Ushuru wa 16% Vat kwa mkate wapingwa na wakenya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024
  • Wakenya walalamika ushuru wa juu unawaumiza

Комментарии • 49

  • @hashimmabruk8953
    @hashimmabruk8953 16 дней назад +4

    Mkate ulipanda kitambo mwaka wa elfu mbili lakini walipunguza uzito wa mkate kitoka grams 500 hadi grams 400. Hapo wananchi hawakugundua kwasababu bei ilibakia ile ile lakini mkate ulipunguzwa uzito. Safari hii naona watu watakoroga uji badala ya mkate.

  • @danielkisarenge9739
    @danielkisarenge9739 16 дней назад +2

    Congratulations mr president when i grow up i what to be like you, ungeza kabisa

  • @robertndeto1130
    @robertndeto1130 16 дней назад +1

    Kanyaga shingo kabisa bado mama mboga na mtu WA bodaboda anapumua😂

  • @jackievaupel
    @jackievaupel 16 дней назад +2

    We go back to basics. Sweet potatoes, cassavas,Nduma,mchele or Ugali baridi. Its survival times.

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 15 дней назад

      No, how about we make a stand and fight instead of running away with cold ugali on our faces?

    • @jackievaupel
      @jackievaupel 15 дней назад +1

      @itsTheTruthTeller in my opinion cold ugali and the traditional foods are way much healthier than the refined bread.

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 15 дней назад

      @@jackievaupel sawa, you can save yourself and run away with bits and pieces of cold ugali on your face while I and others like me fight to lower taxes so that you stop looking like a mad woman running around with bits and pieces of cold ugali on your face... Unaelewa kitu nasema?

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 15 дней назад

      @@jackievaupel shida si ugali ni tax... Si unajua hivyo?

    • @jackievaupel
      @jackievaupel 15 дней назад +1

      @@itsTheTruthTeller exactly,we can reverse the tax rules by not buying the bread.

  • @princeogwelofficial4682
    @princeogwelofficial4682 16 дней назад +1

    Azimio hoyeee, Na bado!! 👉😂

  • @mzurijora6247
    @mzurijora6247 16 дней назад

    Na serikali ya America, inapendezewa sana na uongozi wa Ruto kwa wakenya 😂😂...

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai 11 дней назад

    Wakenya wangani kwani kunasiku tunasikizwa kweli sioni

  • @amaniathman-7445
    @amaniathman-7445 16 дней назад +2

    Good job Mr president ongeza kabisa sisi ndio tulikupigia kura 😂😂😂

    • @FloraAlanaxi
      @FloraAlanaxi 16 дней назад

      Usuri mi sio fan wa 🍞😅😅

  • @madammagdarlynmuthembi729
    @madammagdarlynmuthembi729 16 дней назад +1

    Ruto amekubali kua zakayo but now transformed Judas he wants more and more and has betrayed Kenyans by agreeing with mashoga and raising the cost of living contraly to what he promised. Mungu anaoma

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t 16 дней назад

    Kazi zuri ruto

  • @beirut9750
    @beirut9750 16 дней назад +2

    Stop complaining who told you to vote for a husler imposter.mwiba wa kujidunga hauna pole

  • @user-ou5hm9iu2i
    @user-ou5hm9iu2i 16 дней назад +1

    Hata mpinge pingamizi zenu hazitamzuia Zakayo.

  • @Eufredmegaidealfood
    @Eufredmegaidealfood 15 дней назад

    Ruto angeongeza UNGA ngano bei raia hangejua,hapo hakucheza smart😂

  • @gikundiarenge9596
    @gikundiarenge9596 16 дней назад

    Ongeza kabisa Zakayo..it is not your fault but people's.

  • @user-ee8dr9iw4t
    @user-ee8dr9iw4t 15 дней назад

    Ukumbuki, bangi pombe sigara miraa mogoka drags, aibu kwa kiongosi wa kenya pandisa vileo' si chakula😅😅😅😅😅

  • @miriamschildrencourt.4859
    @miriamschildrencourt.4859 14 дней назад

    President should tax white bread and Suger and all unhealthy foods, so that we can retreat to our traditional foods.

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 16 дней назад

    Asiyemjua huyu jaama utathani amekuja jana ,lakini ni yule alikuwa akisema mambo ya kuongezea ushuru ni kugandamiza wanainchi sasa ,yeye ndio kuongea zaidi ya Uhuru Kenyatta

  • @chainbre275
    @chainbre275 16 дней назад +1

    Waaaaaa hadi kwa mkate lol ruto Yuko kazini

  • @ndukumwendwa-jq7fq
    @ndukumwendwa-jq7fq 15 дней назад

    Mkate ama UNGA ya ngano coz naeza kula chapu through out.

  • @jeccym8715
    @jeccym8715 16 дней назад +1

    Watu wakule chai na cassava ama na ugali,wacheni mikate

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 15 дней назад

      Wee fanya hivyo wacha sisi tupigane juu ya hii mkate sababu vile wee ni fala hauoni next itakuwa hio cassava na whatever else inaweza ongezwa tax. Wacha kulala

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t 16 дней назад

    Waaah,😏👐

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 16 дней назад +1

    Zakayo anazidi kupanda miti

  • @susannyambura3759
    @susannyambura3759 16 дней назад +1

    Ongeza vile unataka tuko tayari tumezoea maisha no maya😂😂😂😂😂😂

  • @erickithuka6997
    @erickithuka6997 16 дней назад +1

    Wenyevwalichagua 2 cartels next time vote wisely

  • @FloraAlanaxi
    @FloraAlanaxi 16 дней назад

    Usuri mi sio fan wa 🍞😂😂

  • @nyamwangierick2820
    @nyamwangierick2820 16 дней назад

    Mkate tena c amaua ata maji

  • @mwasinayebakari9243
    @mwasinayebakari9243 16 дней назад

    ARAISI WETU UTATUUWA KWA USHURU

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 16 дней назад

    Daaah hii Kenya balaa😂yani anapunguza ushuru wa pombe na kupandisha mkate

    • @shhjab3621
      @shhjab3621 16 дней назад

      😂😂😂😅😅

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 16 дней назад

    Why must the Government add tax on a bread surely? Does it have nothing else to increase tax on? This reminds me of my childhood life when we used to take tea with our left over Ugali.

  • @user-rc6rk4tm2i
    @user-rc6rk4tm2i 16 дней назад +1

    😂😂😂ruto wewe ni zakayo wa ukweli weeeh

    • @user-lm6wx5fp4s
      @user-lm6wx5fp4s 16 дней назад +1

      Huyu ni farao si zakayo. Zakayo alitii yesu akashuka kwa mti ata zile ushuru alirudishia wenyewe

  • @irinemulonzi7410
    @irinemulonzi7410 16 дней назад

    Weka 150 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-io5np6rd1r
    @user-io5np6rd1r 16 дней назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @tabithaolando6575
    @tabithaolando6575 16 дней назад

    Tax collector loading

  • @erickithuka6997
    @erickithuka6997 16 дней назад

    Wenyevwalichagua 2 cartels next time vote wisely