Una mistari mikali Sana ila umepoa jaribu kuzitengeneza vibe high tone atakua Mara Mia ya hapo amini Kaka ume miss kitu kidogo Sana utafika mbali Sana shughulikia ombi langu🙏
ukweli ni kwamba anamistari mikali ila vibe hana yaani mistari anapoitowa kinywani iwe na ujasiri punch iwe ya kwenda apo ndio atakamata mashabiki vizuri
Una mistari mikali Sana ila umepoa jaribu kuzitengeneza vibe high tone atakua Mara Mia ya hapo amini Kaka ume miss kitu kidogo Sana utafika mbali Sana shughulikia ombi langu🙏
Umeona brother anauwezo mkubwa sanaa maana anabadilika kwenye flow
Copy that thanks sana❤
Muoga dogo km ana hofu hv pengine mtaani mkali san@@kadito-music
Umerap vzr, ongeza juhudi blood unaweza DRIM BOY
Oyaa huyu drim boy arudiwe 🔥🔥🔥🙌🙌
MBEYAAAAA HAIJWAH ZINGUA💣💣💣
noma kama noma🤜🤛⚡🔌🎤
Noma sana😮 #tellaaxistz
Big talent bro 🚀🚀
Jamaa anajua sana af ana punch za kwenda.....
Wee mkali bro big respect from Nairobi Kenya
🔥🔥🔥🔥 Mbeya city to the Map
Bado Niko hapa nansikiliza drim boy kutoka Kampala uganda 🇺🇬
🙌🙌🙌 blessings
Piece Kali yenyewe
Mistar mikali saana sema vibe
Mbeya city 🔥🔥💧🔥🔥
Nakubali home boy
Big UP sana mwamba
kaanza kibabe sana🔥
NIMEAMUA KUWA MSANII... 🥶
Umeamua kua msanii
Aaah we jamaaa ni nyoko aiseee unajua mpk unakeraaaa
Umetisha
Kweli, upo good 👍,
Home is home mbeya standup ❤
Ukiona nakuboa man... Pita hivi 🤣🤣🤣
Ashuke Ashuke
Ukihtaji battle no mercy 😊, mtulivu sana huyu mwamba, dk 10 niliyopo nayo kwenye simu yangu as audio naskilizaga most of the time.
Salute sana bro hii imenipa power sana salute
Unachanika sana ila dj amezingua sana hapangilia vzr midundo.
Alafu mziki wenye sio kazi eti nenda kamwambie
Anajua ila kapoa sana aisee!
ukweli ni kwamba anamistari mikali ila vibe hana yaani mistari anapoitowa kinywani iwe na ujasiri punch iwe ya kwenda apo ndio atakamata mashabiki vizuri
Umetisha mwamba
Oyaa ashukee ashukee....kaka umetishaa
Wanangu wa green city
Here we Goooooo 🔥🔥🔥
Axhuke axhuke
Jamaa anaandika sana
Naaam 🔥🔥
unyama Mbeya city
Uyu jamaa Nouma sana
🔥🔥🔥
Ashuke ashuke😂😂😂😂😂😂
Namuona songa ndani🙌
Bana sauti sana ila ashuke ashuke 😂😂🔥
Ttz hawana vibe hao watangazaji😢
True...wale wa awali walikuwa moto...
Huyu drim boy ni hatareee
Unajua tatizo hap ndan hakuna sappot
HIP HOP IS LIFE ✊️
young and talented
Dj umezingua kbx
Green city on top
Jmn kupata chance hapo nafanyaje
Dah jamaaa hatar
a guy have something too deal with au kama vip ashuke ashuke
Umajua
Mbeya boy
Umeweza sela panch line more cha kurekbsha vocals
Ngumu nyeusi rap kaniki
Nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
😂👋🔥🔥🔥
Super
Shida bang
Hatari
Naisikia flow za songa ila jamaa mkali
huyu sasa ndo mwamba
Tukuwekee limao uchangamke,, unaandika vizuri ila sijui nini tatizo umepoaaa
Kupoa ni flow test ama uniqueness jua vile
Acheni Majungu angalieni anaimba nn achangmke singeli iyo
Instrumental gani iliyotumika mwanzo?
Usitumie Quran alafu bao limekutoka acha Kaz za kina fid
Kwani unaijua Quran bro?
Nimemsikia Rapcha Mtupu
HIP HOP IS LIFE ✊️