MTOTO WA BACHU ADHALILIKA ~ USIIKUFURISHE MAULIDI ~ HUNA ELIMU HIYO IKIWA HILI TU UNALIPINGA ~ SABAS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MTOTO WA BACHU ADHALILIKA.
    USIIKUFURISHE MAULIDI
    HUNA ELIMU HIYO IKIWA HILI TU UNALIPINGA NA KUJIAMINI KABISA
    HUNA ELIMU YA KUKOSOA HATA NENO MOJA LA SHEIKH JAAFAR BARZANJI
    SHEIKH SABAS AL~QUBRA

Комментарии • 124

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 Год назад +1

    Muhamed Bachu yuko vizuri sana kwenye Masomo haya, amefahamika vya kutosha.

  • @nhamoabdalanze341
    @nhamoabdalanze341 Год назад +5

    Jameni tangazeni dini ya allah msilete uwanachama katika dini from mozambique mocimboa da praia.

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Год назад +4

    Namuomba Allah. Aufahamishe Umma wetu juuu y Sunna na kunifuata, na Bidaaa ukiwacha.

  • @saidmohammed2830
    @saidmohammed2830 Год назад +14

    Hamuna kitu hata mukajikusanya nyote kumuangusha shekh Mohamed nasor bachu madamu yupo Kwa hakki yupo tuuuh Kwa hakki na mungu atasimama na yy

    • @nassorothabiti7237
      @nassorothabiti7237 Год назад +1

      endelea ku kuzingatia sunna ya kutokunyoa ndevu mana d mnatia aibu kama hamuwez kusif nyamazeni

    • @jumaajambiamusa8214
      @jumaajambiamusa8214 Год назад +1

      We nae umechoka kweli hatuna haja na bachu sisi

    • @jumaajambiamusa8214
      @jumaajambiamusa8214 Год назад

      ​@@nassorothabiti7237 we nae umeona ndevu tu kwan suna nindevu tu we vip je makafr wenye ndev nao wan mfwata mtume tumia akili bs

    • @saidmohammed2830
      @saidmohammed2830 Год назад +3

      @@jumaajambiamusa8214 sema mm jumaa Sina haja na bachu sio Kila mtu wengine Wanamuhitaji ww vp

    • @yusufntamila541
      @yusufntamila541 Год назад

      AMKA WE UMELALA UTAJINYEA

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Год назад +7

    Watu wa Maulidi endeleeni tu na USHIRIKINA WENU vijana tumeshaelewa vizuri tu Alhamdulillah. Sheikh Kassim Mafuta ameshatutoa Tongo kitambo mno. Kwasasa mtashuhudia namna Maulidi ynavyokufa kijiji kw kijiji, mtaa kwa mtaa, Kata kwa kata, Wilaya kwa Wilaya, Mkoa kwa Mkoa, nchi kwa nchi,.
    Hamtudanganyi tena vijana tuko Macho tunamuomba Allah awahifadhi Masheikh wetu, wote wanaoitetea Sunna na kupng Bidaa akiwemo Mdogo wetu Muhammad Bachu. Maulidi hadi POLICE hahaaaaa na Uniform zao, waalikeni na Majeshi pia. Leo nimeeamini Haramu ikiwa inakufa hutumika Nguvu kuihami Lakin itakufa tuuu. Taratibu

  • @mullestv2680
    @mullestv2680 Год назад +1

    YANI MIJITU MIJINGA MNAMTUKUZA MTUME KUPTILIZA ADI KUMUOMBA UUKOZI YEYE WAKTI HYO NI SIRKI MUNA TOFAUT GAN NA WAKRSTO KATKA KUMTKUZA YESU NA KUMUOMB UOKOZI

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u Год назад +4

    Jipeni moyo na uzushi wenu, ila ilivyo hamna aya wala hadithi bado hayafai.

    • @dulaseif5001
      @dulaseif5001 Год назад

      Hufai weye sio maulid

    • @ramadhanayub5877
      @ramadhanayub5877 Год назад +1

      Vijana tume shituka sasa bakini na wazee wa biriani bachu Allah akuifadhi tufaamishe

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    Swahaba gani kafahamu ivyooo

  • @omaryabdallah8734
    @omaryabdallah8734 Год назад

    Kwani shida iko wapi ktk kufuata Sunna hivi watu wa bidaa mna matatizo gani mumeifanya dini yenu kua ni mchezo soma katika surat Al araaf aya inayo sema ( watawaita watu wa motoni kuwaita wapeponi tupeni maji au alivyo waruzuku Allah watajibiwa kuwa Allah ameviharamisha hvyo Kwa makafiri
    Ambao wameifanya dini yao kuwa nimchezo na upuuzi) na Kwa upuuzi na mchezo mnaofanya kwenye zahfa! Wallahi ziwatangulie rehma za Allah murudi kwenye sunna

  • @idrisjames9392
    @idrisjames9392 Год назад +3

    Haya aliyasema Muhammad bachu kuwa kuna watu wamepewa pesa ili wamachafue ndio haya sasa!

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 Год назад +3

    Sasa kuzaliwa kwa mtume alifundisha nini na yeye hawezi kuongea ni mtoto baado nani huyo alimfuata mtume siku alipozaliwa mbona wazidi kusema urongo na ww

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 Год назад +4

    Dini na porojo na ujanjaujanja wapi na wapi. Hamna mtu mjinga wa kumshikia akili zake sasa hv, wasomi ni wengi kwa hyo ukweli uko waziwazi cku hzi. Wababaishaji kama nyinyi mutafedheheka sana karne hii vinginevyo muache kuipeleka dini kwa uwongo na matamanio ya nafsi zenu!

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Год назад

      Hamuzi kuacha watu wasisome maulid lkn nyinyi mayahudi wa saudia

    • @saidisaidi4502
      @saidisaidi4502 Год назад +2

      Sema Lia maulidi aka birthday hakuna ktk uislam kutukana Saudi hakutasaidia ww late Dalili. wema wote waliopita hawakuona hiyo maulidi isipokuwa wandengereko

    • @huseinmaulidi7346
      @huseinmaulidi7346 Год назад

      Zinapo tajwa fani za kielimu kwa kuwa wengi hawaja soma wanaona ni porojo da kazi kwel kwel

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 Год назад

      @@saidisaidi4502
      Unatakiwa ukasome kwanza kabla hujazungumza .
      Kuzungumza bila ya elimu ni majanga ..
      Unaweza ukajiona unafanya wema lakin kwa7b huna elimu na unachokifanya ukapata madhambi .
      Kauli yako kuwa : Maulid hawakuyaona wema waliopita ila wandengereko " hii inaonesha kiasi chako cha elimu "
      Au unataka kusema kuwa ...
      ابن حجر العسقلاني
      أبو شامۃ شيخ الإمام النووي .
      الحافظ العراقي صاحب الفيۃ الحديث ـ
      الحافظ السيوطي .
      Jee hawa nao ni wandengereko .. Tena apo nimekutajia wachache tu ltk weeengi waliofikia daraja la "Uhaafidh "

  • @rushu1232
    @rushu1232 Год назад +1

    Alianzishwa sh. lao Muhammad bin Abdulwahab kuwa project ya mayahudi na mweengereza.

  • @majidiabdi424
    @majidiabdi424 Год назад

    Shkh Muhammad - anakemea kwa AYA na HADITHI ( MIJITU ya Mauled - Ni propaganda tu) na inafatwa na MIJITU ya Matamanio sio Sisi tunayo ipenda HAKKI - Mimi sisomi tena MAULED Hatuja AGIZWA

  • @salumkibari4878
    @salumkibari4878 Год назад +1

    Hawa mawahabi ni washenzi tu ati lijitu linasemama mnaosoma maulid mnakwenda motoni utafikir linamawasiliano na allah kuwa mwerevu wew hujielewi jinga wew
    Kaa kimya waache wakaingie huo moto cjui ni wa babaako

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Год назад

      Ukumbusho utamfaa mwenye kuamin ndio allah kasema huu ndio umma bora

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад

      Subhaanallah, Ndugu yangu hivi unajua uzito wa maneno unayouatoa? Kwa faida tu ni kwamba sisi sote tumeirithi hii dini hakuna aliyekuwepo wakati wa Mtume (saw) sasa unadhani tutawezaje kuitekeleza hii dini kwa usahihi? Jibu ni kwamba si kila tunacholetewa tunakiwa kufuata tu ni lazima tutafute ushahidi ktk Quran, Sunna kwa kufuata ufahamu wa wema waliotangulia na si kila mtu kujifanyia anachotaka na kama ingekuwa hivyo basi isingekuwa ni dini ya Allah ingekuwa ni dini ya watu tu. Allah atuongoze ktk njia sahihi

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад

      Tulio wengi tutaponzwa na ushabiki usio na manufaa yoyote kwetu mbele ya Allh, Mtume ametutahadhalisha na uzushi ktk hadithi nyingi tu sasa kama kweli tumampenda Mtume na tunarajia pepo ya Allah, sikuambii ufuate upande gani ila nakushauri ndugu yangu achana kabisa kuegemea upande amboa haukutoshelezi kwa dalili utakupotezea muda wako na akhera yako pia, hizi ni zama kisomi mwerevu huwa hakubalikubali tu jambo bila ushahidi wakutosha, hata watoto wadogo siku hizi hawapigiwi tena hadithi za vibwengo na mazimwi kama zamani maana ukweli wazi

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +5

    Maneno yako mazur yanapatikana kitabu gani

    • @omaryabdallah8734
      @omaryabdallah8734 Год назад

      Mwambie atupe kitabu nasie tustafiid huyo mzandiq anaona haqi na baatwil alafu anataka alete usawa

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 Год назад +1

    Allah amewadhalilisha masufi ubwabwa sasa mnabweka ovyo tu na upuuzi mtupu.

    • @ahmadzubeir3363
      @ahmadzubeir3363 Год назад

      Wewe unamzulia Allah so haraka rudi umuombe Allaah msamaha.

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Год назад

      @thefoodshaikh811...nawewe kakuingiza peponi kwa kumzuulia.! na kwakuwatukana Masufi au siyoo.!!

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 Год назад

      Hebu jitazameni vile mnabweka ovyo .

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Год назад

      @@thefoodshaikh811 ..haya ongeza tu speed ya maneno yako haya ya kuwatukana Masufu kuwa wana mbweka na nk.! Kwakuwa maneno haya kadiri unavyoongeza kuyatoa ndio yatakupeleka peponi pengine ndio mafundisho yako ya huo upande usiokuwa masufi ndio yanavyosema.!! Haya ongeza speed ya kutukana hutaki Pepo kwa kutukanana.!?

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Год назад +5

    Huyu na yule mwenzio ni mashehena wa alelula hawajui chochote ktk dini al hatimiy kaingia mitini kamkimbia m bacho sasa mnataka kuficha aibu,, mnataka msionekane mmeshindwa nyie uzeni dawa tu huku kwenye dini pagumu sana hampawez..

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 Год назад +1

    Porojo tupu hamuna hoja (urongo)

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga Год назад +1

    Basi kupigana vita tu. Tuache mambo haya tuwasomeshe watu dini.

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +1

    Kwani watu wa SUNNAH na watu wa BIDH'AA Kuna vitu , na kama hakuna vita mbona masheikh wa twariqa mulinde na polisi MAULIDINI ,

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад

    Nenda kwenye pointi wacha kuzunguuka sheikh , mbn usemi papa wa Saudi walikuja wapa habari papa wa zanzibaa , na ng'ombe wakaongea na ngamia wakaongea na ngamia wa misri wacheni uongo masheikh

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +1

    Nyie masufi njaaaaa
    Msipo aacha maulidi mnaenda motoni

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Год назад +3

      Kwakuwa huo moto ni WA mjomba wakoo unamuungiza unae mtaka kwa matamanio yako au siyoo.!

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 Год назад +2

      @@swalehemrombo9301 achana nae huyo hao walishaona pepo ni yao peke yao,kila mtu kwao ni kafiri subhaanallah,ALLAH atawalipa juu ya haya.

  • @sheikhfirdaus6491
    @sheikhfirdaus6491 Год назад +1

    Kabisa

    • @asiateacher
      @asiateacher Год назад +1

      Allah atuongoze ktk haki na atuwezeshe kuifuata, tucsemane vibya, tusitoane akili ,tusikufurishane Wala tusitiane Motoni, tuishini kwa upendo waislam sote ni ndugu. Tumekhitilafiana ktk mambo machache sn kuliko mengi tuliokubaliana, kwa nini tucpendane?

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 Год назад +1

    Ninyi si ndo wale mulio itetea Haleluya kuwa ni Laaa ilaaha illa Llaah?, sasa mulipotelea wapi?, Kwenu hamna kitu hapo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +1

    Yaani ww ndo umefahamu zaidi kuliko maswahaba

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Год назад

      Kitabu cha barzanji cha maulidi kimeandikwa kishairi kama huna akili kama mtoto wa bachu utahangaika sana kukufurisha watu.

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      @@ramadhanimbulu4941 hivi ni kweli kwamba waasisi wa mawlid ni mashia??

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +1

    hiii mbinu aloanzisha alhad ya kualika mapolisi kuna sk mtaletewa mapolisi.wa kike Kwenye hadhara ya maulidi mumpe maik mbele ya wanaume

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 Год назад +1

      Ulitaka aalikwe nani? Baba yako au mama yako?

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Год назад

      @@ahmadbadawi9664 ualikwe wewe mbwa nguruwe wewe, unamtaja mamangu na babangu kakuhusu nini? mbwa wewe

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Год назад +1

    Me bado nasmama na Muhammad bachu na sihangaiki, alhamdulilah haqqi nishaijua,amenitosheleza kwa dalili,huyu kaongelea kimtaani mtaani Yani sio kielimu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +1

    Maulid ni haramu na kila herufi moja ukisoma unaangamiaaa

  • @qurannasunnahtzonlinetv7432
    @qurannasunnahtzonlinetv7432 Год назад +1

    Mnapiga kelele tuu nyinyi watu bidaa amna jipya kale bacho amuzi kumjibu ata muungane TANZANIA nzima kaeni na shiriki zenu izo za barazanji

  • @rushu1232
    @rushu1232 Год назад +1

    Mawahabi ni project ya mayahudi hata jamia ya madina ni project ya mayahudi ndio ukaona kula anaetoka huko anakuja kufarakisha watu.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад

      Ni bora kukaa kimya kuliko kuzungumza jambo usilo na uhakika nalo, watu hawatoi maneno yao wanaongea kwa dalili za Quran na suna sunnah wewe unasema ni project ya Mayahudi, kama wewe ni Muislam kweli unataka dalili gani zaidi ya Quran na Sunnah? Najua wewe unazungumza kwa ushabiki tu na unaona ni jambo dogo sana ila tambua kwamba hayo yamedhibitiwa na malaika na kwa hakika jiandae majibu kwa Allah

    • @rushu1232
      @rushu1232 Год назад

      @@badrudinsalum3139 Mawahabi na uwahabi ni project ya mayahdi na wazungu akatengenezwa Sh.Mohd Abdulwahab na Ahli suudi ndio ukazaliwa uwahabi nawakuwawa watu wengi kwajina la bidaa na shirki.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад

      @@rushu1232Kwani uwahabi ni nini?

    • @rushu1232
      @rushu1232 Год назад

      @@badrudinsalum3139 Na haya yanafanyika kupingwa kizazi cha Mtumi na wanazouni wenye asili ya kizazi cha Mtumi wakatolewa Makka wakashika wasuudi na kuanza kusomesha fikra potofu ya M Abdulwahab nakufanya waislamu wafanya shirki hiyo fikra ya mayahudi.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад

      @@rushu1232 mimi huwa napenda sana kuelewa naomba nifahamishe vizuri maana ya Uwahabi

  • @salumharuna5872
    @salumharuna5872 Год назад

    Kadhalilika wapi sasa?

  • @mawaidha386
    @mawaidha386 Год назад

    Kumbe na ww upo

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 Год назад

    Wewe ni mhuni tu!! Unaleta siasa kwenye dini..udugu wa kitaifa umetajwa wapi kwenye Qur'an

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Kama ni hivyo, je, Barzanji alisha sifia Mitume walio mtangulia Mtume Muhammad (S.A.W) kwa namna hiyo hiyo? Au kamsifia yeye tu?
    Quran imeandika kila kitu kwa ufasaha na uwazi ili tuelewe juu ya Allah(S.W.) na ayatakayo. Mtume (S.A.W.) amefundisha aliyo juu ya Allah na Uislam bila hata nukta ya fumbo.
    Vipi mumtetee huyo Barzanji kuwa eti hakukusudia kuvuka mipaka juu ya sifa za Mtume (S.A.W.)?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Год назад

    SHETANI OYEÈ👺👺👺

  • @hamisimapoch884
    @hamisimapoch884 Год назад

    Hahahahahahahaha naona shekh unaungaunga ili kuleta mfanano wa kitu unachokitetea lakn wapi umechemka pakubwa, unatakiwa kurudi kwa Mwalimu wako akufunze upya dini

  • @abdallaheji1269
    @abdallaheji1269 Год назад

    Bachu elimu yake ndogo hawezi elewa mambo makubwa kama hayo

    • @seasononline4618
      @seasononline4618 Год назад +1

      Subuhanallah unakijua unachokizungumza kwanza

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 Год назад +1

      Cha ajabu hao mashekh wako wenye elimu kubwa wanaogopa kufanya debate na huyohuyo mwenye elimu ndogo wanaishia kusema pembeni tu

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад

    Muhammad bacho na wenzake wote hawana hekma ya kulingania anatukana kabixa na kutupa kitabu cha baraza nnje wahabi ni wachache kuliko sisi sunny

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Год назад +2

    Mtoto Bachu ni mjinga hana uelewa wala hajui lugha za kishairi na falsafa.na huo ndo uchache wake wa elimu na hikma.msimjibu muacheni na upumbavu wake.

    • @khamisjuma8813
      @khamisjuma8813 Год назад

      Kweli kwa sababu hata maswahaba pamoja na Mtume hawakuyajua maulid na ndo mana hawakufanya. Lkn Barzanj aliifahamu lugha zaidi ya kishairi kuliko mtume na maswahaba na tabii tabiina. Kwa iyo hii ni kweli kwa Barzanj kuwa na elimu kuliko Mtume na maswahaba zake

    • @husseinmwiti2801
      @husseinmwiti2801 Год назад

      mashekhe zenu wa halyluya mbona washindwa kutoa hoja ?

  • @abdullatifsimai-1393
    @abdullatifsimai-1393 Год назад

    salaf mkasome tanbihil ghaafilina ili mujue salaf nd nn na salaf ni nani sw sababu nyinyi hamn heshima at kdg kusom hamtk vichw furu

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Год назад +2

    Maulidi ni bidaaa,yaani leo mkona serikari police kutetea maulid

  • @milanizuberikasimu1859
    @milanizuberikasimu1859 Год назад

    Nimeamin kweli wahabi elimu yenu ndogo kuna mtu amecoment anasema eti shekh nimwongo wapi qu ran inasema kuna udugu wa utaifa hiyo ni siasa dah nimesktka san somen kwanza jaman acheni kusomea hoja tu

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 Год назад

    Kijana mdogo elimu haijatulia kichwani KAZI kutukanana ,na babake hakuwai watukana watu wengine.ikiwa waalimu hawana furaha wewe ni mwanafunzi wake basi umefeliii.

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 Год назад

      Wanatukanwa au wanaelimishwa na bado mtu anatoa dalili na nyie hao mashekh zenu si waje na dalili yakinifu
      Ashasema Bhachu wekeni mjadala ana kwa ana ila hakuna mwanaume aliyejitokeza

    • @khatibbakhresa7615
      @khatibbakhresa7615 Год назад

      Ukweli utabaki kuwa ukweli
      Uongo hata untethered hauwezi kuwa ukweli
      Maulid ni uzushi

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +1

    mna ujinga kujibizana mitandaoni kama wasanii.wa bongo

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Год назад

    Hilo litoto labachu halina akili. Linatafuta umaarufu kama wababayake. Litukutu mnohilo.

    • @kasimukiduba4484
      @kasimukiduba4484 Год назад +2

      Wanatetea Shirk hali wanajuaa,,,,wametumwa hao kumchafua eti ,,,,km hayuko kwny haki atawashinda tu

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 Год назад +1

      Wewe ni mtu mkubwa lakini ubongo wako akili mbumbumbu, mtoto wa bachu ni mdogo ki umri lakini anatowa dawa safi .

    • @kasimukiduba4484
      @kasimukiduba4484 Год назад +1

      Nashangaa sn Kuna watu Hadi leo hawajui Sunnah za mtume daaaah subhanaalaah ,,,mnapend bidaa jmn

  • @idrisjames9392
    @idrisjames9392 Год назад +1

    Haya aliyasema Muhammad bachu kuwa kuna watu wamepewa pesa ili wamachafue ndio haya sasa!

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Год назад

    Hilo litoto labachu halina akili. Linatafuta umaarufu kama wababayake. Litukutu mnohilo.

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад +2

      Unaonekana kuwa mkubwa lakn akili ndo ndogo sijui ni ushabiki au ni kibri au ndo hujui???

    • @abuukauthar525
      @abuukauthar525 Год назад +2

      nilivyoona unakichwa kikubwa nikadhan unaakil kumbe bogas sijui ni ushabik au ni chuki allah akuponye

    • @haridyhillaryndembo1946
      @haridyhillaryndembo1946 Год назад

      Ukwel BACHU MDOGO mzee wa kukurupuka Elim anayo ila Aache majigambo na Riyaa
      DINI siyo dharau na kukosea wengine Adabu "Utamsikia" anamuita sheikh fulan "hiki kijamaa kisa anamkosoa
      Innalillah

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Год назад

      @@abuukauthar525 kitabu kimeandikwa kishairi,kama huna akili kama bachu utahangaika kutafsiri ndivyo sivyo!!

    • @othman3909
      @othman3909 Год назад

      Hiyi siy dini munatak umaarufu tuh