@@mmilly8952 Wacha apange watoto na uko Kenya wacha sisi tuchape Job bila Shaka anaeza zaa na Waititu akaleta shida but age of 20 na unalilia mwanaume🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂 roho yako iko kwake na unazidi kuzaa kutoka kungine...style up young girl and get a life, hope unajichicha tu na mwanaume aliloose interest kuja kwako
Huyu kijana yawa hana akili! yaani umekuja na mtoto na unaishi na mimi mimba unapewa na jamaa wa nje ? kimbia na wanao usije ukawauwawisha bure, huruma hiyo haipo ktk moyo wa kiume. peleka watoto kwa baba zao ndo ujaribu bahati yako.
Huyu jamaa anamchezea ako na mtu ndio sababu hataki kuongea .5 yrs ni muda murefu ya kkugonja mtu jamani mwezi moja pengine bure life must go on kwanza ako na watoi woooiiiyee.
Wewe dada mbona ujiue yet huyo sio baba ya watoto wako. Halafu unajilazimisha kwa huyo mjamaa juu ya kazi yake au nini.Already 5yrs ni red flag. Wewe mama shughulikia watoto wako Collins ame move on na bado unamfuatafuata na watoto wawili sio wake. Style up girl!!!
@auntiepiarants uko huku. Weee girl child ataonyesha watu vituko 😂😂. Madam jiondoe tu ukalee watoto wako huyu chali alijiondoa kitambo. mama penda watoto wako.
Hyu mwana dada ni malaya saana,two kids with different men alafu sai unataka kujiua ju mwanaume mwenye hauna mtoto wake,shame on you,,,tafuta kazi,,ushungulikie watoto wako.
Emma anafaa Kofi ya kichwa
Wueeeeeh
Huyu emma ni mtoto bado afikirie vizuri.
Mwañaume alichukua U-turn baada ya mimba ya pili, boy child murifeeee, don't look back
Colo ni wanaume wajanjez sana,😅😅😅
Collo ashahepa hapo🤣🤣 ajipenge na mzigo yake
Huyu anacheza na wanaume wanaitwa Collins 😂😂😂😂weuh hot 🔥
Na brayo🤣
@@lilian2660 😂😂😂 Collins are the upcoming ones and dangerous
Kama roho yako ilikuwa kwake kwa nini ulipata mimba na mwingine mkiwa na yeye? Kwenda kabisa.
Mwanamke anapata mimba ya mwanaume aliye moyoni mwake.
😂😂😂😂😂😂😂 hii patanisho ilinibamba sana walai
Ati utafute watoto mimi nichunge!!!
Never
Anagawa kama bursary na hajaoleka bado. Na akioleka c atafungua ofisi 😂😂
Yaani umeamua huruma ni estate😂😂😂😂
Ghaaiii🤣😂😂😂
Suruali moto 😂😂😂😂😂😂
Aende apanulie mwingine tena azae wa tatu
She is looking for the fool who will take care of her kids 😂😂😂
This lady should style up. Two children of different men. That can't happen
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anawezaje kupata watoto iche na walikuwa bado pamoja
Apo hata nashangaa huyu mwanamke hafai hana maana ni malaya tu
😂😂😂surely unaeza niletea watoto 2 from different man so means mimi ni wa kulea watoto wa wenyewe sio potelea mbali dada
Unaweza kulea bro akuna shinda 😂😂😂😂
Mmi cwezi hata
Watoto Awana makosa hiyo ni baraka kubwa kama unauwezo unaweza kulea hao watoto ni baraka kutoka kwa Mungu Awana makosa makosa ni ya mama
@@hamisikassimmwatamu7949 yap uneza lea but kuna madem wengine after umelea hivo wanakudharau baadae ndio wanaume huogopa
Murifeeee
Young lady kuja gulf tu hustle utaftie watoto,kabla upate mimba ya tatu wewe. Styleup
😅😅Ndio hivyo Sasa. Maisha ni kujipanga tu.
😂😂😂😂
Weeee gulf haitaki Uzembe🤣🤣🤣🤣Wacha huyu mzembe akae kenya azae number 3
@@rachelmuch5788 uje mwambia poa 😂😂😂😂😂. Ata sio uzembe. Atawezana na dryspel Kweli
@@mmilly8952 Wacha apange watoto na uko Kenya wacha sisi tuchape Job bila Shaka anaeza zaa na Waititu akaleta shida but age of 20 na unalilia mwanaume🤣🤣🤣
Huyu aachane na mapenzi kwanza.akuje gulf ataftie watoto wake.mapenzi sio ya kila mtu
Hatawezana na dryspell wacha abaki kenya hazae
Seriously 😂😂😂 personally siwezi bwana 😂 ati ukuje na Mtoto bwana ziiiiii
roho yake iko kwake na unapata mimba ingine kwingine unajitoa maisha like seriously???be useful to yourself focus and move on dear
Huyu ni fala mbona aacheza mtoto wa watu hivi
Veryvery very stupid , uende uzae inje ya relationship na bado unasema utajitoa uhai Sabu ya mtu surely ,what type of a human is this ? Hi ni ngombe
Apo akna ndoa kabisa
Waaah hii life no balance 😢😢😢😢😢
😂😂watu wanakapitia huku nje😂
😂😂😂😂😂😂 roho yako iko kwake na unazidi kuzaa kutoka kungine...style up young girl and get a life, hope unajichicha tu na mwanaume aliloose interest kuja kwako
Hapa inje wanawake wengi wako hivyo , they do funny things alafu wakioza ndo wanasema wanataka kusetle 😂😂😂😂bwana fear women
Huyu kijana yawa hana akili! yaani umekuja na mtoto na unaishi na mimi mimba unapewa na jamaa wa nje ? kimbia na wanao usije ukawauwawisha bure, huruma hiyo haipo ktk moyo wa kiume. peleka watoto kwa baba zao ndo ujaribu bahati yako.
Nani anataka mtu alianza kukula miti akiwa 14 years na ako na watoto wawili
Ss huyu dem yawa kwani baba watoto wako wapi hii kenya venye iko na maisha gumu heri angekuwa na mtoi 1 karibu tuoshe choo mpenzi
🤣🤣🤣🤣
Huyu alishaachwa kitambo style up
Style up gal. Is it by force?
Ata kama ni mimi singeshika simu yake mwanamke mjinga walai una bwana na unaenda nje aai too bad
Uyo msichana ana cheat
Emma needs to mature! For sure!
Huyu jamaa anamchezea ako na mtu ndio sababu hataki kuongea .5 yrs ni muda murefu ya kkugonja mtu jamani mwezi moja pengine bure life must go on kwanza ako na watoi woooiiiyee.
Emma a u ok? Like I don't understand , style up bby gal,tafta job,somesha watoto bana
Wewe dada mbona ujiue yet huyo sio baba ya watoto wako. Halafu unajilazimisha kwa huyo mjamaa juu ya kazi yake au nini.Already 5yrs ni red flag. Wewe mama shughulikia watoto wako Collins ame move on na bado unamfuatafuata na watoto wawili sio wake. Style up girl!!!
ACHA UJINGA TAFUTA BABA YA WATOTO WAKO, BURE
Tena huyu mwanamke hana hata aibu aoatanishwe na mwanamme wala hajazaa nae akajipatanishe na hao bb wtt wake uko
Emma i come in peace mm na bon tusha move on we have first kid i don't want to heart ur feeling ur like my sister kaa uwa unaongea n yy acha t 😮
Ujinyonge juu ya mwanaume uache watoto wako???
😂😂😂😂😂😂this young girl must move on and work hard for sake of children
Umesema she should work hard ? 😂😂😂Huyo Dem ni ngombe bwana Anaza kama panya bwana , very useless ,ata akona a good boyfriend mwingine atakumaliza
@@bensonathewa5956 afanye kazi alitunze watoi wake,awache ujinga.uyo boyfriend hamtaki ni venye anaogopa kumwambia tuu
Waaaa… how daft can a gal be ? Yani mimba mbili na wanaume wengine na anataka huyu chali ampende?
So childish 😮
Hakina roho yako haiko kwake wacha uongo young lady
Akifika 40 atakuwa ajee
This is a confused element...mbona anatafta mtu mwenye hata hana responsibillty yote watoto amezaa na watu tofauti na uko proud...pre 25yrs pandemic
😂😂😂
@auntiepiarants uko huku. Weee girl child ataonyesha watu vituko 😂😂. Madam jiondoe tu ukalee watoto wako huyu chali alijiondoa kitambo. mama penda watoto wako.
@@lizshabani ati she's bn waiting 5yrs na watoto wa wenyewe😂😂
@@auntiepiarants2238 akili ilioza anaforce mtoto wa watu kumuoa na watoto si wake what a shame
Na hii economy c dhani huyo jamaa kuna kitu anataka.
This lady is lying a big lie
Shida ilikujia kwa uyu mtoto WA pili ulimhanya😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂Lakini uyu lady ana furaisha.. Awache ku changanyikiwa na wanaume. Sasa afikirie vile atalea kids wake.
Hyu mwana dada ni malaya saana,two kids with different men alafu sai unataka kujiua ju mwanaume mwenye hauna mtoto wake,shame on you,,,tafuta kazi,,ushungulikie watoto wako.