f1d
    @AhmedShaame-f1d Месяц назад +1

    Hongere mh Dr mwiny

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge Месяц назад +1

    Sirohombaya tunadai uru wa wazanzibari wanatwita wakaazi mkaazi ni mkimbizi ss raiya wazanziba mtanganyika yy ndomkaazi

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge Месяц назад +1

    Tunataka mamlaka ya nchi ya zanziba yawe zanziba sitanzania mana ss tumeungana na tanganyika sio tanzania tunataka tanganyika tuiyone sio kujificha kwenyekivuli chatanzania kilanchi uchukue mamboyake tubaki na muungano wa mkataba na si wakulazimishana nchi moja kuizulumu nchi nyengine sio tunachotaka kufanya lolote tuwafate tanganyika walojidicha kwenye kivuli cha muungano hiinchi yatanganyika tunataka tuiyone

  • @mahfoudhally2879
    @mahfoudhally2879 Месяц назад

    Shekhe shule za gorofa sio ndoano ya kuwapata wazanzibari mji mkongwe una shule za gorofa miaka 300 iliyopita, kwenu mkuranga ndo jambo jipya wewe umeziuza kwa wawekezaji . Wazanzibari hatuhitaji majengo tunahitaji uhuru wetu dhidi ya tanganyika hata wakoloni walijenga lakini tulidai uhuru

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 19 дней назад

    Ccm hajashinda chaguzi hata moja na hamtoshinda mtabaki hivyo hivyo kuiba na kutumia ubavu hata firauni alikua hivyo hivyo mutaondoka kwa uwezo wa mungu kila hatua dua mpaka tupate uhuru wetu tuondoshejina latanzania iwe zanziba yenye kupendeza iwe huru jina liwe zanziba lisiwe tanzania kamawalivyofanya wakoloni tanganyika kupitia nyerere ccm

  • @RayaHamad-f9o
    @RayaHamad-f9o Месяц назад

    HoNgera raic kwa maneno mazur ila Ukiweka tume huru utajutia mkuu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Месяц назад

    hawalalamiki ila wanasema ukweli.

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Месяц назад +3

    Munaandikisha mpk watoto wadogo waliokua hawajafikia umri wa kujiandikisha

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl Месяц назад

    Duh haha watu mpaka damu imagikwe

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Месяц назад +1

    I love so much Dr mwinyi Allah akupe umbri mrefu ukimaliza znz tunakupa uraisi bara inshallah

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 Месяц назад

    Kwenye soko la mwani umuongo unaijua bei ya mwani kwa kilo

  • @TAliban-gs8il
    @TAliban-gs8il Месяц назад

    Me nauliza tu kura itakua sku ngapi mara hii

  • @KhanifaSaid
    @KhanifaSaid Месяц назад +1

    Kura yako tu inatosha acha kucheza na akili za watu

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 Месяц назад +2

    Kwa hyo palikuwa vitu haviko sawa jussa alikuwa sahihi? Hahahh

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 Месяц назад

    Mwinyi mtu mzima haitwi muongo ila weye kunzidi uongo

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Месяц назад

    Baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamadi na ushindi wa Dr.Hussein Ali Hassan Mwinyi Zanzibar hakuna tena upinzani

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora Месяц назад +1

    Kaka umeanza mazoezi ya mlo mmoja?? Janabi demo???

  • @ibrahimame9805
    @ibrahimame9805 Месяц назад +2

    Weka miguu ya wtu huru

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Месяц назад

    Nimegundua wapinzani wengi wanamfatilia sana huyu bwana ,utaona tu comment zao za kukandia na roho mbaya

    • @NassoroHaji-i8k
      @NassoroHaji-i8k Месяц назад

      Ww huna akili eti

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Месяц назад

      Mhhhh

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Месяц назад

      Hicho kitu cha kawaida hata CCM pia ni lazima wasikilize upande wa pili.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Месяц назад

      Hana hoja wala jipya!na kama na wewe Una akili usingalisema hivyo!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Месяц назад

      Watu wa kushinda Kwa Kyra halali hamuna labda matusi ya Nadir

  • @alibulushi-d9j
    @alibulushi-d9j Месяц назад

    Tatizo njaa vitu ni bei mpumbavu wewe