ZANZIBAR ACT KUMEKUCHA JEMBE JIPYA LAIBULIWA KUHAKIKISHA USHINDI WA URAIS 2025 NAANZA NA CP HAMAD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 37

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +3

    Well deserved Mh Omar ... May Allah akuhifadhi akupe nguvu na ujasiri tutoke kwenye mikono ya madhalim ... allahumma ameen Allahumma ameen

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Месяц назад +2

    Usisahau kusema Inn sha Allah

  • @SuolFat
    @SuolFat Месяц назад +3

    Safi sana kiongozi mzalendo

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Месяц назад +2

    Ishallwah. Heri. Mwenyezi mungu. Atusimamie. Ishallwah

  • @HassanMchoro
    @HassanMchoro Месяц назад +4

    Wakitutandika na ss tutawatandika Kwan na wao Hawa a Familia marahij kama tadinu tudanu ujinga ujinga Sasa bas

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m Месяц назад +1

    Nyi mabunju mnaosapot ccm nakama mbayo cku mjenda kutana na mola wenu pumz Zina mwisho mazwalim wa zulma ya nchi mungu anawasubir mafisad wotekaanan iwashukie

  • @mtumwakombo972
    @mtumwakombo972 Месяц назад

    Usisu biri siku hiyo anza leo kufa ss tutafatia siku hiyo

  • @FURAHAYETU157
    @FURAHAYETU157 Месяц назад +1

    Act oyoo

  • @kassimsuleiman6720
    @kassimsuleiman6720 Месяц назад

    Subiri uone mtoto kwani halienu kaiba nani

  • @alihassan3648
    @alihassan3648 Месяц назад

    Yes

  • @MuhammadNasir-ln1xe
    @MuhammadNasir-ln1xe Месяц назад

    Wallahi hawa ndio viongozi tunao wataka sasa viongozi wanao zungumza ukweli na ujasiri.wallahi tupo pamoja nawe

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    kwani polisi wamewatisha Nini hasa wakati wao wana zungumzia uwepo wa Amani Tu tena ni kwa vyama vyote sio Act tuu

  • @KEIMUSSA-vv6fh
    @KEIMUSSA-vv6fh Месяц назад

    Mh

  • @HassanKingi-r5z
    @HassanKingi-r5z Месяц назад +1

    Unasema tu wewe ukweli ukidhihir hautoki hata njee mnafiki mkubwa weweeee kazi kuwaulishan wenzenu tu nyinyi familia zenu ziko njema pumbavu zako

    • @salyali7807
      @salyali7807 Месяц назад

      Nani ataishi milele? Hizo akili zenu finyu ndio zinatufanya mpaka leo tunatawaliwa

    • @MulhatlyHekim
      @MulhatlyHekim Месяц назад

      Ulizia 2020 huo ukweli ulipodhihiri yeye alikua wapi 😏 acha kupayuka upuuzi usioujua wew no research no right to speak mxxxxxxx 🤪🤪

    • @MulhatlyHekim
      @MulhatlyHekim Месяц назад

      Labda wew na familia yako ukweli ulipodhihiri ndo uliahama au ukakimbia nyumba ila sio yeye haogopi na haogopi na haogopiii isipokua la Mngu ila c la binadamu mwenziw 😏😏

    • @SalumSafkim
      @SalumSafkim Месяц назад

      Acha ujinga ww

  • @SalumRwambo
    @SalumRwambo Месяц назад +1

    Labda hatamu ya Ng'ombe😂

    • @omarmussa7654
      @omarmussa7654 Месяц назад +1

      Hata firiaun laanatu llah alijiita yeye kuwa ni mungu leo yupo wapi ???

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Месяц назад +1

    Ulishindwa kumsaidia maalimu self utamsaidia sabuni ya Omo

    • @MulhatlyHekim
      @MulhatlyHekim Месяц назад

      Kama yy alishindwa ungeenda ukamsaidia ww kapuku 😏

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Месяц назад +1

    Umekuja kushuhudia kipigo cha kura bwana mkubwa,ccm oyeeeee

    • @fahmysaid-zw4np
      @fahmysaid-zw4np Месяц назад

      hhhhh tukutane 2025

    • @AliMsellem
      @AliMsellem Месяц назад

      tukutane 2025 kuiba basi CCM km hamuibi kura basi niaibu hamufiki watu laki 5

  • @mahamudjuma7583
    @mahamudjuma7583 Месяц назад +1

    Hamna lolote wanafki wakubwa

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Месяц назад +1

      Mkweli ni wewe na Yule mwanaharamu wa Kihindi Nadir

    • @MussaMussa-v4x
      @MussaMussa-v4x Месяц назад

      Tisha Tisha ishaanza Sasa Ila haturudi nyuma.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Hujawah kutandikwa ww

    • @RamadhaniMussa-xs5uk
      @RamadhaniMussa-xs5uk Месяц назад +1

      Utanza wewe

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Месяц назад +2

      watandikaki ni majambazi,sasa ikiwa umo katika kikundi hocho basi endelea

    • @FayzFadhil
      @FayzFadhil Месяц назад +3

      Unamtisha nani na ww marungu yako yanakusubiri kaburini utatandikwa uzuri

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm Месяц назад +2

      Ipo siku mtandikaji atatandikwa na allah

    • @salyali7807
      @salyali7807 Месяц назад

      Mentality kama hizi ndio zinawafanya watanganyika watuasanif kwa watu wajinga kama nyi