Zari is ever a wonderful lady very humble and blessed with electrified beauty wow How I wish I could meet her for advice Zari God bless you more with your niggah Platnumz
huyu Dada mtangazaji makini sana anajua kucheza na interviewee vizuri hongera sana dada Sakina na anatangaza kiuhalisia yaani hana mbwembwe aisee zipo sifa nyng juu yako lkn utangazaji aaaah umenishika
zarii CNA cha kukuambiaa my zaidi ya kukupenda,kiswahil safiii,japo c mtanzania,ni mwanamkee wa pekeee kwa mond,umemfungulia uzaziii kuitwaa baba,sema ndo tamaaa zakee,,atapataa tabuuu sana,I love u zarinaa Hassan,mmmwaaaaah
hapo si sawa zari uliposema kua mtu ambaye hajawahi kuskuma mtoto hajui uchungu mm nimelelewa na mama wa kambo ambaye hakuzaa anavyonipenda na anavyoniskilia uchungu nakunijali na kunitunza kunipa malezi bora amewashinda wengine walozaa. wangapi wamezaa wakawatupa watoto? wangapi hawawalei vyema? chunga mdomo.
Hapo Ikhlass umeongea ukweli. Mamangu aliyenizaa amenitesa maisha yangu yote. Ananitukana na kuniaibisha mbele ya watu. Mpaka naona hata afadhali nisingezaliwa, ama angenipeana kwa wazazi wa kambo. Babangu pia aliyeaga akanitendea mambo yasiyotajika.Wazazi bure kutoka ibilisi. Heri sazingine mzazi wa kambo 💯
Nimempenda Zari bure. Yaani ata haringi. Safi sana dada. Karibu Tanzania kwetu. Wifi yetu. 😊
😁😁😁😁
Sweet Mama wifiiiii safi sana habuyi unga.
she is humble, simple me like her too.........
Sweet Mama n
its so amazing
Who is here after zari coming to Tanzania,,love you mama tee na baba tee
Zari is like a mother speaking for his son.Too much love.Looking forward to see you together again. Diamond alijikoroga
Saa hii anajuta coz ata yakonda tangu wachane na zari ajapata mke WA kumtuza
very sweet and humble mom and a wife... big love from somalia.. zari and the simba big thump..
I wish this thing could last forever...….ZARI you have always been the BEST
Zari thanks for rising our Ugandan flag keep on going bosslady
😁
She's Tanzanian not Ugandan
Zari uko vizuri mama.... So smart zari
Zari is ever a wonderful lady very humble and blessed with electrified beauty wow How I wish I could meet her for advice Zari God bless you more with your niggah Platnumz
2020 still watching, Diamond you lost a good wife
Oli eno yaani, mbo good wife
@@christinemukopi149 🤣🤣🤣🤣
He did for sure
Zari youre such a strong woman. love love you
Perfect interview!! Zari you know how to answer question madame you are real the bossy lady
zari bhana kiswahili chako sina mbavu.love u Jah bless you're family
huyu Dada mtangazaji makini sana anajua kucheza na interviewee vizuri hongera sana dada Sakina na anatangaza kiuhalisia yaani hana mbwembwe aisee zipo sifa nyng juu yako lkn utangazaji aaaah umenishika
Kazungu Bakari FACT
hio
Exactly my brother yuko vizuri sana mtangazaji
Hata na mimi nimempnda sana mtangazaji
Interviewer yuko sawa sana,penda sana Zari jinsi anavyoongea Kiswahili, nawapenda sana Zari na chibu
I really admire you,zari and Diamond keep it up 👏👏
Zari loves this man...and diamond needs to get back to her... She is not even shy with her love..
for sure he is everything a woman needs i can see life is good
I wish days can go back miss you guy's together
zari the boss lady!!lov u
so beautiful. ..i luv you you too. .God bless your familly. ..
Diamond picked who he wanted 2 be with his gueen Zari. They are a strong beautiful family
Too bad diamond is a he goat
Zari mzuri Sana bado Niko apa 2021 sichok kuangalia
I love this family for sure no words can explain this
Since diamond left zari bosslady I was so sad about that I wish they could be together wlai it was nice couple but I love you all
Am also praying hard 4 dem 2 come back 2gether
Congratulations Zari for sharp and pragmatic mind.
zari is so down to earth..new fan from Narobi
I love u all people from Tanzania and God bless all
Zari: he is everything a woman could ever need
Hamisa: okay
Sad story 😢
Ugandan ladies are so loving,big up zari.
she is fluent when I grow up I want to be like Zari this lady is goals
ilove her she is a strong women watu wataongea tu
2021 still watching diamond go back to zari she is your really wife God gives you with two hards
smart family much luv 💋
zarii CNA cha kukuambiaa my zaidi ya kukupenda,kiswahil safiii,japo c mtanzania,ni mwanamkee wa pekeee kwa mond,umemfungulia uzaziii kuitwaa baba,sema ndo tamaaa zakee,,atapataa tabuuu sana,I love u zarinaa Hassan,mmmwaaaaah
Father LORD IN HEAVEN PLIZ DO UA WONDERS UPON ZARI & CHIBU...WISH THEY CAN COME BACK TOGETHER...
This people had a good chemistry....
Nani anawatch 2019
👆
2020👀
😂😂😂
Please zari forgive diamond and come back.. you were godly made couple
THE BOSS LADY WE LOVE YOU
your a good and strong women for your decision lv uu mpaka bas
Hongera zari, ur such a mature lady.
"kuna vitu vinatokea-tokea huko...lakini most important he shows me respect" What a mature woman!
I admire you guys, zari you are extra ordinary girl
They are so adorable
This was wow I wish this family can come back
Never
@@shamimushittindi1418 sasa wamerudi pamoja utasemaje sasa dada
They look amazing
They are lovely
i love these two love birds
Fatia Fat ,Endelea kuwapenda, wakati familia yako debe LA Maindi 27
Emmanuel Msigala kusumaka
Ur still the best woman luv u
I dont understand kiswahili but am enjoying the bosslady
You can't blame Diamond, it's totally understandable.... Zari is strikingly beautiful
So cute my sweet sister God bless you forever.
she is very cute ZARI...i lke the way she talks
Nitaanza kufunga juu yenu wawili hili mrudiane insha'Allah 🙏🙏🙏🙏
kbsa dear tufany hiv my
Atamimi
Hehehehe
Kumbe wakaachana?🤔🤔🤔
Lovely.. conservation... dope.. couples... lov yah.. 😍
Am damn in lov with these lady
very serious woman.... so strong
Aoe tanasha ama asimuoe kwa zari siwezi toka more love ma nee
🥰💕
zari you look beautiful
she look beautiful
zari muongeajiiiiiii ahaahahaha i love her
jamaaaani ,love them
Wote moo juu nawafagilia mungu awpe maisha marafi na familia yenu
Muko smart woow. Mashallah😍💋
Mond yaani hii couple daaah!!! Yaan Umepoteza mtu makin saana yaan
Kwelly kabisa
Na hapa mod alikuwa na mwili kidogo saa hii ata Ana afya
2019\21\12 this so bad diamond uliacha mwanamke mzuri aki ngombe hii ,but tunakupenda tu hapa Kenya
wonderful
wifi yetu umejitahidi my love
Good love keep Zaria outstanding...
congratulation Zari
Nani amekuja kucomfirm ile picha wamepigwa pamoja Zari na Diamond ...hawa wanapenda sana💝😘
Jameni iyo familia ya chibu na zari mungu awajalie.............
zari unahongea vizur hadi raha mashaallah
Still watching in 2020.
God Bless them.Ila kama ndoa bado bidii muhalalishe mujivue kweye zina
She can speak Good Swahili baby you super sweet wife
beautiful mummy...
Safi zary me nakupenda sana😍😘
Nice interview
nice i love it
love you zar
U are strong Wemen zari hongera
Love you Zari
Great 👍
wowww Prince nillan
Gud gud this woman z just wow
Omollo Kevin Q
Thats great. My dear Zari, you know kiswahili? congrats.
Nakubal urembo wa zari no one be like u ungera beautiful mom
nice mam nillan na baba nillan nawapenda san
I like it zis interview
Nice couple machallah
This couple was cute
I wish mng stay more in love
Love zari
NAKUPENDA SANA ZARI UNAVYOJIELEWA HONGERA CHIBU KAPATA MKE WA KIUKWELI
Farida mwanjala Baibe kapata mke au mzinifu mwenzake? uyo mke kaoa lini?
Kweli mke
cute zari
Love your Diamond
The interviewer is on point
Smart family
Wamependeza wenyewe. Zari ni mzuri na anajielewa. Mungu awazidishie
hapo si sawa zari uliposema kua mtu ambaye hajawahi kuskuma mtoto hajui uchungu mm nimelelewa na mama wa kambo ambaye hakuzaa anavyonipenda na anavyoniskilia uchungu nakunijali na kunitunza kunipa malezi bora amewashinda wengine walozaa. wangapi wamezaa wakawatupa watoto? wangapi hawawalei vyema? chunga mdomo.
Hapo Ikhlass umeongea ukweli. Mamangu aliyenizaa amenitesa maisha yangu yote. Ananitukana na kuniaibisha mbele ya watu. Mpaka naona hata afadhali nisingezaliwa, ama angenipeana kwa wazazi wa kambo. Babangu pia aliyeaga akanitendea mambo yasiyotajika.Wazazi bure kutoka ibilisi. Heri sazingine mzazi wa kambo 💯
@@Africangyal Pole my dea daaa
@@Africangyal mama nina awenzimuringanisha nawakabo
nikwer kama huja sukuma hujui uchungu
Zari remember to say Allahamudulilah.