Halima Mbwana: “Baada ya ajali ile kutokea muda ule ule nilipoinuka niliona mkono umeshakatika”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Halima Mbwana alikuwa mmoja kati ya madereva wachache wa mabasi yanayoenda mikoani lakini ndoto yake ilififia ghafla mara baada ya kupata ajali na kupoteza mkono mmoja.
    Lakini anasema kutokana na kuipenda sana kazi yake hajakata tamaa bado na anaamini atarudi katika sekta ya usafiri kwa namna yeyote hata kukatisha tiketi au kuendesha malori atakapofanikiwa kupata mkono wa bandia ambao anautarajia ukisimamiwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, wanawake na makundi maalumu@gwajimad
    Mwandishi wa BBC Veronica Mapunda amezungumza naye na kutuandalia taarifa hii
    Video: Eagan salla
    #bbcswahili #wanawake #tanzania

Комментарии • 18

  • @HassaniJuma-l3x
    @HassaniJuma-l3x 7 месяцев назад

    Harima pumuzika kazi hiyo kubaritu uwache dada kwasababu kama kiwugo hakuna itakupatu shida tunaweza kukukosa kabisa dada yetu

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 Год назад +1

    Alhamdulilah alakulhal, mja haishi kuumbwa, na madamu ukohai na rizki yako iko hai, msujudie mola wako na quraan, nakuombea kila la kheri,,,

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 месяца назад

    Wewe ni shujaa jamani

  • @HassaniJuma-l3x
    @HassaniJuma-l3x 7 месяцев назад

    arima usiriye mama utaka saw mama saw

  • @Gemin340
    @Gemin340 9 месяцев назад

    Pole did mungu yupo nawe utarud tu

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 Год назад

    YOHANA.16:33 -"Ulimwenguni mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu"!

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Год назад

    Pole sana dear Mungu kuna kitu amekupangia tena kizuri mno uwe na imani. Mungu yupo nawe.

  • @DadirFarhan
    @DadirFarhan 6 месяцев назад

    Pole sana madam mtihani wa mungu

  • @saidhamwisha5137
    @saidhamwisha5137 Год назад

    Dah mungu akutie nguvu katika kipindi kigumu unachopitia na mungu atakufanyia wepesi katika kazi zako nyingine Kwa sababu ulikua unatafuta Kwa halali.

  • @zubedadjumma9857
    @zubedadjumma9857 Год назад

    Ya Allah mimi moyo wangu unaniuma sanaaa poleeeee sanaaa my dear Allahum Akuzidishie guvu katiko moyo wako Na Inshaa Allah kila kitu kitakuwa sawa nandoto zako Inshaa Allah lile muumba alilipanga sis binadamu hatuwezi panguwa so sisi wanawake wenzako tunakutianguvu Inshaa Allah utakuwa sawa ila nimeona kunamukono umekuja wenda waweza kukusaidia ukipatikana Inshaa Allah 🤲🤲🙏🙏

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 Год назад

    Yesu mwema akusimamie, Yeye ni Alpha & Omega

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Год назад

    Mashaallah umenenepa Allah atakufanyia wepes

  • @NelsonMattos
    @NelsonMattos Год назад

    In parts of the video she does not have the left hand and in parts it is the right hand. Is this the same person?

  • @africanflame1521
    @africanflame1521 Год назад

    Mwenyezi mungu akujalie

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 9 месяцев назад

    Pole sana

  • @zenaabdallahmgelwa-eu7ho
    @zenaabdallahmgelwa-eu7ho Год назад

    Pole mwanangu

  • @zenaabdallahmgelwa-eu7ho
    @zenaabdallahmgelwa-eu7ho Год назад

    Pole mwanangu

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Год назад

    Pole sana my dear