Mkate ulipanda kitambo mwaka wa elfu mbili lakini walipunguza uzito wa mkate kitoka grams 500 hadi grams 400. Hapo wananchi hawakugundua kwasababu bei ilibakia ile ile lakini mkate ulipunguzwa uzito. Safari hii naona watu watakoroga uji badala ya mkate.
@@jackievaupel sawa, you can save yourself and run away with bits and pieces of cold ugali on your face while I and others like me fight to lower taxes so that you stop looking like a mad woman running around with bits and pieces of cold ugali on your face... Unaelewa kitu nasema?
Ruto amekubali kua zakayo but now transformed Judas he wants more and more and has betrayed Kenyans by agreeing with mashoga and raising the cost of living contraly to what he promised. Mungu anaoma
Asiyemjua huyu jaama utathani amekuja jana ,lakini ni yule alikuwa akisema mambo ya kuongezea ushuru ni kugandamiza wanainchi sasa ,yeye ndio kuongea zaidi ya Uhuru Kenyatta
Wee fanya hivyo wacha sisi tupigane juu ya hii mkate sababu vile wee ni fala hauoni next itakuwa hio cassava na whatever else inaweza ongezwa tax. Wacha kulala
Why must the Government add tax on a bread surely? Does it have nothing else to increase tax on? This reminds me of my childhood life when we used to take tea with our left over Ugali.
Mkate ulipanda kitambo mwaka wa elfu mbili lakini walipunguza uzito wa mkate kitoka grams 500 hadi grams 400. Hapo wananchi hawakugundua kwasababu bei ilibakia ile ile lakini mkate ulipunguzwa uzito. Safari hii naona watu watakoroga uji badala ya mkate.
Congratulations mr president when i grow up i what to be like you, ungeza kabisa
Kanyaga shingo kabisa bado mama mboga na mtu WA bodaboda anapumua😂
We go back to basics. Sweet potatoes, cassavas,Nduma,mchele or Ugali baridi. Its survival times.
No, how about we make a stand and fight instead of running away with cold ugali on our faces?
@itsTheTruthTeller in my opinion cold ugali and the traditional foods are way much healthier than the refined bread.
@@jackievaupel sawa, you can save yourself and run away with bits and pieces of cold ugali on your face while I and others like me fight to lower taxes so that you stop looking like a mad woman running around with bits and pieces of cold ugali on your face... Unaelewa kitu nasema?
@@jackievaupel shida si ugali ni tax... Si unajua hivyo?
@@itsTheTruthTeller exactly,we can reverse the tax rules by not buying the bread.
Azimio hoyeee, Na bado!! 👉😂
Na serikali ya America, inapendezewa sana na uongozi wa Ruto kwa wakenya 😂😂...
Wakenya wangani kwani kunasiku tunasikizwa kweli sioni
Good job Mr president ongeza kabisa sisi ndio tulikupigia kura 😂😂😂
Usuri mi sio fan wa 🍞😅😅
Ruto amekubali kua zakayo but now transformed Judas he wants more and more and has betrayed Kenyans by agreeing with mashoga and raising the cost of living contraly to what he promised. Mungu anaoma
Kazi zuri ruto
Stop complaining who told you to vote for a husler imposter.mwiba wa kujidunga hauna pole
Hata mpinge pingamizi zenu hazitamzuia Zakayo.
Ruto angeongeza UNGA ngano bei raia hangejua,hapo hakucheza smart😂
Ongeza kabisa Zakayo..it is not your fault but people's.
Ukumbuki, bangi pombe sigara miraa mogoka drags, aibu kwa kiongosi wa kenya pandisa vileo' si chakula😅😅😅😅😅
President should tax white bread and Suger and all unhealthy foods, so that we can retreat to our traditional foods.
Asiyemjua huyu jaama utathani amekuja jana ,lakini ni yule alikuwa akisema mambo ya kuongezea ushuru ni kugandamiza wanainchi sasa ,yeye ndio kuongea zaidi ya Uhuru Kenyatta
Waaaaaa hadi kwa mkate lol ruto Yuko kazini
Mkate ama UNGA ya ngano coz naeza kula chapu through out.
Watu wakule chai na cassava ama na ugali,wacheni mikate
Wee fanya hivyo wacha sisi tupigane juu ya hii mkate sababu vile wee ni fala hauoni next itakuwa hio cassava na whatever else inaweza ongezwa tax. Wacha kulala
Waaah,😏👐
Zakayo anazidi kupanda miti
Ongeza vile unataka tuko tayari tumezoea maisha no maya😂😂😂😂😂😂
Wenyevwalichagua 2 cartels next time vote wisely
Usuri mi sio fan wa 🍞😂😂
Mkate tena c amaua ata maji
ARAISI WETU UTATUUWA KWA USHURU
Daaah hii Kenya balaa😂yani anapunguza ushuru wa pombe na kupandisha mkate
😂😂😂😅😅
Why must the Government add tax on a bread surely? Does it have nothing else to increase tax on? This reminds me of my childhood life when we used to take tea with our left over Ugali.
Go back to your childhood basi
😂😂😂ruto wewe ni zakayo wa ukweli weeeh
Huyu ni farao si zakayo. Zakayo alitii yesu akashuka kwa mti ata zile ushuru alirudishia wenyewe
Weka 150 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅
Tax collector loading
Wenyevwalichagua 2 cartels next time vote wisely